Celestine Ndinda Ajibu Madai Alimsaliti Njugush kwa Kuchepuka na Mtaalam wa Urembo wa Kucha
Celestine Ndinda alijikuta pabaya baada ya kuonekana kuacha like kwa maoni yaliyoashiria alisaliti penzi lake na Njugush kwa kuchepuka na mtaalam wa urembo wa kucha.
Uganda seeks Tanzanian experience in combating poaching, illegal wildlife trade
NGORONGORO: THE Ugandan government, led by the Permanent Secretary of the Ministry of Tourism, Wildlife and Natural Resources, Doreen Katusiime, has continued a training tour to gain experience on how…
Tanzania tables 775bn/- budget for legal sector budget, prioritizes access to justice
DODOMA: THE Ministry of Constitution and Legal Affairs, has proposed a 775bn/- budget for the 2026/27 financial year. Among key priorities outlined by the ministry include improving access to justice,…
Barabara inayohusishwa na mauaji Tabora yasafishwa
Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Upendo Wella ameongoza shughuli ya kusafisha Barabara ya Usule...
Tanzania Judiciary collects only 5.32bn/- in revenue out of targeted 15.68bn/-
DODOMA: THE Ministry, the Judiciary and its institutions have collected only 5.32bn/- in revenue between July 2025 and March 2026, falling short of the annual target of 15.68bn/- largely due…
MSLAC II sets stage for inclusive justice system
DODOMA: THE Tanzanian government has unveiled an ambitious 775bn/- budget proposal for the 2026/27 financial year for the Ministry of Constitution and Legal Affairs, signalling a historic shift toward building…
Kura za maoni Isimani zaendelea kuzua sintofahamu
IRINGA: Kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Isimani zimeibua mjadala mzito unaotikisa si tu uhalali wa matokeo, bali pia misingi ya demokrasia ya ndani ya…
VITA YA KISASI:
VITA YA KISASI: Katika Vitasa leo mtangazaji wa Lugha ya Kiingereza ni Jimmy Kabwe na mchambuzi ni Philip Kitungu Mapambano 11, mikanda minne kupiganiwa. Vitasa hivi vitaruka mbashara kupitia AzamSports3HD…
Njombe waimarisha ulinzi wakijiandaa kupokea wageni wa kitaifa
Jeshi la polisi mkoani Njombe limesema kuwa limeimarisha ulinzi katika maeneo yote ya mkoa huo...
Serikali yaombwa kurejesha mfumo mizigo kidogo kidogo
DAR ES SALAAM:CHAMA Cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) na Chama Cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) wameiomba serikali kurejesha mfumo wa kutoa mizigo kidogo kidogo ili kusaidia kupunguza gharama…
Sh395 milioni zakopeshwa kwa vikundi 44 Ileje
Halmashauri ya Ileje Mkoani Songwe imetoa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi 44 vya vijana...
Rushwa yatajwa michezoni
DAR ES SALAAM: VITENDO vya rushwa vimetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri maendeleo ya michezo nchini, hasa katika maeneo ya usajili wa wachezaji, upangaji wa matokeo ya mechi na…
VIWANJANI: “Mimi sitashangaa Azam wakiendelea na wachezaji walewale ambao wamecheza katika mechi ya kwanza”, @lilianmukulu_ akit…
VIWANJANI: “Mimi sitashangaa Azam wakiendelea na wachezaji walewale ambao wamecheza katika mechi ya kwanza”, @lilianmukulu_ akitoa maoni yake kuhusu mchezo wa nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Muungano kati…
MOI offers free treatment to 200 children with severe head, spine problems
DAR ES SALAAM: MORE than 200 children with severe head and spine problems will receive free treatment at the Muhimbili Brain and Nervous System Institute (MOI) this year. The move…
UNESCO yalaani mauaji ya mwandishi wa habari Amal Khalil nchini Lebanon
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limelaani mauaji ya mwandishi wa habari wa Lebanon Bi. Amal Khalil yaliyotokea eneo la Al Tayri, kusini mwa nchi…
Vijana wasomi wa Vyuo Vikuu Gaza walazimika kufanya kazi ndogo ndogo ili kujikimu
Hali ngumu ya kiuchumi inayoendelea kuzorota katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel imewafanya vijana waliokuwa wakisoma vyuo vikuu na wahitimu kuhangaika kufanya kazi ndogo ndogo…
UNMISS: Kwa raia wa Nasir Sudan Kusini “kila penye giza nuru haikosekani”
Mwaka mmoja baada ya mapigano makubwa kusababisha vifo na kuwafanya maelfu ya watu kuyahama makazi yao mjini Nasir, jimbo la Upper Nile, dalili za ahuweni zinaanza kuonekana. Wakazi wanarejea polepole,…
UN: Kadri mateso yanavyoendelea Gaza, huko Iran uhaba wa bidhaa unaanza kudhihirika
Hali ngumu na hatari huko Gaza zinaendelea kuzuia juhudi za kurejesha maisha ya kawaida kwa watu wa eneo hilo lililokumbwa na vita, umesema leo Ijumaa Umoja wa Mataifa, huku wataalamu…
Epukeni kutumia droni, asema Mwakilishi wa Katibu Mkuu DRC baada ya kuwasili Goma
James Swan, ambaye ni Mwakilishi Maalum mpya wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, leo Ijumaa amewasili huko Goma, mji mkuu wa jimbo…
Sitisho la mapigano kati ya Israel na Lebanon laongezwa huku janga la kibinadamu likizidi
Marekani imetangaza kuongeza muda wa sitisho dhaifu la mapigano kati ya Israel na Lebanon kwa wiki tatu zaidi, hatua inayotoa pumziko la muda baada ya miezi ya mapigano makali.
‘Big catch-up’ yafanikisha utoaji wa zaidi ya chanjo milioni 100 kwa watoto duniani
Mpango ulianzishwa mwaka 2023 baada ya COVID-19 kuvuruga huduma. Watoto milioni 18.3 wamepatiwa huduma za chanjo Kenya na Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopata mafanikio
FAO Ripoti: Njaa yaongezeka duniani, watu milioni 266 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula
Ripoti mpya ya kimataifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO iliyotolewa leo 24 Aprili 2026 imebaini kuongezeka kwa mgogoro wa njaa duniani, huku zaidi ya…
DC atoa onyo kwa wanaovamia wawekezaji kwa mishale Babati
Mkuu wa Wilaya ya Babati, Manyara, Emmanuela Kaganda amewataka baadhi ya wakazi wa vijiji vya...
Mmiliki Mwenza wa Paradise Lost Aeleza Kwa Nini Anahofia Huenda Ardhi ya KSh 20b Ikanyakuliwa
Daniel Fundi anadai kakake wanamfungia nje kwenye mijadala ya uwekezaji ya KSh 208B, na kusababisha mgawanyiko wa kifamilia kuhusu ardhi na hati miliki tangu 2017.
Mmiliki Mwenza wa Paradise Lost Aeleza Kwa Nini Anahofia Huenda Ardhi ya KSh 20b Iko Ikanyakuliwa
Daniel Fundi anadai kakake wanamfungia nje kwenye mijadala ya uwekezaji ya KSh 208B, na kusababisha mgawanyiko wa kifamilia kuhusu ardhi na hati miliki tangu 2017.
Usanifishaji wa mashine za maabara warahisisha utoaji huduma za afya
Usanifishaji wa mashine za maabara katika vituo vya afya nchini umeleta mageuzi makubwa katika...
QNET yawatahadharisha wananchi dhidi ya utapeli
Kampuni ya kimataifa ya biashara ya mtandaoni, QNET, imejitokeza hadharani kuelezea msimamo...
Cherehani aomba transfoma, umeme wa uhakika Ushetu
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Emmaneul Cherehani ameiomba...
#MuunganoCup Simba SC walivyokaribishwa rasmi Zanzibar kwa ‘makachu’
#MuunganoCup Simba SC walivyokaribishwa rasmi Zanzibar kwa 'makachu'. Hii ni sehemu ya ziara yao kutembelea vivutio vya utalii Zanzibar ikiwa ni zawadi kutoka kwa Rais Hussein Mwinyi kwa timu zote…
Watakiwa kuwa mabalozi sheria za madini
SHINYANGA: Serikali imewataka wakaguzi wakuu wa migodi na mameneja wa migodi nchini kuwa mabalozi wa utekelezaji wa sheria, kanuni za madini na kuwa wazalendo katika biashara ya madini ili kuongeza…
Arusha sees speedy construction of key access roads to the AFCON Stadium
ARUSHA: CONSTRUCTION of key access roads to the AFCON stadium in Arusha has gained momentum, with the government setting May 2027 as the firm deadline for completion of the 21.4-kilometre…
Championship sasa ni mwendo mdundo
UHONDO wa Ligi ya Championship unaendelea wikiendi hii kwa mechi tano kupigwa leo Jumamosi na nyingine pia tatu kesho Jumapili, kuhitimisha raundi ya 23, ikiwa ni lala salama kwa kila…
Kujifunza kuendesha baiskeli kulivyowasaidia wanawake kujifunza kusoma na kuandika
Baadhi ya wanawake ambao walijifunza kuendesha baiskeli miaka ya 1990, walijipatia nafasi nzuri za kazi, wakabadilisha maisha yao, pamoja ya watoto na wajukuu wao.
Beard Gang: Vidokezo Muhimu Kila Mwanaume Anahitaji Kuzingatia Katika Kuzikuza Ndevu
Ndevu nzuri haziji kwa bahati bali utaratibu wa kila siku unaouzingatia kabisa ili kuimarisha muonekano wako. Jifunze jinsi ya kuotesha na kuzikuza ndevu zako.
New Stone imeumaliza mwendo ZPL
BAADA ya New Stone kutembezewa kichapo katika mechi tatu kati ya 10 zilizosalia Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), timu hiyo rasmi imeshuka daraja na msimu ujao itashiriki Ligi Daraja la Kwanza,…
Maafisa wa Iran watoa majibu yanayofanana kwa Trump
Kamanda wa jeshi la IRGC na Quds amesisitiza uwepo wa mshikamano katika idara za serikali ya Iran.
Mpishi afichua siri ulaji wa Ronaldo
Nyota wa soka wa Ureno, Cristiano Ronaldo (41), anaendelea kushangaza dunia kwa uimara wake na...
Ushirikiano kipaumbele uongozi mpya ALAT
ARUSHA: Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Sospeter Mtwale amewataka viongozi wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa Jumuiya…
Njugush: Gumzo lavuja la mcheshi akielezea kilichotokea kati yake na mkewe
Talaka ya Njugush na Celestine Ndinda imeibua gumzo kuhusu usaliti katika ndoa. Gumzo zilizovuja zimewapa mashabiki undani wa kilichopelekea katika penzi hilo
Watoto 200 kupewa matibabu bure MOI
DAR ES SALAAM: Zaidi ya watoto 200 wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo wazi watapatiwa matibabu bure katika Taasisi ya Ubongo na Mishipa Muhimbili (MOI) mwaka huu . Hatua…
Tanga kudhibiti wizi wa siafu, mayai ya bundi
TANGA: SERIKALI mkoani Tanga kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), zitaendelea kuimarisha ulinzi wa pamoja katika Hifadhi ya Msitu ya Mazingira Asilia(RNFR) ili kudhibiti mienendo ya…
Orodha ya sarafu 10 zinazofanya vibaya zaidi Barani Afrika kufikia Aprili 2026
Gundua sarafu 10 zilizofanya vibaya barani Afrika kufikia Aprili 2026. Dinari ya Libya ni sarafu ya Afrika iliyofanya vibaya, ikishuka kwa zaidi ya 17% dhidi ya USD.
Ulaya yaipa Ukraine mkopo wa Euro Bilioni 90
Wakuu wa nchi na serikali wa Umoja wa Ulaya waliokutana huko Cyprus kwa ajili ya mkutano usio rasmi, hatimaye wamefanikiwa kuidhinisha mkopo wa euro bilioni 90 kwa Kyiv kutokana na…
BoT yawanoa walemavu Singida elimu ya fedha
SINGIDA: Katika mkakati wa kuwa na uchumi jumuishi unaochangiwa na makundi yote ndani ya jamii, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya elimu ya fedha kwa kundi maalumu la…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….APRILI 24, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....APRILI 24, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Government Pledges Stronger Industry Link to Boost Skills Training
DAR ES SALAAM: THE government has pledged to continue strengthening the implementation of a skills and competence-based education system by working closely with industries to ensure graduates are equipped with…
Donald Trump: Muda wa usitishaji mapigano Lebanon umeongezwa
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi kuongezwa muda wa wiki tatu wa kusitisha mapigano Lebanon, huku juhudi za kufikia makubaliano na Iran zikiendelea kukwama. Imechapishwa: 24/04/2026 –…
I shoulder election crisis burden, says Samia
DAR ES SALAAM: DESCRIBING the October 2025 election-related violence as a heavy burden on her leadership, President Samia Suluhu Hassan said the crisis has weighed deeply on her shoulders as…
Report reveals pre-planned violence to create vacuum
DAR ES SALAAM: THE Independent Commission of Inquiry into the 2025 General Election unrest has concluded that the October violence was not a series of spontaneous demonstrations, but premeditated acts…