Baraza la Amani: Trump atishia kutoza ushuru wa 200% kwa mvinyo na divai za Ufaransa
Rais wa Marekani Donald Trump ametishia siku ya Jumatatu, Januari 19, kutoza ushuru wa 200% kwa mvinyo na divai za Ufaransa kujibu kukataa kwa mwenzake Emmanuel Macron kujiunga na “Baraza…
Wanafunzi 14 wafariki ajalini, Rais Ramaphosa atuma rambirambi
Uchunguzi wa awali wa Polisi umebaini dereva wa basi la wanafunzi dereva alishindwa kulidhibiti...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….JANUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....JANUARI 20, 2026
Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sánchez, ameahidi kufuatilia kwa kina sababu za treni mbili za mwendo kasi kugongana kusini mwa H…
Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sánchez, ameahidi kufuatilia kwa kina sababu za treni mbili za mwendo kasi kugongana kusini mwa Hispania, ajali iliyosababisha vifo vya takribani watu 40, huku waokoaji…
Muendelezo wa ushirikiano wa Tehran-Caracas; nembo ya muqawama dhidi ya mashinikizo ya Marekani
Rais wa muda wa Venezuela amesisitiza kwamba, Caracas itaendeleza uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Chama kurejea Simba ni suala la muda, Toure atambulishwa
Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Simba, imethibitisha kuwa tayari imeshafikia...
Edwin Mtei: Nguzo ya uchumi wa Taifa
Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94 katika shamba lake...
timu bora za soka mwaka huu wa 2026
timu bora za soka mwaka huu wa 2026. Katika orodha hiyo Taifa stars ya Tanzania imepanda kwa nafasi mbili na kufikia nafasi ya 110 baada ya kushamiri kwenye dimba la…
Taifa Stars yapanda nafasi mbili viwango FIFA
Kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zilizofikia tamati huko...
#HABARI: Mwanamitandao na shabiki maarufu wa Man City, Brydon Bent, aliyejizolea umaarufu hapa nchini miaka kadhaa kutokana na v…
#HABARI: Mwanamitandao na shabiki maarufu wa Man City, Brydon Bent, aliyejizolea umaarufu hapa nchini miaka kadhaa kutokana na video zake akiongea Kiswahili na kuonesha anapenda sana vivutio vya utalii vya…
Miradi ya tril 50.37/- yasajiliwa miaka miwili
GEITA: TANZANIA imefanikiwa kusajili jumla ya miradi 1,828 ya uwekezaji yenye thamani ya Dola za Kimarekani bilioni 20.31 sawa na Sh trilioni 50.37 kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2024 hadi…
Kuelekea Bima ya Afya kwa Wote: Anza mwaka 2026 ukiwa na Bima ya Tumaini kutoka Strategis kwa gharama ya kuanzia Sh 100,000 tu
Kwa kulitambua hili, Strategis Insurance imeanza mwaka kwa kutoa suluhu la upatikanaji wa...
‘Simba tumpe ushirikiano Kibabage’
DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amewaomba mashabiki wa klabu hiyo kumpokea na kumpa ushirikiano beki wa kushoto Nikson Kibabage, akisisitiza kuwa ni mchezaji mwenye…
Rais Samia aomboleza kifo cha mwasisi wa Chadema
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi baada ya kifo cha mwasisi wa...
TPA na Ziwa Victoria kama lango la kimkakati kibiashara
ZIWA Victoria linaendelea kurejea katika nafasi yake kama nguzo kuu ya mfumo wa usafiri na biashara nchini Tanzania. Hii inatokana na uwekezaji mkubwa unaofanyika katika miundombinu ya bandari, usafiri wa…
Tepsi atua JKT Tanzania
WINGA wa Azam FC, Tepsi Evance ametua JKT Tanzania kwa mkopo wa miezi sita akiungana na aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Sospeter Bajana ambaye alitua kikosini hapo mwanzoni mwa msimu…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….JANUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....JANUARI 20, 2026
Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mzee Edwin Mtei (94)…
Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mzee Edwin Mtei (94), amefariki dunia usiku wa Januari 19,2026. Kwa mujibu…
Tufanikishe Pamoja wasaidia yatima Temeke
DAR ES SALAAM – KIKUNDI cha kijamii cha Tufanikishe Pamoja kimeungana na uongozi wa Kituo chaThe Valentine Home, kilichopo Kata ya Buza, Wilaya ya Temeke, katika jitihada za kusaidia watoto…
Shuhudia boti mpya ya kisasa ya Kilimanjaro IX – The Dragon of the Sea ikivinjari kwa utulivu katika fukwe zilizopo katika viung…
Shuhudia boti mpya ya kisasa ya Kilimanjaro IX - The Dragon of the Sea ikivinjari kwa utulivu katika fukwe zilizopo katika viunga vya Hotel Verde, Mjini Magharibi, ikivutia macho ya…
#HABARI: Maelfu ya wananchi wamejitokeza kushiriki katika ziara ya Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Ndugu K…
#HABARI: Maelfu ya wananchi wamejitokeza kushiriki katika ziara ya Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Ndugu Kenani L. Kihongosi, inayofanyika katika Wilaya ya Singida Mjini na Singida…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi za Argentina dhidi ya IRGC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani uamuzi wa hivi karibuni wa Argentina wa kuituhumu sehemu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC),…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hissein Ali Mwinyi amezindua rasmi boti ya kisasa ya abiria ijulikanayo kama Kilimanjaro IX – The Dragon of the Sea,…
Naibu Meya Kigamboni afagilia vipaji masumbwi
DAR ES SALAAM; NAIBU Meya wa Manispaa ya Kigamboni, Elizabeth Kimambo amefurahishwa na wadau walioandaa mapambano ya ngumi na kusema kuwa wataiheshimisha manispaa hiyo. Kimambo alisema hayo alipokuwa mgeni rasmi…
#HABARI: Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sánchez, ameahidi kufuatilia kwa kina sababu za treni mbili za mwendokasi kugongana kusi…
#HABARI: Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sánchez, ameahidi kufuatilia kwa kina sababu za treni mbili za mwendokasi kugongana kusini mwa Hispania, ajali iliyosababisha vifo vya takriban watu 40, huku waokoaji…
Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23
Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeudhibiti tena mji wa mashariki wa Uvira baada ya waasi wa kundi la M23 kuondoka katika mji huo.
Balozi Omar aitaka EADB kushirikisha serikali, sekta binafsi
WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na serikali pamoja na sekta binafsi ili kuchangia katika maendeleo ya…
ICC ina ushahidi wa uhalifu dhidi ya ubinadamu uliofanywa wakati wa kutekwa kwa El-Fasher
Katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Nazhat Shameem Khan, almesema kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya…
Naibu Waziri wa Afya, Daktari Florence Samizi amesema Rais, Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassan amewekeza kwa kiasi kikubwa k…
Naibu Waziri wa Afya, Daktari Florence Samizi amesema Rais, Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassan amewekeza kwa kiasi kikubwa kusomesha madaktari bingwa na bobevu ili kuhakikisha Wananchi kote Nchini wanapata huduma…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….JANUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....JANUARI 20, 2026
Donald Trump, mwaka mmoja: Mikataba, dola, na hamu ya kuacha alama ya kudumu katika historia
Ni karibu mwaka mmoja tangu Donald Trump arudi Ikulu ya White House. Akikaribia umri wa miaka 80, Rais wa 47 wa Marekani anaonekana kuwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.…
Mastaa wa Korea na skendo za dawa za kulevya, ngono
Umaarufu katika tasnia ya burudani mara nyingi huonekana kama kilele cha mafanikio, lakini kwa...
Rais Samia amuomboleza Edwin Mtei
RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei,, kilichotokea usiku wa Januari 19, 2026, jijini Arusha akisema amepokea taarifa hiyo kwa masikitiko…
Tanzania mguu sawa uwekezaji sayansi ya bahari
Taasisi ya Sayansi za Bahari ilianzishwa Oktoba 17, 1978 baada ya kuvunjika kwa Jumuiya ya...
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea kwa masikitiko makubwa, taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, kilichotokea usiku wa Januari…
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka …
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 94. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Chama hicho,…
#HABARI: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesikitika kutangaza kifo cha muasisi wa Chama na Mwenyekiti wa kwanza wa…
#HABARI: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesikitika kutangaza kifo cha muasisi wa Chama na Mwenyekiti wa kwanza wa Chama hicho, Mzee Edwin Mtei. Mzee Mtei amefariki usiku wa kuamkia…
Emmanuel Macron anatarajiwa Davos katikati ya mvutano mkubwa na Trump kuhusu Greenland
Emmanuel Macron anawasili leo Jumanne, Januari 20, huko Davos, nchini Uswis, kushiriki katika mkutano wa kila mwaka unaotarajiwa sana wa Jukwaa la Uchumi Duniani. Rais wa Ufaransa anakuja kukuza mvuto…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….JANUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....JANUARI 20, 2026
Mwasisi wa Chadema afariki dunia
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, John Heche, imeeleza...
Togo: Paul-Henri Damiba akamatwa na kufukuzwa
Hii inaashiria sura mpya katika jaribio la mapinduzi nchini Burkina Faso mnamo Januari 3. Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba amekamatwa na kufukuzwa kutoka Lome, nchini Togo, ambapo alikuwa akiishi uhamishoni…
#HABARI: Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwen…
#HABARI: Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi nchini Zambia kuanzia Februari 10, mwaka…
Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC: Wapiganaji wa RSF walichimba makaburi ya halaiki ili kuficha uhalifu wa kivita
Nazhat Shameem Khan, Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), amelituhumu kundi la Rapid Support Forces (RSF) kuwa limechimba makaburi ya halaiki ili kuficha "uhalifu wa kivita…
Michael McCaul: Uvamizi wa Marekani dhidi ya Greenland una maana ya vita na NATO/The Economist: Uchoyo wa Trump utaiangamiza NATO
Mbunge mmoja wa Marekani ameutaja uvamizi wa nchi hiyo dhidi ya Greenland kuwa utakuwa "vita dhidi ya Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO."
Araqchi alikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake huko Davos
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake wa kuhudhuria Mkutano wa Davos.
Davos: Tshisekedi kuiweka DRC kama ‘nchi ya suluhisho’ kukabiliana na changamoto za kimataifa
Rais wa DRC, Félix-Antoine Tshisekedi Tshilombo, yuko Davos, Uswisi, kushiriki katika mkutano wa 56 wa kila mwaka wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF), ambao unafanyika kuanzia Januari 19 hadi 23,…
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 20, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 20, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Viongozi wa Ulaya walaani vitisho vya Trump kuhusu ushuru wa Greenland
Viongozi wa Ulaya wamelaani tishio la Rais wa Marekani Donald Trump la kutoza ushuru nchi zinazopinga azma yake ya kuichukua Greenland, wakionya kwamba hatua hiyo inahatarisha kuzorota kwa uhusiano wa…