#HABARI: Askari wa Jeshi la Polisi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa Amani nchini Sudan Kusini wameen…
#HABARI: Askari wa Jeshi la Polisi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa Amani nchini Sudan Kusini wameendelea kuonyesha umahiri mkubwa katika kupambana na vitendo vya ukatili, hususani kwa…
Mbunge wa Jimbo la Kyerwa, Mhe
Mbunge wa Jimbo la Kyerwa, Mhe. Khalid Nsekela, amempongeza Waziri wa Ujenzi Mhe Abdallah Ulega kwa hatua ya serikali kuanza utekelezaji wa mradi wa barabara ya Omurushaka–Karagwe hadi Rwenkorongo (Kyerwa),…
Je, majukwaa ya kijamii yanachochea vipi hasira
Watu wengi huchangia kutoa maoni na kuchapisha ujumbe licha ya wao kujua kuwa ujumbe huo umetiwa chumvi, muktadha wake sio sahihi, au hata unapotosha.
Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya, Shirika lisilo la kiserikali SOLIDARMED limefanya maboresho …
Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya, Shirika lisilo la kiserikali SOLIDARMED limefanya maboresho ya miundombinu ya wodi ya wazazi na watoto katika Hospitali ya St. Francis, iliyopo…
Haya ndiyo maisha mapya ya kidijitali kwa wanavyuo
Vyuo vikuu vya leo si vile vya jana. Ukitembea katika viunga vya vyuo nchini, utaona wazi...
Eugene Wamalwa azungumzia uwezekano wa kujiunga na Baraza la Mawaziri la William Ruto
Kiongozi wa chama cha DAP-K Eugene Wamalwa anasema yuko tayari kabisa kupambana na Rais William Ruto mwaka wa 2027. Anasema lengo lake si kuwa Waziri.
#HABARI: Mashabiki wa klabu ya Esperance De Tunis kutoka Tunisia wameeleza kuridhishwa kwao na huduma za Reli ya Kisasa (SGR), …
#HABARI: Mashabiki wa klabu ya Esperance De Tunis kutoka Tunisia wameeleza kuridhishwa kwao na huduma za Reli ya Kisasa (SGR), wakisema imewawezesha kusafiri kwa urahisi na kufurahia utalii nchini Tanzania.…
Waziri Sangu awataka PSSSF kujiandaa Dira 2050, kuwasikiliza wafanyakazi
Watumishi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wametakiwa kujipanga...
GGML yatajwa chachu ukuaji sekta ya madini
Serikali imeitaja Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuwa miongoni mwa zilizotoa...
Tanzania cherishes GGML’s contribution as it marks its Silver Jubilee
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has commended Geita Gold Mining Limited (GGML) for its significant contribution to the country’s mining sector, citing its commitment to responsible mining, sustainability, tax…
Rufaa yawa shubiri kwa Pius, aongezewa adhabu Kutoka Miaka 30 Hadi Maisha Jela
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuongezea adhabu Pius Ernest...
Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Mzee Said Salim Bakhresa, amewashauri vijana kutumia vyema fursa zilizopo kwa kufanya kazi kw…
Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Mzee Said Salim Bakhresa, amewashauri vijana kutumia vyema fursa zilizopo kwa kufanya kazi kwa bidii, nidhamu na uadilifu ili kujijengea maisha bora na kuchangia maendeleo…
🔴TAMASHA LA MICHEZO….FEBRUARI 01, 2026
🔴TAMASHA LA MICHEZO....FEBRUARI 01, 2026
Zaidi ya watu 200 wapoteza maisha, mgodi ukiporomoka DRC
Zaidi ya watu 200 wameuawa kufuatia kuporomoka kwa mgodi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia...
Mshauri Mwelekezi wa stadi za Maisha, Elibariki Mkumbo amesema katika maisha haijalishi upo kwenye hali gani ya kifedha au kiafy…
Mshauri Mwelekezi wa stadi za Maisha, Elibariki Mkumbo amesema katika maisha haijalishi upo kwenye hali gani ya kifedha au kiafya, ili ufanikiwe unahitaji kuwa na moyo wa kukubali hali uliyonayo…
Iran yaonya vita vya kikanda endapo Marekani itashambulia
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameonya kuwa shambulio lolote la kijeshi kutoka Marekani dhidi ya Iran litasababisha vita vya kikanda kwenye eneo la Mashariki ya Kati.
Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu wa Shah na uistikbari
Tarehe Mosi Februari huadhimishwa hapa nchini Iran kama kumbukumbu ya kihistoria ya kurejea nchini Imam Khomeini, mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya karibu miaka 15 ya kuwa uhamishoni.
Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu na ubeberu
Tarehe Mosi Februari huadhimishwa hapa nchini Iran kama kumbukumbu ya kihistoria ya kurejea nchini Imam Khomeini, mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya karibu miaka 15 ya kuwa uhamishoni.
Rigathi Gachagua, viongozi wa upinzani warejea Othaya siku chache baada ya kushambuliwa na polisi
Siku chache baada ya shambulio Naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua anarudi Othaya kwa mkutano wa siasa. Upinzani ulisema hatua hiyo ni kupigania demokrasia.
Israel yafungua tena mpaka wa Rafah ‘kwa majaribio’
Mpaka wa Rafah, unaounganisha Misri na Ukanda wa Gaza, umefunguliwa tena leo baada ya kufungwa kwa takriban mwaka mmoja, ingawa masharti makali bado yanatumika.
Kiongozi Muadhamu: Vita vipya vya US dhidi ya Iran vitapanuka na kuwa vya kieneo
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonya kwamba, vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vitageuka na kuwa vita vya kikanda.
Leo Usiku kwenye #DIBAJI ni uchambuzi wa tamthiliya ya #PichaYangu, Chaichaka kufahamu ukweli kuhusu baba yake halisi, kwenye #T…
Leo Usiku kwenye #DIBAJI ni uchambuzi wa tamthiliya ya #PichaYangu, Chaichaka kufahamu ukweli kuhusu baba yake halisi, kwenye #ThePrice nako kunazidi kupamba moto Bi Somaya anamuendesha Zein katika uhusiano wake…
Zelensky: Urusi inavuruga shughuli za usafiri Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema Urusi inaendelea kulenga kuvuruga miundombinu ya usafirishaji na mawasiliano kati ya miji na vijiji nchini Ukraine.
Mkenya, 29, ambaye ni mamluki wa Urusi apatikana ameuawa vitani nchini Ukraine
Mkenya, Clinton Mogesa, aliuawa katika uwanja wa vita kati ya Ukraine na Urusi alipokuwa akipigania jeshi la Urusi. Aliondoka Qatar kwenda Urusi ili kuwa mamluki.
Mahakama kutumia teknolojia kuendesha kesi Zanzibar
Mahakama Kuu ya Zanzibar inatarajia kuzindua mfumo wa kisasa wa usikilizaji wa kesi na...
Nyaraka mpya za Epstein zaibua wasiwasi Kimataifa
Nyaraka mpya zilizotolewa na serikali ya Marekani kuhusu mfanyabiashara aliyepata kutiwa hatiani kwa kuwaingilia watoto kingono, Jeffrey Epstein zimesababisha mshtuko kimataifa.
Mwigulu: Serikali kushirikiana na sekta binafsi kukuza utalii
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi...
Bayern wakamishwa na sare ya Hamburg
Vinara wa ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga, Bayern Munich, wamepata pigo la pili mfululizo baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2–2 na SV Hamburg.
Uturuki yasema kuongeza mamlaka ya ujumbe wa amani wa UN bila kushirikisha Kupro ya Uturuki ni kosa
Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki inatoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa "kushughulikia pande hizo mbili za Kisiwa kwa usawa na hatimaye kuanza kutoa juhudi…
Dakika 90 za hatima klabu Afrika
Klabu tatu za Tanzania leo zitakuwa na mechi muhimu katika viwanja na miji tofautiilizoshikilia...
Tunavyoharibu watoto kuingia dunia ya kupenda, kupendwa
Juzi nilikuwa naongea na kijana mmoja, kavuka miaka 30, ananiambia ameanza kuhisi kama vile...
Maelfu waandamana kote Ulaya kuunga mkono Palestina, kulaani ukatili wa Israel
Waelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mitaani katika nchi kadhaa za Ulaya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina, huku wakiushutumu utawala wa Israel kwa kukiuka mara kwa mara makubaliano ya…
#HABARI: Mwili wa mwanaume mmoja ambaye bado hajafahamika umekutwa juu ya njia ya reli inayounganisha Mkoa wa Tabora na Kigoma,…
#HABARI: Mwili wa mwanaume mmoja ambaye bado hajafahamika umekutwa juu ya njia ya reli inayounganisha Mkoa wa Tabora na Kigoma, katika maeneo ya Kata ya Malolo, mkoani Tabora. Taarifa za…
Iran yatambua majeshi ya Ulaya kama mashirika ya kigaidi
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohamad Bagher Ghalibaf amelitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kama taasisi ya kipekee zaidi ya kupambana na…
Lewandowski kung’oka Barcelona
Mke wa Robert Lewandowski, Anna Lewandowski amefichua kuwa mshambuliaji huyo ana uwezekano...
Ceasiaa yaweka Mkakati raundi ya pili
KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema baada ya kumaliza vibaya mzunguko wa kwanza, mipango na mkakati wa timu hiyo kwa sasa ni kufanya vizuri mechi zilizobakia.
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Lupa, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Lupa, Mhe. Masache Njelu Kasaka, amebainisha kuwa maadhimisho ya miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni kielelezo cha mafanikio makubwa ya kimaendeleo yaliyofikiwa nchini…
Tausi yasaka kocha, yupo Chabruma
TAUSI FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake inaangalia uwezekano wa kumpata aliyekuwa kocha wa zamani wa JKT, Ester Chabruma.
Sultan ataja sababu za kuondoka Alliance
ALIYEKUWA kocha wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema ameondoka kikosini hapo kwa heshima akiiacha timu hiyo ikiwa nafasi nzuri ya nne kwenye msimamo wa ligi.
#HABARI: Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Mtwara unatarajia kusajili bure kaya 38,000 zisizojiweza ili kunufaika na …
#HABARI: Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Mtwara unatarajia kusajili bure kaya 38,000 zisizojiweza ili kunufaika na huduma za afya, huku kipaumbele kikielekezwa kwenye kaya laki mbili…
Shikangwa, Mukandayisenga wana vita ya ufungaji
NI kama vita ya ufungaji bora hadi raundi ya kwanza inamalizika imeachwa kwa washambuliaji wa kigeni wa watani wa jadi Simba Queens na Yanga Princess.
Chelsea hatihati kuhama Uwanja Ligi ya Mabingwa Ulaya
Klabu ya Chelsea huenda ikakumbana na pigo katika safari yake ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada...
Dakika 50 za Evalisto Misri
MBONGO anayekipiga Port Fouad inayoshiriki Ligi daraja la pili Misri amesema dakika 50 alizocheza akiwa na chama hilo jipya zimempa taswira ya namna gani anapaswa kuwania namba.
Ijue miiko ya utajiri wa familia
Kila familia duniani huota ndoto ya kufikia utajiri, kwani utajiri hutazamwa kama ngao dhidi ya...
Slovakia PM’s national security adviser resigns over Epstein links
SLOVAKIA: THE national security adviser to Slovakia’s prime minister has resigned after documents released by the US showed he exchanged messages about girls and diplomacy with the late sex offender…
TPLF yakaribisha wito wa mazungumzo huku kukiwa na vurugu katika eneo la Tigray nchini Ethiopia
Katika barua kwa Umoja wa Afrika, TPLF ilisema iliidhinisha "wito wa kujizuia na mazungumzo."
Said Jr ayataka mabao 20 IFC Malaysia
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipiga IFC Malaysia, Said Khamis 'Said Jr' amesema amebakiza mabao saba kufikisha malengo aliyojiwekea msimu huu.
Dalili kama mtoto wako ana tatizo la afya ya akili
Wataalamu wa afya ya akili wanasema wazazi wanapaswa kuwa waangalifu zaidi katika kubaini...
Fumbo wanawake kuvutiwa na wenye ‘vitambi’
Tofauti na ilivyozoeleka kuwa wanawake wanapenda wanaume wenye miil yenye misuli maarufu...
Waliokiwasha Taifa Stars waendeleza moto
WALE nyota watatu wa Tanzania waliokiwasha kwenye mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), Charles Mmombwa (Floriana FC), Haji Mnoga (Salford City) na Tarryn Allarakhia (Rochdale AFC) wamendelea kukiwasha kwenye klabu…