Kihongosi: Viongozi wa halmashauri msiwe chanzo cha migogoro
Kihongosi amemuagiza Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa kupeleka gari la wagonjwa katika tarafa...
Yanga imeendeleza wimbi la ushindi Ligi Kuu NBC Tanzania Bara wakati huu kichapo kikienda kwa wajeda,Mashujaa FC
Yanga imeendeleza wimbi la ushindi Ligi Kuu NBC Tanzania Bara wakati huu kichapo kikienda kwa wajeda,Mashujaa FC. Sio tu Yanga imeshinda na kuondoka na alama tatu bali imetoa na…
Depu aanza kazi, Yanga ikiichapa Mashujaa
Depu aliyeingia katika kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Maxi Nzengeli, alianza kwa kupiga pasi iliyozaa bao la Mudathir Yahya katika dakika ya 81.
ACT – Wazalendo yapendekeza hatua nne mchakato katiba mpya
Katika msimamo huo, ACT -Wazalendo imependekeza hatua nne muhimu zitakazotumika katika kuhuisha...
#HABARI: Upepo mkali umeezua na kubomoa nyumba 12 katika vijiji vya Matai B na Kateka wilayani Kalambo, mkoa wa Rukwa
#HABARI: Upepo mkali umeezua na kubomoa nyumba 12 katika vijiji vya Matai B na Kateka wilayani Kalambo, mkoa wa Rukwa. Maafa hayo yamesababisha watoto saba kujeruhiwa na kuacha familia kadhaa…
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani nchini @fcc_tanzania Bi
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani nchini @fcc_tanzania Bi. Khadija Ngasongwa pamoja na Roberta Feruzi - Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano kwa Umma FCC. #Clouds26Nyoosha
Chadema yasema ‘No Reforms, No election’ imekiimarisha chama
Kwa mujibu wa Mzee, kampeni hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa Chadema kuendelea kuwepo na kuwa...
FT: YANGA 6 – O MASHUJAA
FT: YANGA 6 - O MASHUJAA Damaro⚽ ABUYA⚽ PACOME⚽ DUBE⚽ MUDATHIR⚽ DEPU⚽
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TABORA – JANUARI 19, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TABORA - JANUARI 19, 2026
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amewaonya watumishi wa umma kuwa wanaposhindwa ku…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amewaonya watumishi wa umma kuwa wanaposhindwa kutekeleza majukumu yao wanaigombanisha serikali na wananchi. Kihongosi ametoa onyo hilo na…
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Ma…
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili mfuko uchangie katika kutoa huduma bora…
Serikali, wadau, mguu sawa ujenzi wa viwanda vya dawa nchini
Hatua hiyo imekuja sambamba na ahadi ya ulinzi wa soko kwa wazalishaji wa ndani watakaokidhi...
Mukwala asepa, aibukia Uarabuni
KAMA Mwanaspoti lilivyowajulisha mapema baada ya Jean Charles Ahoua kuuzwa CR Belouizdad ya Algeria, pia Steven Mukwala naye alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo, ndivyo ilivyo kwa sasa baada ya straika…
Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na changamoto za kiusala…
Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuendelea kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na changamoto za kiusalama, mazingira na uhalifu wa kuvuka mipaka unaotendeka katika ziwa hilo ambalo ni muhimu kwa…
Serikali yatakiwa kuimarisha usalama kazini sekta isiyo rasmi
Kikao hicho kililenga kupokea na kujadili taarifa ya muundo na utekelezaji wa majukumu ya...
Sh300 milioni kuimarisha kilimo cha mwani Zanzibar
Mradi huo unaotarajia kutumia Sh300 milioni, mbali na Zanzibar utafanyika pia Mafia na Bagamoyo...
Ni usiku wa Saa nane, giza totoro, ukiwa kama Dereva wa Lori, uko barabarani kusafirisha mzigo na ghafla kinatokea kiumbe cha aj…
Ni usiku wa Saa nane, giza totoro, ukiwa kama Dereva wa Lori, uko barabarani kusafirisha mzigo na ghafla kinatokea kiumbe cha ajabu katikati ya barabara hatua gani utachukua …? ……
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameweka jiwe la MSingi katika soko la …
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameweka jiwe la MSingi katika soko la vitunguu linalojengwa Halmashauri ya Singida ambapo amesema uwepo soko…
Edo wa Simba kuibukia Stand United
NYOTA wa zamani wa Simba, Edward 'Edo' Christopher yupo hatua ya mwisho kabla ya kurejea tena uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akihusishwa na Stand United maarufu 'Chama…
Magata atambia rekodi mpya Mtibwa Sugar
KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Fredrick Magata amesema kufunga bao katika mechi ya Ligi Kuu Bara akiwa na kikosi hicho msimu huu kwake ni rekodi mpya katika maisha yake, kwani…
Gofu yakusanya Sh112 milioni za kutibu macho
MASHINDANO Maalumu ya Gofu ya Dar es Salaam Mzizima 'Lions play for Sight' yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gymkhana yakishirikisha wachezaji 70, yamekusanya jumla ya Sh112 milioni, zitakazotumika katika kuchangia huduma…
Pamba Jiji yang’oa kitasa Mbeya City
UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Mbeya City, Gabriel Mwaipola ambaye anaenda kuziba pengo la Abdallah Kheri 'Sebo' aliyetimkia Singida Black Stars.
#MEZAHURU”….tengeneza mpango wa ulaji, chakula kinamaliza hela nyingi za watu wenye mapato ya chini, na kwa sababu hatuna mipa…
#MEZAHURU"....tengeneza mpango wa ulaji, chakula kinamaliza hela nyingi za watu wenye mapato ya chini, na kwa sababu hatuna mipangilio ya kula ndio tatizo kubwa liko hapo....familia nyingi zinakula kulingana na…
Warembo kumi kwenye anga za Diamond
Mwanamuziki wa Bongofleva, Diamond Platnumz amekuwa akisifika kwa kutoa video nzuri za nyimbo...
#MEZAHURU”….watu wengi tuna shida kwenye kujifunza makubaliano ya kibiashara….mtu yeyote asiyefanya biashara hawezi kuishi…..
#MEZAHURU"....watu wengi tuna shida kwenye kujifunza makubaliano ya kibiashara....mtu yeyote asiyefanya biashara hawezi kuishi....hata ikiwa ajira hiyo ni biashara ndio maana unalipwa, hakuna kitu ambacho sio biashara duniani...." Cosmas Maduhu…
Usikose kufuatilia THE PRICE leo saa 3:00 usiku
Usikose kufuatilia THE PRICE leo saa 3:00 usiku. #AzamTWO
Butiku asimulia alichozungumza na Polepole kabla ya kujiuzulu
Amesema mara ya kwanza, Polepole alimfuata na kumweleza changamoto zake za kazi alipokuwa...
Leo usiku kwenye #MrsGarcia, usikose uhondo wa tamthiliya hii kuanzia saa 3:00 usiku kupitia #AzamONE
Leo usiku kwenye #MrsGarcia, usikose uhondo wa tamthiliya hii kuanzia saa 3:00 usiku kupitia #AzamONE #WeSpeakSeries
Serikali kuendelea kutoa elimu ya fedha, kulinda mali za wananchi
Mjema amesema utafiti wa upatikanaji wa huduma za fedha umefanyika kwa awamu mbalimbali kuanzia...
Wananchi wanaosafiri kati ya Kigamboni na maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam wamesema kuwa huduma za Azam Sea Taxi zimewarahisis…
Wananchi wanaosafiri kati ya Kigamboni na maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam wamesema kuwa huduma za Azam Sea Taxi zimewarahisishia maisha kwa kupunguza muda mrefu waliokuwa wakiutumia kusubiri vivuko. Wamesema…
Wanaodaiwa kusafirisha heroini, waendelea kusoka rumande
Dar es Salaam. Upelelezi kesi ya kusafirisha dawa za kulevya inayowakabili Abdallah Mwita (38)...
#MEZAHURU”…..elimu ya fedha ni ya msingi sana kwa mtu yeyote yule ambaye anatamani kufanikiwa kifedha, jambo la kwanza anataki…
#MEZAHURU".....elimu ya fedha ni ya msingi sana kwa mtu yeyote yule ambaye anatamani kufanikiwa kifedha, jambo la kwanza anatakiwa afahamu namna ya kupata pesa, kwa sababu mara nyingi tunapozungumzia elimu…
Mzee: Chadema ndio chama halisi cha upinzani
Amesema hakuna mtu anayeweza kusema Chadema ni CCM B, washirika wa ACT Wazalendo au Chama cha...
Kilimanjaro 9 — engineered for performance, reliability, and offshore excellence
Kilimanjaro 9 — engineered for performance, reliability, and offshore excellence. ⚓ Azam Marine delivering strength at sea. #DragonOfTheSea
Watoto wangu waliingizwa katika biashara haramu ya binadamu. Nilijiunga na polisi kuwasaka
BBC Africa Eye yaungana na kitengo cha polisi cha kupambana na biashara haramu nchini Sierra Leone kumsaidia mwanaume mmoja kuwatafuta watoto wake waliopotea.
Katibu wa NEC ,Itikadi ,Uenezi na Mafunzo Ndugu Kenani Labani Kihongosi @kenanikihongosi anaendela na ziara yake ya Kichama yeny…
Katibu wa NEC ,Itikadi ,Uenezi na Mafunzo Ndugu Kenani Labani Kihongosi @kenanikihongosi anaendela na ziara yake ya Kichama yenye lengo la Kufuatilia Utekelezaji wa Ilani na ahadi za Chama ambapo…
DRC: Washirika wa Aubin Minaku walaani kitendo cha ‘utekaji nyara’ na kuanzishwa kwa ‘udhalimu’
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hali ya kisiasa bado ni tete huko Kinshasa, ambapo kukamatwa kwa watu walio karibu na rais wa zamani Joseph Kabila kunaendelea. Siku ya Jumamosi…
Huyu Sophia kuna anachokitafuta, Bala akutana na mwanae
Huyu Sophia kuna anachokitafuta, Bala akutana na mwanae. Usikose kutazama OTTOMAN leo usiku saa 4:00 #AzamTWO
Shuhudia namna polisi wa Guatemala ‘walivyomchomoa gerezani’ anayedaiwa kuwa kiongozi wa genge la kihalifu la Barrio 18, ajulika…
Shuhudia namna polisi wa Guatemala ‘walivyomchomoa gerezani’ anayedaiwa kuwa kiongozi wa genge la kihalifu la Barrio 18, ajulikanaye kwa jina na Aldo Dupie, maarufu kwa jina la Mbwa Mwitu. Aldo…
Utaratibu wa kuibua vipaji vipya kwenye show tamu ya Tv #TheSpark bado unaendelea.Leo tupo na @its_bossgia
Utaratibu wa kuibua vipaji vipya kwenye show tamu ya Tv #TheSpark bado unaendelea.Leo tupo na @its_bossgia Una lipi la kumuuliza au kumshauri?Drop your comment kwasababu @neypova_ atahusika kumuuliza swali kwa…
Gaza: WFP yaongeza juhudi za msaada wa chakula huku usitishaji vita ukitimiza siku 100
Takriban watu milioni moja kila mwezi sasa wanafikiwa na misaada muhimu ya kuokoa maisha kufuatia Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kupanua operesheni zake katika Ukanda wa Gaza, siku…
Ukata wabana hatua za UNHCR kukabili ongezeko la wakimbizi duniani
Licha ya upungufu mkubwa wa ufadhili uliobana shughuli za kibinadamu duniani kote, Shirika la Umoja wa Matafa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani UNHCR, lilichukua hatua dhidi ya ongezeko la dharura mpya…
ICC yasema ushahidi umethibitisha kufanyika kwa uhalifu wa kivita na dhidi ya binadamu El Fasher
Hali ya usalama huko El Fasher, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan, imezorota kwa kasi, huku uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu ukifanyika kufuatia mji…
WFP yawaambia viongozi Davos wakati wa kuchukua hatua dhidi ya njaa ni sasa
Wakati viongozi wa kisiasa, teknolojia na biashara wakikutana katika Jukwaa la Uchumi Duniani huko Davos Uswisi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa…
Wanaodaiwa kutakatisha Sh346 milioni za CRDB, NBC wamwangukia DPP
Kuhusu upelelezi, amedai bado haujakamilika na kuiomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa.