ZDCEA yataifisha mali za Sh169 milioni za mtuhumiwa dawa za kulevya
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA), imetaifisha nyumba nne...
Makocha Afrika wachangangamkia kibarua Simba
Wakati Simba ikiwa katika hatua za mwisho kumpata Kocha Mkuu Mpya, nafasi hiyo imeonekana...
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho Mhe
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Mhagama umewasili Mjini Songea mkoani Ruvuma, wananchi wamejitokeza kumpokea. Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama, umewasili mkoani…
Mbarali kutenga Sh1 bilioni kuboresha maeneo korofi
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, inatarajia kutumia zaidi ya Sh1 bilioni kwa...
Ohooo Mashavu ndoa haina hata usiku mmoja…Kobisi nini hiki jamani?
Ohooo Mashavu ndoa haina hata usiku mmoja...Kobisi nini hiki jamani? Mambo ni mengi leo kwenye #KombolelaSeries usikose kuanzia saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Tuambie huwa unasafisha vipi meno yako?
Tuambie huwa unasafisha vipi meno yako? Tazama namna Daktari wa Kinywa na Meno, Cosmas Anthony akionesha jinsi ya kusafisha meno (kupiga mswaki) itakayokuacha na kinywa safi kisichotoa harufu muda wote.…
Iran: Mvutano Yemen unanufaisha mkakati wa Israel wa kuvuruga Asia Magharibi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa tahadhari kali kuhusu mvutano unaoendelea nchini Yemen, ikisema hali hiyo inaunufaisha tu utawala wa Israel na mkakati wake wa kuzigawa nchi za…
Je, huwa unatumia muda gani hadi kubadilisha mswaki wako wa kusafishia meno?
Je, huwa unatumia muda gani hadi kubadilisha mswaki wako wa kusafishia meno? Daktari wa Kinywa na Meno, Cosmas Anthony anaeleza sababu za kwa nini hupaswi kuzidisha miezi mitatu katika matumizi…
Mashambulizi dhidi ya walinda amani wa Bangladesh nchini Sudan yanaweza kuwa uhalifu wa kivita: UN
Antonio Guterres anasema mashambulizi dhidi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa hayana uhalali na anasisitiza wajibu wa kuwalinda wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, huku kiongozi wa mpito wa Bangladesh…
CEOrt, IUCN kuimarisha sekta ya utalii
Urejeshaji wa mandhari ya kimazingira, ulinzi wa vyanzo vya maji, upanuzi wa uhifadhi wa...
Ripoti yatahadharisha: Mamilioni ya Waingereza Waislamu wako hatarini kuvuliwa uraia
Mamlaka ya kunyang'anya uraia yanayoelezewa kuwa ni ya "kupindukia mpaka na yenye usiri" iliyopewa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza yanawaweka mamilioni ya Waislamu raia wa nchi hiyo katika…
Machafuko ya baada ya uchaguzi Cameroon: Waandamanaji wafungwa jela, wengine waachiwa huru
Mgogoro wa kisiasa unaendelea kuikumba Cameroon wiki chache tu baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufanya uchaguzi wa rais.
Kama una changamoto ya nyama uzembe hasa maeneo ya tumbo na mikononi, leo tumekuletea mazoezi maalum yatakayosaidia kukaza misul…
Kama una changamoto ya nyama uzembe hasa maeneo ya tumbo na mikononi, leo tumekuletea mazoezi maalum yatakayosaidia kukaza misuli ya maeneo hayo na mwili wako kuwa katika muonekano mzuri. @mcjojo__…
Mkutano wa ECOWAS wafanyika Abuja, Guinea-Bissau na Benin katika ajenda
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) umeanza rasmi Jumapili mjini Abuja, Nigeria, ukikusanya viongozi wa kikanda kujadili masuala nyeti yanayoathiri eneo la Afrika…
Vita vya Sudan: Walinda amani sita wa Bangladesh wauawa katika shambulio kwenye kambi ya UN
Bangladesh ni miongoni mwa nchi zinazotoa mchango mkubwa zaidi katika ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa na wanajeshi wake wametumwa kwa muda mrefu nchini Sudan.
Jumba kuu la ukumbusho Libya lafunguliwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa Gaddafi
Makumbusho ya Red Castle, kubwa zaidi nchini Libya, yalifungwa mwaka 2011 wakati wa uasi ulioungwa mkono na NATO dhidi ya Muammar Gaddafi.
Hamas yalaani mauaji ya kamanda wake, raia Gaza
Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza, Khalil al-Hayya, katika taarifa yake ya video leo Jumapili amethibitisha kuwa, kamanda…
When MTV switched off the lights and Diamond Platinumz switched on the future
DAR ES SALAAM: THERE was a time, dear reader, when turning on the television and seeing the neon MTV logo flicker in the corner of the screen felt like receiving…
#MICHEZO: Mwanachama Mwandamizi wa Simba SC Seif Mapilau amesema anaunga mkono azimio la dua ya wanachama ili kusafisha watu was…
#MICHEZO: Mwanachama Mwandamizi wa Simba SC Seif Mapilau amesema anaunga mkono azimio la dua ya wanachama ili kusafisha watu wasiowatakia mema timu yao. Akizungumza na @hoseamchopa amewageukia vikali viongozi kwa…
Mzee mzima Nawanda ameulizwa kikao kiliendaje na shemeji yake Wendy, kachagua kukaa kimya 🙌
Mzee mzima Nawanda ameulizwa kikao kiliendaje na shemeji yake Wendy, kachagua kukaa kimya 🙌 #NomaSeries
Wenza msikimbie mjusi mkaishia kwa mamba
Katika kuwasilikiza kwa umakini, tuligundua kuwa walikuwa wakitafuta mchawi wa ndoa yao bila...
#HABARI: “Lakini wale walioshindikana kabisa mtanipa na mimi huwaga sio muumini wa watu ambao hawataki kufanya kazi, ukiuliza mt…
#HABARI: “Lakini wale walioshindikana kabisa mtanipa na mimi huwaga sio muumini wa watu ambao hawataki kufanya kazi, ukiuliza mtu yeyote upande wangu mbaya huwaga ni huo na napendaga kuutekeleza kwa…
ONGEA NA AUNT BETTIE: Baada ya kuzaa sitamani kurudi kazini, nifanyeje?
Nimekaa likizo ya uzazi ya miezi mitatu cha kushangaza baada ya kumaliza sitamani kufanya kazi,...
Huu ndio wajibu wa mke kwenye ndoa
Lakini ni nini hasa kinachomfanya mke awe nguzo muhimu katika familia Hapa ndipo wajibu wake...
Ushindi wa Arsenal waacha maswali EPL
Arsenal imenusurika kupoteza pointi muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa bahati dhidi ya...
Mapishi ya pamoja yanavyokoleza upendo, ndoa imara
Mapishi sio tu huzalisha chakula kinachoondoa njaa, bali pia ni daraja linalounganisha mioyo...
How Tanzania–Russia ties drive development outcomes
DAR ES SALAAM: WHEN Tanganyika gained independence in 1961, it entered the international arena at a time when global politics were sharply divided. Yet among the early partners that recognised…
Hatua muhimu za kumchagulia mtoto shule sahihi
Mzazi anapaswa kutembelea shule tarajiwa ya mwanawe ili kujionea hali ya madarasa na mazingira...
Ripoti: Bado wanawake hawako salama kwa wenza wao
Takribani asilimia 44 ya wanawake wamewahi kukumbwa na ukatili wa wenza wao angalau mara moja...
Tume ya Uchunguzi yaanza kusikiliza wananchi
TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeanza kuhoji majeruhi na baadhi ya ndugu waliopoteza wapendwa wao…
Waumini wakumbushwa kuishi kwa imani
DODOMA; WAUMINI nchini wamekumbushwa kuishi maisha ya imani ili kuandika historia nzuri wakiwa duniani na hata wakitangulia mbele ya haki kama alivyofanya Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia Desemba…
Samia awapa neno mawaziri wapya
RAIS Samia Suluhu Hassan amemmwagia sifa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia kuwa alikuwa kiongozi mwenye moyo wa kujali maslahi ya taifa na kuwataka wabunge na mawaziri wapya kufuata…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, limeona picha mjongeo inayosambazwa katika mitandao ya kijamii akionekana Askari wa Pol…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, limeona picha mjongeo inayosambazwa katika mitandao ya kijamii akionekana Askari wa Polisi Usalama wa Barabarani akishawishi rushwa. Askari huyo kwa msaada wa picha…
Mtoto wa Zidane kuidakia Algeria AFCON 2025
Luca Zidane ambaye ni mtoto wa nyota wa zamani wa Ufaransa na Real Madrid, Zinedine Zidane...
Israel yadai kumuua kamanda mwandamizi wa Hamas Gaza
Jeshi la Israel limesema limemuua kamanda mkuu wa Hamas katika shambulio lililolenga gari...
Spika Qalibaf: Daima tunafuatilia kupanua uhusiano na nchi za Afrika
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, daima taifa hili limekuwa likifuatilia kupanua ushirikiano na mataifa ya Kiafrika.
UNICEF yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa miongoni mwa watoto Gaza
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeonya juu ya ongezeko la hatari ya milipuko ya magonjwa miongoni mwa watoto katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina.
Brigedia Jenerali Ali Jahanshahi: Iran imejiandaa kukabiliana na aina yoyote ile ya vitisho
Brigedia Jenerali Ali Jahanshahi, Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikosi vya ulinzi vikiwa na zana kamili, silaha na uwezo viko tayari…
Idadi ya watu waliokufa katika mafuriko Indonesia yapindukia 1000
Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na janga la mafuriko nchini Indonesia imeongezeka na kupindukia 1000.
Taasisi za Kiislamu zaonya kuhusu njama ya Marekani dhidi ya Nigeria
Taasisi za Kiislamu nchini Nigeria zimetangaza kuwa, hatua ya tume ya kutafuta ukweli ya bunge la Marekani ya kuandaa ripoti ya upande mmoja kuhusu mizozo ya kikabili katika nchi hiyo…
Baboon’s head and its significance in marriage among the Hadzabe
KARATU: ALONG the edges of Lake Eyasi, the Hadzabe live in a way that seems almost untouched by time. They share their lives as one community, working, eating and celebrating…
Mafuriko Gaza yaua watoto watatu, maelfu waachwa bila makazi
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa pamoja na uharibifu wa miundombinu katika ukanda wa...
Hersi kushiriki kongamano la FIFA, Qatar leo
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Umoja wa Klabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa wataalam watakaofundisha…
Wizara ya kilimo imewataka wafanyabiashara kwa kushirikiana na wakulima na maafisa ugani kutoka kwenye maeneo yao wanashirikiana…
Wizara ya kilimo imewataka wafanyabiashara kwa kushirikiana na wakulima na maafisa ugani kutoka kwenye maeneo yao wanashirikiana katika kuangalia hali ya masoko na kupeleka pembejeo kwa wakati kulingana na uhalisia…
Kwanini unakunywa dawa chumbani kwa mama
Kwanini unakunywa dawa chumbani kwa mama Swali ameulizwa Adam sijui atajibuje? Haya Side kakutana na Zuuh bonge la dada, shoga yake Mwana 😅 Usipange kukosa uhondo wote saa 1:00 usiku…
Jevdet amkingia kifua Jemo wakati akiomba kazi
Jevdet amkingia kifua Jemo wakati akiomba kazi. Vijana wa Yavuz bado wako mtaani kuwasaka kina Aziza. Usikose kutazama 6 of Us leo kuanzia saa 2:00 usiku ndani ya #AzamTWO
Maryam ameamua kuwa mkweli tu
Maryam ameamua kuwa mkweli tu. Siham amepata kazi Riyadh lakini mtihani ni mkubwa. Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamTWO pekee.
Huko kwa Shida Masamba bado kunawaka, ni burudani tu…Eeeeh Bi harusi mbona mapema hivyo…Mtu mzima Kobisi hata punje ya aibu …
Huko kwa Shida Masamba bado kunawaka, ni burudani tu...Eeeeh Bi harusi mbona mapema hivyo...Mtu mzima Kobisi hata punje ya aibu hana...😳 Usikose kutazama #KombolelaSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya…
Accountability starts with the ledger
DAR ES SALAAM: IN any functioning democracy, public organisations stand as the primary custodians of citizens’ resources. Taxes, grants and other public funds are handed over to government institutions with…
Zuchu, Diamond wameridhika au wamesusa
Ndivyo tunavyoweza kusema kwa namna mastaa wa Bongofleva, Zuchu na Diamond Platnumz...