Saturn kuleta nchini malori yanayotomia gesi asilia
Wakati dunia ikiwa katika mapambano ya kukabiliana na bei za mafuta, wanaotumia malori katika...
Man City yaichapa Arsenal, mbio za ubingwa EPL nyeupe
Man City imezidi kuiongezea presha Arsenal katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL)...
Uhaba wa fedha za maandalizi miradi ya ubia tishio
Wakati Tanzania ikiazimia kukuza uchumi wake kutoka Dola 90 bilioni za Marekani (Sh234,000...
Anda Filip achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke wa IPU
Inter-Parliamentary Union (IPU) imemchagua Anda Filip kuwa Katibu Mkuu wake wa tisa, hatua...
Tanzania yajifunza mbinu za kuimarisha Bunge katika mkutano wa IPU
Tanzania imesema inaendelea kujifunza kutoka Mkutano wa 152 wa Inter-Parliamentary Union (IPU)...
Dk Mwigulu atoa maagizo, viongozi kutembelea miradi
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza viongozi wa Serikali kuacha utaratibu wa kusimamia...
Bingwa Muungano Cup kubeba Sh150 milioni
BINGWA wa Kombe la Muungano 2026, atazawadiwa Sh150 milioni, zawadi ambayo ni mara tatu ya mashindano yaliyopita.
Gueye, Mpanzu waibeba Simba
SIMBA imeshinda mchezo wa pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara ikiwa ugenini baada ya kuichapa Namungo mabao 3-0, ikizidi kuweka hai kiu yao ya kuutaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara…
Meli iliyobeba saruji yazama Zanzibar, wanne wapotea
Watu wanne kati ya 14 wanatafutwa baada ya meli ya MV Jozani II kuzama maji katika maeneo ya...
Simba yaichapa Namungo, ikigeukia Kombe la Muungano
Simba imezidi kujichimbia katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya leo,...
Mrundi Fountain Gate akwepa mtego wa Play-Off
BEKI wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi amesema licha ya kikosi hicho kutokuwa na mwenendo mzuri katika mechi za Ligi Kuu Bara, lakini malengo yao ni kuhakikisha timu…
Sinza kujengwa upya, wamiliki waibua maswali
Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza jijini...
ACT Wazalendo wataka hatua hizi ripoti ya CAG
Chama cha ACT Wazalendo kimeshauri Serikali na wadau mbalimbali kuchukua hatua tano muhimu...
Wafanyabiashara Simu 2000 wajengewa vibanda badala ya meza
Wakati awali mpango ilikuwa kuwawekea meza za muda wafanyabiashara wa Simu 2000, Ubungo jijini...
Wenye uziwi wabuni jarida alama za magonjwa kulinda usiri
Kikundi cha Kuendeleza Vipaji na Ubunifu wa Viziwi nchini (Kikuvuvita) kimeanzisha mpango wa...
Nakuru: Mwanamke Aliyemzima Chifu Afunguka, Asema Atakabiliana na Kuongezeka kwa Visa vya Uhalifu
Vicky Chepkwony aliyezoma chifu alisema ujasiri wake uliwawezesha wanawake wa Nakuru kukabiliana na donda la uhalifu na kudai uwajibikaji kutoka kwa maafisa
Chadema Nyasa yaanza kazi ikisisitiza Katiba mpya, kuachiwa Lissu
Kazi imeanza, lazima kieleweke. Ni kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda...
Mkakati wa kuinusuru Malindi, kisaka amrithi hababuu
UONGOZI wa timu ya Malindi, umethibitisha kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hababuu Ali ambapo nafasi yake imechukuliwa na Ally Ramadhani Kisaka, ikiwa ni miongoni mwa mikakati ya…
Kikapu Zanzibar hatarini, wadau wapaza sauti
WAKATI Serikali ya Zanzibar ikiendelea kujenga viwanja vya michezo kisiwani hapa, wadau wa mpira wa kikapu wamelia na ukosefu wa viwanja.
Ndugu watatu watiwa hatiani kwa mauaji ya kukusudia
Mahakama Kuu, Kanda ya Sumbawanga, imewatia hatiani ndugu wa damu watatu kwa kosa la mauaji ya...
Tanzania yang’ara Tanfoam Marathon Arusha
Wanariadha wa Tanzania wamefanikiwa kupeta katika mashindano ya Tanfoam Marathon, baada ya kukata utepe kwa upande wa kilomita 42 na 21 mbele ya wanariadha kutoka Kenya na Uganda.
Mikoa hii ijiandae kwa mvua usiku huu
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua na ngurumo kuanzia leo Jumapili...
Ukataji miti holela watikisa mazingira Simiyu
Katika ukanda wa Ziwa unaojulikana kwa shughuli za kilimo na ufugaji, Mkoa wa Simiyu...
Wananchi wafugaji kunufaika na mashine ya kusaga
Wananchi wa jamii ya wafugaji katika kitongoji cha Noomunyi, kata ya Loiborsiret wilayani...
Yaliyojiri usiku wa mauaji ya mama lishe Moshi, kichanga chake kikilia
Sauti za ndege zisizo za kawaida, mvua kubwa iliyonyesha usiku kucha na kilio cha mtoto mchanga...
Sh1.3 bilioni kupunguza upotevu wa maji Kilimanjaro
Wakati asilimia 69 ya upotevu wa maji katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, ukichangiwa...
‘Ajira kwa watu wenye ulemavu bado hairidhishi’
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Watu Wenye Ulemavu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana...
Yanga, Simba zanukia fainali Kombe la Muungano
Ratiba ya Kombe la Muungano 2026 litakalofanyika Zanzibar kuanzia Jumanne Aprili 21, 2026...
Oburu Oginga Adai Raila Alikuwa Amechoshwa na Edwin Sifuna Kabla Ya Kufariki
Oburu Oginga anafichua jinsi Raila Odinga alivyomchoka Edwin Sifuna, akidai marehemu kiongozi wa ODM aliaibishwa na vitendo vya Sifuna kabla ya kuaga dunia.
SMZ yatoa neno ushirikishwaji wananchi utafiti wa mafuta, gesi
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikijiandaa kuanza shughuli za ukusanyaji wa...
Wanaanga wa Artemis II : ‘Tuliondoka kama marafiki,tukarudi tukiwa marafiki zaidi’
Katika kikao chao cha kwanza na wanahabari baada ya kurejea Ijumaa iliyopita, Reid Wiseman, Victor Glover, Christina Koch na Jeremy Hansen walisema walienda angani kama marafiki na wakarudi wakiwa na…
MONUSCO yakaribisha mafanikio ya mazungumzo ya Montreux chini ya mchakato wa Doha
Mpango wa Ummoja wa Mataifa wa Kulinfada Amani nchini Jamjuriy a Kidemokrasia ya Congo DRC, ujulikanao kama (MONUSCO) umepongeza na kukaribisha “mafanikio muhimu na ya kutia moyo yaliyopatikana katika mazungumzo…
Pina, shabiki wazichapa uwanjani
TIMU ya Muembe Makumbi inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, haiachi vituko kwenye ligi hiyo kuanzia mashabiki hadi wachezaji wake na mara nyingi imekuwa ikipokea adhabu kutoka Bodi ya Ligi Zanzibar kutokana…
Ramani za kiikolojia zafungua fursa kwa wachimbaji wadogo
Matumizi ya ramani za kiikolojia yameanza kuonekana kuwa suluhisho la kuongeza tija kwa...
Mashirika ya umma Z’bar yatakiwa kukuza mitaji, kujiorodhesha DSE
Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar imezitaka taasisi na mashirika ya umma kubadilika na kuanza...
Papa atua Angola mzimu wa Trump ukimfuata
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo wa XIV amewasili nchini Angola tayari kuanza...
Tanesco yawazawadia walimu majiko, yataja nishati safi ya kupikia
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa majiko 30 ya umeme kwa walimu wa Shule ya Sekondari...
Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel
Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia…
Siku ya Jeshi: Kiongozi apongeza jeshi la Iran kwa ujasiri katika kulilinda taifa dhidi ya wavamizi
Katika ujumbe alioutoa Jumapili kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei amelisifu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusimama…
Watano wadakwa tuhuma mtandao wizi wa magari
Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi wa...
Mikwaju ya penalti ilianzaje katika mpira wa miguu?
Kabla ya penalti, mechi za finali au mtoano zilizoishia kwa sare zilitatuliwa kwa marudio, kwa kucheza bahati nasibu au kurusha sarafu.
MUUNGANO CUP 2026 | “…haya ndiyo mashindano pekee yanayokutanisha uwezo wa wachezaji wa daraja A, na wachezaji wa daraja A cha…
MUUNGANO CUP 2026 | "...haya ndiyo mashindano pekee yanayokutanisha uwezo wa wachezaji wa daraja A, na wachezaji wa daraja A chanya" Neno kutoka kwa Mkurugenzi wa City Institute of Health,…
Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima
Mwandishi wa kituo cha Aljazeera huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.
Iran kudhibiti trafiki ya Lango Bahari la Hormuz hadi makubaliano yafikiwe kumaliza vita
Baraza la Juu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kusimamia na kudhibiti trafiki yote inayopita katika Lango Bahari la Hormuz, ambalo ni njia…
Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka
Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa…
Kwa mashabiki wote wa ukurasa wetu wa AzamTV Burudani mnaoulizia uko wapi, ukurasa wetu wa burudani umepata changamoto, tunaushu…
Kwa mashabiki wote wa ukurasa wetu wa AzamTV Burudani mnaoulizia uko wapi, ukurasa wetu wa burudani umepata changamoto, tunaushughulikia ili urejee hewani. Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza, pindi Meta Business…
Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein
Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin…
Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa
Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za…