Baba aua watoto wake saba kwa risasi, naye auawa
Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na kituo cha habari cha CBS, watoto hao walikuwa na umri...
#HABARI: Rais William Ruto amekashifu watu wanaolinganisha gharama ya mafuta ya Kenya na ya majirani zake huku akidokeza kuwa ha…
#HABARI: Rais William Ruto amekashifu watu wanaolinganisha gharama ya mafuta ya Kenya na ya majirani zake huku akidokeza kuwa hatua hiyo ni kwa kile alichokitaja kuwa ni kutokana na Kenya…
Passenger bridge project takes shape at Zanzibar airport
ZANZIBAR: ZANZIBAR government is pressing ahead with strategic investments in air transport infrastructure, with steady progress recorded in the construction of a passenger connecting bridge at Abeid Amani Karume International…
Ghana: Rais Mahama anakabiliwa na shinikizo kuhusu sheria ya dhidi ya ushoga (LGBTQ+)
Mjadala unaohusu muswada tata dhidi ya ushoga (LGBTQ+) unazidi kuongezeka nchini Ghana baada ya Rais John Mahama kubainisha kwamba haukuwa kipaumbele. Msimamo huu umesababisha ukosoaji kutoka kwa viongozi wa kidini…
SGR yahusishwa na mafuriko Morogoro, Serikali yajibu
Serikali imesema inachukua hatua za haraka kukabiliana na changamoto ya mafuriko katika baadhi...
Kitambala alivyokuja na bahati Azam
Mshambuliaji wa Klabu ya Azam, Jephte Kitambala ni kama alikuja katika wakati sahihi ndani ya...
OCPD: Law revision key to attracting foreign investment
DODOMA: THE Revised Edition 2023 of the Laws of Tanzania has been described as a vital tool for boosting investor confidence, as it consolidates all laws and their amendments into…
Afrika Kusini: Hatima ya mwanaharakati wa Panafricanism Kemi Seba kujulikana
Mwanaharakati wa Panafricanist, mshawishi, na mwandishi Kemi Seba anatarajiwa kufika mahakamani nchini Afrika Kusini mnamo Aprili 20. Alikamatwa wiki iliyopita mjini Pretoria, na kufuatia hati ya kimataifa ya kukamatwa iliyotolewa…
What Tanzania learned at IPU meeting
DODOMA: TANZANIA is gaining valuable insights from the 152nd Assembly of the Inter-Parliamentary Union (IPU) in Istanbul, Türkiye, as part of efforts to strengthen parliamentary performance and improve service delivery…
Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu Fred Vunjabei, ameongoza kura za maoni katika uchaguzi wa ndani wa Jimbo la Isimani
Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu Fred Vunjabei, ameongoza kura za maoni katika uchaguzi wa ndani wa Jimbo la Isimani. Fred amewashinda makada wenzake 17 ambako jumla ya wanachama 18 wa Chama…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….APRILI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....APRILI 20, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Jukwaa la Dakar lafunguliwa katika mazingira ya usalama yanayopitia mabadiliko makubwa Afrika
Toleo hili linafanyika katika muktadha wa mabadiliko makubwa: kupungua kwa uwepo wa Ufaransa katika Sahel, kudhoofika kwa ECOWAS, na harakati za wanajihadi kushika kasi kuelekea pwani za Ghuba ya Guinea.…
Magazetini: Kikosi cha Edwin Sifuna cha Linda Mwananchi Chatangaza Maandamano ya Siku 3 Mwezi Juni
Vuguvugu la Linda Mwananchi lapanga maandamano nchi nzima mwezi Juni kupinga utawala mbovu. Mizozo ya ODM na UDA yazidi kuongezeka huku Rais Ruto akizungumzia mafuta
Simbu kuipeperusha bendera ya Taifa, Marekani leo
Bendera ya Taifa leo itakuwa inapeperuka katika mashindano makubwa ya riadha ya Boston Marathon...
DRC: Mzozo unaongezeka kuhusu uhamisho wa wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mapokezi ya wahamiaji waliofukuzwa nchini Marekani yanaibua maswali mengi. Kundi la kwanza la wahamiaji kumi na watano kutoka Peru, Colombia, na Ecuador waliwasili Kinshasa…
#MAREKANI: Mtu mmoja amewaua watoto wake saba pamoja na mtoto mwingine ambaye si wa familia hiyo katika tukio la mauaji ya risas…
#MAREKANI: Mtu mmoja amewaua watoto wake saba pamoja na mtoto mwingine ambaye si wa familia hiyo katika tukio la mauaji ya risasi yaliyotokea Shreveport katika Jimbo la Louisiana nchini Marekani,…
Mzozo kati ya Trump na Papa hadharani, utamgharimu vipi kisiasa
Historia inaonyesha kwamba kwa Wakatoliki wengi nchini Marekani, siasa huja kabla ya imani.
Bingwa Muungano kubeba Sh150 milioni
Bingwa wa Kombe la Muungano 2026, atazawadiwa Sh150 milioni, zawadi ambayo ni mara tatu ya...
Latrician kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World
Mrembo kutoka Dar es Salaam, Latricia Ian (24) ametangazwa kuwa Miss World Tanzania wa kwanza...
Watanzania wang’aa mbio za Tanfoam
ARUSHA: WANARIADHA kutoka Tanzania wamefanikiwa kung’ara katika mashindano ya kimataifa ya mbio ndefu za Tanfoam baada ya kumaliza washindi kwa kilometa 42 na kilometa 21 kwa wanawake na wanaume. Katika…
Venezuela: Licha ya sheria ya msamaha, wafungwa 500 wa kisiasa wanaendelea kufungwa
Nchini Venezuela, sheria ya msamaha kwa wafungwa wa kisiasa ina miezi miwili haswa tangu kuidhinishwa. Ilipitishwa na bunge mnamo Februari 20. Katika miezi hii miwili, mamia ya wafungwa wameachiliwa huru,…
Barthez akabidhiwa makipa Singida BS
Kocha wa makipa, Ally Mustapha 'Barthez', amejiunga na Singida Black Stars baada ya kukaa nje...
Marekani: Watoto wanane wapigwa risasi na kuuawa katika vurugu za kifamilia Louisiana
Mtu mwenye bunduki amewaua watoto wanane kwa risasi, tukio lililohusishwa na vurugu za nyumbani katika nyumba mbili tofauti mapema siku ya Jumapili asubuhi, Aprili 19, Shreveport, Louisiana, polisi imesema. Lilikuwa…
Spurs yagoma kushuka daraja
Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi anaamini kwamba timu yake itapata ushindi...
Dk Gwajima asimulia anavyozikabili lugha chafu mitandaoni-3
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amesema...
Marekani yakamata meli ya mizigo yenye bendera ya Iran- Trump
Kwa mujibu wa Rais wa Marekani Donald Trump, vikosi vya Marekani sasa vinaidhibiti meli hiyo, ambayo alisema ilijaribu kukwepa kizuizi cha kijeshi cha Marekani kilichowekwa kwa meli zinazotoka Iran siku…
Pango linalobadili mtazamo wa dunia kutokana na siri za miaka milioni 49
Mimea huwa ya kijani kwa sababu ina chlorophyll, ambayo hufyonza nishati ya mwanga. Katika mchakato wa usanisinuru au photosynthesis, nishati hii hubadilisha hewa ya carbondioxide kuwa oksijeni.
Emmanuel Macron nchini Poland kuimarisha ushirikiano kati ya Paris na Warsaw
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Mawaziri wa Mambo ya Nje, Utamaduni, na Nishati wanasafiri kwenda Gdansk kwa mkutano wa kwanza wa kilele wa Ufaransa na Poland. Mpango huu unatekeleza…
Kapinga atoa mwelekeo mpya sekta ya huduma na biashara
DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kuibadilisha sekta ya biashara na huduma nchini, akisisitiza zaidi urasimishaji na uwezeshaji. Akizungumza leo jijiji Dar…
Tanzania yafuta leseni kadhaa za uchimbaji madini, yazituhumu kampuni kwa kupitisha muda
Nchini Tanzania, serikali imefuta leseni 40 za uchimbaji madini. Kulingana na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, kampuni husika hazikuendeleza makubaliano yao ndani ya muda uliowekwa. Hata hivyo, leseni hizi ambazo…
Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani
Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili jioni, huku jeshi lake likiishutumu Marekani kwa kukiuka makubaliano…
AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland
Umoja wa Afrika hapo jana “ulilaani vikali” hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, uamuzi iliyosema ni kuingilia uhuru wa Somalia. Imechapishwa: 20/04/2026…
Arsenal na mbio za ubingwa EPL, historia inajirudia
Arsenal kafungwa na City. Swali kubwa linalobaki ni kama Arsenal wataweza kubadilisha simulizi yao ya miaka ya karibuni. Mara nyingi wamekuwa wakianza vizuri, lakini kushindwa kumaliza kazi.
Mawaziri wanne kikaangoni, mafuta na Katiba mpya…
Huenda wiki hii bungeni kukaibuka mjadala utakaohusisha mambo 10 au zaidi, yanayozihusu wizara...
Uganda: Mwandishi wa habari mkongwe auawa kwa kupigwa risasi Kawanda
Joe Nam, 55, alifanya kazi katika vyombo vya habari vya serikali kwa miongo mitatu kabla ya kustaafu. Alikuwa ameandika kitabu kinachozungumzia matokeo yanayowezekana ya Rais Yoweri Museveni kujiuzulu baada ya…
Papa Leo akemea vitendo vya rushwa nchini Angola
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeendelea kusumbua nchi hiyo tangu kumalizika kwa vita ya…
DEVELOPMENT PROJECTS: PM demands strict oversight
CHAMWINO: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has directed government officials to ensure proper supervision of development projects across the country, including those in water, electricity, health, infrastructure and education, so…
RDC: Kinshasa na M23 zakubaliana kuhusu ubadilishanaji wa wafungwa
Serikali ya DRC na waasi wa M23 wamekubaliana kuruhusu kupitishwa kwa misaada ya kibinadamu na kubadilishana wafungwa ndani ya siku 10 zijazo, hii ni kwa mujibu wa taarifa ya pamoja…
Tetesi za soka Ulaya: Arsenal, Chelsea zinamfukuzia Bergvall
Arsenal na Chelsea zinamfuatilia kiungo wa Tottenham Hotspur, Lucas Bergvall. Wakati huo huo, Paris Saint-Germain wako kwenye mazungumzo na Gabriel Martinelli, huku Manchester United na Real Madrid wakimmendea Unai Emery.
Timu ya mpira wa Pete ya Club ya Michezo ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeiadhibu vikali Timu ya Pete ya Benki Kuu ya Tanzani…
Timu ya mpira wa Pete ya Club ya Michezo ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeiadhibu vikali Timu ya Pete ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) mabao 46-6 katika michuano…
Migogoro ya ardhi yatawala tena mkutano wa Mwigulu Dodoma
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi ngazi ya wilaya na mkoa wakiwemo...
Staa wa Hollywood kunogesha Kombe la Dunia 2026
Nyota wa filamu za Hollywood, Idris Elba, ameongeza msisimko mkubwa kwa mashabiki wa soka...
Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt
Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kupata utulivu wa kuliongoza Taifa la Tanzania kwa amani, upendo na mshikamano.…
Visiwa kumi Mwanza kunufaika na mradi wa umeme jua
Zaidi ya kaya 20,000 kwenye visiwa kumi vilivyopo jijini Mwanza vinatarajiwa kunufaika na...
Saturn kuleta nchini malori yanayotomia gesi asilia
Wakati dunia ikiwa katika mapambano ya kukabiliana na bei za mafuta, wanaotumia malori katika...
Man City yaichapa Arsenal, mbio za ubingwa EPL nyeupe
Man City imezidi kuiongezea presha Arsenal katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL)...
Uhaba wa fedha za maandalizi miradi ya ubia tishio
Wakati Tanzania ikiazimia kukuza uchumi wake kutoka Dola 90 bilioni za Marekani (Sh234,000...
Anda Filip achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke wa IPU
Inter-Parliamentary Union (IPU) imemchagua Anda Filip kuwa Katibu Mkuu wake wa tisa, hatua...