Watumishi sita kortini kwa tuhuma za kusababisha hasara ya Sh14 bilioni
Watumishi sita wa Bohari ya Dawa (MSD) akiwemo Mhasibu Mwandamizi na Wafamasia wamefikishwa...
Siku ya pili ziara ya Papa Leo XIV Afrika akibeba ujumbe wa amani
Ziara ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV imeingia siku ya pili leo Aprili 14,...
Tanzania inahitaji magereza 129, kwa sasa yanatenga bajeti kujenga 50
Tanzania inahitaji kuwa na magereza 129 ili kukidhi mahitaji ambapo kwa sasa yanatakiwa...
Mimba za utotoni zavuruga elimu ya wasichana Simiyu
Tatizo la mimba za utotoni mkoani Simiyu limeendelea kuwa kikwazo kikubwa kwa elimu ya...
Tanzania reviews tobacco production costs in a bid to enhance productivity
DODOMA: THE Tanzanian government has initiated a comprehensive review of tobacco production costs aimed at identifying areas that require improvement in order to enhance efficiency and productivity within the agricultural…
Rwanda na siri ya kuishi kwa amani baada ya mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi
Mwaka 1994 nchini Rwanda yalitokea mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi ambapo katika kipindi cha siku 100 kati ya mwezi Aprili hadi Julai takriban watu 800,000 mpaka 1,000,000 wanakadiriwa kuuawa.
Wanawake ni kitovu cha jawabu la ugonjwa wa Chagas- WHO
Ugonjwa wa Chagas unaathiri vibaya takribani watu milioni 8 duniani kote, amesema Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus hii leo ambayo…
Haki za watu wenye asili ya kiafrika zinakiukwa mara kwa mara duniani – António Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa hatua za haraka na madhubuti duniani kote ili kupambana na ubaguzi wa rangi na kuendeleza haki kwa watu wenye…
Jinsi wanawake na wasichana wanavyolengwa katika vita nchini Sudan
Vita vilivyozuka nchini Sudan miaka mitatu iliyopita vimesababisha moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu na ulinzi kwa wanawake na wasichana duniani. Mauaji ya halaiki, ufurushwaji mkubwa wa watu, na…
Migogoro ikishika kasi duniani mkuu wa UN aonya “Wengi wanachagua kufumbia macho haki”
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali kuwa heshima kwa sheria za kimataifa inaendelea kuporomoka duniani, hali inayosababisha madhara makubwa kwa raia na utulivu wa dunia.
Vita vimerudisha nyuma uchumi wa Sudan kwa zaidi ya miaka 30 – UNDP
Kama mapigano yataendelea hadi mwaka 2030, umaskini wa kupindukia nchini Sudan unaweza kupanda na kuvuka asilimia 60, huku watu wengine milioni 34 wakitumbukia kwenye ufukara, hiyo ni kwa mujibu wa…
UNICEF: Zaidi ya watoto 245 wameuawa au kujeruhiwa nchini Sudan tangu Januari hadi Machi mwaka huu
Baada ya miaka mitatu ya vita nchini Sudan, watoto wameendelea kubeba mzigo mzito wa maafa hayo ambapo mashambulizi ya ndege zisizo na rubani au droni yamesababisha takriban asilimia 80 ya…
WFP: Miaka mitatu ya vita nchini Sudan: Raia wametelekezwa na njaa kali inawakabili
Miaka mitatu ya vita nchini Sudan ikitimia hapo kesho Aprili 15, 2026, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limeonya kuwa mzozo huo unasababisha vifo, kujeruhi…
Tanzania issues urgent directives to resolve mining disputes in Kahama
DODOMA: THE Minister for Minerals, Anthony Mavunde, has issued urgent directives aimed at resolving a dispute involving the Isunda Group (license holders), landowners, and pit owners in Busulwagili village, Kahama…
Matumizi yasiyostahili, yasiyo na tija yapoteza Sh126.18 bilioni
Wakati mjadala wa uwajibikaji katika usimamizi wa fedha za umma ukiendelea kupewa kipaumbele...
Tanzanians affirm a strong commitment to peace and national unity
DAR ES SALAAM: TANZANIANS have continued to demonstrate unity, patriotism, and maturity in safeguarding peace, stability, and national security, particularly during recent political tensions following the General Election held on…
Mwandishi nguli apigia chapuo Kiswahili shuleni
Mwandishi nguli wa vitabu na mshairi, Abdilatif Abdalla ameisihi Serikali ya Tanzania, kwa...
TISEZA pushes new investment strategy for Hai cooperative farms
BOMANG’OMBE: THE TANZANIA Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has stepped up efforts to transform cooperative farms in Hai District by promoting diversified high-value investments aimed at boosting productivity…
Tanzania fast-tracks the implementation of IPC guidelines in its health facilities
MOROGORO: THE Tanzanian government, through the Ministry of Health in collaboration with the Prime Minister’s Office – Regional Administration and Local Government (OWM-TAMISEMI), and the Global Health Security project implemented…
TPSF hosts former Executive Director for strategic engagement
DAR ES SALAAM: Tanzania Public Service Fund(TPSC) had the honor of receiving a courtesy visit from Mr Godfrey Simbeye, who previously served as the Executive Director of TPSF for approximately…
Lufingo: Tulinde amani ya nchi
MSANII wa filamu za Bongo Movie, Daniel Lufingo, amesema kuwa uwepo wa amani katika jamii ni jambo la msingi kwa wasanii kwani kazi zao hutegemea mazingira tulivu pamoja na ushirikiano…
Two motorcyclists perish in a train accident
TABORA: TWO motorcycle taxi (bodaboda) operators have died in Tabora Region after being hit by a train in Malolo Ward, Tabora Municipality, earlier today, April 14, 2026. The accident occurred…
Ubomoaji waanza kwa mradi wa Infinity Hills, Kikwajuni Zanzibar
Ubomoaji umeanza katika eneo la Kikwajuni lililotengwa kwa ajili ya mradi wa matumizi...
Washindi Tuzo ya Mwalimu Nyerere Watangazwa
WASHINDI wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu wametangazwa katika hafla ya nne ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika Aprili 13, 2026 katika Ukumbi wa The Super…
Mambo matatu ambayo ni kiini cha mzozo wa Trump na Papa Leo XIV
Alichaguliwa Mei 2025 kama Papa wa kwanza mzaliwa wa Marekani — akiitwa Kardinali Robert Prevost—awali alitumia mtindo wa kutomtaja Trump kwa jina. Lakini sasa mambo yamebadilika
Boti yakamatwa ikiwa shehena ya mirungi Bagamoyo
Siku moja baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kueleza kwamba...
Yamal: Inawezekana kupindua matokeo
Kinda wa Barcelona, Lamine Yamal, ametuma ujumbe kwa kocha wa Atlético Madrid, Diego Simeone...
Tanzania launches broader strategies to enhance nationwide healthcare services
TABORA: THE Tanzanian government has officially launched a training program for health professionals aimed at enhancing disease surveillance and improving the accuracy of laboratory data processing, as part of a…
Godfrey Osotsi Aandikisha Taarifa kwa DCI, Ataka Aliyepanga Mashambulizi Dhidi Yake Akamatwe
Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi ameandikisha taarifa na DCI kuhusu shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wahuni, akililia haki na kukamatwa kwa waliohusika.
Shule binafsi zafundwa elimu bora
KAGERA: Ofisa Elimu wa Sekondari Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Wandera Rwakatare ametoa wito Kwa wawekezaji wa shule binafsi kupunguza vita ya kuchonganishana kuzua taarifa za uongo badala yake wajikite…
Video: Wahuni Wampora Wakili Nje ya City Hall William Ruto Akihutubia Bunge la Kaunti
Kanda ya CCTV yamulika wakili Harrison Kinyanjui akipokonywa simu wakati wa hotuba ya Rais William Ruto, na hivyo kuzua wasiwasi kuhusu usalama na kuwepo kwa polisi.
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kondoa Bernardin Mfumbusa afariki dunia
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetangaza kifo cha Askofu wa Jimbo Katoliki...
Chuo chahamasisha maadili kwa vijana
BABATI: Waumini wa Dini ya Kiislamu Wilaya ya Babati mkoani Manyara wamesema kufunguliwa kwa chuo cha kiislamu cha malezi bora ya maadili kwa vijana kitasaidia kukuza ari ya kumcha Mungu…
Tanzania outlines its move to leverage technology for socio-economic development
NEW YORK: THE Tanzanian government has outlined its strategy to leverage technology and the country’s large youth population as key drivers of sustainable development, emphasizing the role of research and…
China dismisses Vice Minister of Foreign Affairs Sun Weidong
BEIJING: SENIOR Chinese diplomat Sun Weidong has been dismissed from his post as vice minister of foreign affairs, in the latest case of a high-ranking official being removed from office…
Tanzania breaks the ice on its role as the EACOP transit
DODOMA: THE Tanzanian government has clarified that Tanzania’s participation in the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project is primarily focused on transporting crude oil from Uganda to international markets.…
CAG abaini udhaifu usimamizi wa urejeshaji mikopo kwa wasanii
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mapungufu katika...
KISWAHILI FOR BEGINNERS: The word “Kisima cha maji”
“Kisima cha maji” Breakdown: Kisima = well (a deep hole dug into the ground to access water) Cha = of Maji = water Full meaning: A water well is a…
Siaya: Mvulana wa miaka 10 afariki akiwaokoa wadogo zake kutoka kwa nyumba iliyokuwa ikichomeka
Mvulana wa miaka 10 huko Siaya alikufa kishujaa baada ya kuwaokoa ndugu zake kutokana na moto. Alikuwa akirudi kuchukua godoro la mama yao alipoaga dunia.
Tanzania intensifies rapid-response measures against destructive wildlife
DODOMA: THE Tanzanian government has intensified rapid-response measures to address the growing challenge of dangerous and destructive wildlife, particularly elephants, invading residential areas in Meatu District, Simiyu Region. Responding to…
Serikali Yatenga Bil.4.2 Tuzo ya Uandishi
SERIKALI imeendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu, ambapo jumla ya shilingi bilioni 4.2 zimetengwa katika kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa…
Mbunge ataka internship ipanuliwe
MBUNGE wa Viti Maalumu, Selina Kingalame, ameishauri Serikali kuanzisha mfumo wa elimu kwa vitendo (internship) kwa kada mbalimbali za elimu, kama ilivyo kwa taaluma ya utabibu. Amesema hatua hiyo itasaidia…
Sowah afichua kinachoendelea Simba, klabu yatoa tamko
MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah, amevunja ukimya na kuamua kuweka wazi kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo kumuhusu yeye ikiwa imepita takribani mwezi mmoja na siku 20 tangu asimamishwe klabuni…
‘Sasa nampenda’: Mama anavyoishi na mtoto wake mwenye usonji
Mama wa Malawi Martha Ongwane, aliathiriwa sana na hali ya usonji iliyomkabili binti yake mdogo hadi alipopata msaada kwa kundi ambalo hakuutarajia.
Simba yamrejesha Sowah, yampeleka timu ya vijana
Uongozi wa Simba SC umemrejesha mshambuliaji wake raia wa Ghana, Jonathan Sowah, lakini kwa...
Watoto waliomwona baba yao akimuua mama yao sababu ya mpango wa kando waomba kubaki kwa nyanya yao
Simulizi la kuhuzunisha la watoto wanaokabiliana na mshtuko baada ya kifo cha mama yao, likifichua ukweli wenye uchungu na msiba mzito katika maisha yao ya ujana.
Wajumbe jukwaa la ushindani wapewa maagizo
DAR ES SALAAM: WAJUMBE wa Baraza la Ushindani Afrika wametakiwa kuja na suluhisho la kupata bidhaa bora kwa bei nafuu kupitia ushindani wa haki na kuleta faida kwa wananchi. Maagizo…
Wavalia njuga umri wa kuolewa mwanamke usianzie chini ya miaka 18
Mtandao wa Kutokomeza Ndoa za Utotoni Tanzania (TECMN), imedhamiria kuhakikisha sheria ya ndoa...
Alichokiona CAG mifumo ya Tehama kwa taasisi za umma, asema…
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kuhusu ukaguzi...