“Mieleka kama mieleka ni mirusho na mitupo, judo ni kama ngwala kwa sababu unamshika, unatega mguu unamuangusha,”-Hashim Zongo -…
"Mieleka kama mieleka ni mirusho na mitupo, judo ni kama ngwala kwa sababu unamshika, unatega mguu unamuangusha,"-Hashim Zongo - Mkurugenzi wa Ufundi Chama cha Mieleka Tanzania. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI…
Takukuru yawagusa wenye uhitaji Manyara
MANYARA: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imekabidhi vyakula na zawadi mbalimbali kwa watoto yatima wanaoishi katika kituo cha kulelea watoto cha Hosana kilichopo wilaya…
Dunia ya Siku Zijazo
Hebu, jaribu kufumba macho yako na faradhisha kuwa unaishi katika mwaka wa 2050. Kwa mtazamo wako dunia itakuwaje wakati huo? Mgawanyo wa nguvu umebadilika vipi?
Unakionaje kikosi cha Pamba dhidi ya Simba leo?
Unakionaje kikosi cha Pamba dhidi ya Simba leo? Tupe maoni yako hapa chini, mechi ni saa 10:00 jioni.
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa katika…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa katika kipindi chote cha sikukuu ya Eid El-fitr na kuwataka wananchi kushirikiana na Jeshi…
Radi ilivyowaua wanafunzi Dar, taratibu za mazishi…
Hali ya huzuni imeendelea kutawala katika eneo la Msongola, wilayani Ilala, jijini Dar es...
Tanzania yashiriki mkutano wa uchukuzi Afrika Kusini
JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika ukumbi wa Gallagher Estate jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mkutano huo ulifunguliwa rasmi…
Tamu, chungu ya bei maandalizi ya Eid, Bakwata yatoa ujumbe kwa waumini
Wakati Waislamu nchini wakijiandaa kusherehekea sikukuu ya Eid kati ya kesho Ijumaa au...
Leo Elie Mpanzu anaanza dhidi ya Pamba, vipi unakionaje kikosi?
Leo Elie Mpanzu anaanza dhidi ya Pamba, vipi unakionaje kikosi? Tupe maoni yako hapa chini.
Tanzania values SGR as a project that reshaped its transport sector
JOHANNESBURG: THE Deputy Minister for Transport, David Kihenzile, has named the Standard Gauge Railway (SGR), improvements to ports, airports, and road networks, as mega projects Tanzania has achieved in developing…
Vita Iran siku ya 20: Binadamu wazidi kugharimika, Türk ataka diplomasia itumike
Kamishna Mkuu wa Hhaki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amesema mgogoro wa Mashariki ya Kati una madhara kwa kiwango kikubwa kwa raia, akitoa wito wa juhudi zaidi…
UN: Mpaka wa Rafah kati ya Gaza na Misri leo umefunguliwa
Kivuko cha Rafah kati ya Ukanda wa Gaza na Misri kimefunguliwa tena leo Alhamisi kwa mara ya kwanza tangu kilipofungwa na Israel Februari 28, mwanzoni mwa shambulizi la pamoja la…
Furaha halisi kwa watu wa DRC ni kukoma kwa vita na amani kurejea: Raia
Katika kuelekea kuadhimisha Siku ya Furaha Duniani hapo tarehe 20 Machi, wakazi wa Beni, Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wameeleza kwamba furaha haiwezi kutokana na…
CSW70 ikifunga pazia washiriki waeleza wanachoondoka nacho
Tutoke kwenye vikao sasa tuingie kwenye utekelezaji IPU na mikakati ya kufanikisha mabadiliko ya Katiba, sheria na tamaduni Ushirikishaji wanaume ni jawabu mujarabu Kujumuika na majaji na mahakimu wanawake kumetupatia…
Guterres: Marekani, Isarel na Iran ni wakati wa kukomesha mara moja vita Mashariki ya Kati
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameonya kuwa mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati uko hatarini “kutodhibitiwa kabisa, ukiwa na madhara makubwa kwa raia na uchumi wa dunia.”
HAITI: Matumaini mapya ya kidemokrasia ; Vyama vya siasa 300 vyajisajili kushiriki uchaguzi ujao
Taifa la Haiti lililoko ukanda wa Karibea limekuwa likipitia mzozo mzito wa pande nyingi unaochochewa na taasisi dhaifu, ukosefu wa usalama, na ghasia zinazoendeshwa na magenge ya wahalifu huku mamilioni…
Kifo cha Ali Larijani kinavyozidisha mgogoro ndani ya uongozi wa Iran
Larijani kwa muda mrefu ameonekana kama mmoja wa watunga sera wenye uzoefu mkubwa na ushawishi mkubwa zaidi katika Jamhuri ya Kiislamu.
Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao
Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi...
Mwanamke avunjika moyo baada ya mumewe aliyetoweka kupatikana amekufa msituni
Esther Tukway aliomboleza kifo cha mumewe, Daniel Ama. Ndoa yao yenye misukosuko, iliyoharibiwa na wivu, iliishia katika huzuni. Ugunduzi wa kutisha ulitokea.
Kwahani see off Mwembeladu to clinch Masauni Cup trophy
ZANZIBAR: KWAHANI FC were crowned Masauni Cup champions after edging Mwembeladu FC 1-0 in a penalty shootout following a 1-1 draw at the end of the 90 minutes, to walk…
Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani
Picha za setilaiti za NASA zinaonyesha moto mkubwa uliotokea katika kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha gesi duniani huko Qatar.
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa mageuzi anayoendelea kuyafanya kwenye…
Tanzania advised to upgrade the infrastructure at Mwananyamala Hospital
DAR ES SALAAM: THE Parliamentary Standing Committee on Health and AIDS Affairs has directed the government to prepare a strategic plan for infrastructure improvements at the Mwananyamala Regional Referral Hospital,…
Deputy Minister Kisuo crowns top student innovators
DAR ES SALAAM: Deputy Minister in the Prime Minister’s Office for Labour, Employment and Relations, Rahma Kisuo, presided over the grand finale of the NBC Essay Challenge and NBC Business…
Vikwazo kwa zao la tende vyawekwa hadharani, wanaume wakitajwa kuongeza thamani
Changamoto ya upatikanaji wa miche bora ya tende pamoja na masharti yanayowekwa na nchi...
UN yalaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya taasisi za gesi na nishati za Iran
Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika taasisi za gesi na nishati za Iran pamoja na shambulio katika kisima cha…
Baqaei: Raia wote wa US wanapaswa kutangaza kuchukizwa na vita haramu vya Trump
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa vita vya sasa si vita vya wananchi wa Marekani. Ismail Baqaei ameeleza haya katika ujumbe aliotuma katika mtandao wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….MACHI 19, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....MACHI 19, 2026
Indhari ya Gavana wa Benki Kuu ya US kuhusu taathira za kupanda gharama za maisha kutokana na vita na Iran
Gavana wa Benki Kuu ya Marekani ametahadharisha kuhusu athari mbaya za vita dhidi ya Iran kwa uchumi wa Marekani na kuongezeka gharama za maisha nchini humo.
Tanzania envisions the 2026/27 budget to address taxpayers’ challenges
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has pledged to address the tax challenges in this year’s budget to address the challenges tabled by traders and industrialists as a strategy to…
Pezeshkian: Taathira za mashambulizi dhidi ya miundo mbinu ya nishati ya Iran zitaitatiza dunia nzima
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ametuma ujumbe na kuandika kuwa: Mashambulizi dhidi ya miundo msingi ya nishati ya Iran yana taathira ambazo ukubwa wake utaitatiza dunia nzima.
Vita vya Iran vimeleta mgogoro wa nishati duniani, je, China inaweza kustahimili?
Iran, ambayo mafuta yake yamewekewa vikwazo na Marekani, imekuwa muuzaji mkubwa wa mafuta ghafi ya bei nafuu kwa China, na ripoti zinaashiria kwamba Beijing inununua zaidi ya 80% ya mauzo…
VETA, vituo vya malezi kushirikiana kutoa ujuzi
DODOMA: MKURUGENZI wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore amesema mamlaka itaendelea kushirikiana na vituo vya malezi ya watoto ili kuhakikisha vijana wanapata ujuzi utakaowawezesha…
UCHAMBUZI WA MJEMA: Bila utashi wa kisiasa, tutatwanga maji kwenye kinu juu ya Katiba, sheria
Tangu miaka ya 1990 hadi 2026, Mahakama za Tanzania na ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu...
James Orengo Ataka William Ruto Abanduliwe kwa ‘Kuharisha kwa Maneno’: “Anakiuka Katiba”
Gavana James Orengo ametaka Rais William Ruto atimuliwe kutokana kwa "kuharisha kwa maneno," akikashifu matamshi yake ya chuki na ukosefu wa uadilifu katika uongozi.
Tume kutumia wiki mbili kuamua rufaa za watumishi
DODOMA: TUME ya Utumishi wa Umma inatarajia kutumia takribani wiki mbili kwa ajili ya kujadili na kutoa uamuzi wa rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na watumishi wa umma kwa tume hiyo.…
Waafrika na hoja ya haki kwa viongozi wao ICC
DAR ES SALAAM, Tanzania — Mjadala kuhusu nafasi ya Afrika ndani ya mfumo wa haki wa kimataifa umeibuka upya, huku Tanzania ikijikuta katikati ya hoja pana kuhusu uhalali wa Mahakama…
Usiposafisha kinywa asubuhi, usiku haya yatakupata
Wakati kesho Ijumaa, Machi 20, 2026 dunia ikiungana kuadhimisha Siku ya Afya ya Kinywa...
Taasisi ya Chesamisi Boys Yatoa Taarifa Kufuatia Kifo cha Mwanafunzi Aliyezimia Shuleni
Shule ya Upili ya Chesamisi imezungumzia tukio la Eugene Oundo Wekesa kufariki shuleni, ikifafanua hali ya matibabu na kuthibitisha kujitolea kwa ustawi wa wanafunzi
Taasisi ya Chesamisi Boys Yatoa Taarifa Kufuatia Kifo cha Mwanafunzi Shuleni
Shule ya Upili ya Chesamisi imezungumzia tukio la Eugene Oundo Wekesa kufariki shuleni, ikifafanua hali ya matibabu na kuthibitisha kujitolea kwa ustawi wa wanafunzi
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….MACHI 19, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....MACHI 19, 2026
Eid El-Fitri ni lini? Mambo 10 anayopaswa kufanya Muislam siku hiyo
Ni siku ya furaha, shukrani na mshikamano kwa Waislamu duniani kote baada ya mwezi mzima wa ibada, kujinyima na kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu.
Uhispania : Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sharia za kimataifa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, amesisitiza kwamba Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha “vita vya upande mmoja” dhidi ya Iran na huo ni“ukiukaji…
#MEZAHURU: Nini kifanyike kuboresha mchezo wa Mieleka ndani ya Tanzania, ili vijana wapate fursa ya ajira kwenye mchezo huu..?
#MEZAHURU: Nini kifanyike kuboresha mchezo wa Mieleka ndani ya Tanzania, ili vijana wapate fursa ya ajira kwenye mchezo huu..? -Weka maoni yako
Kwahani FC mabingwa Masauni Cup
ZANZIBAR: Timu ya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 1-0 baada ya sare ya bao 1-1 ndani ya…
Tanzania cautions mining license holders against illicit operations
DODOMA: THE Tanzanian government, through the Mining Commission, has reiterated the importance of enforcing laws and regulations in the mining sector, urging license holders to ensure that mining activities benefit…
Mwanamke alivunjika moyo baada ya kmumewe aliyetoweka kupakina amekufa msituni
Esther Tukway aliomboleza kifo cha mumewe, Daniel Ama. Ndoa yao yenye misukosuko, iliyoharibiwa na wivu, iliishia katika huzuni. Ugunduzi wa kutisha ulitokea.
#HABARI: Jeshi la Polisi leo Machi 19, 2026 limetoa tamko kuelekea sikukuu ya Eid El Fitri ambapo Msemaji wa Jeshi la Polisi, Da…
#HABARI: Jeshi la Polisi leo Machi 19, 2026 limetoa tamko kuelekea sikukuu ya Eid El Fitri ambapo Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ametoa tamko hilo kupitia ukurasa wao…
ADEM claims success in training education leaders on management, school administration
BAGAMOYO: THE Ministry of Education, Science and Technology, through the Agency for the Development of Educational Leadership (ADEM), has announced that it will continue providing continuous training to education leaders…