Senegal yakataa kukabidhi kombe la AFCON 2025 kwa Morocco baada ya uamuzi wa CAF
Senegal yaapa kupambana baada ya CAF kuwanyang'anya taji la AFCON 2025. Huku kukiwa na madai ya ufisadi, serikali inaunga mkono msimamo wa shirikisho la soka.
#HABARI: Lori la mizigo limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, kando ya barabara kuu ya Iringa–Morogoro, usiku wa kuamkia l…
#HABARI: Lori la mizigo limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, kando ya barabara kuu ya Iringa–Morogoro, usiku wa kuamkia leo huku mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari hilo akihofiwa…
Mvua kubwa: Idara ya Hali ya Hewa Kenya yatangaza hali itakavyokuwa siku 5 zijazo, yaonya kuhusu mvua kubwa
Kenya Met yatabiri mvua kubwa katika mikoa 6 kwa siku tano zijazo, Yaonya Kuhusu mvua kubwa katika kaunti mbalimbali kote Nyanda za Juu, Bonde la Ufa, na Pwani.
Nyuma ya pazia mauzo ya ngozi nchini yazidi kupaa nje ya nchi
Thamani ya ngozi mbichi zilizouzwa sokoni imeongezeka kwa asilimia 35.3 na kufikia Sh3.823...
DRC: Wakimbizi wakabiliwa na hali ngumu jijini Lubumbashi
Wakimbizi wa ndani kutoka majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini waliokimbilia mjini Lubumbashi, kwa sababu ya utovu wa usalama Mashariki mwa DRC, wanalalamikia hali ngumu ya maisha ambapo wanakosa misaada…
Bandari mpya Kisiwa Mgao itakavyoinua kuinua uchumi Kusini
Kelele za malori mazito yaliyokuwa yakibeba makaa ya mawe na mizigo mingine mikubwa zimekuwa...
Bandari mpya Kisiwa Mgao itakavyoinua uchumi Kusini
Kelele za malori mazito yaliyokuwa yakibeba makaa ya mawe na mizigo mingine mikubwa zimekuwa...
DRC: Naibu spika wa bunge la senate Bahati Lukwebo ajiuzulu
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Makamu Rais wa pili wa Bunge la Seneti Bahati Lukwebo, ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake baada ya kuanzishwa kwa mchakato wakutaka kumuondoa kwenye nafasi…
Marekani ‘italipua kwa kiasi kikubwa’ viwanda vya gesi vya Iran ikiwa itaishambulia tena Qatar – Trump
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa chapisho refu katika mtandao wake wa Truth Social kuhusu shambulio la Israel kwenye viwanda vya gesi vya Pars Kusini mwa Iran siku ya Jumatano
Iran yashambulia vituo vya nishati ya gesi vya Qatar na Saudi Arabia
Vita vya Mashariki ya Kati vimeendelea, huku Iran ikirusha makombora kulenga vituo vya nishati ya gesi nchini Qatar na Saudi Arabia, baada ya Israeli kushambulia kituo kikubwa cha gesi nchini…
DR Congo, Rwanda zakubaliana kupunguza uhasama
Katika muktada wa kukwamuwa mchakato wa amani mashariki mwa DRC ambao unaonekana kukwama, kufuatia kuendelea kushuhudiwa mapigano, Marekani iliwakaribisha wawakilishi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda mjini Washington…
#SWALILAKIPIMAJOTO: Kujirudia matukio ya wizi na uhujumu wa vifaa vya ujenzi wa reli ya SGR
#SWALILAKIPIMAJOTO: Kujirudia matukio ya wizi na uhujumu wa vifaa vya ujenzi wa reli ya SGR. Je, Kampuni za ujenzi zimeweka ulinzi wa kutosha kwa vifaa hivyo?"
🔴MAGAZETI:KODI ZISIZOUMIZA – RAIS SAMIA AAGIZA MAGEUZI YA MFUMO WA KODI .MACHI 19, 2026
🔴MAGAZETI:KODI ZISIZOUMIZA - RAIS SAMIA AAGIZA MAGEUZI YA MFUMO WA KODI .MACHI 19, 2026
HELLEN NKALANG’ANGO: Mama anayepambania kuona watoto wenye uziwi wakipata elimu
Katika kutekeleza azma hiyo, Hellen alianza kuwashawishi watu mbalimbali, hususan wanawake...
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi: Marcus Rashford kusalia Barcelona kwa mkopo
Barcelona wanataka kumnunua tena Marcus Rashford kwa mkopo, Manchester United wanamnyatia Wilfred Ndidi, Dortmund kujaribu kumnunua tena Jadon Sancho.
🔴TAARIFA YA HABARI ASUBUHI MACHI 19, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI ASUBUHI MACHI 19, 2026
NBC Premier League kuendelea leo Alhamis kwa michezo miwili kupigwa saa 10:00 jioni
NBC Premier League kuendelea leo Alhamis kwa michezo miwili kupigwa saa 10:00 jioni. Katika dimba la Lake Tanganyika, Wenyeji Mashujaa FC kuwakaribisha matajiri wa jiji la Dar es Salaam, AzamFC.…
Naibu mufti Zanzibar ataka malezi bora jamii yenye maadili
ZANZIBAR: Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Mahmoud Mussa Wadi amesema ili kupata maelezi bora ya jamii inatokana na malezi bora ya pamoja kwa watoto na vijana katika kujenga misingi…
Huduma za kijamii zaboreshwa Mtama
LINDI: SERIKALI za vijiji vya halmashauri ya Wilaya ya Mtama mkoani Lindi zimepatiwa misaada ya vifaa vya ujenzi wa miundombinu ya shule, zahanati na kituo cha polisi ambao umegharimu zaidi…
#HABARI: Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala, chini ya Mwenyekiti wake Ndg
#HABARI: Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala, chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Sabry Shariff, imefanya kikao cha kwa lengo la kutathmini utekelezaji wa majukumu ya elimu, malezi, na afya. Mgeni…
Serikali yazindua jukwaa la B2B Lindi
LINDI: SERIKALI imezindua Jukwaa la Majadiliano ya Biashara kwa Biashara (B2B) likiwa na lengo la kuchochea uwekezaji, kuongeza thamani ya rasilimali za misitu na kuimarisha uhifadhi nchini, huku ikisisitiza kuwa…
Chama cha Madereva wa Malori na Mabasi Tanzania TLDTA kimempongeza Rais wa Jmahuri ya muungano wa Tanzania kwa kuwarejesha salam…
Chama cha Madereva wa Malori na Mabasi Tanzania TLDTA kimempongeza Rais wa Jmahuri ya muungano wa Tanzania kwa kuwarejesha salama nyumbani watanzania waliokwama Mashariki ya Kati kuja Tanzania Pamoja na…
#HABARI:Wakili Msomi Kanan Chombala ametoa ufafanuzi wa kisheria kufuatia msuguano wa Mamlaka Mkoa wa Tabora dhidi ya waandaji w…
#HABARI:Wakili Msomi Kanan Chombala ametoa ufafanuzi wa kisheria kufuatia msuguano wa Mamlaka Mkoa wa Tabora dhidi ya waandaji wa Mkutano wa sherehe za injili uliopangwa kufanyika mkoani hapo kuanzia Machi…
Tanzania imeanza kusaka wawekezaji katika eneo la viwanda vya nguo ili kuongeza thamani ya zao la pamba, ambapo mikoa mitatu ya …
Tanzania imeanza kusaka wawekezaji katika eneo la viwanda vya nguo ili kuongeza thamani ya zao la pamba, ambapo mikoa mitatu ya Shinyanga, Simiyu na Mara imetengwa mahususi kwa ajili ya…
Mwalimu Anjelina Hyera, aliyekosa ajira kwa miaka kadhaa, ameamua kujitolea kufundisha masomo ya sayansi bila malipo katika shul…
Mwalimu Anjelina Hyera, aliyekosa ajira kwa miaka kadhaa, ameamua kujitolea kufundisha masomo ya sayansi bila malipo katika shule ya sekondari Madaba iliyopo Wilaya ya Songea vijijini - Ruvuma. #AzamTVUpdates Mhariri…
Wananchi wa kijiji cha Nyankanga, Halmashauri ya Wilaya ya Butiama wameiomba serikali ikamilishe haraka mradi wa maji safi na sa…
Wananchi wa kijiji cha Nyankanga, Halmashauri ya Wilaya ya Butiama wameiomba serikali ikamilishe haraka mradi wa maji safi na salama, kwani hawajawahi kupata huduma hiyo tangu uhuru. #AzamTVUpdates Mhariri |…
Ujenzi wa mradi wa bwawa la maji Kidunda mkoani Morogoro, ambao ni maalumu kwa ajili ya kuhifadhi maji kisha kuyasambaza kwa wak…
Ujenzi wa mradi wa bwawa la maji Kidunda mkoani Morogoro, ambao ni maalumu kwa ajili ya kuhifadhi maji kisha kuyasambaza kwa wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani,…
Gustavo Rides: Video kutoka eneo la ajali ambapo mshawishi wa X alikufia zaibuka
Mwendeshaji wa pikipiki Gustavo Rides, alifariki kwa majonzi katika ajali, na kuacha jamii katika maombolezo. Gundua matukio yake ya mwisho na athari za pigo hilo.
#HABARI: Nyumba 127 zimeanguka na watu kadhaa kukosa makazi katika Kata za Zimba na Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa Wilaya ya Sumbaw…
#HABARI: Nyumba 127 zimeanguka na watu kadhaa kukosa makazi katika Kata za Zimba na Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo…
Wanafunzi watatu wafa kwa radi Dar
DAR ES SALAAM; Wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Msongola wilayani Ilala, Dar es Salaam wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi, huku wengine wawili wakijeruhiwa. Kamanda wa Polisi Kanda…
TALGWU yatangaza safari ya kupata viongozi wapya
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa...
Zari Azungumzia Madai Shakib Anachepuka Kufuatia Posti Iliyopepea Mitandaoni
Zari Hassan alijibu penyenye kwamba mumewe Shakib Cham amekuwa akichepuka, akidai madai hayo ni ya uwongo na kumkosoa aliyeanza kueneza uvumi huo
#HABARI:Jeshi la Polisi Kikosi cha Reli Tanzania, linawashikilia watu sabini na saba kwa tuhuma za kuhusika na makosa mbalimbali…
#HABARI:Jeshi la Polisi Kikosi cha Reli Tanzania, linawashikilia watu sabini na saba kwa tuhuma za kuhusika na makosa mbalimbali ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi, kuhujumu miundombinu…
#HABARI: Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imeanza zoezi la upandaji miti katika msitu wa Machang’anja…
#HABARI: Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imeanza zoezi la upandaji miti katika msitu wa Machang’anja wilayani Ruangwa baada ya hekta 400 kati ya 1,000 kuharibiwa na…
Tanzania woos pharma, life sciences investors
LONNDON, UK: The Tanzanian government has reiterated its readiness to partner with credible investors in healthcare and life sciences, as it intensified its international investment outreach at the Tanzania Healthcare…
Serikali yaahidi unafuu wa kodi kwa wenye viwanda bajeti ijayo
Serikali imeahidi kuwa katika bajeti ya mwaka huu itazifanyia kazi changamoto za kikodi...
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafanya uchunguzi wa mauaji ya Athumani Nyanza, aliyekutwa ameuawa na k…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafanya uchunguzi wa mauaji ya Athumani Nyanza, aliyekutwa ameuawa na kufukiwa kwenye shimo kando ya nyumba yake katika mtaa wa…
Dk Tulia agusa wahitaji 204, misikiti 17 wagawiwa futari, masheikh watoa neno
Mbunge wa Uyole mkoani hapa, Dk Tulia Ackson, amerejesha kicheko kwa waumini 204 wa dini ya...
TIRDO yawaita wajasiriamali kutumia maabara zao kukidhi viwango
Imeelezwa kuwa bidhaa nyingi zinazozlishwa nchini hazifiki sokoni kwa sababu hazina uthibitisho...
Maridhiano yatajwa kichaka kukwamisha Katiba Mpya
Siku moja baada ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Juma Homera kusema kukamilika kwa ripoti ya...
#HABARI: Wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Msongola wilayani Ilala, Dar es Salaam, wamepoteza maisha na wengine wawili kujeruh…
#HABARI: Wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Msongola wilayani Ilala, Dar es Salaam, wamepoteza maisha na wengine wawili kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi majira ya saa tano asubuhi ya…
#HABARI: Mkurugenzi Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Prof
#HABARI: Mkurugenzi Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Prof. Abel Makubi akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya maadhimisho ya miaka 10 ya BMH. Wamefikisha ujumbe wa maadhimisho…
#HABARI: Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, amewataka watumishi wa Wizara ya Nishati kuongeza juhud…
#HABARI: Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, amewataka watumishi wa Wizara ya Nishati kuongeza juhudi katika kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono ajenda…
Yas mtandao wenye kasi zaidi Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo
Kampuni ya kimataifa ya uchambuzi wa mitandao, Ookla, imeutangaza mtandao wa Yas kinara mtandao...
Mwanaume arudi nyumbani baada ya miaka 12 London na mfuko wa plastiki, kakake asimulia masaibu
Jamaa amehuzunika baada ya kakake kurejea kutoka London bila chochote isipokuwa mfuko wa plastiki, akifichua mapambano ya familia na nyota kuzimwa
Zanzibar Second VP receives BMH delegation
ZANZIBAR: The Executive Director of Benjamin Mkapa Hospital (BMH), Prof Abel Makubi, accompanied by some members of the organising committee for the hospital’s 10th anniversary celebrations. The delegates delivered a…