Ferran Torres kuikosa Bulgaria kesho
Kiungo mshambuliaji wa Barcelona, Ferran Torres amelazimika kuondoka kwenye kambi ya timu ya...
Mechi za mchujo Kombe la Dunia 2026 kupigwa Morocco
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitaja nchi ya Morocco kuwa mwenyeji wa mashindano...
Rais Rajoelina kulihutubia taifa kufuatia maandamano
Baada ya maandamano makubwa ya vijana kuungwa mkono na jeshi, rais Rajoelina azungumzia wasiwasi wa kupinduliwa madarakani
Wakulima wa mkoani Kagera wamesema bado wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mikopo yenye gharama nafuu kutoka taasisi z…
Wakulima wa mkoani Kagera wamesema bado wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mikopo yenye gharama nafuu kutoka taasisi za kifedha, hali inayosababisha kushindwa kuendeleza shughuli zao za kilimo, ikiwemo upanuzi…
Watu 42 wafariki kwenye ajali ya basi Afrika Kusini
Ajali ya basi ilitokea Jumapili Cape Mashariki na waliokufa ni raia kutoka Zimbabwe na Malawi waliokuwa safarini kurudi katika nchi zao
Watumishi wa idara ya afya katika hospitali za halmashauri mkoani Simiyu wamehimizwa kushiriki huduma za kibingwa ambazo zinaanz…
Watumishi wa idara ya afya katika hospitali za halmashauri mkoani Simiyu wamehimizwa kushiriki huduma za kibingwa ambazo zinaanza kutolewa leo katika hospitali zao, ili kupata ujuzi kutoka kwa madaktari bingwa…
Tanzania: INEC yafuta kata 10, yatengua uteuzi wa wagombea saba
INEC imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya tangazo la Serikali Namba 596 na Namba 600 la Oktoba 3, 2025.
Rais Macron akataa kujiuzulu madarakani
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amepuuza miito ya upinzani ya kumtaka aachie madaraka kumaliza mvutano wa kisiasa
MZEE WA FACT: Magori kaanza vibaya
Akiwa kama Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori, ameiongoza klabu ya Simba kufanya moja ya...
Viongozi kushiriki kusainiwa mpango wa amani, Misri
Rais wa mamlaka ya Wapalestina Mahmoud Abbas na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ni miongoni mwa viongozi 19 watakaoshiriki hafla hiyo katika mji wa Sharm-El Sheikh nchini Misri
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
Hamas wakabidhi mateka wa Israel
Mateka 20 wa Israel waliokuwa mikononi mwa Hamas tangu Oktoba 7 wakabidhiwa shirika la msalaba mwekundu kusini mwa Ukanda wa Gaza
AU yampongeza Patrick Herminie kwa kushinda urais Ushelisheli
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf amempongeza Patrick Herminie kwa kuchaguliwa kuwa rais mpya wa Ushelisheli.
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
ACT Wazalendo Zanzibar yaahidi kuwasaidia wavuvi
Othman alisikiliza kero za wananchi ikiwa ni pamoja na hofu ya kuhamishwa katika eneo hilo ili kupisha ujenzi wa soko.
Mbappé kuikosa Iceland leo, kocha afafanua
Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema alikuwa na mpango wa kumbadilisha...
Mastaa Ghana kuoga mamilioni kufuzu Kombe la Dunia
Nyota wa timu ya Taifa ya Ghana 'Black Stars' kila mmoja atapata kitita cha Dola 5,000 (Sh12...
Hamas yaonya; Israel inaendelea kuchuja orodha ya mateka
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas kuushutumu utawala ghasibu wa Israel kwa 'kutia mkono' orodha ya mateka wa Kipalestina, na kukwepa kutekelezwa…
Albamu ya Marioo yavuka mipaka
Kitendo cha wimbo wa Marioo, Nairobi (2024) kuwa miongoni mwa zile zilizoingia katika mchakato...
Ajali ya basi yaua watu 42 nchini Afrika Kusini
Watu wasiopungua 42 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwa wakisafiria kubingiria katika jimbo la Limpopo, kaskazini mwa Afrika Kusini.
Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege ya Dodoma imekabidhiwa kisima cha maji safi na salama na Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) iki…
Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege ya Dodoma imekabidhiwa kisima cha maji safi na salama na Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa miaka miwili…
Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere kimeandaa kongamano la kuadhimisha miaka 26 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa na Rais wa …
Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere kimeandaa kongamano la kuadhimisha miaka 26 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, huku masuala…
Bado Watatu – 56
Mpaka hapa ninaposimulia mkasa huu, Hamisa ameshanizalia watoto watatu, na kwa mawazo yangu watoto hao wanatosha kabisa. Nataka tuwasomeshe wapate elimu bora, nikiamini kuwa mmojawapo anaweza kuja kurithi kazi yangu,…
Cape Verde, Cameroon vita ya kufa na kupona kufuzu Kombe la Dunia 2026
Hatua ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa Bara la Afrika imefika ukingoni, huku Cape Verde na...
Stori za mapenzi wasanii wa kike Bongo zinafanana au kuna tatizo?
Kuna kitu nimekiwaza washkaji. Inawezakana tunakichulia poa, lakini kinatuma ujumbe mmoja wenye...
Ufaransa: Nicolas Sarkozy kufahamishwa tarehe yake ya kifungo leo Jumatatu
Baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano jela mnamo Septemba 25, 2025, kwa ufadhili wa Libya wa kampeni yake ya 2007, rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy atajua tarehe…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
Wazazi wa Jude Bellingham watengana baada ya miaka 20 ya ndoa
Wazazi wa mastaa wa soka Jude na Jobe Bellingham wametengana rasmi baada ya miongo miwili ya ndoa.
Mahakama yakubali Lissu kutumia maelezo ya shahidi wa Jamhuri
Lissu aliomba Mahakama hiyo iyapokee maelezo hayo ili ayatumie kuhoji kuaminika kwake kwa...
Gaza: Hamas yawaachilia mateka 20 wa mwisho
Wakati mateka wa mwisho wa Israel ambao walikuwa bado wanashikiliwa na Hamas wameachiliwa huru leo Jumatatu hii asubuhi, Donald Trump amewasili nchini Israel, ambapo atafanya mapumziko mafupi kabla ya kuelekea…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili nchini Israel kupitia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion, ambapo amepokelewa na Rais wa Isr…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili nchini Israel kupitia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion, ambapo amepokelewa na Rais wa Israel, Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu. Trump…
Viongozi wa Dunia wakutana Beijing kwa kongamano la kuwawezesha Wanawake
Rais wa China Xi Jinping na mkewe Peng Liyuan wamefungua rasmi mkutano wa Viongozi wa Dunia kuhusu Wanawake kwa kujumuika pamoja na viongozi kutoka maeneo mbalimbali ulimwenguni.
Hamas imewakabidhi mateka hai 20 wa Israeli kwa shirika la Msalaba Mwekundu huko Gaza, leo Oktoba 13, 2025
Hamas imewakabidhi mateka hai 20 wa Israeli kwa shirika la Msalaba Mwekundu huko Gaza, leo Oktoba 13, 2025. Kituo cha habari cha umma cha Israel kimesema kundi hilo liliwaachilia mateka…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kitaendelea kusimamia ubora wa elimu katika Jimbo la Peramiho na kuongeza miundombi…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kitaendelea kusimamia ubora wa elimu katika Jimbo la Peramiho na kuongeza miundombinu ya vyumba vya madarasa 255 ili kuwezesha wanafunzi kupata elimu katika mazingira…
Hali bado ni tete nchini Madagascar, Rais Andry Rajoelina kuhutubia taifa
Hali bado bado ni tete nchini Madagascar, wakati Rais Andry Rajoelina haijulikani aliko. Hata hivyo Ofisi ya rais, leo Jumatatu Oktoba 13, kwenye ukurasa wake wa Facebook, imebainisha kwamba rais…
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Mary Maganga, amewataka vijana kot…
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Mary Maganga, amewataka vijana kote nchini kutumia haki yao ya kuchagua viongozi wanaoakisi matumaini na malengo…
Ukubwa wa kipaji cha Hanstone na hatma yake
Hanstone ni msanii wa Bongo Fleva ambaye alipata umaarufu mkubwa kupitia wimbo maarufu wa...
Msikilize Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia sakata la Humphrey Polepole
Msikilize Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia sakata la Humphrey Polepole. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma mjini kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amebainisha kuwa amefanya mam…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma mjini kupitia Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amebainisha kuwa amefanya mambo mengi katika mkoa wa Kigoma lakini jambo la kuheshimisha mkoa huo…
Volodymyr Zelensky amtaka Donald Trump kuwasilisha makombora ya Tomahawk kwa Ukraine
Wakati macho yote yakielekezwa Mashariki ya Kati, Ukraine inaendelea kushambuliwa kila siku na Urusi, na Rais Volodymyr Zelensky anaonya kuhusu hali mbaya ambayo nchi hiyo inapitia kwa sasa. Imechapishwa: 13/10/2025…
Fuatilia simulizi ya Nyanso (si jina lake halisi), mama wa watoto watatu aliyeolewa akiwa na umri wa miaka 16 tu, akapitia ukati…
Fuatilia simulizi ya Nyanso (si jina lake halisi), mama wa watoto watatu aliyeolewa akiwa na umri wa miaka 16 tu, akapitia ukatili wa ndoa ya utotoni na hatimaye kubeba jukumu…
Trump awasili Israel kabla ya mkutano wa amani Misri
Rais wa Marekani Donald Trump amewasili Israel kukutana na familia za mateka na kuhutubia bunge la Knesset kabla ya kuelekea Misri kuhudhuria mkutano wa amani kuhusu vita vya Gaza.
“Kampuni mbalimbali zimeagiza mabasi…na kila njia imepewa kampuni zake…” Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia …
“Kampuni mbalimbali zimeagiza mabasi…na kila njia imepewa kampuni zake...” Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumzia tathmini ya usafiri wa Mwendokasi Dar es Salaam katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha…
Usitishaji wa mapigano Gaza: Mateka wa kwanza waachiliwa, Donald Trump awasili Israel
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza kuwa kundi la kwanza la mateka saba limekabidhiwa kwa Shirika la Msalaba Mwekundu. Imechapishwa: 13/10/2025 – 09:31Imehaririwa: 13/10/2025 – 09:33 Dakika 1 Wakati wa…
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema vyombo vya dola vimejiandaa kuhakikisha uchaguzi wa Oktoba 29 unafanyika kwa hal…
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema vyombo vya dola vimejiandaa kuhakikisha uchaguzi wa Oktoba 29 unafanyika kwa hali ya utulivu, haki na amani huku akiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi…
Droni ya Ukraine yashambulia ghala la mafuta Crimea
Droni ya Ukraine imeshambulia ghala la mafuta katika mji wa Feodosia, mashariki mwa Crimea, na kusababisha moto mkubwa, afisa wa Urusi Sergei Aksyonov amesema.
#MEZAHURU: Je ni Kipi kifanyike kwenye Soko la Kariakoo ili kuboresha huduma la soko hilo kimataifa..?
#MEZAHURU: Je ni Kipi kifanyike kwenye Soko la Kariakoo ili kuboresha huduma la soko hilo kimataifa..?
Mgombea urais wa chama cha Makini, Coaster Kibonde amesema njia pekee ya kumuenzi Mwalimu Nyerere ni kudumisha amani wakati huu …
Mgombea urais wa chama cha Makini, Coaster Kibonde amesema njia pekee ya kumuenzi Mwalimu Nyerere ni kudumisha amani wakati huu ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu. Kibonde ameyasema hayo alipotembelea…
Cameroon yapiga kura huku Biya akitarajiwa kushinda tena
Raia wa Cameroon walipiga kura Jumapili katika uchaguzi unaotarajiwa kumrejesha madarakani Rais Paul Biya mwenye miaka 92, ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miongo minne.