Timu ya Dar City imeendelea kung’ara kwenye Ligi ya Kikapu Afrika inayoendelea nchini Afrika Kusini kwa kushinda mchezo wake wa …
Timu ya Dar City imeendelea kung’ara kwenye Ligi ya Kikapu Afrika inayoendelea nchini Afrika Kusini kwa kushinda mchezo wake wa pili mfululizo, safari hii ikiwa ni zamu ya Nairobi City…
Iran yamchekelea Muhoozi anayesema anaweza kuichafua Tehran ndani ya siku 14: “Africa’s got talent”
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu Madai ya Muhoozi Kainerugaba kwamba Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda linaweza kuiteka Tehran ndani ya wiki mbili.
Rigathi Gachagua ampuuza Dennis Itumbi, akataa kujibu swali kumhusu: “Bloga chekechea”
Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua alimpuuza Dennis Itumbi, na akataa kujibu madai katika mahojiano ya podikasti, huku ubabe wa kura ya urais 2027 ukitanuka.
Serikali yamaliza mgogoro wafanyabiashara wa filamu Mbeya
Serikali ya Jiji la Mbeya kwa kushirikiana na Bodi ya Filamu nchini imemaliza mgogoro uliokuwa...
#SportPesaLeague: Goli la kujifunga la David Leon KIMUNGUI na header ya Rogers Ouma, ndiyo ushindi wa Kakamega Homeboyz wakiwa u…
#SportPesaLeague: Goli la kujifunga la David Leon KIMUNGUI na header ya Rogers Ouma, ndiyo ushindi wa Kakamega Homeboyz wakiwa ugenini kwenye Dimba la Kasarani Annex, dhidi ya Posta Rangers. Magoli…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Tanga imefanikiwa kuokoa kiasi cha shilingi milioni 12 ambacho kilik…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Tanga imefanikiwa kuokoa kiasi cha shilingi milioni 12 ambacho kilikuwa katika hatari ya kufanyiwa ubadhilifu, wakati wa utekelezaji wa mradi…
Utafiti wabaini changamoto za usalama na ujumuishaji shuleni
Matokeo ya utafiti huo yanaonesha kuwa, licha ya uwepo wa sera, mifumo na miongozo ya usalama...
TPDC: Kuna mafuta yakutosha miezi mitatu, yatapanda bei
Kwa upande wa dizeli, amesema akiba iliyopo ni lita 55.74 milioni, yaliyowasili ni lita 122.8...
Waandishi wa habari kadhaa wa Lebanon wauawa katika shambulio la Israeli
Vita vya Mashariki ya Kati vimeingia mwezi wake wa pili leo Jumamosi, Machi 28, 2026, bila dalili zozote za kupungua, huku Israel na Iran zikiendelea kushambuliana kwa mabomu. Angalau waandishi…
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), wamekumbushwa kuzingatia misingi na …
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), wamekumbushwa kuzingatia misingi na kanuni za maadili ya utumishi wa umma katika utekelezaji wa…
Madaktari sita wapata ajali ya gari, wanusurika kifo
Madaktari hao walikuwa wanatoka kutoa huduma kwenye kambi ya matibabu ya kibingwa katika...
Shambulio lazimwa mbele ya Bank of America Paris, ucunguzi waanzishwa
Jaribio la shambulio kwa klipuzi limezimwa leo Jumamosi, Machi 28, jijini Paris, mbele ya tawi la Benki Kuu ya Amerika, Bank of America, baada ya maafisa wa polisi kuingilia kati…
Mbelgiji aliyeshtakiwa kwa mauaji Patrice Lumumba wa DRC amekata rufa
Aliyekuwa mwanadiplomasia wa Ubelgiji Etienne Davignon, aliyefunguliwa mashtaka akihusishwa na kifo cha mpigania uhuru na mwanzilishi wa taifa la DRC Patrice Lumumba mwaka 1961, amekata rufaa kupinga kufunguliwa mashtaka. Imechapishwa:…
Chakuhawata chalia kubaguliwa kikihusishwa na vyama vya upinzani
Dodoma. Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (Chakuhawata) kimesema kimekuwa...
Nia ya Macky Sall kuwania nafasi ya katibu Mkuu wa UN yapingwa
Nchi ya Senegal, ni miongoni mwa mataifa 20 ambayo yamekataa jina la rais wa zamani Macky Sall, kuwa mwakilishi wa Afrika kwenye kinyanganyiro cha kuwania nafasi ya Katibu Mkuu wa…
Samia: Tulimhitaji Lukuvi wakati huu wa migongano duniani
Lukuvi (70), alifariki dunia asubuhi ya Machi 25, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini...
Waasi wa Houthi kutoka Yemen warusha makombora Israel
Wakati vita vikiingia wiki ya nne mashariki ya Kati, waasi wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen wamesema wameishambulia Israel kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa vita dhidi…
Wanafunzi 18 watua Korea kimasomo
DAR ES SALAAM :ZAIDI ya wanafunzi wa Kitanzania 18 wamepelekwa nchini korea kwa ajili ya masomo ikiwa ni matokeo ya uhusiano mzuri baina ya tanzania na korea ambao umedumu kwa…
Wadau wataka subira baada ya kipigo Taifa Stars
KITENDO cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kufungwa bao 1-0 dhidi ya Liechtenstein, kimewaibua wadau ambao walikuwa na mitazamo tofauti ya nini kifanyike ili kupata matokeo mazuri.
Wadau wataka subra baada ya kipigo Taifa Stars
KITENDO cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kufungwa bao 1-0 dhidi ya Liechtenstein, kimewaibua wadau ambao walikuwa na mitazamo tofauti ya nini kifanyike ili kupata matokeo mazuri.
Nyota Azam arejesha matumaini mapya
BAADA ya kukaa nje kwa takribani mwezi mzima, kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Nassor Saadun, ameanza kufanya mazoezi na wenzake, ikiwa ni matumaini mapya pia kwa kikosi hicho kutokana na…
Japan’s Toyo seeks to invest in a fertilizer plant in Tanzania
DAR ES SALAAM: THE Japan-based Toyo Engineering Corporation has expressed interest in investing in a fertilizer manufacturing plant in Tanzania, aiming to boost local production using natural gas and coal.…
Mgaboni TRA United afichua jambo Ligi Kuu Bara
KIPA wa TRA United raia wa Gabon, Jean-Noel Amonome, amesema msimu huu umekuwa mzuri kwake na rahisi wa kusoma vizuri mazingira ya Ligi ya Tanzania, tofauti na mwanzo alipojiunga na…
Akili Unde kuimarisha kilimo, mifugo Zanzibar
Unguja. Taasisi ya Teknolojia ya India Madras Kampasi ya Zanzibar (IITMZ) imedhamiria...
Wahouthi waishambulia Israel, vita Mashariki ya Kati vyazidi kupanuka
Wakati hayo yakitokea, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio amesema nchi yake...
Kikwete eulogizes the late William Lukuvi
DAR ES SALAAM: THE former Tanzanian President, Jakaya Kikwete, has said the death of William Lukuvi has left a significant void in the nation, citing his integrity, diligence and deep…
Magata atwishwa zigo Mtibwa Sugar
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mkenya Yusuf Chippo, amesema kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Fredrick Magata, ndiye chaguo lake la kwanza kikosini hapo katika upigaji wa penalti msimu huu, labda…
Dr Samia leads Tanzanians in paying last respects to the late Lukuvi
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has led national leaders and members of the public in paying their last respects to the late William Lukuvi at a solemn farewell…
Mchezo wa Kabaddi ulivyo na namna unavyochezwa
INAWEZEKANA ulishawahi kusikia mchezo unaoitwa Kabaddi na unatamani kujua kiundani mchezo huo namna unavyochezwa au unaona unavyoochezwa lakini huelewi. Lakini unatakiwa ufahamu kwamba, ili kukusanya pointi, huko inabidi kazi kubwa…
Nisre Zouzoua ang’ara, Dar City yaitandika Johannesburg BAL
WAKATI Dar City ikiichapa Johannesburg Giants ya Afrika Kusini katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika (BAL) juzi Ijumaa kwa pointi 100-70, Nisre Zouzoua alikuwa mwiba…
ZFF yaleta neema kwa waamuzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limesema lina mpango wa kuboresha maslahi ya waamuzi ili kuongeza ubora wa usimamizi wa michezo ya soka visiwani hapa. Maulid Mwita wakati akizungumza…
Kiama kwa wachakachuzi mbolea, TFRA yaanzisha mfumo wa siri
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imeanzisha mfumo...
Mtwara Port sees improvement in service delivery after Zanzibar tour
MTRWARA: OFFICIALS from Mtwara Port have intensified efforts to improve service delivery and strengthen business ties after conducting a working visit to Zanzibar aimed at engaging clients and key stakeholders.…
Economic Cooperation Between Russia and Indonesia: Current State and Future Prospects
INDONESIA: Under President Prabowo Subianto, the Republic of Indonesia—Southeast Asia’s biggest state, as well as one of the biggest states in the Islamic world—pursues a policy of what is, doubtlessly,…
Waasi wa Houthi kujiunga vita ya Iran ina maana gani kwa dunia
Waasi wa Houthi kutoka Yemen ni miongoni mwa washirika wakuu wa Iran katika ukanda wa Mashariki ya Kati, na kwa muda mrefu wamekuwa wakijihusisha na mashambulizi ya hapa na pale…
Senegal to parade Afcon trophy despite title being stripped
SENEGAL: Senegal plan to parade the Africa Cup of Nations trophy before their game against Peru in Paris on Saturday, with the head of the country’s Football Federation vowing a…
‘The gravest crime against humanity’: What does the UN vote on slavery mean?
USA: The United Nations General Assembly this week overwhelmingly backed a resolution declaring the transatlantic slave trade “the gravest crime against humanity”. Welcoming the vote, UN Secretary-General Antonio Guterres said…
Wavuvi watakiwa kuzingatia tahadhari za hali ya hewa
Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Bahari ya Hindi mkoani Tanga wametakiwa kuzingatia na...
Innovation drives economy, safeguards heritage — Italy Envoy
DAR ES SALAAM: Innovation has been identified as a powerful driver of economic growth and a key tool in preserving national heritage, with Italy urging greater investment in creative industries.…
Mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani bado hayajakamilika -UN
Mapambano yaendelee kudumisha usawa wa binadamu Hakuna taifa linaweza kujigamba halina aina yoyote ya ubaguzi Ubaguzi unashamiri kwenye maeneo yanayojigamba yana usawa Majukwaa ya kidijitali nayo yamulikwe yasiwe fursa za…
Guterres atoa wito wa hatua madhubuti wakati wa saa1 ya kulinda dunia
Hii leo dunia nzima kwa saa moja itatenga muda wa kuzima umeme kwenye vifaa visivyohitaji nishati hiyo wakati huu kama njia mojawapo ya kubana nishati hiyo na kulinda mazingira.
Tanzania wins accolades in the Commonwealth Public Debt Management contest
LONDON: TANZANIA has continued to shine on the global stage after emerging as the overall winner at the 2026 Commonwealth Public Debt Management Awards and clinching the Best Debt Management…
Vita vya kichokozi vya Israel na Marekani dhidi ya Iran na msimamo hasi wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Asubuhi ya Jumamosi, Februari 28, 2026, Israel na Marekani zilianza rasmi kuishambulia Iran kwa pamoja ambapo mwanzoni kabisa mwa shambulio hilo, zilimuua shahidi Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Jamhuri…
Mkakati wasukwa kupunguza utegemezi maziwa ya nje
Serikali pia imetenga Sh216 bilioni kwa kampeni ya chanjo ya mifugo (2025-2030) ili kupunguza...
Tanzania pushes for sweeping reforms in Africa’s postal services
KAMPALA: TANZANIA has pushed for sweeping reforms in Africa’s postal sector, calling for stronger cross-border services and digital integration to unlock e-commerce and expand access for low-income communities. The call…
Tanzania commends Israel-supported agricultural and health projects
DAR ES SALAAM: TANZANIA has commended Israel’s MASHAV programme, which provides hands-on agricultural training for Tanzanian youth in Israel while also proposing expanding the initiative by deploying Israeli experts to…
Ansarullah yaingia rasmi vitani; Yashambulia kusini mwa Israel kwa makombora ya balestiki
Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza kwamba vimeshambulia shabaha nyeti kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa makombora ya balestiki.
Prof Mkenda flags off 150 teachers heading to India for a special training
DAR ES SALAAM: 150 government vocational education teachers depart for India tomorrow, March 29, 2026, for a special training programme aimed at enhancing their professional skills. The teachers, drawn from…