#MALUMBANOYAHOJA:”Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushan…
#MALUMBANOYAHOJA:"Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushangilia inaongeza hamasa uwanjani" Shadya Gerson - Mshiriki Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:…
#MALUMBANOYAHOJA:”Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushan…
#MALUMBANOYAHOJA:"Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushangilia inaongeza hamasa uwanjani" Shadya Gerson - Mshiriki Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:…
#MALUMBANOYAHOJA:”Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushan…
#MALUMBANOYAHOJA:"Nimejifunza tuonyeshe ushirikiano kwenda uwanjani, kuwasapoti wenzetu, hakuna furaha sana kama msichana kushangilia inaongeza hamasa uwanjani" Shadya Gerson - Mshiriki Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:…
Maafisa 15 wa Iran wawekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya
Umoja wa Ulaya umetangaza vikwazo dhidi ya maafisa 15 wa Iran, kufuatia kamatakamata iliyofanywa na serikali hiyo ya Jamhuri ya kiislamu dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali.
Uturuki inakuwa moja ya kituo chenye ushawishi wa kisiasa duniani: rais wa Uzbekistan
Ushawishi wa Uturuki unaoimarika unakwenda zaidi ya Ulimwengu wa Kiislamu pekee, Mirziyoyev amemwambia Rais wa Uturuki Erdogan jijini Ankara
Mbunge Ulenge aishauri Serikali kuendeleza Tehama kwa elimu endelevu
Mbunge wa Viti Maalumu, Aisha Ulenge ameitaka Serikali kuendelea kuwekeza katika Teknolojia ya...
Wakulima 90,000 Mbeya wanufaika na mbolea ya ruzuku
Zaidi ya wakulima 91,126 kutoka Wilaya ya Mbeya wamenufaika na mbolea ya ruzuku tani 13,140...
Melis na familia yake wanakimbia tatizo walilolikubali mwanzo
Melis na familia yake wanakimbia tatizo walilolikubali mwanzo (Feed generated with FetchRSS)
Lugola ahoji uhuru wa Polisi na DPP, awashukia ‘machawa’
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amesema ili kumaliza mafisadi na wabadhirifu...
🔴#MALUMBANOYAHOJA: AFCON2025 MOROCCO
🔴#MALUMBANOYAHOJA: AFCON2025 MOROCCO. TANZANIA IMEJIFUNZA NINI KUELEKEA AFCON 2027?...JANUARI 29, 2026
Rais ateua wanne, yupo Naibu Gavana BoT
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wanne akiwemo Naibu Gavana, Utawala na...
Mabadiliko ya tabianchi yageuza mvua kuwa maafa Afrika
Ripoti mpya ya Utafiti wa kisayansi imebaini kuwa mabadiliko ya tabia nchi yatokanayo na shughuli za kibinadamu,yalipelekea maeneo ya kusini mwa Afrika kushuhudia kiwango cha mvua na kuuwa watu zaidi…
Uume uliokatwa waunganishwa tena Ethiopia
Timu ya madaktari bingwa kutoka Ethiopia imefanikiwa kuunganisha uume wa kijana aliyejikata...
#HABARI: Siku moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Mhe
#HABARI: Siku moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, kueleza bungeni mikakati ya serikali ya kuboresha barabara kuu ya Kibaha hadi Chalinze, wakazi na wasafirishaji mkoani Pwani wametoa…
Sababu Serikali kujikita kwenye umahiri wa KKK
Serikali imeandaa mpango mkakati wa kisayansi wa kujenga umahiri wa Kusoma, Kuandika na...
CCM Simiyu yaapa kuilinda amani, umoja na mshikamano
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu kimewataka wanachama wake kuendelea kuwa mabalozi wa...
Muhimbili yatangaza zabuni ya mshauri wa ujenzi wa hospitali mpya
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imetangaza zabuni ya kumtafuta mshauri wa ujenzi wa...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka wananchi kutoa ushirikiano wa dhati kwa mkandarasi wa Kampuni ya M/s Silo Power aliyepewa jukumu la kusambaza umeme katika vitongoji…
Kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote ni jambo la msingi kwa Watanzania wote-Waziri Mkuu Dkt
Kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote ni jambo la msingi kwa Watanzania wote-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. Dkt.Mwigulu Amesema hayo wakati akijibu swali la Nancy Nyalusi, Mbunge wa Viti…
Sio Hadithi ya kufikirika ni ndoto ya kweli
Sio Hadithi ya kufikirika ni ndoto ya kweli .. Usipange kukosa (Feed generated with FetchRSS)
Fomu nzuri kutoka kwa MNYAMA, pass za uhakika, recovery, organized
Fomu nzuri kutoka kwa MNYAMA, pass za uhakika, recovery, organized. pointi tatu ambazo zimeambatana na burudani. Teamwork👊 Mashujaa nidhanu ya kukaba imewasaidia kiasi chake. Defending ya maana imepunguza madhara.…
Wananchi Iringa walia kukosa daraja, Serikali yabainisha mpango
Wananchi wa mitaa ya Isakalilo na Kitwiru Manispaa ya Iringa wamesema changamoto ya ukosefu wa...
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 29, 2026 – MVUA ILYOAMBATANA NA UPEPO YAEZUA NYUMBA 12 MOROGORO
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 29, 2026 - MVUA ILYOAMBATANA NA UPEPO YAEZUA NYUMBA 12 MOROGORO
Waathirika wasimulia madhira nyumba zao 10 kuezuliwa Iringa
Mvua kubwa zilizoambatana na upepo mkali zimeharibu nyumba 10 katika baadhi ya vijiji vya...
Serikali kurejesha viwanda vilivyobinafsishwa na havijaendelezwa
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali imeanza mpango wa kurejesha viwanda...
Sh32 bilioni kupeleka umeme wa Rea vitongoji 214 Iringa, watendaji waonywa kuhusu rushwa
Onyo kali limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, kwa watendaji wa serikali na...
Tiseza yatua Shinyanga kuhamasisha uwekezaji
Katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani, Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi...
Absa Tanzania yazindua ripoti ya viashiria vya masoko ya fedha Afrika
Benki ya Absa Tanzania imezindua rasmi Ripoti ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025 kwa...
Kesi ya Bwana Jela kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa yakwama
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Gereza la Ukonga, Josephat Mkama, na...
Wageni waanza vizuri Simba
Kiungo Libase Gueye, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Bara ndani ya Simba akicheza dhidi ya...
Eliuter Mpepo, Uledi watimkia KMC
WASHAMBULIAJI, Eliuter Mpepo wa Singida Black Stars na Adam Uledi wa Transit Camp inayoshiriki Championship msimu huu, wataanza kuonekana na uzi wa KMC, baada ya kutua hapo kwa ajili ya…
Mbeya City kuamkia kwa Pamba Jiji?
“TUNAANZA Ligi na Pamba Jiji.” Ni kauli ya Kipa wa Mbeya City, Beno Kakolanya akiwatuliza mashabiki wa timu hiyo kufuatia mwenendo na matokeo yasiyoridhisha inayopata timu hiyo katika Ligi Kuu…
#MALUMBANOYAHOJA: AFCON2025 MOROCCO
#MALUMBANOYAHOJA: AFCON2025 MOROCCO. TANZANIA IMEJIFUNZA NINI KUELEKEA AFCON 2027?
Yassin Mustafa mali ya Coastal
ALIYEKUWA beki wa TRA United, Yassin Mustafa ameanza mazoezi na Coastal Union baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja akiwa mchezaji huru.
Familia ya Lissu yatoa kauli fedha za mchango zilizopigwa
Siku moja baada ya Polisi wa Mkoa wa Arusha kutangaza kumshikilia Fredrick Mbwambo kwa tuhuma...
Dr Samia launches RWA, a scientific initiative for young learners
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has today, January 29, 2026, launched a scientific strategic programme aimed at building strong foundations in Reading, Writing, and Arithmetic (RWA) for pre-primary…
Libase Gueye aanza na moto, Simba ikiichapa Mashujaa 2-0
LIBASE Gueye, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Bara ndani ya Simba akicheza dhidi ya Mashujaa, amefanikiwa kufunga bao, huku akionyesha kiwango kilicholeta matumaini mapya ndani ya kikosi hicho katika…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA – JANUARI 29, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA - JANUARI 29, 2026
President Samia appoints Dr Mahfoudh as BoT Deputy Governor
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has appointed Dr. Rahma Salim Mahfoudh as Deputy Governor for Administration and Internal Control at the Bank of Tanzania (BoT), following the completion…
Sea Cliff Zanzibar set for epic golf season opener
ZANZIBAR: THE golfing calendar in Zanzibar tees off in style this Saturday with the January Golf Challenge at the Sea Cliff Resort & Spa Golf Club in Mangapwani, Zanzibar. The…
#HABARI: Kampuni kubwa ya mafuta ya nchini India (Indian Oil Corporation Limited) imeonesha nia ya kuwekeza nchini Tanzania kati…
#HABARI: Kampuni kubwa ya mafuta ya nchini India (Indian Oil Corporation Limited) imeonesha nia ya kuwekeza nchini Tanzania katika sekta ya usambazaji wa mafuta na gesi. Nia hiyo imebainishwa wakati…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limetoa msaada wa shilingi 816,000 kwa familia ya mtoto Imani Chakupewa ili kumwezesha k…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limetoa msaada wa shilingi 816,000 kwa familia ya mtoto Imani Chakupewa ili kumwezesha kuanza masomo ya kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari…
#HABARI: Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, Rais Dkt
#HABARI: Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka kipaumbele katika utunzaji wa mazingira, ikiwemo utamaduni wa kupanda miti kila tarehe 27 Januari kuadhimisha siku…
Indian firm seeks to invest in Tanzania’s oil sector
GOA: INDIAN Oil Corporation Limited has expressed interest in investing in Tanzania’s oil sector, a move expected to support economic growth and improve the supply of energy products in the…
Wakulima nchini wanatarajiwa kunufaika na matumizi ya nishati ya jua katika shughuli za kilimo, hatua inayotarajiwa kupunguza gh…
Wakulima nchini wanatarajiwa kunufaika na matumizi ya nishati ya jua katika shughuli za kilimo, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama za uzalishaji, kuongeza tija mashambani na kuboresha uhifadhi wa mazao, hususan katika…
TRA launches IDRAS, a system for taxpayers in Dodoma
DODOMA: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has officially launched training on the Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS) for taxpayers in Dodoma Region, as part of its efforts to improve…
Necta, Profesa Mkenda walivyouzungumzia mpango wa kuandika, kusoma na kuhesabu
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Profesa Said Mohammed amesema mtoto...
Utajiri wa Afrika: Timbila, sauti ya muziki ya Msumbiji
Timbila ni ala inayotengenezwa kwa ustadi mkubwa kutokana na mbao zilizosawazishwa zenye sauti mbalimbali.