UCHAMBUZI WA MALOTO: Kiapo cha Trump Iran kinavyochokonoa vita na China
Soma zaidi hapa...
Papa Leo anatembelea Cameroon leo katika hatua ya pili ya ziara yake barani Afrika
Papa Leo anatembelea Cameroon leo katika hatua ya pili ya ziara yake barani Afrika. Alianza safari yake ya nchi nne nchini Algeria, ambako alihimiza mazungumzo ya kidini na msamaha. Ziara…
Watu milioni moja zaidi kupata lenacapavir, dawa ya ‘muujiza’ dhidi ya VVU
Marekani na Mfuko wa Kimataifa, Global Fund, watawasaidia watu milioni tatu kupata lenacapavir, sindano ya VVU mara mbili kwa mwaka ambayo ina ufanisi mkubwa katika kuzuia maambukizi ya virusi hivyo—sawa…
M23 na ICRC wakubaliana kuhamishwa kwa wafungwa wa kijeshi
Kwa mujibu wa taarifa zetu, AFC/M23 na ICRC walisaini mwishoni mwa juma lililopita makubaliano ya uhamisho wa wanajeshi. Wanajeshi hawa watakabidhiwa kwa shirika la kimataifa la msalaba mwekundi ICRC kabla…
Israel na Lebanon zakubaliana kuanza mazungumzo ya moja kwa moja mjini Washington
Israel na Lebanon zimekubaliana siku ya Jumanne, Aprili 14, kuendelea na mazungumzo kuelekea amani ya kudumu kufuatia mazungumzo yaliyoonekana kuwa na tija huko Washington kati ya wawakilishi wa nchi hizo…
Donald Trump: Marekani na Iran zinaweza kuanza tena mazungumzo ‘katika siku mbili zijazo’
Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yanaweza kuanza tena “katika siku mbili zijazo,” Donald Trump ameliambia Gazeti la New York Post. Imechapishwa: 15/04/2026 – 06:16 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
DRC: Zaidi ya watu 30 wafariki katika ajali ya boti Ziwa Tanganyika
Watu zaidi ya 30 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wanasafiria kuzama, kwenye Ziwa Tanganyika, karibu na mji wa Kalemie, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 15/04/2026 – 06:14…
DRC: Wabunge wameanza kuchunguza mkataba wa amani na Rwanda na ushirikiano na Marekani
Wabunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),wameanza kuchunguza mikataba mbalimbali iliyosainiwa Washington mwaka wa 2025. Nakala mbili zinajadiliwa: makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda na makubaliano ya…
Uhaba wa madaktari bingwa wa ubongo kwa watoto washtua
Wakati idadi ya watoto wanaokabiliwa na matatizo ya mfumo wa fahamu ikiendelea kuongezeka...
Marekani itawezaje kuzuia meli za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz?
Marekani itategemea meli zake za majini kudhibiti bandari za Iran, na hivyo kuzuia uwezo wa Tehran kufaidika na mauzo ya mafuta nje ya nchi katika jaribio la kuweka shinikizo kwa…
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo kuzuru Cameroon
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na Nne, anatarajiwa kuwasili nchini Cameroon leo, akitokea nchini Algeria anakotamatisha ziara yake siku ya Jumatano. Imechapishwa: 15/04/2026 – 05:57Imehaririwa: 15/04/2026…
Ni miaka mitatu tangu kuzuka kwa vita nchini Sudan
Leo Aprili 15, ni miaka mitatu kamili, tangu kuanza kwa vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF, vita ambavyo vimesababisha vifo vya maelfu ya watu na wengine…
Workers’ role lauded as 1.105bn/- raised for May Day
DODOMA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has said the government recognises and values the contribution of workers in both the public and private sectors in promoting the country’s economy and…
Rais wa Marekani Donald Trump aashiria mazungumzo ya dharura na Iran
Upande wa Iran bado haujatoa majibu kwa kauli za Trump, lakini Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa, António Guterres, amesema kuwa kuna haja mazungumzo yarejee tena.
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Manchester United inawafuatilia wachezaji wawili EPL
Manchester United inawafuatilia wachezaji wawili wa Ligi ya Premia, Bayern Munich inamtaka mchezaji mwenza wa Harry Kane wa Uingereza, na ni nani takuwa kacha mpya wa Bournemouth?
CAG calls for key reforms
DODOMA: THE Controller and Auditor General (CAG) has issued a series of sweeping recommendations aimed at addressing persistent weaknesses in public financial management and improving the performance of government institutions,…
Atletico Madrid, PSG zatinga nusu fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya
Atletico Madrid na PSG zimefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
#ACLElite Ittihad wanakwenda robo fainali baada ya dakika 120
#ACLElite Ittihad wanakwenda robo fainali baada ya dakika 120. FT: Al Ittihad 1-0 Al Wahda Saa 10:00 jioni ni Fountain vs Simba SC LIVE #AzamSports1HD #AFCChampionsLeague #AFCChampionsLeagueElite #AsianChampionsLeague (Feed generated…
Tume ya Jaji Chande yawakosha Profesa Juma, Mufti
Jaji Mkuu Mstaafu, Profesa Ibrahim Juma na Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubeir, wamesema kuundwa...
MBEYA CITY: “…tunataka pointi tatu muhimu….”
MBEYA CITY: “…tunataka pointi tatu muhimu….” Kikosi cha Mbeya City tayari kipo Dar es Salaam, kuwakabili Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Aprili 16, 2026 kwenye…
Polisi wafyatua risasi na kuua 2 kwenye maandamano kupinga hali duni ya hospitali ya Ishiara Level 4
Maandamano huko Mbeere Kaskazini, Embu, yaliishia vifo vya 2 waliokuwa wakilalamikia hali duni ya Hospitali ya Ishiara Level 4. Polisi wamelaumiwa kwa tukio hilo
Chuo Kikuu Aga Khan kimetoa mafunzo ya kujitambua kwa wanafunzi 35 wa Sega Sekondari
Katika kuhakikisha wanafunzi wa kike wanapenda masomo ya sayansi, Chuo Kikuu cha Aga Khan...
Kaunti ya Nairobi yaanza kubomoa ukuta wa Ikulu katika mpango wa KSh 50b wa urejeshaji mto
Sehemu ya ukuta wa Ikulu jijini Nairobi utabomolewa huku kaunti ya Nairobi ikizindua mpango wa urejeshaji wa mto utakaogharimu KSh 50bn kuokoa chemichezi jijini.
Mwanamke wa Nakuru asimulia kwa hisia kilichotokea baada ya dadake kuuawa na mpenziwe
Mary Njoki Mburu, adaiwa kuuawa na mpenziwe katika kaunti ya Nakuru. Dadake aliyevunjika moyo alifichua mambo yenye kuhuzunisha ya tukio hilo lenye kuhuzunisha.
Ligi ya Mabingwa: Wachezaji 33 wakaribia hatari ya kufungiwa, Mbappe na Yamal juu kwenye orodha
Wachezaji 33 huenda wasiruhusiwe kucheza mechi za nusu fainali za Ligi ya Mabingwa ikiwa walionyeshwa kadi wakati wa mechi za marudiano za robo fainali.
“Ni muda wa kufikiria kujenga barabara za Lami, na kuachana na Barabara za Vumbi, na mmerahisisha lugha kuita barabara za vumbi,…
"Ni muda wa kufikiria kujenga barabara za Lami, na kuachana na Barabara za Vumbi, na mmerahisisha lugha kuita barabara za vumbi, barabara za vumbi wakati wa kiangazi ikifika masika ni…
Ndindi Nyoro apiga filimbi kuhusu mchakato wa bei ya mafuta, ataka uwazi kuhusu hatua za serikali
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro ametoa tahadhari kuhusu uwazi na bei ya sekta ya mafuta, akikosoa hatua za serikali zinazohusiana na kashfa ya KSh bilioni 4.8.
Wahimizwa kujitolea kusaidia upandikizaji uroto kwa watoto
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa imewahamasisha walimbwende wa Miss World Tanzania...
“Ukimpelekea mkulima mbolea shambani, tusipompa barabara ya kufikisha mazao kuyaleta mjini, sawasawa na kazi bure tu…lazima tu…
"Ukimpelekea mkulima mbolea shambani, tusipompa barabara ya kufikisha mazao kuyaleta mjini, sawasawa na kazi bure tu...lazima tufanye maamuzi kuhusu suala la barabara..."-Mbunge wa Kigoma Mjini, Revocatus Chipando maarufu Baba Levo…
“…juzi nilienda kwa Shemdoe nyumbani kwake, sikumkuta…nilikuta Watoto wake niliona sura zimefanana nikajua ni Watoto wake, l…
"...juzi nilienda kwa Shemdoe nyumbani kwake, sikumkuta...nilikuta Watoto wake niliona sura zimefanana nikajua ni Watoto wake, lengo nilikuwa nataka nikakae na Shemdoe tuongee kifamilia kuhusiana na barabara za Kigoma Mjini,…
Nairobi: Mwanamume afariki baada ya kuanguka kutoka jumba la KICC, polisi waanza kuchunguza
Mwanaume alifariki jijini Nairobi baada ya kuanguka kutoka jumba la KICC. Polisi tayari wameanzisha uchunguza kuhusu tuhuma za kujiua ili kubaini ukweli wa tukio hil
Ida Odinga atangaza msimamo wake wa siasa za nchi, aeleza mbona amekuwa kimya: “Nilikuwa naomboleza”
Ida Odinga ameelza kutokuwepo kwake katika siasa kufuatia kumuomboleza mumewe, Raila Odinga, akifafanua utambulisho wake kama mfanyabiashara wa viwanda si mwanasiasa
Asha Baraka amuangukia Dk Mwigulu akiomba uwanja wa Simba
Mbunge wa Viti Maalum, Asha Baraka amemwomba Waziri Mkuu kuwasaidia Timu ya Simba ili nao...
Mtendaji wa kijiji kizimbani kwa tuhuma za rushwa
Ofisa Mtendaji wa Kijiji (VEO) cha Qutesh kilichopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, Senesa...
Simulizi ya Mwakalindile aliyepata ulemavu wa kudumu
Mkazi wa Mtaa wa Igamba, Kata ya Nsalaga, Uyole, Philipo Mwakalindile (54), amejikuta akipitia...
Mikopo ya Sh13.7 trilioni iliyochochea uchumi Afrika Mashariki na Kati
Hatua hiyo imeifanya Benki ya CRDB kuwa mdau muhimu katika kusaidia ukuaji wa sekta za...
kupitia CRDB FOUNDATION na mradi wake wa Imbeju, imetoa mikopo yenye thamani ya shilling billion 1.13 kwa wanawake wajasiriamali…
kupitia CRDB FOUNDATION na mradi wake wa Imbeju, imetoa mikopo yenye thamani ya shilling billion 1.13 kwa wanawake wajasiriamali wa mkoa wa dodoma, ikiwa ni utekelezaji wa utoaji mikopo ya…
Wachumi wabainisha mbadala tozo ujenzi wa barabara
Kauli ya Mbunge wa Tanganyika (CCM), Seleman Kakoso kupendekeza Serikali kuongeza tozo ya Sh100...
Asha Baraka amwomba Dk Mwigulu uwanja kwaajili ya Simba
Mbunge wa Viti Maalum, Asha Baraka, amemwomba Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuisaidia Simba SC ili nayo ipate uwanja kama ilivyokuwa kwa watani wao wa jadi, Yanga.
BoT yawapa elimu ya fedha wachimbaji wadogo
Licha ya wachimbaji wadogo wa madini kuingiza kipato kikubwa, imebainika kuwa sehemu kubwa ya...
Polisi Tanzania imezuia pasipoti ya mpenzi wa Ashley na wanamhoji
Polisi nchini Tanzania pia wamesema wanaendelea kufanya uchunguzi wakisubiria majibu kutoka kwa madaktari cha kubaini kisa cha kifo cha mwanadada huyo raia wa Marekani.
Benter Apondi: Idara ya DCI yasimulia jinsi mwanafunzi wa RIAT alivyofariki
Wapelelezi wa DCI walifichua mlolongo wa matukio ya kusikitisha katika mauaji ya kikatili ya Rose Benter Apondi, anayedaiwa kuuawa na mpenziwe wa zamani huko Kisumu.
Wataalamu wasio na sifa tishio sekta ya mipango miji
Serikali imeonya kuwa ukuaji wa miji usioendana na mipango bora umechangia zaidi ya asilimia...
Tanzania tasks the ministry to ensure agriculture delivers outcomes, attracts investment
DODOMA: HEADS of institutions under the Ministry of Agriculture, together with the ministry’s management, have been directed to reduce operational burdens on leadership and take full accountability to deliver tangible…
Dodoma Jiji yafunika vigogo Bara
WAKATI Dodoma Jiji ikiwa ugenini Jumatano hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kucheza dhidi wenyeji wao, Coastal Union, Walima Zabibu hao ndio timu yenye kiwango bora zaidi kwa sasa…
Askofu Mfumbusa afariki, TEC yaelezea mchango wake
Kufuatia kifo cha Askofu wa Jimbo Katoliki Kondoa, Bernardin Mfumbusa, Baraza la Maaskofu...