Huku kimewaka, njooni muamue #AzamTWO
Huku kimewaka, njooni muamue #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Ukute ndio mzungu wa Bibie 🙌😅
Ukute ndio mzungu wa Bibie 🙌😅 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2 (Feed generated with FetchRSS)
Wazazi wahimizwa kuzungumza na watoto kuhusu afya ya uzazi
Mila potofu, ukosefu wa mawasiliano kati ya wazazi na watoto, pamoja na mitandao ya kijamii...
Serikali za Afrika zinaangazia mifumo ya fedha ya Kiislam baada ya mafanikio ya sukuk nchini Benin
Hatifungani za Sukuk za 2026 kufikia sasa ni zaidi ya dola milioni 580, kiwango kikubwa kikiwa ni cha nchini Benin cha dola milioni 500, kulingana na wataalamu.
Rigathi Gachagua akutana na IG Douglas Kanja, aapa kuandaa mkutano wa Othaya uliotibuka: “Tunarudi”
Rigathi Gachagua ameapa kurudi Othaya baada ya machafuko katika Kanisa la Witima ACK, akiwashutumu polisi kwa kushirikiana, kutishia demokrasia ya Kenya.
Wawili sekondari za kata waula ufadhili Samia Scholarship kujinoa na AI
Wanafunzi wawili waliohitimu kidato cha sita kwenye sekondari za kata ni miongoni mwa wanafunzi...
DC Itunda atoa mwelekeo miradi ya maendeleo Halmashauri ya Jiji Mbeya
Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wametakiwa kusimamia kwa karibu miradi yote...
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 30, 2026 – BOT YAKANUSHA KUUZA DHAHABU KUFADHILI MIRADI
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 30, 2026 - BOT YAKANUSHA KUUZA DHAHABU KUFADHILI MIRADI
#KIPIMAJOTO:UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE AWAMU YA KWANZA
#KIPIMAJOTO:UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE AWAMU YA KWANZA. JE, NINI VIGEZO NA MASHARTI KWA WALENGWA?
Mkakati wa kuboresha miundombinu ya Tanzania
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya...
Dakika 720 bila ushindi Mbeya City, Maxime, Baraza waenda kujipanga upya
MBEYA City imeendeleza ukame wa ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji na kuendelea kuwa miongoni mwa timu tatu za mkiani…
Serikali yaagiza tathmini ya nyumba zilizojengwa eneo la mwekezaji
Serikali imeagiza kufanyika kwa tathmini ya nyumba zilizojengwa katika eneo la mwekezaji...
Amcos zisizozalisha kilo 10,000 za pamba kufutwa
Vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) vitakavyoshindwa kuzalisha angalau kilo 10,000 za pamba...
#HABARI: Waziri wa Afya nchini Tanzania Mhe
#HABARI: Waziri wa Afya nchini Tanzania Mhe. Mohamed Mchengerwa Jumatatu Februari 02, 2026, anatarajiwa kuwa na ziara ya Kikazi kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean Road Jijini Dar es Salaam…
#HABARI: Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano la Kimataifa la Korea (KOICA), imezindua mpango kabamb…
#HABARI: Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano la Kimataifa la Korea (KOICA), imezindua mpango kabambe wa barabara za kasi (Expressways) unaolenga kupunguza msongamano wa magari na kurahisisha…
Je, EU inaweza kumkabili Musk kwa AI yake ya “kuvua nguo”?
Umoja wa Ulaya unaichunguza AI ya Grok ya Elon Musk baada ya kipengele chake cha deepfake kuzalisha mamilioni ya picha za ngono za wanawake na watoto. Hatua hii ni mtihani…
RC orders Arusha City to rely on internal revenue to improve vendors’ markets
ARUSHA: THE Arusha Regional Commissioner, Amos Makalla, has directed the Arusha City Council to use its internally generated revenue to improve the Ulezi and Machame street vendors’ markets so they…
Othman: Jitihada za kuondoa mkwamo wa kisiasa Zanzibar zipo hatua muhimu
Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amesema jitihada za kupata suluhisho la...
Marekani yapanua kambi yake ya kijeshi nchini Kenya
Marekani imezindua ujenzi wa kupanua kambi yake ya kijeshi nchini Kenya katika eneo la pwani la Manda lililopo umbali wa kilomita 12 kutoka kusini mwakisiwa ch Lamu kwa ajili ya…
Uturuki yaitaka Marekani kupuuza shinikizo la Israel
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Hakan Fidan ameitaka Marekani kupuuza shinikizo la Israel la hatua ya kijeshi dhidi ya Iran.
Israel kufungua kwa muda kivuko cha Rafah siku ya Jumapili
Israel imetangaza kuwa itafungua tena kivuko muhimu cha Rafah kati ya Gaza na Misri siku ya Jumapili baada ya miezi kadhaa ya wito wa Umoja wa Mataifa, mashirika ya kibinadamu…
Marekani yapanua kambi ya jeshi Kenya kuimarisha usalama
Marekani imezindua mradi wa upanuzi wa njia ya kurukia ndege wenye thamani ya dola milioni 70 katika kambi ya jeshi la anga ya Manda Bay iliyoko kaunti ya Lamu karibu…
Niger yashtumu baadhi ya mataifa kwa kuwafadhili ”mamluki”
Kiongozi wa jeshi Niger, Jenerali Abdourahamane Tchiani, amewashutumu marais wa Ufaransa, wa Benin na Ivory Coast kwa kuunga mkono makundi yenye silaha yaliyoshambulia kambi ya jeshi la anga katika mji…
#HABARI: Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imetangaza kuwa itaendesha zoezi la upimaji wa viashiria vya saratani ya tezi dume b…
#HABARI: Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imetangaza kuwa itaendesha zoezi la upimaji wa viashiria vya saratani ya tezi dume bila malipo wakati wa tamasha la IST Festival litakalofanyika Februari 14,…
SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usaf…
SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza Pato la Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari…
Iran itazungumza na Marekani kama haki, usawa vitazingatiwa
Waziri wa mambo ya Kigeni wa Iran Abbas Araqchi amesema nchi yake iko tayari kuanza tena mazungumzo ya nyuklia na Marekani kama majadiliano hayo yatajikita katika msingi wa haki na…
Why BoT sells gold
DAR ES SALAAM: THE Bank of Tanzania (BoT) has confirmed plans to sell part of the country’s national gold reserves, dismissing claims that the move is intended to finance government…
#MICHEZO: Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe kuhusu nyota wa timu hiyo kutakiwa kuwafurahisha mashabiki na Wana-Afrika Mashari…
#MICHEZO: Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe kuhusu nyota wa timu hiyo kutakiwa kuwafurahisha mashabiki na Wana-Afrika Mashariki waliokuja na wanaofuatilia kuona Yanga ikiwawakilisha mechi dhidi ya Al Ahly…
#HABARI: Rais wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe
#HABARI: Rais wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amewaagiza watendaji wa Sekretarieti ya mkataba huo (LATF) kuhakikisha idadi…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA PWANI – JANUARI 30, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA PWANI - JANUARI 30, 2026
#HABARI: Umoja wa Madereva Bodaboda Jijini Mbeya umeiomba Serikali kuingilia kati mgogoro unaofukuta kati yao na Mwenyekiti wa u…
#HABARI: Umoja wa Madereva Bodaboda Jijini Mbeya umeiomba Serikali kuingilia kati mgogoro unaofukuta kati yao na Mwenyekiti wa umoja huo, Aliko Fwamba, anayetuhumiwa kushindwa kuitisha Mkutano Mkuu. Wanachama hao wameeleza…
Iringa kupanda miti milioni 42
Mkoa wa Iringa umeimarisha usimamizi wa kampeni ya upandaji miti kwa kuweka mfumo madhubuti wa...
BoT says it won’t sell gold reserves to finance strategic projects
DAR ES SALAAM: The Bank of Tanzania (BoT) has dismissed reports circulating on social media claiming that it plans to sell part of its gold reserves to finance strategic government…
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika aeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa uhasama jimbo la Tigray
Mahmoud Ali Youssouf ametaka kuwepo kwa utulivu, na kuonya dhidi ya kukiuka makubaliano ya amani ya Pretoria ya 2022 huku kukiwa na wito wa kuepuka mapigano eneo la Tigray
Je, Ujerumani inawarejeshaje wahamiaji waliokataliwa
Ujerumani haina maafisa wa ICE waliofunika nyuso wala wakala sawa na huo, lakini Kansela Friedrich Merz na mtangulizi wake wameharakisha kadiri walivyoweza michakato ya kuwafukuza wahamiaji. Hivi ndivyo wanavyofanya.
Pedro awatangazia vita Ahly, wenyewe wajibu
Yanga itakuwa na mchezo mgumu kesho dhidi ya Al Ahly, huku kocha Pedro Goncalves akitangaza kwamba wapo tayari kucheza na mabingwa hao wa kihistoria wa Afrika.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda, @baba_keagan amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakay…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda, @baba_keagan amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato…
Ni raundi ya lala salama, kisasi Championship 2025/26
BAADA ya kupisha mapumziko ya wiki moja, raundi ya pili ya Ligi ya Championship inaendelea tena leo Jumamosi kwa mechi tatu kupigwa na nyingine kesho Jumapili, huku kila timu ikipambana…
Tanzania’s Expressway Master Plan is set to transform the transport system
DAR ES SALAAM: TANZANIA has taken a decisive step towards transforming its road transport system and accelerating its journey to a high-income economy following the launch of the Tanzania Expressway…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali imefanikiwa kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu, w…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali imefanikiwa kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu, wanaoingia nchini baada ya Idara ya Uhamiaji kufunga jumla ya vipenyo 1,777…
Latra yafungia kampuni nne za mifumo ya tiketi mtandao
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imetangaza kusitisha huduma kwa kampuni nne za...
Joto lawatingisha Al Ahly Amaan
Mapema tu leo Al Ahly imeonyesha kuanza kutishwa na hali ya joto kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja ikisaka maji kwa haraka kabla ya kuanza kwa mazoezi.
Ahly yathibitisha kumuacha nyumbani staa wake
Al Ahly imethibitisha kwamba kiungo wake Emam Ashour hayupo kwenye kikosi kitakachoivaa Yanga kesho kutokana na makosa ya kinidhamu.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mtandaoni kuhusu benki hiyo kuwa na mpango wa kuuza hifadhi ya dhaha…
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mtandaoni kuhusu benki hiyo kuwa na mpango wa kuuza hifadhi ya dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.3 kwa ajili…
BoT yaeleza mpango wa kuuza sehemu ya dhahabu iliyohifadhi
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeweka wazi mpango wake wa kuuza sehemu ya dhahabu iliyohifadhi...
#HABARI: Wananchi Mkoani Geita watakiwa kuchangamkia fursa ya umeme kwenye Vitongoji vyao ambapo Wakala ya Nishati Vijijini (REA…
#HABARI: Wananchi Mkoani Geita watakiwa kuchangamkia fursa ya umeme kwenye Vitongoji vyao ambapo Wakala ya Nishati Vijijini (REA) inatarajia kusambaza umeme kwenye vitongoji 528 vitakavyo fikia jumla ya kaya 17,014…
Tanzania injects 25bn/- to connect power to 218 hamlets in Njombe
NJOMBE: THE Rural Energy Agency (REA) has begun the implementation of providing electricity to 218 hamlets in Njombe Region, where the project worth 24.9bn/-. The move is part of the…
TCRA: Tuwaandae vijana kuchochea mfumo wa kidijiti
Ili kuongeza wataalamu wa usalama wa mtandao watakaolinda mustakabali wa mazingira ya...
RC Songwe apiga marufuku uchomaji mkaa
Makame amewahimiza wananchi kuachana na matumizi ya kuni na mkaa, na badala yake kutumia...