Zaidi ya wafanyakazi 900 wa shamba la maua la VASSO lililopo Kibosho wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, wamegoma kuingia kazini wakidai kuongezewa mishahara.
Wafanyakazi hao wamesema mishahara yao haiendani na gharama za maisha, huku wakiiomba menejimenti kusikiliza madai yao ili kurejesha utulivu na kuendelea na uzalishaji.
#azamtvupdates
Enos Masanja
Mhariri | @claud_jms Masanja
Mhariri | @claud_jm