#MEZAHURU: Je kuna umuhimu gani wa kuzingatia mambo muhimu unapopewa mwaliko wowot..?
#MEZAHURU: Je kuna umuhimu gani wa kuzingatia mambo muhimu unapopewa mwaliko wowot..? na ni kweli waafrika wengi HATUESHIMU MIALIKO..? -Weka maoni yako
“….wana Geita, Wana Chato, tunajiona kabisa kwamba tumebahatika hatudai, nataka niwaambie yupo kwenye mioyo yetu, tuendelee ku…
"....wana Geita, Wana Chato, tunajiona kabisa kwamba tumebahatika hatudai, nataka niwaambie yupo kwenye mioyo yetu, tuendelee kumuenzi kwa mazuri yote aliyoyatenda hiyo ndio heshima yake,"-Mhe.Kassim Majaliwa - Waziri Mkuu Mstaafu…
Marekani, Israel na Falme za Kiarbu zinataka nini kutoka Iran?
Hadi sasa, Iran haijasalimu amri wala kuanguka. Lakini jeshi lake limedhoofishwa sana na siku 16 za mabomu.
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….MACHI 17, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....MACHI 17, 2026
“Hayati Dkt.Magufuli alikuwa ni mtu mkweli, lakini pia alikuwa hana utani katika mambo yake na ni mkali, alikemea maovu, wezi, w…
"Hayati Dkt.Magufuli alikuwa ni mtu mkweli, lakini pia alikuwa hana utani katika mambo yake na ni mkali, alikemea maovu, wezi, wala rushwa, wabadhirifu wa mali za umma, na yule ambaye…
Mpango asimulia Magufuli alivyomsisitiza kumtegemea Mungu, kudhibiti mapato ya Serikali
Katika kumbukumbu zake kuhusu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, John Magufuli, Makamu wa Rais...
Araqchi: Vita vitaisha kwa njia itakayomfanya adui asifikirie tena kutushambulia
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haijatuma ujumbe wa aina yoyote kwa wavamizi wala haijaomba kusitishwa vita.
Moto wateketeza kiwanda cha rasta Buguruni Sukita, juhudi kuuzima zinaendelea
Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana unaendelea kuwaka katika kiwanda...
Politico: Marekani inachukiwa sana kuliko Wamarekani wanavyodhani
Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kuwa sura ya Marekani ni mbaya sana miongoni mwa raia wa nchi waitifaki wa nchi hiyo duniani kwa kiasi ambacho hakiingii hata katika fikra…
“Hayati Dkt.John Pombe Magufuli alikuwa mchapakazi, alikuwa ni kiongozi mzalendo, uzalendo unajengwa na uwajibikaji, uaminifu, u…
"Hayati Dkt.John Pombe Magufuli alikuwa mchapakazi, alikuwa ni kiongozi mzalendo, uzalendo unajengwa na uwajibikaji, uaminifu, uadilifu, lakini pia kupenda maendeleo na matokeo ya kazi nzuri,"-Mhe.Kassim Majaliwa - Waziri Mkuu Mstaafu…
KISWAHILI FOR BEGINNERS: The word “Msikiti”
MEANING (in English) Msikiti means mosque — a place where Muslims go to pray and worship God. Origin (Etymology) The word msikiti comes from the Arabic word “masjid” (مسجد), which…
Mapambano ya AY yalianza kwa kulala kwenye kontena
Kutokana na uzito wa jina lake, hatuna budi kukueleza mambo 10 wasiyofahamu rafiki zako kuhusu...
Iran negotiating with FIFA to move World Cup 2026 matches from US to Mexico
MEXICO: IRAN’s football federation is in discussions with FIFA about moving its World Cup 2026 matches from the United States to tournament co-host Mexico due to concerns about the safety…
Majaliwa amkumbuka Magufuli kwa uzalendo, ujasiri wa kupambana na maovu
Miaka mitano tangu kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli, kumbukumbu zake...
Yaibuka William Ruto Apanga Kunyakua Nairobi Hospital kwa Nguvu
Rais William Ruto alikanusha madai ya upinzani ya kunyakua hospitali ya Nairobi, akisisitiza kuwa jukumu lake kama mlinzi ni kulinda hospitali dhidi ya ulaghai.
Umoja wa Ulaya unataka kudumisha nafasi yake kama mwekezaji wa kimkakati katika bara la Afrika
Benki ya Uwekezaji ya Ulaya, tawi la kifedha la EU, hivi karibuni ilichapisha matokeo yake ya kila mwaka. Mnamo 2025, iliwekeza euro bilioni 3.1 katika bara la Afrika, ikiwakilisha theluthi…
Simbu, Shauri target Boston Marathon glory next month
ARUSHA: TANZANIA’S long-distance running stars, Alphonce Simbu and Magdalena Shauri, say they are fully prepared to perform strongly at the upcoming Boston Marathon scheduled for April 20 this year. The…
“Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na ukweli kwamba hatuko naye Duniani, bado anaishi kwenye mioyo ya Watanzania na hii haikutokea …
"Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na ukweli kwamba hatuko naye Duniani, bado anaishi kwenye mioyo ya Watanzania na hii haikutokea kwa bahati mbaya, ni kwa sababu alifanya kazi nzuri, aliheshimu Tanzania…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….MACHI 17, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....MACHI 17, 2026
Vita vya Mashariki ya Kati: Israel yadai kumuua Ali Larijani, mmoja wa viongozi wakuu wa Iran
Israel, kupitia Waziri wake wa Ulinzi, Israel Katz, imetangaza kumuua Ali Larijani, mmoja wa viongozi wakuu wa Iran, na Jenerali Gholamreza Soleimani, kamanda wa wanamgambo wa Basij, kufuatia mashambulizi ya…
Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa yatangaza orodha ya kaunti zitakazopokea mvua katika siku 7 zijazo
Wakenya wanajiandaa kwa mvua kubwa huku Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya ikionya kuhusu mvua kubwa katika maeneo sita kuanzia Machi 17 hadi Machi 23.
#KUMBUKIZI: Leo ni Machi 17, 2026, Miaka 5 imetimia tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya tano, Hayati Dkt
#KUMBUKIZI: Leo ni Machi 17, 2026, Miaka 5 imetimia tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Kwenye video hii, tunamkumbuka akiwa ziarani wilayani…
Uchungu, Mama Mjamzito Akifariki katika Ajali Mbaya ya Boda boda
Mwanamume Mtanzania alisimulia tukio la kuhuzunisha ambapo mkewe aliyekuwa mjamzito alipofariki mikononi mwake baada ya kupata ajali mbaya na kumwacha akiomboleza.
Guinea, Liberia, na Sierra Leone zaahidi kutatua mvutano wa mipaka kupitia mazungumzo
Guinea, Liberia, na Sierra Leone zimeahidi kutatua mizozo yao ya mipaka kupitia mazungumzo na njia za kidiplomasia, wakati Conakry ilituma wanajeshi kwenye mpaka wake na Liberia siku ya Jumapili, kulingana…
TCA names squad for ICC Men’s T20 WC Africa
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Cricket Association has officially announced its squad for the ICC Men’s T20 World Cup Sub‑Regional Africa Qualifier B, scheduled to take place from March 22-30,…
Tujiandae na athari za mzozo wa Iran, Israel
Mvutano kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, licha ya kuonekana mbali na Bara la Afrika...
TFF backs satellite stadium for AFCON 2027
ARUSHA: THE Tanzania Football Federation (TFF) has pledged support for the construction of a new satellite stadium in Arusha to complement the main venue being built for the 2027 Africa…
Marioo karudia kwa Nameless alichofanya kwa AY, Mr Nice
Kwa sasa ana miaka nane kwenye gemu ya muziki. Tangu pale ulimwengu ulipomuamini alipoachia...
Pezeshkian: Iran haitasalimu amri mbele ya madola ya kibeberu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema taifa hili halitasalimu amri kamwe mbele ya madola ya kibeberu, huku akiitaka jamii ya kimataifa kulaani uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi…
TCAA eyes 10bn/- annual revenue from aviation training college
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) expects to generate over 10bn/- in annual revenue from international students enrolling at the new stateof-the-art Civil Aviation Training College (CATC),…
Produce aviation medicine professionals to handle in-flight emergencies-Call
DAR ES SALAAM: HIGHER earning institutions have been urged to introduce programmes for producing aviation medicine professionals to address the urgent need for such experts in the country. According to…
DCI yaomba Wakenya kuisaidia kumkamata mshukiwa wa mauaji, yatoa maelezo kumhusu: “Mtu anayesakwa”
DCI imewaomba Wakenya kuisaidia kumtia mbaroni mshukiwa hatari wa mauaji anayehusishwa na kifo cha mwanamke mwenye umri wa miaka 28 katika kaunti ya Kirinyaga.
Zaidi ya watu 400 wameuawa katika shambulio la Pakistan Kabul
Watu zaidi ya 400 wamefariki dunia na wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya kituo cha afya kushambuliwa nchini Afghanistan, katika tukio linalodaiwa kuhusisha mashambulizi kutoka Pakistan. Imechapishwa: 17/03/2026 – 10:20Imehaririwa: 17/03/2026…
Why Tanzanian firms must rethink data
DAR ES SALAAM: ACROSS many offices in Tanzania, business decisions still begin in the same place. A spreadsheet. Finance teams track revenue in spreadsheets. Sales teams record leads in spreadsheets.…
Video ya CCTV Yamwanika Mama Akimtupa Mwanawe katika Choo cha Chuo Kikuu cha Moi
CCTV kutoka Chuo Kikuu cha Moi inamuonyesha mama akimtelekeza mwanawe mwenye afya njema chooni, jambo lililozua mshtuko na mijadala miongoni mwa Wakenya.
“Mhe.Magufuli alitufundisha mengi, wengi tunayaishi na tunaendelea kumuenzi na tunaendelea kumuombea,” Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi…
"Mhe.Magufuli alitufundisha mengi, wengi tunayaishi na tunaendelea kumuenzi na tunaendelea kumuombea," Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mstaafu (CDF), Jenerali Venance Mabeyo. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO…
Togo: Tume ya uchunguzi kuhusu visa vya watu kutoweka yawasilisha matokeo ya utafiti wake
Nchini Togo, mamlaka zimekuwa zikichunguza, katika wiki za hivi karibuni, visa vinavyotia wasiwasi vya watu wanaotoweka, hasa vijana. Kesi hizi ziliripotiwa kwenye mitandao ya kijamii, kulingana na serikali ya Togo,…
“Moto ulitokea angani na kuwachoma” – Waathiriwa wa vita vinavyoendelea Sudan Kusini
Kote Sudan Kusini, watu milioni 10 kati ya milioni 14 wanahitaji msaada wa chakula.
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amesitisha kwa muda ziara yake ya kikazi katika mikoa mbalimbali nchini ili kupisha kumbukizi y…
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amesitisha kwa muda ziara yake ya kikazi katika mikoa mbalimbali nchini ili kupisha kumbukizi ya miaka mitano ya kifo cha aliyekuwa Rais, Dkt John Pombe…
Mambo matano baada ya Nandy kutia mguu Paris
Msanii kutoka lebo ya African Princess, Faustina Mfinanga maarufu Nandy ni miongoni mwa wageni...
Senegal: Ousmane Sonko anajipanga kwa uchaguzi wa 2027 kwa kongamano la kwanza la PASTEF
Nchini Senegal, kambi za kisiasa zinazomzunguka rais na waziri mkuu wake zinaanza kuonekana. Wiki moja baada ya rais Bassirou Diomaye Faye kuandaa mkutano mkuu wa muungano unaoitwa jina lake, Waziri…
GFSI Report said: Tanzania’s foods is pricey
DAR ES SALAAM: FOR many years, the Economist Intelligence Unit, through its research arm Economist Impact, produced the Global Food Safety Initiative (GFSI), an annual benchmark that assessed the state…
Serikali mkoani Tabora imethibitisha kumshikilia kwa mtu mmoja anaedaiwa kuwa tapeli kwa njia ya mtandao kwa kutumia jina la Wai…
Serikali mkoani Tabora imethibitisha kumshikilia kwa mtu mmoja anaedaiwa kuwa tapeli kwa njia ya mtandao kwa kutumia jina la Waiziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa. Mtuhumiwa huyo Kange Thabiti 45 mkazi…
Diana Mwai:Tweet ya mwisho ya wakili aliyefariki katika ajali ya pikipiki na mumewe Gustavo
Wakenya wanaomboleza wakili Diana Mwai, ambaye alifariki katika ajali ya pikipiki na mumewe Gustavo, almaarufu Luhya Kidd. Ameacha mtoto wa miezi mitano.
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Usambara, mkoani Tanga, Machi 16, 2026 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mtuhumiwa N…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Usambara, mkoani Tanga, Machi 16, 2026 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mtuhumiwa Nassir Masunga (29), dereva na mkazi wa Kange, baada…
Wasiwasi Wafanyakazi 7 wa Bomas of Kenya Wakifariki Wakati Mmoja
Wafanyikazi katika BICC waliandamana wakilalamikia usalama baada ya vifo zaidi ya saba. Walishutumu mamlaka kwa kupuuza malalamiko yao na kudai haki kwa waathiriwa.
Wanajeshi wa Kenya katika ‘Operesheni Maalum’: Nairobi na Moscow wafikia makubaliano
Katika siku ya kwanza ya ziara yake rasmi Moscow, Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya amekutana na mwenzake, Sergey Lavrov, siku ya Jumatatu, Machi 16. Hakutakuwa tena na suala…
Rostam’s acquisition redraws Dodoma’s influence?
DAR ES SALAAM: ROSTAM Aziz’s entry into Nation Media Group is the kind of deal that instantly invites exaggeration. Some people want to frame it as a nationalist triumph. Others…
Simba, Yanga zagawana tuzo za kocha, mchezaji bora Februari
MSHAMBULIAJI wa Yanga Laurindo Dilson 'Depu' amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku kocha wa Simba, Steve Barker akichaguliwa kuwa…
Rubani Were Alivyowasomesha Jamaa Wengi na Kupata Kazi Nzuri
Mkewe Kapteni George Were ameheshimu urithi wake kwa kuonyesha mafanikio ya ndugu aliowasomesha akiangazia maisha yake yenye ukarimu kabla ya ajali hiyo mbaya.