Stakeholders push for smarter revenue collection
DAR ES SALAAM: STAKEHOLDERS are calling for significant reforms to Tanzania’s tax system, urging the adoption of smarter and more efficient revenue collection mechanisms following the work of the Presidential…
Wakuu wa majeshi ya Ufaransa, Côte d’Ivoire na Benin kuboresha mkakati wa pamoja
Cotonou inaandaa leo Alhamisi, Machi 19, 2026, mkutano wa ngazi ya juu wa kijeshi wa pande tatu. Mkuu wa jeshi la Benin, Fructueux Gbaguidi, anawapokea wenzake kutoka Côte d’Ivoire, na…
Siku ya ishirini ya mapambano; Wazayuni na Wamarekani watenda jinai katika kinamasi
Vita vya kichokozi vilivyoanzisha na Marekani kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, sasa vimeingia siku yake ya ishirini.
Rethinking corporate tax: A critical review of Tanzania’s fiscal balance
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S corporate tax system, designed to support public revenue while attracting business investment, has undergone significant reforms over the years. Yet, despite these efforts, it continues to…
Zambia yakamata kilo 550 za pembe za ndovu
LUSAKA: Mamlaka za Zambia zimekamata karibu kilo 550 za pembe za ndovu na kuwakamata watu tisa wanaodaiwa kuhusika na mtandao wa kimataifa wa magendo ya wanyamapori. Operesheni hiyo ilifanyika Machi…
#MICHEZO: Baada ya Shirikisho la Soka Afrika CAf kuwavua ubingwa wa AFCON 2025 Senegal na kuwapa Morocco, huku Senegal wakisema …
#MICHEZO: Baada ya Shirikisho la Soka Afrika CAf kuwavua ubingwa wa AFCON 2025 Senegal na kuwapa Morocco, huku Senegal wakisema wanaenda kukata rufaa CAS hatimaye Jaji wa Mahakama ya Usuluhishi…
Serikali yataka tija kampuni zenye hisa chache
ARUSHA: Serikali imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uwekezaji huo unaleta matokeo yanayopimika kwa taifa na wananchi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri…
MIF 2026: Steering Tanzania’s investment towards Vision 2050
DAR ES SALAAM: BY mid-afternoon yesterday, the Minority Interest Forum 2026 (MIF 2026) drew to a close, capping three days of deliberations among board directors, executives, policymakers and experts on…
Mchechu azibana bodi ataka uongozi kimkakati
ARUSHA: Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amewataka wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….MACHI 19, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....MACHI 19, 2026
Proudly bullish on funding own development
DAR ES SALAAM: FOR decades, Tanzania’s development ambitions were tethered to external aid and debt. As the Presidential Commission on Tax Reforms submitted its blueprint to President Samia Suluhu Hassan…
From farms to startups the leaders helping build Tanzania’s investment ready economy
DAR ES SALAAM: Tanzania stands at an important turning point in its economic journey. Across government offices, farms, innovation hubs and investment forums, one question continues to shape the national…
Chinese experts promote women’s health awareness in Zanzibar
ZANZIBAR: CHINESE public health experts have conducted a health education campaign on female reproductive tract schistosomiasis and donated learning materials to students in Zanzibar as part of activities marking International…
Huzuni Watoto Wakitembelea Kaburi la Baba Yao Aliyezikwa na Wasamaria Baada ya Kuzama
Wanawe Moses Rengwara waliumia moyoni baada ya baba yao kufa maji akivuka mto uliofurika mjini Morogoro, huku matukio ya kihisia yakionekana kwenye kaburi lake.
MUHAS construction project beats targets
DAR ES SALAAM: THE Parliamentary Standing Committee on Education, Culture and Sports has expressed satisfaction with the pace of implementation of the College of Medicine construction project at Muhimbili University…
Commission pushes cashless tax transformation
DAR ES SALAAM: I WAS afforded the opportunity to attentively listen to the report’s submission yesterday morning, as were all Tanzanians who were lucky enough to listen live. In the…
TZ stresses voluntary return of Burundi refugees
TANZANIA has reaffirmed its position on the future of Burundian refugees living in the country, stating that the time has come to focus on a durable solution centred on voluntary…
Je, dunia inaingia enzi ya mataifa kushambuliana kama ‘mzaha’?
Vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vinaweza kuonekana kama mojawapo ya migogoro mikubwa ya kwanza duniani ambapo sheria ambazo zimetawala mahusiano ya kimataifa kwa miongo kadhaa zinaanza…
Baba wa Mtoto Aliyefariki baada ya Kuugua Shuleni Adai Dereva Aliwazingatia Walimu Zaidi ya Mwanawe
David Simuyu anasikitikia kifo cha mwanawe, Eugene Wekesa, akidai hatua za haraka kutoka kwa Shule ya Upili ya Chesamisi zingeweza kumuokoa alipougua ghafla.
Umuhimu wa sikukuu kwa biashara ndogo
Ingawa wengi huona kipindi cha sikukuu kama muda wa mapumziko na ibada, nyuma ya pazia kuna...
Jengo la ghorofa 22 lililokuwa likijengwa Westlands laporomoka, wafanyakazi wasemekana kunaswa ndani
Jengo la Ghorofa 22 limeporomoka Westlands, na kusababisha wafanyakazi waliokuwa kazini kunaswa chini ya vifuzi. Timu za dharura zimefika kuokoa maisha.
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: FURSA ZA UJENZI WA NYUMBA….MACHI 19, 2026
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: FURSA ZA UJENZI WA NYUMBA....MACHI 19, 2026
Govt demands results from minority shareholding firms
ARUSHA: THE government has challenged directors of companies in which it holds minority shares to ensure their leadership delivers tangible value for both the State and citizens. Closing the three-day…
Tax reform panel proposes 284 changes to overhaul system
DAR ES SALAAM: A SWEEPING overhaul of Tanzania’s tax system could soon be underway after the Presidential Commission on Tax Reforms submitted 284 recommendations aimed at simplifying taxation, expanding the…
Magazeti ya Kenya, Machi 19: Ruto atetea hasira zake dhidi ya upinzani, wanataka kumng’atua
Rais William Ruto amejitokeza kujitetea dhidi ya wanasiasa wa upinzani wanaomtuhumu kwa kukosa heshima ya urais kutokana na matamshi yake tata dhidi yao.
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….MACHI 19 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....MACHI 19 2026
Ubingwa wa mezani kwa Morocco ni ‘aibu kwa Afrika’
Shirikisho la soka la Senegal limesema uamuzi huo ni "aibu kwa Afrika", likisisitiza kuwa halikubaliani na hatua ya kubatilishwa kwa matokeo ya fainali hiyo iliyochezwa Januari 18 mjini Rabat.
‘Reforms key to Vision 2050’
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday said comprehensive tax reforms are crucial in driving the nation’s ambition to build a 1 trillion US dollar economy under Vision 2050.…
Morocco yasherehekea ubingwa wa AFCON 2025 baada ya uamuzi wa CAF, FA yatoa taarifa
Raia wa Morocco washerehekea huku Bodi ya Rufaa ya CAF ikiwapa taji la AFCON 2025 baada ya Senegal kupoteza mechi hiyo kwa kutoka nje ya uwanja wakipinga.
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hakuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la Israel dhidi ya eneo la gesi la Ir…
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hakuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la Israel dhidi ya eneo la gesi la Iran, akibainisha kuwa shambulio hilo lililenga sehemu ndogo licha…
Salah aweka rekodi Liverpool ikiifuata PSG robo fainali Ulaya
Liverpool wameonesha kiwango cha juu na kuifunga Galatasaray mabao 4-0 yaliyoifanya timu hiyo...
Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha
Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara...
#MEZAHURU: ‘MIELEKA’ Tunangazia juu ya mchezo huo unaonekana kupotea katika ramani ya michezo hapa nchini, nini kinaendelea juu …
#MEZAHURU: 'MIELEKA' Tunangazia juu ya mchezo huo unaonekana kupotea katika ramani ya michezo hapa nchini, nini kinaendelea juu ya mchezo huu, Je mashindano ya mchezo huu bado yapo? kwa nini…
Hatua ambayo Senegal inaweza kuchukua baada ya uamuzi wa CAF Kombe la AFCON 2025 likabidhiwe Morocco
Senegal ilivuliwa taji la AFCON 2025 katika uamuzi wenye utata. Chunguza chaguzi za kisheria na matokeo ya uamuzi wa CAF kuipa Morocco kombe hilo.
‘Alinidunga na sindano iliyokuwa na virusi vya HIV baada ya kukataa kuolewa naye’
Msichana huyo alikuwa amejawa na wasiwasi kuhusu tukio hilo kwa hivyo hakuripoti kwa wazazi wake.
Kipchumba Murkomen atangaza Ijumaa, Machi 20 kuwa siku kuu ya Idd
Serikali imetangaza Ijumaa, Machi 20, 2026, kuwa sikukuu ya umma ya kuadhimisha Idd-ul-Fitr, inayosherehekewa kwa sala, karamu, na sadaka mwishoni mwa Ramadhani.
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: NGUMI ZA KULIPWA….MACHI 19 , 2026
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: NGUMI ZA KULIPWA....MACHI 19 , 2026
Mbinu za kuokoa mabilioni yanayopotea katika ucheleweshaji wa miradi
Wakati ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo inayosimamiwa na taasisi za umma ukiendelea...
Senegal yakataa kukabidhi kombe la AFCON 2025 kwa Morocco baada ya uamuzi wa CAF
Senegal yaapa kupambana baada ya CAF kuwanyang'anya taji la AFCON 2025. Huku kukiwa na madai ya ufisadi, serikali inaunga mkono msimamo wa shirikisho la soka.
#HABARI: Lori la mizigo limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, kando ya barabara kuu ya Iringa–Morogoro, usiku wa kuamkia l…
#HABARI: Lori la mizigo limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, kando ya barabara kuu ya Iringa–Morogoro, usiku wa kuamkia leo huku mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari hilo akihofiwa…
Mvua kubwa: Idara ya Hali ya Hewa Kenya yatangaza hali itakavyokuwa siku 5 zijazo, yaonya kuhusu mvua kubwa
Kenya Met yatabiri mvua kubwa katika mikoa 6 kwa siku tano zijazo, Yaonya Kuhusu mvua kubwa katika kaunti mbalimbali kote Nyanda za Juu, Bonde la Ufa, na Pwani.
Nyuma ya pazia mauzo ya ngozi nchini yazidi kupaa nje ya nchi
Thamani ya ngozi mbichi zilizouzwa sokoni imeongezeka kwa asilimia 35.3 na kufikia Sh3.823...
DRC: Wakimbizi wakabiliwa na hali ngumu jijini Lubumbashi
Wakimbizi wa ndani kutoka majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini waliokimbilia mjini Lubumbashi, kwa sababu ya utovu wa usalama Mashariki mwa DRC, wanalalamikia hali ngumu ya maisha ambapo wanakosa misaada…
Bandari mpya Kisiwa Mgao itakavyoinua kuinua uchumi Kusini
Kelele za malori mazito yaliyokuwa yakibeba makaa ya mawe na mizigo mingine mikubwa zimekuwa...
Bandari mpya Kisiwa Mgao itakavyoinua uchumi Kusini
Kelele za malori mazito yaliyokuwa yakibeba makaa ya mawe na mizigo mingine mikubwa zimekuwa...
DRC: Naibu spika wa bunge la senate Bahati Lukwebo ajiuzulu
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Makamu Rais wa pili wa Bunge la Seneti Bahati Lukwebo, ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake baada ya kuanzishwa kwa mchakato wakutaka kumuondoa kwenye nafasi…
Marekani ‘italipua kwa kiasi kikubwa’ viwanda vya gesi vya Iran ikiwa itaishambulia tena Qatar – Trump
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa chapisho refu katika mtandao wake wa Truth Social kuhusu shambulio la Israel kwenye viwanda vya gesi vya Pars Kusini mwa Iran siku ya Jumatano
Iran yashambulia vituo vya nishati ya gesi vya Qatar na Saudi Arabia
Vita vya Mashariki ya Kati vimeendelea, huku Iran ikirusha makombora kulenga vituo vya nishati ya gesi nchini Qatar na Saudi Arabia, baada ya Israeli kushambulia kituo kikubwa cha gesi nchini…