BoT yawapa elimu ya fedha wachimbaji wadogo
Licha ya wachimbaji wadogo wa madini kuingiza kipato kikubwa, imebainika kuwa sehemu kubwa ya...
Polisi Tanzania imezuia pasipoti ya mpenzi wa Ashley na wanamhoji
Polisi nchini Tanzania pia wamesema wanaendelea kufanya uchunguzi wakisubiria majibu kutoka kwa madaktari cha kubaini kisa cha kifo cha mwanadada huyo raia wa Marekani.
Benter Apondi: Idara ya DCI yasimulia jinsi mwanafunzi wa RIAT alivyofariki
Wapelelezi wa DCI walifichua mlolongo wa matukio ya kusikitisha katika mauaji ya kikatili ya Rose Benter Apondi, anayedaiwa kuuawa na mpenziwe wa zamani huko Kisumu.
Wataalamu wasio na sifa tishio sekta ya mipango miji
Serikali imeonya kuwa ukuaji wa miji usioendana na mipango bora umechangia zaidi ya asilimia...
Tanzania tasks the ministry to ensure agriculture delivers outcomes, attracts investment
DODOMA: HEADS of institutions under the Ministry of Agriculture, together with the ministry’s management, have been directed to reduce operational burdens on leadership and take full accountability to deliver tangible…
Dodoma Jiji yafunika vigogo Bara
WAKATI Dodoma Jiji ikiwa ugenini Jumatano hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kucheza dhidi wenyeji wao, Coastal Union, Walima Zabibu hao ndio timu yenye kiwango bora zaidi kwa sasa…
Askofu Mfumbusa afariki, TEC yaelezea mchango wake
Kufuatia kifo cha Askofu wa Jimbo Katoliki Kondoa, Bernardin Mfumbusa, Baraza la Maaskofu...
Iran imekuwa ikifanya tathmini ya gharama ya uharibifu uliosababishwa na vita kama sehemu ya juhudi zake za kujumuisha fidia kat…
Iran imekuwa ikifanya tathmini ya gharama ya uharibifu uliosababishwa na vita kama sehemu ya juhudi zake za kujumuisha fidia katika mapendekezo ya kusitisha mapigano, shirika la habari la Tasnim limeripoti.…
Mahakama yaamuru muosha magari kulipa fedha aliyoiba alipokuwa akiosha gari
Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemhukumu muosha magari, John Mpali (35), kifungo cha nje cha...
Serikali yasisitiza wakaguzi wa ndani kuaminiwa
Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula amewaomba Watanzania kuwa na imani na wakaguzi wa...
Kisura Amwaga Machozi baada ya Kuhudhuria Harusi ya Ex Waliyechumbiana kwa Miaka 7
Hatua ya mwanamke kuhudhuria harusi ya ex wake iliibua gumzo mitandaoni alipolemewa na hisia kwa kupoteza mpenzi waliyechumbiana kwa miaka............
Polisi yathibitisha kumuhoji mpenzi wa Ashlee aliyefia Zanzibar
Hatimaye mpenzi wa mhamasishaji wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani, Ashly Robinson, maarufu...
Zaidi ya kaya 1,000 Makambako hazina vyoo bora
Zaidi ya kaya 1,132 katika Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe zimetajwa kukosa vyoo...
Watanzania wamekumbushwa kuwa pamoja na kufanikisha lengo la mahsusi la kuliponya taifa, uwepo wa tume ya kitaifa ya uchunguzi w…
Watanzania wamekumbushwa kuwa pamoja na kufanikisha lengo la mahsusi la kuliponya taifa, uwepo wa tume ya kitaifa ya uchunguzi wa matukio ya wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29…
Singida BS akili yote ipo kwenye mashindano ya CAF
WAKATI Singida Black Stars ikifuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, benchi la ufundi limesema hesabu zao msimu huu ni kupata tena tiketi ya kushiriki michuano ya CAF,…
Tanzania braces for the Slovak Foreign Minister’s tour, aiming to deepen ties
DAR ES SALAAM: The Ambassador of the Slovak Republic to Tanzania, Ivan Lančarič, has held talks with the Acting Director of the Europe and Americas Department in the Ministry of…
Tanzania Embassy staff in France bid farewell to their envoy, Mwadini
PARIS: STAFF at the Embassy of Tanzania in France have thanked and bid farewell to the former Ambassador of Tanzania to France, Ambassador Ali J. Mwadini, following his appointment as…
Hesabu za Minziro Fountain Gate zaanzia kwa Simba
BAADA ya kukabidhiwa majukumu ya kuiongoza Fountain Gate, Fred Felix ‘Minziro’ na benchi lake la ufundi wanatarajia kuanza mtihani wao Jumatano hii watakapoikabili Simba katika mchezo wa Ligi Kuu.
Bodaboda wawili wafariki dunia kwa kuigonga treni, Tabora
Madereva bodaboda wawili mjini Tabora wamefariki dunia baada ya kuigonga treni katika makutano...
Baba aliyefungwa maisha kwa kumbaka, kumlawiti mwanaye aachiwa
Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Tanga, imebatilisha hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyokuwa...
Kisa Katiba Mpya, Ado agombaniwa kama mpira wa kona bungeni
Shaibu alisema haoni nia njema ya Serikali katika utungwaji wa Katiba mpya kwani jambo hilo...
Lamata akabidhiwa kijiti kuendesha Miss Tanzania
Mkurugenzi wa kampuni ya Look Basila Mwanukuzi amekabidhi umiliki wa uandaaji wa mashindano ya...
Abdul Kakwaya atamba kufanya makubwa BDL
NYOTA wa kikapu, Abdul Kakwaya amesema kwa sasa anasikilizia timu itakayohitaji huduma yake huku akiendelea kujifua kwa ajili ya ligi ya DBL.
Mazungumzo na Jaji Prof
Mazungumzo na Jaji Prof. Ibrahim Juma akizungumzia kuhusu Tume ya Uchunguzi wa vurugu za Oktoba 29. (Feed generated with FetchRSS)
Vijana wanolewa Mambo Youth Challenge, BDL yanukia
ZAIDI zaidi ya 50 wenye umri chini ya miaka 18, wameshiriki katika mafunzo ya siku moja ya kikapu ya Mambo Youth Challenge, kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Zanaki,…
Polisi yathibitisha kumhoji mpenzi wa Ashlee aliyefia Zanzibar
Hatimaye mpenzi wa mhamasishaji wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani, Ashly Robinson maarufu Ashlee Jenae, Joe McCann anahojiwa na polisi visiwani Zanzibar.
Manyerere aanika siri ya mafanikio kimataifa
ALIYEKUWA kamishna wa makocha wa Shirikisho la Mpira Kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere amesema bila uwekezaji, ni ngumu kwa timu za Tanzania kufanya vizuri kimataifa.
Rais Mwinyi mgeni rasmi The Citizen Rising Woman Zanzibar
Kaulimbiu ya mwaka huu ni Give to Gain: Elevate Her Rise na toleo la Zanzibar linafanyika...
Lamata akabidhiwa kijiti cha Miss Tanzania
Mkurugenzi wa kampuni ya Look Basila Mwanukuzi amekabidhi umiliki wa uandaaji wa mashindano ya...
Karangu Muraya avunjika moyo baada ya kumpoteza kakake: “Ulikuwa rafiki yangu mkubwa”
Mwanamuziki Karangu Muraya anamuomboleza nduguye Paul aliyeaga dunia baada ya ajali ya barabarani. Kumbukumbu za dhati na heshima zinaingia akiwa katika majonzi.
Wanafunzi wa Nyani, Mafizi watengewa milioni 68
DODOMA: Serikali imeeleza kuwa inaendelea kujenga shule za sekondari katika kata mbalimbali nchini ili kuwapunguzia umbali wanafunzi kote nchini wakiwemo wa Wilaya ya Kisarawe. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa…
Tanzania cherishes its diaspora for their role in advancing socio-economic influence
PORT LOUIS: THE Tanzanian government said it continues to value its students studying abroad as a strategic national asset, particularly in advancing socio-economic influence through skills acquisition and global networks.…
Miss Tanzania yakabidhiwa Lamata Village
MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yameingia katika sura mpya baada ya jukumu la kuyaendesha kukabidhiwa rasmi kwa taasisi ya Lamata Village, hatua inayotarajiwa kurejesha hadhi na mvuto wa shindano…
William Ruto atoa mchango wa KSh 10m kwa ujenzi wa makafani Kisii: “Pesa kidogo”
Rais William Ruto aliahidi KSh 10 milioni kwa ajili ya hifadhi mpya ya maiti ya Nyamache wakati wa ziara yake ya Kisii, na kuimarisha ahadi za afya na miundombinu.
Mbunge ataka ‘Internship’ iwe kigezo cha uzoefu katika ajira
DODOMA: MBUNGE wa Viti Maalumu, Selina Kingalame ameishauiri serikali kuanzisha Mfumo wa Elimu kwa Vitendo (Internship) kwa kada nyingine za elimu kama ilivyo elimu ya utabibu. Mbunge huyo ametoa kauli…
Tanzania ilivyoshiriki mkutano wa 59 idadi ya watu kukuza maendeleo
Waziri wa Afya wa Tanzania, Mohamed Mchengerwa amesema matumizi sahihi ya teknolojia na utafiti...
Vijana waongoza maambukizi ya VVU
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Catherine Joachim, amesema kuwa takwimu za utafiti uliofanyika mwaka 2022 zinaonesha kuwa maambukizi mapya ya UKIMWI nchini yanafikia watu takribani elfu 56 kwa mwaka.…
Dk Mwinyi akagua Mji wa Afcon Zanzibar, aahidi viwango vya kimataifa
Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2026 wakati akitembelea mradi wa Mji wa Afcon...
Bunge Marathon goes international
DODOMA: President of the Tanzania Athletics Federation (RT), Rogath Akhwari, has said the third edition of the Bunge Marathon, slated for April 18 this year in Dodoma, has attained international…
Wapangaji wa NHC wapinga kupewa notisi ya siku 90 kupisha mradi
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewapa notisi ya siku 90 wapangaji wake wanaoishi na kufanya...
Rais Mwinyi akagua Mji wa Afcon Fumba
RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya michezo ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyokubalika kimataifa.
‘Natumai vita havitaanza tena’: Wairan wana wasiwasi baada ya mazungumzo kutibuka
Mazungumzo dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamezidi kuwa magumu baada ya juhudi za kumaliza vita kati ya pande hizo mbili nchini Pakistan kumalizika bila makubaliano.
Watumishi sita kortini kwa tuhuma za kusababisha hasara ya Sh14 bilioni
Watumishi sita wa Bohari ya Dawa (MSD) akiwemo Mhasibu Mwandamizi na Wafamasia wamefikishwa...
Siku ya pili ziara ya Papa Leo XIV Afrika akibeba ujumbe wa amani
Ziara ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV imeingia siku ya pili leo Aprili 14,...
Tanzania inahitaji magereza 129, kwa sasa yanatenga bajeti kujenga 50
Tanzania inahitaji kuwa na magereza 129 ili kukidhi mahitaji ambapo kwa sasa yanatakiwa...
Mimba za utotoni zavuruga elimu ya wasichana Simiyu
Tatizo la mimba za utotoni mkoani Simiyu limeendelea kuwa kikwazo kikubwa kwa elimu ya...