Nairobi: Mshukiwa 1 auawa, 2 wajeruhiwa baada ya polisi kuzima tukio la ujambazi Wangari Maathai Rd
DCI inaripoti kifo cha mshukiwa wa wizi jijini Nairobi. Majambazi wenye silaha waliwashambulia maafisa wa polisi, na kusababisha ufyatuaji risasi.
Robert Mueller, wakili maalum wa Marekani katika ‘uchunguzi wa Urusi,’ amefariki
Robert Mueller, wakili maalum wa Marekani anayejulikana kwa jukumu lake katika kuongoza “uchunguzi nyeti sana wa Urusi” ulioathiri mwanzo wa muhula wa kwanza wa Donald Trump, amefariki akiwa na umri…
Kama hakutaki usimlazimishe
Katika maisha ya uhusiano wa kimapenzi, watu wengi hujikuta wakihangaika kulazimisha uhusiano...
Wanawake wajuta kuingia kwenye “mtego” wa uzazi
Tafiti ya mwaka 2023 nchini Poland ilikadiria kuwa kati ya asilimia 5 hadi 14 ya wazazi wanajuta uamuzi wao wa kuwa na watoto.
Iran yatishia kushambulia miundombinu muhimu baada ya kauli ya Trump
Iran imetishia leo Jumapili, Machi 22, kushambulia miundombinu muhimu katika Mashariki ya Kati, ikijibu makataa ya Donald Trump ya kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz ndani ya saa 48. Imechapishwa: 22/03/2026…
Kombe la Carabao: Arsenal v Man City kusuka ama kunyoa leo fainali
Manchester City, chini ya Guardiola, wameshinda fainali nyingi, wakiweka rekodi ya kushinda fainali 7 mfululizo za kombe la Carabao.
DRC: Mjadala wa mageuzi ya katiba wazua suala la kuheshimu sheria zilizopo
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mjadala kuhusu marekebisho yanayowezekana ya katiba umeingia katika uwanja wa kisiasa zaidi ya miaka miwili kabla ya uchaguzi ujao. Lakini “vipi ikiwa mjadala huu…
Qalibaf: Anga ya Israel imekuwa “shamba la bibi”, ni wakati wa kutekeleza mpango unaofuata
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema inaonekana kuwa umewadia wakati wa kutekeleza mpango unaofuata uliopangwa hapo awali kwa ajili ya mashambulizi zaidi dhidi ya Israel.
The Independent: Trump analazimika kuipa Iran inachokitaka ili kujinasua kwenye maangamizi
Gazeti la Uingereza la Independent limeandika kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amenasa katika maangamizi kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran na analazimika kuipati Iran inachokitaka ili kukomesha vita hivyo.
Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu
Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala…
Wademokrati US wataka kubadilishwa utawala wa Marekani, Trump na Netanyahu wamesababisha maafa ya binadamu
Kinara wa Wademokrati katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amekosoa serikali na Warepublican nchini humo kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran na kusisitiza udharura wa kubadilishwa utawala wa Marekani.
Mradi wa mageuzi ya katiba nchini Zimbabwe: Kiongozi wa upinzani Tendai Biti akamatwa
Mvutano wa kisiasa unaongezeka nchini Zimbabwe. Waziri wa zamani wa fedha na sasa kiongozi wa upinzani Tendai Biti alikamatwa siku ya Jumamosi, kulingana na chama chake na vyombo vya habari…
Watoto yatima Busara Orphanage wapewa tabasamu Eid El-Fitr
DAR ES SALAAM: Watoto yatima wapatao 30 kutoka kituo cha Busara Orphanage Center kilichopo Kibada, Kigamboni, wamepata fursa ya kipekee ya kusherehekea Sikukuu ya Eid baada ya kualikwa na uongozi…
Leo kazi ipo fainali ya Carabao Arsenal vs Man City
Leo Jumapili, macho ya mashabiki wa soka duniani yataelekezwa katika uwanja wa kihistoria wa...
Kenya-China: Mradi wa reli kati ya China na Kenya, ambao ulisitishwa kwa miaka 6 kuzinduliwa
Mradi mkuu wa uwepo wa China barani Afrika umeanzishwa tena. Mnamo Machi 21, Marais wa Kenya na Uganda William Ruto na Kaguta Museveni wamekutana karibu na mpaka wao wa pamoja…
Tanzania: Human Rights Watch yazitaka mamlaka kutoa mwanga kuhusu vurugu za baada ya uchaguzi
Nchini Tanzania, wkati matokeo ya tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za baada ya uchaguzi yakitarajiwa kutolewa Aprili 3, shirika la kimataifa la Haki za Binadamu la Human Rights Watch linaongeza…
DRC: Rais Tshisekedi aagiza mpango wa uzinduzi kwa shirika la ndege la Congo Airways
Shirika la ndege la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,, Congo Airways, linakabiliwa na mgogoro mkubwa. Lilianzishwa mwaka wa 2015 likiwa na ndege nne, sasa halina ndege hata moja, kama mali…
Tommy Thompson: Aligundua dhahabu tani 14 kwenye meli iliyozama baharini
Watu 425 walipoteza maisha yao katika ajali hiyo.
Simulizi ya mwanamke aliyegundua dhahabu tani 14 kwenye meli iliyozama baharini
Watu 425 walipoteza maisha yao katika ajali hiyo.
Marekani yaipa saa 48 Iran kufungua mlango wa Hormuz, la sivyo itaiangamiza
Onyo hilo limetolewa na Rais wa Marekani Donald Trump, akisema iwapo Iran haitaufungua mlango huo muhimu kwa biashara ya mafuta duniani, itaanza kuangamiza mitambo ya umeme ya Iran.
Mashariki mwa DRC: Raia waelezea masaibu wanayoyapata kufuatia ukatili wa ADF
Mashambulizi ya ADF, kundi lenye silaha lenye asili ya Uganda lenye uhusiano na Dola la Kiislamu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, yanaendelea. Mapema mwezi Machi, mashambulizi mawili mfululizo…
Afrika Kusini: ANC yakanusha ‘ushawishi wowote wa kigeni’ kwenye michakato ya uchaguzi
Nchini Afrika Kusini, chama tawala cha ANC kinafutilia mbali matokeo ya uchunguzi wa Propaganda Machine, uliofanywa na mtandao wa waandishi wa habari, ikiwa ni pamoja na RFI, uliokusanywa na Forbidden…
🔴KUMEKUCHA..UDEREVA WA KUJIHAMI .MACHI 22, 2026
🔴KUMEKUCHA..UDEREVA WA KUJIHAMI .MACHI 22, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Tetesi za soka Ulaya: Arsenal yamtaka Franca
Arsenal wanamtaka beki wa Roma Wesley Franca, Liverpool wanaongoza mbio za kumnasa Eduardo Camavinga, huku hatma ya Marcus Rashford Barcelona bado kitendawili.
🔴KUMEKUCHA: …MACHI 22, 2026
🔴KUMEKUCHA: ...MACHI 22, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Baadhi ya wafugaji Wilayani Babati mkoani Manyara kuvuna maji ya mvua yawasaidie nyakati za kiangazi kwa ajili ya kunyweshea mif…
Baadhi ya wafugaji Wilayani Babati mkoani Manyara kuvuna maji ya mvua yawasaidie nyakati za kiangazi kwa ajili ya kunyweshea mifugo. Je, na wafugaji wengine waige utaratibu huu? (Feed generated with…
LEO katika dimba la Wembley inapigwa fainali ya Kombe la Carabao
LEO katika dimba la Wembley inapigwa fainali ya Kombe la Carabao. Arsenal The Gunners dhidi ya ,Manchester City, The Citizens. Arsenal mara ya mwisho kubeba Kombe ilikuwa msimu wa 2019/2020…
🔴TAARIFA YA HABARI ASUBUHI MACHI 22, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI ASUBUHI MACHI 22, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
MAHUBIRI: Nguvu ya maneno ya kinywa chako
Biblia inafundisha wazi kwamba maneno ya mwanadamu yana nguvu kubwa. Siyo sauti tu inayotoka...
Dar, Rome deepen agri cooperation
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Italy have reaffirmed their commitment to strengthening collaboration in the agricultural sector, focusing on enhancing food security resilience, promoting value addition and facilitating the exchange…
Peaceful streets reflect collective responsibility
DAR ES SALAAM: ACROSS Tanzania, the recent fasting period has demonstrated the strength of unity, discipline and shared respect among citizens of all backgrounds. As communities observed Ramadan with devotion,…
Rural water coverage set for major boost
DODOMA: AS nations across the globe commemorate World Water Day today, the government has announced plans to invest a total of 787.5bn/- in various rural water supply projects under its…
High hopes on inquiry findings
DAR ES SALAAM: POLITICAL analysts and academicians have expressed optimism over the forthcoming report of the commission of inquiry, saying it is likely to uncover the root causes of the…
Manning leaves legacy of integrity as tributes pour in
DAR ES SALAAM: AS the nation prepares to lay retired High Court Judge Julie Catherine Manning to rest next week, tributes have continued to pour in, describing her as a…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 22, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
#SerieA Wamerangulia, wakachomolewa, wakapiga msako wa nguvu, wakapata penati wakakosa, game imekwisha kwa sare
#SerieA Wamerangulia, wakachomolewa, wakapiga msako wa nguvu, wakapata penati wakakosa, game imekwisha kwa sare ... Je, una la kusema!? FT: Juve 1-1 Sassuolo Saa 1:00 usiku ni Simba SC vs…
Samia touts faith liberty
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has said the government will continue to safeguard religious freedom while preserving the national unity and stability. She said every Tanzanian has the…
#CAFCLCC Ahly OUT…, Misri OUT….Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu; Je, hii maana yake nini???
#CAFCLCC Ahly OUT…, Misri OUT….Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu; Je, hii maana yake nini??? FT: Al Ahly 2-3 Esperance (Agg: 2-4) FT: CR Belouizdad 0-0 Al Masry (Agg: 1-1)…
#CAFCLCC Maji yanazidi kuwa marefu kwa Ahly…!!!
#CAFCLCC Maji yanazidi kuwa marefu kwa Ahly…!!! 70’: Al Ahly 1-1 Esperance (Agg: 1-2) 70’: CR Belouizdad 0-0 Al Masry (Agg: 1-1) Kwa Kiswahili anasikika Mwamba wa Juu, Leonard Musikula.…
30’ | #SerieA
30’ | #SerieA Juve 1-0 Sassuolo LIVE #AzamSports2HD #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #Juve #Sassuolo #JuveSassuolo (Feed generated with FetchRSS)
Majeraha yavuruga mipango ya Yanga kutetea ubingwa
UNA mabao ya Yanga yapo nje kutokana na mitambo ya mabao kupata majeraha na kupewa muda wa kupumzika ili kutibiwa irejee kwenye ufiti. Kukosekana kwao kumechambuliwa na watalamu jinsi inavyoleta…
Katika sherehe ya Eid al-Fitr, mavazi huwa sehemu muhimu ya kuonesha furaha na heshima ya siku hii tukufu
Katika sherehe ya Eid al-Fitr, mavazi huwa sehemu muhimu ya kuonesha furaha na heshima ya siku hii tukufu. Miongoni mwa mavazi yanayoonekana zaidi kwa wanaume ni kanzu, vazi refu lenye…
Mchungaji Elizabeth Mokoro aibua hisia kali baada ya kudai Mungu hatambui mke wa pili
Mchungaji maarufu Elizabeth Mokoro alitoa onyo kali kwa wanawake wanaofikiria kuolewa kama mke wa pili. Alidai Mungu hatambui kabisa ndoa kama hizo.
Eugene Wamalwa katika video afafanua mgogoro kuhusu mali ya kaka yake
Ziara ya William Ruto Magharibi mwa Kenya iligeuka kuwa sherehe ya kuwashambulia viongozi wa upinzani. Video ya Eugene Wamalwa kuhusu mali ya familia imeibuka.
ZPL kuongezwa thamani kuitangaza Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema lengo la kuwekeza fedha nyingi kwenye sekta ya michezo ni kuhakikisha inakuwa msingi unaowezesha kukuza vipaji, kuongeza ushindani na kuifikisha Zanzibar katika viwango…
William Ruto azindua upanuzi wa reli ya SGR kuenda Uganda, Museveni afika kushuhudia
Rais Yoweri Museveni na Ruto walizindua mradi wa SGR huko Kisumu kuelekea Uganda ili kupunguza gharama za usafirishaji, kupanua biashara, na kuzidisha ukuaji.
Mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Hamadi Aidani, mwenye umri wa miaka 50, ambaye ni mwalimu wa Shule ya Msingi Mwamkulu wilay…
Mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Hamadi Aidani, mwenye umri wa miaka 50, ambaye ni mwalimu wa Shule ya Msingi Mwamkulu wilayani Mpanda, mkoani Katavi amekutwa amefariki dunia, ambapo taarifa…
Ushindani mkali NBC PL wafungua vita mpya ufungaji bora
MISIMU mitano ya Ligi Kuu Bara imekuwa ikitawaliwa na mastaa wakubwa kutoka nje ya nchi wakitwaa kiatu cha ufungaji bora mara tatu, lakini kwa sasa inaonekana mambo yanaweza kubadilika na…