CAR: MINUSCA yahakikishia umma, ikitangaza kuwa haina nia ya kuondoka
Je, MINUSCA inafunga shughuli zake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, au huu ni mpangilio mpya wa kimkakati wa shughuli zake nchini humo? Swali hili limechochea mjadala na wasiwasi miongoni…
AFCON 2025: CAS yatoa taarifa baada ya Senegal kuwasilisha rufaa dhidi ya CAF
Senegal imewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo CAS baada ya kupokonywa taji la AFCON 2025 lililopewa Morocco, kufuatia uamuzi tata wa CAF.
Liverpool yaanza kumsaka mrithi wa Salah, yakwama kwa Olise
Baada ya Salah kutangaza kuondoka kwenye viunga vya Anfield mwishoni mwa msimu huu, Liverpool...
Mfumo unaoweza kutatua tatizo la ajira kwa vijana
Kila mwaka, vyuo vikuu na vyuo vya kati nchini humiminika mamia ya wahitimu waliobeba taji la...
Hatari ya bwawa kudondoka Nairobi, wakazi wanaoishi maeneo ya chini waagizwa kuhama
Wakazi wa mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wana wasiwasi wakati bwawa lililoko kusini-magharibi mwa jiji liko katika hali ya hatari ya kuporomoka. Katika taarifa iliyotolewa wiki hii, Mamlaka ya Rasilimali…
Magazeti ya Kenya, Machi 26: Uhuru Kenyatta, Rigathi Gachagua wakaribia kufanya dili kabla ya 2027
Jeremiah Kioni wa Jubilee na Rigathi Gachagua wa DCP wamerudiana, wakiashiria muungano wa kimkakati uliofungwa na Uhuru Kenyatta na kuunda upya siasa za Mt Kenya.
VP rallies stakeholders behind skills-based education
DAR ES SALAAM: VICE-PRESIDENT Dr Emmanuel Nchimbi has called for a high level of cooperation to push through major reforms to the nation’s education and training policy. Dr Nchimbi said…
Njia za kusimamia fedha kwa maisha bora baadaye
Fedha ni sehemu muhimu sana ya maisha ya kila siku. Watu hufanya kazi, huanzisha biashara, na...
Uchaguzi Mkuu 2027: Kaunti za Nairobi, Kiambu zaongoza usajili wa wapiga kura wapya IEBC yasema
Kampeni ya IEBC ya Usajili Endelevu wa Wapiga Kura inalenga wapiga kura wapya milioni sita, lakini ni 250,391 pekee waliojiandikisha hadi sasa. Nairobi inaongoza.
Guinea: Aboubacar Diakité, msaidizi wa zamani wa Moussa Dadis Camara amefariki
Mamlaka ya gereza nchini Guinea imetangaza kifo cha Aboubacar Diakité, anayejulikana kama Toumba, msaidizi wa zamani wa kambi ya Kapteni Moussa Dadis Camara. Alifariki usiku wa Jumanne, Machi 24, kuamkia…
Martha Karua awahimiza Wakenya kufanya zaidi ya kaulimbiu za mabadiliko: “Kuimba wantam hakutoshi”
Martha Karua, katika ziara yake Uingereza, aliwasihi Wakenya ughaibuni kutumia ushawishi wao kuunda mwelekeo wa utawala kabla ya 2027, akisisitiza umuhimu wao.
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 26, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Machi 26, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Video ya wimbo ‘Jeene Laga Hoon’ ilivyobadili maisha ya Krish
Mitandao ya kijamii inaendelea kuthibitika kuwa jukwaa lenye nguvu ya kubadilisha maisha ya...
Biashara ya utumwa wa Waafrika yatangazwa kuwa ‘uhalifu mbaya zaidi dhidi ya ubinadamu’
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa umetangaza siku ya Jumatano, Machi 25, biashara ya utumwa wa Waafrika kama uhalifu mbaya zaidi dhidi ya ubinadamu, vita vinavyoongozwa na Ghana, ambayo inatumaini…
Mahakama Kuu yamuokoa Raphael Tuju, yazuia kukamatwa kwake
Waziri wa zamani Raphael Tuju amepewa dhamana ya mapema ya Ksh 200,000 na korti baada ya kukamatwa kwa ghafla, huku mahakama ikitaja ukiukwaji wa haki.
Huu hapa wasifu wa hayati William Lukuvi kwa ufupi na aliyokamilisha wakati wa uhai wake
Huu hapa wasifu wa hayati William Lukuvi kwa ufupi na aliyokamilisha wakati wa uhai wake. Mhariri @moseskwindi (Feed generated with FetchRSS)
Uvamizi wa Israel nchini Lebanon: Operesheni sita za kijeshi
Katika miongo kadhaa ya makabiliano kati ya Israel na Hezbollah, Israel imewahi kufanya operesheni kubwa za kijeshi ndani ya Lebanon kwa angalau mara sita.
Afrika: Hitaji la Dola Efu 15 kuingia Marekani kwa ajili ya kombe la dunia
Sera mpya iliyopanuliwa na utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, huenda ikawafanya wasafiri kutoka nchi tano za Afrika zilizofuzu Kombe la Dunia la mwaka huu kuweka dhamana ya hadi…
Licha ya mtazamo kuwa wanaume ndio kichwa cha familia na husifiwa kwa kutawala familia zao ikiwemo kuonesha ubabe kwa wake zao l…
Licha ya mtazamo kuwa wanaume ndio kichwa cha familia na husifiwa kwa kutawala familia zao ikiwemo kuonesha ubabe kwa wake zao lakini miongoni mwa wanaume hao wanapitia 'ukatili wa ndoa'…
Trump asema Iran ‘inaogopa’ kukubali kuwa kuna majadiliano huku Tehran ikikanusha ripoti hizo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asema "hawana nia ya kufanya mazungumzo kwa sasa", huku Marekani ikisisitiza kuwa malengo yake ya vita yamekaribia kufikiwa.
Huduma za miamala ya simu zinavyosukuma uchumi wa nchi
Takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) za Desemba 2025 zinaonyesha kuwa Tanzania...
Doreen Mangesho: Anaonesha nguvu ya uongozi kwa kuvunja vikwazo na kuinua wanawake
Jina la Doreen Mangesho linaendelea kujijenga taratibu katika tasnia ya fedha na uongozi wa...
Sudan: Wakimbizi katika mji wa Kordofan hawajapokea msaada wa miezi mitatu
Ripoti ya Umoja wa mataifa inasema familia nyingi zilizokimbia makazi yao kwenye majimbo matatu ya Kordofan nchini Sudan hazijapokea msaada wowote wa kibinadamu katika miezi mitatu iliyopita. Imechapishwa: 26/03/2026 –…
Silaha iliyoundwa na Iran inavyobadilisha vita vya anga duniani
Jeshi la Iran lilikuwa limeathiriwa na vita vya miaka mingi, na vikwazo vya Marekani vilimaanisha kwamba hakukuwa na njia rahisi ya kujenga upya jeshi lenye nguvu.
Mji wa kihistoria wa Bagamoyo umetajwa miongoni mwa vituo muhimu vilivyotumika kusafirisha watumwa katika ukanda wa Afrika Masha…
Mji wa kihistoria wa Bagamoyo umetajwa miongoni mwa vituo muhimu vilivyotumika kusafirisha watumwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kwa sasa Bagamoyo inatumika kama sehemu ya kujifunza na kukumbuka historia hiyo,…
Tetesi za soka Ulaya: Al-Ittihad warejea kwa Mo Salah
Al-Ittihad wamefufua upya juhudi zao za kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah, mshambuliaji wa Everton Iliman Ndiaye yuko miongoni mwa wanaotazamwa na Manchester United, na Barcelona wanapanga kumsajili beki wa…
Mapendekezo yaliowasilishwa na Marekani yanapitiwa na mamlaka: Iran
Katika mahojiano na televisheni ya kitaifa, Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Araqchi, aliweka wazi kuwa mapendekezo ya Marekani ya kumaliza vita yanapitiwa na mamlaka ya juu jijini…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 26, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
MTONI QUEENS: “…magoli yote mawili ni ya golikipa”
MTONI QUEENS: “…magoli yote mawili ni ya golikipa” Hatua ya sita bora ligi ya wanawake mkoa wa Dar es Salaam inazidi kuwasha moto, ambapo leo Rangi Tatu na Mtoni Queens…
FIFA SERIES | RWANDA
FIFA SERIES | RWANDA “…kama mnavyonijua mimi ni mshindani, napenda kupata matokeo mazuri” Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi anaeleza jinsi atakavyoitumia michuano ya FIFA Series kama sehemu ya maandalizi…
MZIZIMA DERBY: “….tumewafunga mara mbili msimu huu”
MZIZIMA DERBY: “….tumewafunga mara mbili msimu huu” Azam FC imerejea rasmi mazoezini huku ikianza kuzitupia jicho mechi mbili zijazo kwenye Ligi Kuu ya NBC ikiwemo Mzizima Derby dhidi ya Simba…
ALLY KAMWE: “……rudi mzigoni, lete watu”
ALLY KAMWE: “……rudi mzigoni, lete watu” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe asisitiza ombi lake kwa rais wa klabu hiyo, Hersi Said kuhusu usajili, afafanua sababu za…
Jamaa Apigwa na Butwaa CCTV Ikiwanasa Wanaume 2 Wakifanya Kitendo cha Kuchukiza Dukani Mwake Usiku
Askofu Paul Kariuki wa Jimbo Katoliki Wote alijiuzulu kutokana na changamoto za kiafya. Papa Leo XIV alimteua Mchungaji Simon Peter Kamomoe kuwa msimamizi wa kitume.
FIFA yaipa Morocco alama bora katika viwango vya hivi punde baada ya uamuzi kuhusu AFCON 2025
FIFA Yaitambua Morocco kama Bingwa wa AFCON 2025 Baada ya Uamuzi Mtata Ulioipokonya Senegal Ubingwa, Na Kuiinua Safu ya FIFA ya Morocco Kwa Kiasi Kikubwa.
Baba mseja ambeba mwanawe mgongoni akizunguka kuuza bidhaa barabarani
Baba mmoja alikabiliana na malezi na kuuza bidhaa akiwa na mtoto wake mgongoni, akivutia mtandao kwa uthabiti wake baada ya mke wake kumhepa sababu ya umaskini
Ruto aahirisha ziara yake Gusii siku moja baada ya kuzindua miradi ya mabilioni Luo Nyanza
Rais Ruto aahirisha ziara ya Kisii, aondoa umakini wake Mlima Kenya na kuupeleka iliyokuwa ngome ya Raila huku Gen Z wakitishia kumng'atua kupitia kura ya 2027.
Compassion International supports 123,000 Tanzanians from vulnerable families
ARUSHA: COMPASSION International Tanzania reached more than 123,000 youth and children in the 2025/26 financial year, as part of its commitment to support vulnerable families across the country. The organisation…
Mchongo mpya kujiunga Yanga Soccer School.
NDOTO za vijana wanaopenda soka kutoka mtaani zimepata fursa mpya kufuatia ushirikiano kati ya Yanga na kampuni ya Emwani ambao utawafanya kupata nafasi ya kujiunga na mradi wa Yanga Soccer…
NMB, DarTU zaingia makubaliano kusaidia vijana
Ushirikiano huo wa miaka mitatu, unakwenda kuweka msingi imara wa kuunganisha nguvu kati ya...
Mvua yaua 18 Mbeya, wamo watoto 14
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imesababisha maafa ya vifo vya watu...
Jumanne Challe aanika ‘mchawi’ KenGold, akiri ugumu wa kurejea Ligi Kuu
KOCHA Mkuu wa KenGold, Jumanne Challe, amesema kukosa balansi katika eneo la kujilinda na ushambuliaji ndio sababu kubwa ya kikosi hicho kutokuwa na mwenendo mzuri msimu huu, japo, anaridhishwa na…