#HABARI: Mahakama Kuu Masijala Ndogo Dar es salaam leo Oktoba 13,2025, imetoa uamuzi mdogo wa pingamizi lililoibuliwa na upand…
#HABARI: Mahakama Kuu Masijala Ndogo Dar es salaam leo Oktoba 13,2025, imetoa uamuzi mdogo wa pingamizi lililoibuliwa na upande wa Jamhuri, juu ya maelezo ya shahidi yaliyoombwa na mshitakiwa kupokelewa…
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu ameahidi kukabiliana na changamoto ya ugumu wa mais…
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu ameahidi kukabiliana na changamoto ya ugumu wa maisha na umasikini wa kipato endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Makini, Ameir Hassan Ameir ameahidi kusimamia vipaumbele nane endapo atachaguliwa ku…
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Makini, Ameir Hassan Ameir ameahidi kusimamia vipaumbele nane endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa…
Mgombea mwenza wa urais kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shoka Khamis Juma amesema endapo Watanzania wata…
Mgombea mwenza wa urais kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shoka Khamis Juma amesema endapo Watanzania watakiamini na kukipa dhamana chama hicho kuingia madarakani, kitahakikisha rasilimali za taifa…
Mgombea wa Urais kupitia chama cha ADA–TADEA, Georges Busungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi, atatumia siku kumi…
Mgombea wa Urais kupitia chama cha ADA–TADEA, Georges Busungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi, atatumia siku kumi za mwanzo baada ya kushika madaraka kuhakikisha anatekeleza mambo sita ya…
Safari ya Gakpo, Noa ilianza kabla ya kutua Liverpool
Mshambuliaji wa Uholanzi, Cody Gakpo, 26, alifanya vizuri katika Kombe la Dunia 2022 Qatar...
Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu huko Gaza mateka 7 wa kwanza wa Israel
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa vita vya Gaza vimekwisha huku akielekea Mashariki ya Kati, ambako atali…
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa vita vya Gaza vimekwisha huku akielekea Mashariki ya Kati, ambako atalihutubia Bunge la Israel (Knesset) na kuongoza kwa pamoja mkutano wa kilele…
Tahadhari zichukuliwe kukithiri matumizi holela ya vipodozi
Video na picha za watu maarufu na wenye ushawishi kwenye mitandao ya kijamii nchini zimegeuka...
Ripoti: Iran yauza bidhaa za kilimo katika nchi 80 duniani
Imeelezwa kuwa, mazao ya kilimo ya Iran yanasafirishwa kwenda nchi 80 duniani. Kwa kurekodi ukuaji mkubwa wa uzalishaji wa kilimo, Iran imejitambulisha kama mmoja wa wahusika wakuu katika soko la…
UNICEF: Watoto 56,000 wamebaki yatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 56,000 katika Ukanda wa Gaza wamebaki mayatima baada ya kupoteza mzazi mmoja au wote wawili katika kipindi cha…
Waislamu wa Nigeria washerehekea usitishaji vita Gaza
Wanachama wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria katika Jimbo la Bauchi wamesherehekea makubaliano ya kusitisha vita Gaza, ambayo yanaruhusu maelfu ya watu kurejea kwenye nyumba zao zilizobomolewa katika ukanda wa…
Mabinti barani Afrika watoa wito wa kuheshimiwa haki zao
Mabinti barani Afrika wametoa mwito wa kuheshimiwa na kupatiwa kipaumbele haki zao za kimsingi. Wito huo umetolewa katika kongamano la kieneo la mabinti magharibi mwa Afrika. Imeelezwa kuwa, haki za…
Utofauti wa Nandy na Zuchu upo hapa…
NI muda sasa Nandy na Zuchu wamekuwa wakijitahidi kufanya kazi bora zaidi ili kudhihirisha...
Macron ateua baraza jipya la mawaziri nchini Ufaransa
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza serikali mpya yenye mchanganyiko wa sura mpya na za zamani chini ya Waziri Mkuu Sebastien Lecornu, hatua inayolenga kuokoa taifa hilo lililogawanyika.
#KIPIMAJOTO: Kuwepo kwa majengo ya Serikali yanayojengwa chini ya kiwango
#KIPIMAJOTO: Kuwepo kwa majengo ya Serikali yanayojengwa chini ya kiwango. Je, wenye kusimamia ujenzi huo wachukuliwe hatua kama wahujumu uchumi?
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 13, 2025
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 13,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 13,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Rais wa Uturuki Erdogan atashiriki Mkutano wa Amani wa Sharm el-Sheikh kuhusu mara ya mwisho ya vita vya Gaza
Zaidi ya viongozi 20 wa dunia watarajia kushiriki katika mkutano huo, ambao utaongozwa na Sisi na Trump, wakati Hamas na Israeli hawarajiwi kushiriki.
Kuachiliwa kwa mateka kutaanza Gaza saa 11 alfajiri, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti
Hatua hiyo imekuja saa chache kabla ya mkutano wa kilele wa amani kuhusu usitishaji vita wa Gaza ambao utafanyika katika mji wa Sharm el-Sheikh nchini Misri.
Uturuki kuongeza juhudi za kibinadamu huko Gaza: Erdogan
Erdogan pia alithibitisha kujitolea kwa Uturuki kuwezesha amani kati ya Urusi na Ukraine.
Madagascar inaidhinisha ‘mkuu mpya wa jeshi’ anayeungwa mkono na ‘kitengo asi’ cha jeshi
Jenerali Demosthene Pikulas ateuliwa baada ya kikosi chake cha kijeshi kuungana na waandamanaji wanaomtaka Rais Rajoelina ajiuzulu.
Clara afafanua ishu ya mshambuliaji Yanga kupimwa, maisha yake Saudia
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Staa JKT Queens: Hakuna mpinzani aliyenipa changamoto Ngao ya Jamii, kocha afichua udhaifu wa Simba
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUKIPIGA NA IRAN KESHO, MCHEZO HUU UNA UM UHIMU GANI?
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUKIPIGA NA IRAN KESHO, MCHEZO HUU UNA UM UHIMU GANI? OKTOBA 13, 2025
Kocha Simba afunguka kilichomponza kuukosa ubingwa wa Ngao ya Jamii, JKT Queens yachekelea
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 13, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 13, 2025
Masau Bwire aiponda Simba, Yanga waje wajifunze hatuna mpinzani tunaenda kwa wakubwa wezetu Algeria
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Lissu alipoishia kuchuana na Jamhuri, kuanzia hapo leo
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...
Iran yakataa mwaliko wa mkutano wa Gaza; yasema haiwezi kuketi meza moja na walioishambulia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekataa mwaliko uliotolewa kwa Tehran kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano kuhusu Gaza uliopangwa kufanyika huko Sharm el Sheikh, Misri akisema kuwa hawezi…
AU yataka pande hasimu Madagascar kustahamiliana na kufungua mlango wa mazungumzo
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf jana Jumapili alizitaka pande zinazozozana nchini Madagascar kujizuia na kuvulimiana ili kufungua mlango wa mazungumzo wa kutatuliwa kisiasa mvutano…
Serikali ya Sudan: Waasi wa RSF wameua raia 57 wengine El Fasher
Serikali ya Sudan imetangaza kwamba shambulizi la droni na ndege zisizo na rubani za Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF limeua raia 57 katika makazi yao ya muda ya mji…
Ansarullah yaipa muda Israel kuhakikisha inatekeleza kikamilifu usitishaji vita Ghaza
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameupa utawala wa Kizayuini muda maalumu wa kuhakikisha unaheshimu na kutekeleza makubaliano ya kusimamisha vita vinginevyo Yemen itaanzisha…
Waziri wa Vita wa Israel: Tutaharibu mahandaki ya HAMAS baada ya kubadilishana mateka
Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo dhalimu una mipango ya kuharibu mahandaki na njia za chini ya ardhi za Harakati ya Mapambano ya…
Je, ni upi msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mpango wa Trump na usitishaji vita huko Gaza
Umoja wa Ulaya umeeleza kuwa usitishaji vita huko Gaza ni fursa ya kweli ya kuhitimisha vita vya uharibifu.
Jumatatu, 13 Oktoba, 2025
Leo ni Jumatatu 20 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria mwafaka na 13 Oktoba 2025 Miladia.
Gerrard kakataa kazi hana kazi
Kocha wa zamani wa Aston Villa, Steven Gerrard amejiondoa katika kinyang’anyiro cha kuwa kocha...
Kocha, mastaa Guinea ya Ikweta watimuliwa kisa mgomo
Guinea ya Ikweta, imemfuta kazi kocha wao Juan Micha na kuwaondoa baadhi ya wachezaji muhimu...
#HABARI: Wakala wa Misitu Tanzania kwa kishirikiana na wadau wa mazingira mkoani Kilimanjaro wamepanda miti zaidi ya elfu sita, …
#HABARI: Wakala wa Misitu Tanzania kwa kishirikiana na wadau wa mazingira mkoani Kilimanjaro wamepanda miti zaidi ya elfu sita, katika eneo la Mlima Kilimanjaro ili kuendelea kulinda mazingira ya Mlima…
Samia: Vijana msikubali kurubuniwa kuharibu amani ya nchi
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia...
Waziri wa ujenzi na mgombea ubunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega amesema ujenzi wa viwanda unaoendelea umeiongezea thaman…
Waziri wa ujenzi na mgombea ubunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega amesema ujenzi wa viwanda unaoendelea umeiongezea thamani wilaya hiyo na endapo mambo matatu yakifanyika itapaa zaidi. Ulega amemuomba…
Sendeka: Wafanyabiashara waliokosa zabuni serikalini ndio wanaoichafua Serikali
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka...
Mwalimu aahidi kurudisha hadhi ya Jiji la Dar es Salaam
Mgombea urais kupitia Chama cha Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema endapo atachaguliwa...
Shule ya Mashati kuunganishwa na nishati safi ya kupikia
Hatua hiyo inalenga kuunga mkono jitihada za Serikali za kupunguza matumizi ya kuni na mkaa...
Zitto: Chagueni viongozi wanaotekeleza, si wanaoahidi tu
Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka...
Chongolo asihi wananchi kudumisha amani, atoa ahadi kwa wana – Makambako
Mgombea ubunge wa Jimbo la Makambako kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo...
#HABARI: Mgombea mwenza nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Balozi Dokta Emm…
#HABARI: Mgombea mwenza nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Balozi Dokta Emmanuel Nchimbi ameendelea na kampeni zake wilayani Kibondo mkoani Kigoma…
#HABARI: Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama, akiimba wimbo wa hamasa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi…
#HABARI: Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama, akiimba wimbo wa hamasa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaounda Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) katika Kata ya…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 12, 2025 – INEC YAFANYA MABADIRIKO KWENYE BAADHI YA VITUO
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 12, 2025 - INEC YAFANYA MABADIRIKO KWENYE BAADHI YA VITUO