Msimamizi wa Maduka ya AzamTV, Mamii Kisena amesema kwa sasa visimbuzi vya antena vipo kwenye bei ya ofa ya shilingi elfu 39,000/= hivyo wapenzi wa burudani za #AzamTV, wasikose ofa hiyo.

✍Nifa Omary
Mhariri | @abuuyusuftz

#AzamTVUpdates #MorningTrumpet #utv108

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *