Tanzania cherishes Canada’s support in facilitating socioeconomic transformation
DAR ES SALAAM: Tanzania’s Minister of Finance, Ambassador Khamis Mussa Omar, has reaffirmed the government’s commitment to strengthening development cooperation with Canada, aiming to achieve sustainable development and improve the…
Dr Samia donates food and essential supplies to needy families
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has provided food and essential supplies to needy families in five districts of Dar es Salaam as part of the celebrations for Eid…
Mkataba wa Nashoni, Simba upo hivi!
SIMBA imefanya umafia baada ya kumsajili kiungo wa Singida Black Stars, Kevin Nashon kwa mkataba wa miaka miwili zikiwa ni siku chache tangu walipogomewa saini yake.
Nashoni apewa miaka miwili Simba
SIMBA imefanya umafia baada ya kumsajili kiungo wa Singida Black Stars, Kevin Nashon kwa mkataba wa miaka miwili zikiwa ni siku chache tangu walipogomewa saini yake.
Mtibwa vs Yanga mtego uko hapa!
YANGA inarudi uwanjani leo ikiendelea na ziara ya mechi za ugenini itakapokutana na Mtibwa Sugar na timu zote mbili zitakuwa na akili moja tu ya kushinda ili kujiweka kwenye nafasi…
Mchungaji Kanyari Atabiri kwa Mahubiri Mazito Kithure Kindiki Atainuka na Kuwa Urais
Pasta Kanyari anadai Naibu Rais Kithure Kindiki ana nafasi ya kuwa rais, licha ya upole wake. Watu katika miitandao ya kijamii waliguswa na utabiri jasiri wa Kanyari
Jaji Warioba aeleza hatua kwa hatua alivyosoma, kufanya kazi na Jaji Manning
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema aliyekuwa Jaji wa kwanza mwanamke nchini...
Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga
Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Mzenji TMA FC afunguka dili la Yanga
KOCHA wa TMA FC, Mzanzibar Haji Ali Nuhu, amesema hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa kati yake na uongozi wa Yanga, kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha timu za…
Dereva mbaroni kwa kusafirisha wahamiaji haramu
Jeshi la polisi mkoa wa Njombe linamshikilia Sipha Credo Mgonde (47) ambaye ni dereva na mkazi...
Profesa Kitila anadi uwekezaji wa kimkakati China
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitangaza...
Mwanafunzi wa chuo kikuu afariki chumbani Morogoro
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM), Hussein Rashid Omary (23) amekutwa...
Watoto milioni moja kupatiwa chanjo ya polio Geita
JUMLA ya watoto 1,114,918 wenye umri chini ya miaka 10 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone ya polio mkoani Geita kupitia awamu ya kwanza ya utekelezaji wa kampeni ya chanjo hiyo.…
JKU yajiandaa mechi 10 za mwisho kuimarisha mbio za ubingwa
JKU imetamba mafanikio yanayopatikana ni kutokana na nidhamu iliyopo baina ya wachezaji na viongozi na wanachofanya hivi sasa ni kuhakikisha wanarudisha ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar.
Zaidi ya hekta 400,000 za misitu hupotea kila mwaka
Wakati Tanzania ikielekea kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani inayofanyika kila ifikapo Machi 21...
Ofisa wa benki ahukumiwa kulipa Sh152 milioni kwa wizi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa ofisa wa benki ya Equity Tanzania Limited,...
Tanzania resolves Amazonite gemstone mining dispute in Karatu
KARATU: DEPUTY Minister for Minerals, Dr Steven Kiruswa, has led government efforts to resolve a dispute at the Amazonite gemstone mine located in Mandagawa Hamlet, Quandeng Village, Karatu District, Arusha…
Jamaa wa Nandi Apepea Mitandaoni kwa Kufuga Mamba Nyumbani, Afichua Mipango ya Kufuga Nyoka
Japhet na Esther Sugut waliwashangaza wenyeji kwa kuwafuga mamba, wakionyesha jinsi wanyama wa porini wanavyoweza kustawi katika mazingira yaliyodhibitiwa.
Mwanamama aliyegeuza, kuijenga upya taswira ya Sheria Tanzania
Dar es Salaam. Jaji wa kwanza mwanamke nchini na Afrika Mashariki, Julie Catherine...
TMA issues an alert warning of heavy rainfall across the Tanzanian regions
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Meteorological Authority (TMA) has issued a weather alert warning of heavy rainfall across multiple regions, urging residents to take appropriate precautions to avoid potential hazards…
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof
#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha miundombinu ya barabara inayohusiana na…
Vita ya Iran kutikisa wakulima upatikanaji mbolea duniani
Wakati vita ya Marekani, Israel dhidi ya Iran ikiendelea kushika kasi kwa takribani wiki ya...
Sweden’s King Gustaf bids farewell to outgoing Tanzanian envoy, Matinyi
STOCKHOLM: KING Carl XVI Gustaf of Sweden has bid farewell to Tanzania’s outgoing Ambassador to Sweden, Mobhare Matinyi, during a brief ceremony held at the Royal Palace in Stockholm. During…
Rais Samia mgeni rasmi Baraza la Eid
Waislamu nchini na duniani kote kesho wataadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri, huku Baraza Kuu la...
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya Athumani Nya…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya Athumani Nyanza, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefukiwa kwenye shimo karibu na nyumba…
Vita ya Iran kutikisa wakulima upatikanaji mbolea dunia
Wakati vita ya Marekani, Israel dhidi ya Iran ikiendelea kushika kasi kwa takribani wiki ya...
TPA records good performance in marketing Tanzanian port services
HARARE: Tanzania’s High Commissioner to Zimbabwe, Suzan Kaganda, visited the Tanzania Ports Authority (TPA) office in Harare, where she held discussions with the TPA Representative in Zimbabwe, Kulthum Boma. The…
TPA records good performance in marketing Tanzanian port services
HARARE: Tanzania’s High Commissioner to Zimbabwe, Suzan Kaganda, visited the Tanzania Ports Authority (TPA) office in Harare, where she held discussions with the TPA Representative in Zimbabwe, Kulthum Boma. The…
Mwanamke ajuta kumlea bintiye marehemu dadake, afichua sababu ya kuvunja moyo
Baada ya kifo cha dadake, Blezy Nkumeh alimlea mpwa wake kwa upendo, lakini alikabiliana na matokeo ya kuhuzunisha huku tabia ya binti huyo ikibadilika.
Ministry orders JFC to work with the government in delivering financial services
DODOMA: THE Minister for Finance, Khamis Mussa Omar, has directed the Joint Finance Commission (JFC) to collaborate with the government in conducting an analysis and proposing effective ways to improve…
Julie Manning, mwanamke wa kwanza Mtanzania kuwa jaji afariki dunia
Kifo cha Jaji mstaafu Julie Manning kimetamatisha safari ya maisha ya mwanamke huyo aliyeacha...
Rigathi Gachagua aahidi kuepuka kutusiana na Ruto, aapa kumkabili katika masuala ya sera
Kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua anaonekana kubadilika, sasa anaapa kumkabili Rais William Ruto kuhusu ajenda na masuala yanayohusu Wakenya na wala si matusi.
Tanzania uses the Bharat Electricity platform to unveil its success in the energy sector
NEW DELHI: THE Permanent Secretary in the Ministry of Energy responsible for Electricity and Renewable Energy, Engineer Felchesmi Mramba, has stated that Tanzania is continuing to implement strategic measures to…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Njombe, limewakamata wahamiaji haramu watatu raia wa Ethiopia, ambao wameingia nchini bila kibal…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Njombe, limewakamata wahamiaji haramu watatu raia wa Ethiopia, ambao wameingia nchini bila kibali katika Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi…
Serikali za EAC zashinikizwa kugawa pedi bure, kuondoa tozo
Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimetakiwa kupitia upya sera na...
🔴MEZAHURU: UMUHIMU WA KUTUNZA FEDHA AU KUIZUNGUSHA.MACHI 20, 2026
🔴MEZAHURU: UMUHIMU WA KUTUNZA FEDHA AU KUIZUNGUSHA.MACHI 20, 2026
Msanii Halima kwenye mikono ya BASATA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemuita msanii wa nyimbo za mduara Halima Haji pamoja na...
#HABARI: Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kagera limepiga marufuku tabia ya wazazi ya kuwaruhusu watoto wadogo kwenda peke yao kuo…
#HABARI: Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kagera limepiga marufuku tabia ya wazazi ya kuwaruhusu watoto wadogo kwenda peke yao kuogelea katika ufukwe wa Ziwa Victoria, ulioko ndani ya Manispaa…
Mgogoro Palestina watumbukiza wasichana kwenye hatari na dharura ya afya ya akili.
Watoto wahofia kifo ki karibu Ndoa za utotoni zilipungua sasa zinashamiri Asilimia 10 ya visa vya kujiua ni vya waliopitia ukatili wa kimwili
Watu bilioni mbili wakabiliwa na uhaba wa maji duniani: Arunabha Ghosh
Katika kuelekea siku ya maji duniani ambayo kila mwaka huwa 22 Machi, Mtaalam mashuhuri wa kimataifa kuhusu nishati na mazingira ameonya kuwa dunia inakaribia mgogoro wa “ufilisi wa maji”, hali…
Furaha kama lengo la maendeleo: sayansi inasema nini na kwa nini ni muhimu
Ina maana gani hasa kuwa na furaha Je, furaha ni hisia ya muda mfupi, hali ya kudumu, au kitu tunachoweza kujifunza Katika Siku ya Kimataifa ya Furaha, inayoadhimishwa kila mwaka…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….MACHI 20 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....MACHI 20 2026
Meli zipi zinaruhusiwa kupita Mlango Bahari wa Hormuz licha ya hofu ya mashambulizi?
Tangu mgogoro ulipoanza, BBC Verify imethibitisha kuwa meli 20 za kibiashara zimeshambulizwa kando ya pwani ya Iran.
Yas Half Marathon 2026 mambo safi Kilimanjaro
Shauku na hamasa ya kushiriki mbio za Yas Kili International Half Marathon (21kms) imeonekana...
Yas Half Marathon 2026 mambo safi
Maelfu ya wakimbiaji kutoka ndani na nje ya Tanzania, wanaendelea kumiminika katika mji wa...
Araqchi: Kushiriki Uingereza katika mashambulizi dhidi ya Iran kutasajiliwa katika historia ya uhusiano wa nchi mbili
Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu na mwenzake wa Uingereza, Yvette Cooper, kuhusu taathira za vita vya kulazimishwa vya Marekani na utawala wa…
Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu
Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa yoyote atakayepuuza haki ya Iran ya kujihami atakuwa amemhudumia adui.