Rais wa Iran atangaza masharti ya kusitishwa vita vya kutwishwa vya US, Israel
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametangaza masharti kadhaa ya kuhitimisha vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; huku tawala mbili hizo za…
Mama Kibera akiri anajuta kuondoka Kenya baada ya kuishia gerezani Saudi Arabia
Baada ya kuhangaika kuwalisha watoto wake huko Kibera, Isabella Juma alitafuta kazi nje ya nchi nchini Saudi Arabia, lakini akakamatwa na kusukumwa jela
Government disburses 7bn/- to empower youth in fisheries projects
MWANZA: A TOTAL of 7bn/- has been issued as loans to support 308 graduates through the Building a Better Tomorrow (BBT) – Fisheries Programme to implement projects in cage fish…
Stakeholders see Tanzania’s strong potential in carbon trading
DAR ES SALAAM: STAKEHOLDERS have highlighted Tanzania’s strong potential in carbon trading, noting its vast forests, expanding clean energy initiatives and growing investor interest. Stakeholders have pointed to Tanzania’s strong…
PM directs regional leaders to promote investment, support businesses
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has directed Regional Commissioners, Council Directors and Regional Administrative Secretaries to take the lead in promoting investment and business growth in their respective areas. Dr…
Ukatili wa kijinsia watajwa chanzo baadhi ya wanawake kuishia gerezani
Imeelezwa kuwa baadhi ya wanawake wanaojikuta wakihukumiwa vifungo mbalimbali gerezani, chanzo...
ROSTAM’S ENTRY INTO NMG: Economic implications for East Africa’s media industry
DAR ES SALAAM: FOLLOWING breaking news in the first quarter of 2026 that prominent Tanzanian businessman Rostam Aziz has acquired a controlling stake in Nation Media Group after purchasing the…
Watu 12 wakamatwa baada ya kula hadharani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Polisi huko Chechake wamewakamata 12 kwa kula hadharani wakati wa Ramadhani. Kukamatwa huko kunazua mijadala juu ya nidhamu na utangamano wa dini mbalimbali Zanzibar
Eliud Kipchoge asimulia vitisho familia ilipokea baada ya kifo cha Kelvin Kiptum: “Ilinivunja moyo”
Eliud Kipchoge alizungumzia madai yaliyoenea kuhusu yeye kuhusika katika kifo cha Kelvin Kiptum na kusababisha vitisho vingi kwake na familia yake.
Govt backs private investment in sugar sector
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has reaffirmed the government commitment to supporting domestic sugar production and maintaining a stable and predictable investment atmosphere that encourage private sector’s participation in key…
Araghchi aonya UN: Kunyamazia kimya uvamizi wa US, Israel kutashadidisha taharuki katika eneo
Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuwa, kufumbia macho au kutochukua hatua za maana…
Hidden land injustices now demand urgent reform
DAR ES SALAAM: ACROSS the country, land disputes are increasingly dominating public conversations. What were once quiet grievances handled within villages, wards or district offices are now surfacing in open…
Afueni kwa familia baada ya mwili wa mwanao uliozuiliwa hospitalini kufuatia KSh 3.7m kuachiliwa
Familia ya Joel aliyezaliwa na ugonjwa wa uti wa mgongo, hatimaye wamemzika baada ya miezi miwili ya kuhangaika kuhusu bili ya KSh 3.7 milioni za hospitali
Proposed budget rises to 62.3tri/-, targets stronger economy
DODOMA: THE government yesterday unveiled a 62.33tri/- proposed budget for the 2026/27 financial year, representing a 10.3 per cent increase from the 57.04tri/- allocated in the current fiscal year as…
Mafuriko ya Nairobi: Familia za waliofariki zaahidiwa KSh 200,000 kutoka kwa serikali
Kila familia ya waathiriwa wa mafuriko ya Nairobi itapokea KSh 200,000 kutoka kwa serikali. Watu 24 walipoteza maisha yao kwenye mafuriko wakati wa janga hilo.
Ripoti yabainisha pengo uchimbaji endelevu Bulyanhulu, Barrick yajibu
Ripoti mpya ya utafiti imeibua taswira ya pande mbili katika sekta ya madini nchini, ikionesha...
Iran yasema haitashiriki Kombe la Dunia la FIFA 2026
Waziri wa Michezo wa Iran, Ahmad Donyamali amesema timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu haitashiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika msimu ujao wa joto, licha…
Heavy rains disrupt transport, flood homes across Tanzania
MOROGORO: HEAVY rains currently falling in several parts of Tanzania have caused flooding, damaged infrastructure and disrupted transport, with authorities urging residents in vulnerable areas to take precautionary measures. In…
Hili ndilo soko la mafuta na bei zinapangwa hivi
Vita inayoendelea katika ghuba ya Uajemi tayari vimesababisha bei ya bidhaa muhimu ya mafuta...
Jinsi watawala wa Iran walivyojenga mfumo wa kuwaweka madarakani
Wataalamu wanasema muundo wa mamlaka ya Iran umewezesha utawala huo kustahimili misukosuko ya mara kwa mara
Magazeti ya Kenya, Machi 12: Oburu Oginga awatimua waliokuwa wafanyakazi wa Raila Odinga
ODM imewafuta Kazi zaidi ya wafanyakazi 90 wa Raila Odinga huku Oburu Oginga akiimarisha udhibiti, akizindua ofisi mpya Riverside na kupanua ushawishi wake kisiasa.
OCTOBER 29 INCIDENT PROBE: Samia pledges justice, stability
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has said the government is committed to ensure that investigations into the October 29th, 2025 incidents are conducted in accordance with the principles of the…
Victor Wanyama asimulia jinsi nusura amwage wino wa kuichezea Man Utd baada ya kukutana na Ferguson
Victor Wanyama alifichua jinsi nusra ajiunge na Manchester United baada ya Sir Alex Ferguson kuvutiwa na uchezaji wake huko Celtic, lakini alijiunga na Southampton.
Mzawa aja na jukwaa la suluhu kwa wabunifu na wasaka ajira
Suala la ukosefu wa ajira rasmi limekuwa likiumiza kichwa wengi, kuanzia kwa watu binafsi hata...
Isles’ February tourist arrivals up by 4.9pc
ZANZIBAR: ZANZIBAR recorded 86,839 international tourist arrivals in February this year, marking a 4.9 per cent increase compared to 82,750 visitors recorded in February last year. However, the figure represents…
Silva atupa taulo kufuatia kipigo cha Madrid
Nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva, amesema matumaini ya timu yake kusonga mbele katika...
Stakeholders push local participation in PPP projects
DAR ES SALAAM: STAKEHOLDERS have emphasised the importance of local participation in implementing Public-Private Partnership (PPP) projects, saying it is crucial for empowering Tanzanians beyond the concept of local content.…
Mwinyi thanks Oman for supporting Zanzibar
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Dr Hussein Mwinyi has expressed gratitude to the government of Oman for its continued support towards the islands’ development efforts. Dr Mwinyi extended the gratitude on Tuesday…
Nguvu ya jua katika ujenzi wa uchumi wa bluu
Kuna methali ya Kiswahili inayosema, "Samaki mkunje angali mbichi." Tunaielewa vyema maana yake...
Kukamatwa, shutuma, madai dhidi ya familia ya Mugabe baada ya kupoteza madaraka
Bellarmine Mugabe baada ya kufikishwa mahakamani, tunaangalia kilichotokea kwa familia ya zamani ya Zimbabwe iliyokuwa madarakani.
Nafasi ya Tanzania katika uchumi wa dunia kupitia madini muhimu
Dunia inapoharakisha mpito kutoka nishati ya mafuta na gesi kwenda nishati safi, madini muhimu...
Sudan Kusini: Serikali yachukua udhibiti wa Mji wa kimkakati wa Akobo
Jeshi la Sudan Kusini, limetangaza kuuchukua tena Mji wa kimkakati wa Akobo ulioko kaskazini mwa jimbo la Jonglei kutoka kwa wapiganaji wa upinzani baada ya kuanzisha mashambulio yake ya wiki…
Raia wa Congo Brazzaville kushiriki uchaguzi mkuu wikendi hii
Raia wa Congo Brazzaville Jumapili ya wiki hii watachagua rais, huku kiongozi wa sasa Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 82 akiwania kwa muhula wa tano ambapo atapambana na…
Israel yasema iko tayari kuendelea na vita na Iran “kwa muda mrefu iwezekanavyo
Katika taarifa mpya kutoka kwa msemaji wa jeshi Avichay Adraee, amesema Hezbollah imeanzisha operesheni mpya, na Israeli itajibu.
Burundi :Waziri Mkuu wa zamani Guillaume Bunyoni aachiwa huru
Waziri mkuu wa zamani wa Burundi, Jenerali Alain-Guillaume Bunyoni, ambaye anatumikia kifungo cha maisha gerezani kwa jaribio la mapinduzi, hapo jana aliachiwa kwa sababu za kiafya, vyanzo vya mahakama na…
Anguko la biashara za familia liko hapa
Biashara za familia ni sehemu muhimu sana ya uchumi katika nchi nyingi duniani, na Tanzania pia...
Tetesi za soka Alhamisi:Man Utd yammezea mate Murillo
Manchester United wanatazamia kumsajili beki wa Nottingham Forest, Murillo, Arsenal wanaonesha nia ya kumsajili Tino Livramento, na Tottenham Hotspur watamruhusu Antonin Kinsky kuondoka kwa mkopo.
Mlango-Bahari wa Hormuz: Nini kitatokea Iran ikifunga njia ya usafirishaji mafuta
Takribani moja ya tano ya uzalishaji wa mafuta ghafi duniani hupitia njia hii nyembamba ya bahari, ambayo haina upana wa zaidi ya kilomita arobaini katika sehemu yake nyembamba zaidi.
Korea Kaskazini yampongeza Ayatullah Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Korea Kaskazini imepongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Kamanda Hatami: Tutalinda heshima na hadhi ya Iran ya Kiislamu hadi tone la mwisho la damu
Kamanda Mkuu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vijana wa ardhi hii takatifu watalinda heshima ya Iran kwa nguvu na azma hadi tone la mwisho la damu
Pezeshkian: Iran haina nia ya kuingia katika mzozo na nchi za eneo
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kwamba Iran haitaki vita au uhasama na nchi za eneo, bali inalenga tu vituo vinavyotumiwa kama chanzo cha mashambulizi dhidi…
Elimu ya faragha yafikishwa kwa wasioona
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeanza mkakati maalum wa kuwafikia watu wenye mahitaji maalum kwa kuwapa elimu ya faragha na kuelimisha kuhusu haki zao wanapokuwa kwenye mitandao ya…
Tume yakutana na mwakilishi UN
TUME ya Uchunguzi ya matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa…
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,TFF Wallace Karia, amepigia chapuo dhana ya “No School, No Play” wakati alipotembelea kituo…
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,TFF Wallace Karia, amepigia chapuo dhana ya “No School, No Play” wakati alipotembelea kituo cha michezo cha Future Stars Academy mkoani Arusha. Dennis Mwasalanga na…
Sereri awaliza waajiri wake wa zamani, Fei Toto akirejea na bao, asisti
BAADA ya kucheza mechi mbili za ugenini kwa dakika 180 ikiambulia pointi mbili, Azam FC imeamkia kwa Dodoma Jiji kufuatia kuichapa mabao 3-0.
Waihiga Mwaura amkumbuka marehemu dadake kwa ujumbe wa kugusa moyo siku yake ya bathidei
Waihiga Mwaura alimkumbuka marehemu dadake, Lil Gathoni, kwa heshima siku yake ya kuzaliwa, akikumbuka urithi wake na kushiriki kumbukumbu katika jumbe za hisia.
Kipato kidogo kwa wananchi hasa wa vijijini kimesababisha kupunguza kasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwamo gesi
Kipato kidogo kwa wananchi hasa wa vijijini kimesababisha kupunguza kasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwamo gesi. Hali hiyo inachangia baadhi ya wananchi ushindwa kujaza mitungi yao pindi…
Wataalamu 600 kukutana Moro kujadili upangaji miji, matumizi ya teknolojia
Wataalamu zaidi ya 600 wa sekta ya ujenzi na upangaji miji wanatarajiwa kukutana mkoani...
Johana Ng’eno: Patrick Ntutu, Ba’mkwe wa Mbunge Aliyefariki Atembelea Kaburi na Kumfariji Mjane
Gavana wa Narok Patrick Ole Ntutu alitoa heshima katika kaburi la marehemu Mbunge Johana Ng'eno, akishiriki jumbe za Rais William Ruto na kumfariji mjane wake.
Mwanamume wa Kisii aliyekuwa akiishi chooni baada ya kufungiwa nyumba apatikana amefariki
Mfanyikazi wa hospitali ya Kisii kilichotelekezwa baada ya miezi kadhaa ya kufanya kazi bila mshahara, huku wenzake wakisimulia hali yake ya kusikitisha wakidai haki