Iran yatangaza ‘haki yake ya kujilinda’ dhidi ya tishio linaloongezeka la mgogoro na Marekani
Hata kama diplomasia inavyoendelea, Marekani na Iran zinaonekana kukaribia mzozo. Huku ikisisitiza “haki yake ya kujilinda” iwapo kutatokea shambulio la Marekani, Iran imesema siku ya Jumapili, Februari 22, kwamba kulikuwa…
Tour du Rwanda: Mashabiki wawili wafariki, leo ni hatua ya pili
Watu wawili wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa hapo jana baada ya gari la matangazo la mashindano ya baiskeli ya Tour du Rwanda kupoteza njia na kuwagonga watazamaji, waandaji wa mashindano…
Mvutano kati ya Meloni na Macron waendelea kushika kasi
Ni wazi kwamba uhusiano kati ya Meloni na Macron haujaboreka. Siku ya Jumatano, Februari 18, Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni alitoa maoni kuhusu kifo cha mwanaharakati wa mrengo wa…
Ni kwa kiwango gani China na Urusi zitasaidia Tehran iwapo mzozo utazuka kati ya Iran na Marekani?
"Inaonekana kuwa hivi sasa, lengo kuu la China na Urusi ni kutuma ujumbe wa kuzuia Marekani kutopanua zaidi uwepo wake na kuhamasisha vikosi katika eneo", mtaalam Yulia Roknifard anasema.
Jumatatu, 23 Februari, 2026
Leo ni Jumatatu 5 Ramadhani 1447 Hijria mwafaka na 23 Februari 2026
SAFARI YA FARAJA: Kutoka Shahada ya Ualimu hadi kondakta
Saa 11 alfajiri katika kituo cha mabasi Iringa, sauti ya Faraja Mfyagidzi husikika ikitangaza...
Sudan yalaani hatua ya Museveni kukutana na kiongozi wa RSF
Mwishoni mwa juma rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekutana kwa mazungumzo na kiongozi wa wapiganaji wa RSF wa nchini Sudan, Mohamed Hamdan Gadalo, mjini Entebbe. Imechapishwa: 23/02/2026 – 04:45 Dakika…
Chad yafunga mpaka wake na Sudan
Chad imevifunga vivuko kadhaa vya mpaka wake na Sudan siku ya Jumapili, pamoja na sehemu muhimu ya Adre na pia Darfur Magharibi, ili kuzuia makundi yenye silaha ya Sudan kuvuka…
Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho
Kamanda wa jeshi la Iran amepuuzilia mbali mkusanyiko wa meli na ndege za kivita za Marekani katika eneo la Asia Magharibi zilizoshuhudiwa wiki chache za hivi karibuni na kuitaja kuwa…
Marekani yashangaa kwa nini Iran haijasalimu amri licha ya mashinikizo ya kijeshi
Mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff, amesema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameonyesha mshangao mkubwa kuhusu sababu zinazofanya Iran isikubali masharti ya Washington katika…
Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon
Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi…
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo…
Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, ameashiria kile kinachojulikana kama "Bodi ya Amani ya Trump" kwa ajili ya Gaza, na kusema: "Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai…
Mexico: Vurugu zazuka baada ya mlanguzi mkubwa “El Mencho” kuuawa
Jeshi la Mexico, hapo jana jioni lilitangaza kufanikiwa kumuua moja ya viongozi wa juu wa makundi ya dawa za kulevya nchini humo Nemesio “El Mencho” Oseguera, katika operesheni ambayo ilisababisha…
Mwanaume mwenye silaha auawa baada ya kuingia katika makazi ya Trump
Mwanaume huyo alikuwa amebeba bunduki na kopo la mafuta aliposimamishwa kabla ya kupigwa risasi na maafisa wa Secret Service na polisi
Wamarekani wahoji: Je, Huckabee anawakilisha maslahi ya Washington au Tel Aviv?
Kauli na matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamesababisha hasira kubwa baada ya kusema kwamba utawala ghasibu wa Israel una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora…
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Real Madrid na Barcelona wamtaka Rodri wa ManCity
Real Madrid na Barcelona watajaribu kumnunua Rodri kutoka Manchester City, matumaini ya Liverpool kumsajili Zeki Celik yaongezeka, huku Arsenal na Chelsea wakimtaka Julian Alvarez.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 23, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Kigogo aahidi kumrudisha Messi Barcelona
Mgombea wa urais wa Barcelona, Victor Font, amezungumza kuhusu dhamira yake ya kumrudisha...
Makamishna 13 wapandishwa vyeo Tawa
Makamishina 13 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tawa) wamevalishwa vyeo...
Kampuni za uchimbaji madini zatakiwa kuwekeza teknolojia kwa wachimbaji wadogo
Kampuni za uchimbaji wa madini nchini zimetakiwa kuwawezesha wachimbaji wadogo katika...
Depu akoleza moto, akiipa Yanga pointi tatu
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurelio 'Depu' ameendeleza makali katika Ligi Kuu Bara, baada ya kuifungia bao moja kwenye ushindi wa wa 1-0 dhidi ya Namungo FC.
Radi yaua mmoja Kilimanjaro
Stephano Zawadi (43), mkazi wa Kitongoji cha Kambeni, Kata ya Myamba, Wilaya ya Same, mkoani...
Hivi vichwa 😅 #PichaYanguSeries
Hivi vichwa 😅 #PichaYanguSeries (Feed generated with FetchRSS)
Depu atupia akiipa Yanga pointi tatu
Mshambuliaji wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurelio 'Depu' ameendeleza makali katika Ligi Kuu...
Mbunge atoa msaada wa vyakula, nguo kwa yatima
MOROGORO: MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Sheila Lukuba, amewafariji watoto yatima wanaoishi katika Kituo cha Dal – Ul Muslimeen Orphanage kilichopo Manispaa ya Morogoro kwa kuwapatia msaada wa…
Kaka na dada kimewaka huku, japo Aziza bado hajamuelewa vizuri Jemo
Kaka na dada kimewaka huku, japo Aziza bado hajamuelewa vizuri Jemo (Feed generated with FetchRSS)
Chichi amechoka madeko ya Suzy kaamua auze kesi 😎
Chichi amechoka madeko ya Suzy kaamua auze kesi 😎 #NomaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Wakazi Tunduru wahofia watoto kusombwa maji, walilia daraja
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaskazini wamemuomba Mbunge wa jimbo hilo, Ado...
Thousands march in Lyon in tribute to murdered right-wing activist
LYON: More than 3,200 people marched through the French city of Lyon on Saturday to honor Quentin Deranque, a nationalist activist killed following a street brawl with alleged far-left militants.…
Spain’s top court rejects father’s bid to block daughter’s euthanasia
SPAIN: Spain’s Constitutional Court has rejected an appeal by a father seeking to halt his 25-year-old daughter’s access to euthanasia, effectively upholding her right to die under the country’s legislation.…
Watoto wa Mashimba waiomba Serikali iingilie mgogoro wao wa ardhi
Wakati Neema Mashimba, mtoto wa aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Ernest Mashimba akiiomba...
#HABARI: Viongozi wa upinzani nchini Kenya wameibua madai ya kutumiwa nguvu kupita kiasi na serikali kupitia maafisa wa polisi n…
#HABARI: Viongozi wa upinzani nchini Kenya wameibua madai ya kutumiwa nguvu kupita kiasi na serikali kupitia maafisa wa polisi na magenge ya vijana juu ya kuvuruga mikutano ya kisiasa ya…
DCEA: Hatuyumbishwi na vitisho vita dhidi ya dawa za kulevya
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretus Lyimo,...
Utendaji duni wa Bandari ya Karema, unaochangiwa na kutokukamilika kwa miundombinu ya barabara, umetajwa kuwa sababu ya kusafiri…
Utendaji duni wa Bandari ya Karema, unaochangiwa na kutokukamilika kwa miundombinu ya barabara, umetajwa kuwa sababu ya kusafirishwa kwa tani 15,000 pekee za mizigo tangu kuanza kwa utekelezaji wa shughuli…
Sindano iliyomng’oa Maalim Seif CUF, ilivyomrudia Profesa Lipumba
Unakumbuka 'sindano' iliyomchoma aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), hayati...
#NBCPL Wananchi mbele….wengine bado…!!!
#NBCPL Wananchi mbele….wengine bado…!!! 28’: Namungo FC 0-1 Yanga SC Iko LIVE #AzamSports1HD Saa 3:00 usiku ni TANZANIA PRISONS vs SIMBA SC. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #NamungoFC #YangaSC #NamungoYanga…
CRDB, Kafiti Foundation kuwainua Bodaboda, wajasiriamali Ilemela
CRDB Bank Foundation imesaini mkataba wa ushirikiano na Kafiti Foundation kwa lengo la...
Nado azidi kuzamisha jahazi la KMC
MABAO mawili ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Idd Seleman 'Nado', dhidi ya KMC, yametosha kuipa timu hiyo ushindi wa 2-0, katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku kikosi hicho…
MAPUMZIKO | #LaLigaEASports
MAPUMZIKO | #LaLigaEASports HT: Barcelona 2-0 Levante LIVE #AzamSports4HD #LigiKuuHispania #LaLigaUpdates #Laliga #BarcaLevante (Feed generated with FetchRSS)
#SerieA Wamebinua meza…
#SerieA Wamebinua meza…. FT: Atalanta 2-1 Napoli Inafuata Milan vs Parma LIVE #AzamSports2HD #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #AtalantaNapoli (Feed generated with FetchRSS)
75’ | #SerieA
75’ | #SerieA Atalanta 1-1 Napoli LIVE #AzamSports2HD #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #AtalantaNapoli (Feed generated with FetchRSS)
Wananchi Mwanga walalamikia uhaba nyumba za watumishi wa afya
Baadhi ya wananchi wa kata za Kirya, Kilomeni na Lembeni, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro...
Sauti iliyotulia imeondoka, lakini ujumbe wake umebaki
Usiku wa Alhamisi, Februari 19, 2026, Tanzania ilipoteza kitu ambacho hakiwezi kubadilishwa kwa...
Ronaldo bado yupo sana Saudi Arabia
Nahodha wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, hatimaye amevunja ukimya kuhusu hatma yake katika Ligi...
Mwanariadha wa Tanzania Gabriel Gerald Geay leo amefanikiwa kutetea taji la mbio za Marathon za Daegu China akitumia muda wa 2:…
Mwanariadha wa Tanzania Gabriel Gerald Geay leo amefanikiwa kutetea taji la mbio za Marathon za Daegu China akitumia muda wa 2:08:11. Ushindi huo unaendana na kitita cha dola laki mbili(Shilingi…
Katambi: Tanzania amani kwanza
SHINYANGA: WAZIRI wa Mambo ya ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Tanzania itaendelea kuwa na amani na utulivu huku akiwaonya watu wanaotumika kuichafua nchi na kuzua taharuki kwa kupewa rushwa.…
1,275 hawajaripoti kidato cha kwanza Serengeti
Asilimia 24 ya wanafunzi waliotakiwa kuripoti kwa ajili ya kuanza elimu ya kidato cha kwanza...
Wakazi wa Walaya ya Hai wameendelea kunufaika na uwepo wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (KINAPA) hususani kupitia mfuko wa ujir…
Wakazi wa Walaya ya Hai wameendelea kunufaika na uwepo wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (KINAPA) hususani kupitia mfuko wa ujirani mwema. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.…