Mtoto wa marehemu, Joackim Mhagama, amesema kuwa mama yake, Jenista Mhagama, hana deni lolote kwani aliwatumikia wananchi kwa mo…
Mtoto wa marehemu, Joackim Mhagama, amesema kuwa mama yake, Jenista Mhagama, hana deni lolote kwani aliwatumikia wananchi kwa moyo wote na kwa dhati. Ameeleza kwamba marehemu aliamini katika kufanya kazi…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameiomba familia ya marehemu pamoja na ndugu na jamaa kuen…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameiomba familia ya marehemu pamoja na ndugu na jamaa kuendelea kushikana na kupendana katika kipindi hiki cha majonzi,…
Familia ya Kobisi ni vita kila siku 😆
Familia ya Kobisi ni vita kila siku 😆 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Jenista Mhagama alivyojitoa kwa kanisa
Dodoma. Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege, Padri Emmanuel Mtambo amesema...
Dk Nchimbi: Wananchi wa Peramiho hawana malalamiko na Jenista
Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi chote cha miaka 25...
Simba, Yanga kukutana Mapinduzi Cup 2026, bingwa kulamba Sh150 milioni
KLABU nane zitashiriki Kombe la Mapinduzi 2026, baada ya msimu uliopita mashindano hayo kushirikisha timu za taifa na Zanzibar Heroes kuwa bingwa ilipoichapa Burkina Faso mabao 2-1, kwenye Uwanja wa…
President Samia eulogizes Jenista Mhagama
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has said that the late Jenista Mhagama was a role-model leader who touched the lives of many through her leadership, integrity, and selfless dedication to…
#HABARI: Waziri wa Kilimo, Mhe
#HABARI: Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa miradi yote ya umwagiliaji inakamilika kwa wakati na inaleta tija kwa wakulima nchini. Ameeleza hayo wakati wa ziara…
Familia, Zungu walivyomuelezea Jenista Mhagama
Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, alifariki dunia Desemba 11, 2025 katika Hospitali ya...
Rais Samia: Umetimiza wajibu wako kwa uaminifu mkubwa
RAIS Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa Katoliki…
“…toka nimeingia bungeni 2005 nilimzoea Jenista na jina lake alikuwa na ananiita mimi mwanangu na mimi namuita mama, tuliishi vi…
“…toka nimeingia bungeni 2005 nilimzoea Jenista na jina lake alikuwa na ananiita mimi mwanangu na mimi namuita mama, tuliishi vizuri sana sifa zilizotolewa hapa na Baba Paroko ni za ukweli…
Waziri Akwilapo awataka wahitimu kulinda amani, kukataa vurugu
Kwa mwaka 2025, jumla ya wanafunzi 450 wamehitimu katika ngazi ya astashahada na stashahada.
Vigogo Tanzania Bara kuhamishia vita Mapinduzi Cup 2026
Klabu za Tanzania Bara zitakazoshiriki Kombe la Mapinduzi ni Yanga, Simba, Azam na Singida...
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kakonko Alan Thomas Mvano, amesema kuwa atashughulikia kwa haraka changamoto ya ukosefu waZahanati n…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kakonko Alan Thomas Mvano, amesema kuwa atashughulikia kwa haraka changamoto ya ukosefu waZahanati na Mnara wa Mawasiliano katika eneo la Nyamwironge wilayani Kakonko, ili kuwasaidia…
Katibu wa Bunge Baraka Leonard ametangaza kuwa chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho marehemu Jenista Mhaga…
Katibu wa Bunge Baraka Leonard ametangaza kuwa chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho marehemu Jenista Mhagama ni maradhi ya moyo. Akisoma wasifu wa marehemu wakati wa…
Wazee wa Baraza la Mila na Desturi mkoani Ruvuma wameamua kufunga mvua kwa siku zote zitakazokuwa zinaendelea shughuli za mazish…
Wazee wa Baraza la Mila na Desturi mkoani Ruvuma wameamua kufunga mvua kwa siku zote zitakazokuwa zinaendelea shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe Jenista Mhagama,…
Bunge lataja sababu za kifo cha Jenista Mhagama
Dar es Salaam. Maradhi ya moyo umetajwa kuwa ndiyo chanzo cha kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
GAZETI LA BURUDANI AZAM ONE JUMAPILI HII 🙌🏽🔥🍿🥤
GAZETI LA BURUDANI AZAM ONE JUMAPILI HII 🙌🏽🔥🍿🥤 Saa 3:00 asubuhi - Saa 4:00 asubuhi ni Marudio ya #TheOldMan Saa 4:00 asubuhi - Saa 9:00 Alasiri ni marudio ya #MinesOfPassion…
Kariakoo Market embarks on digital reforms
DAR ES SALAAM: THE Kariakoo International Market has officially begun preparations for a new five-year Strategic Plan 2026-2031, a move aimed at making the international market provide better services, on…
BoT auctions 15m US dollars to stabilise the forex market
DAR ES SALAAM: THE Bank of Tanzania (BoT) has injected 15m US dollars into the Interbank Foreign Exchange Market (IFEM) in a move aimed at easing liquidity pressures and supporting…
Walinda amani 6 wa UNISFA wauawa Sudan Mkuu wa UN amelaani vikali
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali shambulio la ndege zisizo na rubani au droni lililolenga kituo cha vifaa vya kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa…
Sababu Tuzo za TMA 2025 kuahirishwa
Dar es Salaam. Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kuahirisha hafla ya ugawaji Tuzo...
Vijana ifanyeni karne ya 21 kuwa karne ya mwisho ya vita : UNAOC
Katika dunia inayokabiliwa na kuongezeka kwa migogoro na kauli za chuki, Miguel Moratinos, Mwakilishi Mkuu wa Muungano wa Ustaarabu wa Umoja wa Mataifa UNAOC, amewatumia vijana ujumbe wa moja kwa…
Je, mazungumzo yanaweza kuponya dunia iliyogawika Muungano unaoongozwa na UN unaweka hoja hiyo mezani
Dunia inavyokaribia mwishoni mwa mwaka 2025, mgawanyiko wa kijiografia unazidi kuongezeka kati ya Kaskazini na Kusini, Mashariki na Magharibi. Ndiyo maana Jukwaa la Riyadh nchini Saudi Arabia linatumika katika Muungano…
UN yaufunga mlango wa UNAMI Iraq na kufungua fursa mpya kwa nchi hiyo
Umoja wa Mataifa leo Jumamosi umefunga rasmi Ujumbe wa Usaidizi wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq UNAMI, baada ya zaidi ya miaka ishirini ya kusaidia masuala ya kisiasa, uratibu wa…
Sababu Tuzo za TMA 2025 kuahirisha
Dar es Salaam. Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kuahirisha hafla ya ugawaji Tuzo...
Tanzanian seeks to resolve gypsum mining challenges
SAME: THE Tanzanian government is set to hold a high-level meeting in Dodoma with key stakeholders in the gypsum mining sector, including small-scale miners, transporters, cement manufacturers, and local government…
Tanzania steps up measures to ease truck congestion at Tunduma border
TUNDUMA: THE Tanzanian government has unveiled urgent plans to reduce heavy trucks congestion at Tunduma, a major transit point for trucks heading to Zambia and the Democratic Republic of Congo.…
Khatibzadeh: Uhusiano wa Iran na China mkamilishaji wa mfumo mpya wa kimataifa
Saeed Khatibzadeh, Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kisiasa na Kimataifa ameutaja uhusiano wa Iran na China uliojengeka juu ya msingi…
UAUT calls for increased investment in technology education
DAR ES SALAAM: IT has been stated that, in order to keep pace with the rapid changes in technology globally, it is important to continue investing in professionals and strengthening…
Albanese: Israel na waungaji mkono wake wakuu inawapasa wagharamie ujenzi mpya wa Ghaza
Francesca Albanese, Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, Israel na Marekani pamoja na nchi zingine ambazo zilikuwa wasambazaji wakuu wa silaha…
RUWASA yafikia 77% usambazaji maji Nyang’hwale
WAKALA wa maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Nyang’hwale mkoa wa Geita imefanikiwa kufikisha huduma ya maji safi katika vijiji 48 ambayo ni sawa na asilimia 77.4 ya…
Ukosoaji waongezeka kuhusu afya ya Trump baada ya kuonekana mchovu hadharani
Mjadala kuhusu afya ya Rais wa Marekani Donald Trump umechacha upya baada ya matukio kadhaa ya hadharani ambapo alionekana mchovu au kusinzia, hali iliyozua maswali mapya kuhusu uwezo wake kiafya…
#HABARI: Padre akiimba wimbo ambao alikuwa akiupenda marehemu Jenista Mhagama enzi za uhai wake kwenye Ibada Maalum ya Misa ya k…
#HABARI: Padre akiimba wimbo ambao alikuwa akiupenda marehemu Jenista Mhagama enzi za uhai wake kwenye Ibada Maalum ya Misa ya kuaga mwili wa marehemu katika Kanisa la Mtakatifu Mwenyeheri Maria…
Mauwasa yatangaza mgawo wa maji Maswa kutokana na ukame
Maswa. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imetangaza kuanza kwa mgawo...
Bodaboda watano waliokufa kwa kugongwa na lori watambuliwa
Ajali hiyo ilitokea saa 2:30 usiku wa Desemba 11, 2025 wakiwa kwenye kijiwe chao cha Amani...
Kobisi amechoka maisha ya kuigiza kuwa mume wa mtu
Kobisi amechoka maisha ya kuigiza kuwa mume wa mtu. Shughuli ya Shida imefika. Usikose #KombolelaSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Bado siku tano kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza
Bado siku tano kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza. #MrsGarcia #AzamONE
Hii hapa ratiba ya mgawo wa maji Dar
Dawasa imewataka wananchi kufuatilia ratiba hiyo na kuhifadhi maji pale yanapopatikana
#MICHEZO: Warembo hawaogopi tena mitikiso ya ngumi kutua ndani ya miili yao
#MICHEZO: Warembo hawaogopi tena mitikiso ya ngumi kutua ndani ya miili yao. Bondia Leila Macho, mtoto wa nyota wa zamani wa Simba, Yusuph Macho, ametangaza vita kali dhidi ya Hidaya…
Kobisi mahari ndio mada mdomoni mwake…😅 Kina Tukae wamsanua Chiku, Mashavu kaolewa mke wa pili 🙌
Kobisi mahari ndio mada mdomoni mwake...😅 Kina Tukae wamsanua Chiku, Mashavu kaolewa mke wa pili 🙌 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amesema tafiti zinazofanyika katika hospitali hiyo ni nyenzo muhimu katika kuleta mageuzi ya huduma za afya nchini kwa kuboresha…
#HABARI: Makamu wa Rais Mstaafu Dkt
#HABARI: Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango na viongozi mbalimbali wa Serikali wamewasili katika Kanisa la Mtakatifu Mwenyeheri Maria Teresa Ledochowska Parokia ya Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma, kwa…
Ndani ya Boksi: Adui wa Diamond ni Diamond
Kitu pekee kigumu kuelezeka na kinachosisimua moyo. Ni penzi jipya. Ukitaka kuona ujinga wa...
Serikali ya Kongo yatoa hakikisho; yasema haitasalimu amri licha ya hali ya wasiwasi mashariki mwa nchi
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana Ijumaa ilitoa hakikisho ikieleza kuwa jeshi la nchi hiyo halitasalimu amri" kufuatia kutekwa mji wa Uvira.
‘We cannot think of going back’: Afghan refugees in Delhi watch cautiously as India opens the door to the Taliban
INDIA: UNDER the fading light of a Delhi evening, the winding alleyways of Lajpat Nagar pulse with life as the scent of naan baking in an ancient tandoor drifts through…
“Katika mapumziko ya mwisho wa mwaka au safari lazima upange bajeti ambayo itakidhi mahitaji ya safari ili ufurahi na kuburudika…
"Katika mapumziko ya mwisho wa mwaka au safari lazima upange bajeti ambayo itakidhi mahitaji ya safari ili ufurahi na kuburudika bila kuwa na msongo wa kifedha",- Mdau wa Kutembelea Vivutio…
Thailand strikes Cambodia despite Trump truce claims
THAILAND: THAI Prime Minister Anutin Charnvirakul said on Saturday that his country would keep up military strikes on Cambodia until it no longer felt under threat from its neighbor, telling…
Kuongezeka idadi ya nchi zilizosusia Mashindano ya Eurovision kulalamikia kushirikishwa utawala wa Kizayuni
Idadi ya nchi zilizosusia mashindano ya Eurovision zikipinga kushirikishwa utawala wa Kizayuni katika mashindano hayo, imeongezeka.