Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuelekea Uturuki kwa mazungumzo muhimu siku ya Ijumaa
Uturuki inatarajiwa kusisitiza kupinga kwake hatua ya kijeshi dhidi ya Iran huku ikishinikiza kuwepo kwa uhusiano wa kina wa kiuchumi na uratibu wa kikanda.
TADB issues 429bn/- loans to farmers while generating 24.68 bn/- profit
DAR ES SALAAM: TANZANIA Agricultural Development Bank (TADB) has disbursed loans worth 429bn/- to farmers in 2025, while successfully keeping non-performing loans under control. Addressing the media outlets in Dar…
Kariakoo Market sets strategies to control fire incidents
DAR ES SALAAM: THE Kariakoo Market Corporation has set strategies to ensure they control fire emergencies in their areas, including strengthening firefighting and rescue operations. The Corporation has provided the…
Droni 1,000 za kimkakati zakabidhiwa kwa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Ndege elfu moja zisizo na rubani za kimkakati zimejiunga na vikosi vinne vya jeshi kwa amri ya Meja Jenerali Amir Hatami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya…
Russia, Ukraine zakabidhiana miili ya wanajeshi waliouwawa
Urusi imesema kuwa miili ya askari 1,000 imepelekwa Ukraine, huku miili mingine 38 ikirudishwa Urusi.
Baraza aupotezea usajili dirisha dogo
WAKATI kesho Ijumaa Januari 30, 2026 dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufungwa, Kocha wa Pamba Jiji, Francis Bara amesema hawana mpango wowote wa kuongeza mchezaji akiamini kikosi kilichopo kinaweza kufanya…
Kreti 3,240 za Soda zatolewa kwa Wafanyabiashara kanda ya Kaskazini
Wasambazaji na wazalishaji wa bidhaa za vinywaji baridi, Coca Cola, wilaya ya Moshi, mkoani...
Kakolanya atuliza presha Mbeya City, Pamba Jiji ikiahidi kufa na mtu Sokoine
"TUNAANZA Ligi na Pamba Jiji". Ni kauli ya Kipa wa Mbeya City, Beno Kakolanya akiwatuliza mashabiki wa timu hiyo kufuatia matokeo yasiyoridhisha ya timu hiyo katika Ligi Kuu Bara.
‘Ni rahisi – Trump ameshindwa’: Wanamtandao wakosoa vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Iran
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekosoa vitisho vya kijeshi vya mara kwa mara vya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Iran, ambapo hivi karibuni alitishia Iran kwa kisingizio cha…
TADB yatenga Sh160 bilioni kupunguza upotevu wa mazao
Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) imetenga Sh160 bilioni kuthibiti upotevu wa mazao baada ya...
#MEZAHURU”….kwa kuwa tumeshinda tuzo lukuki tuna tuzo maarufu sana hapa duniani zinaitwa World Travel Awards au tuzo za kimata…
#MEZAHURU"....kwa kuwa tumeshinda tuzo lukuki tuna tuzo maarufu sana hapa duniani zinaitwa World Travel Awards au tuzo za kimataifa za utaliii....tumekuwa ni nchi ambayo imetwaa tuzo pengine kuliko nchi nyingi…
Serikali yazindua programu ya kupunguza vifo vya mama na mtoto
Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya imezindua programu maalumu kwa ajili ya utekelezaji...
Jackie Chan aandaa wimbo utaopigwa siku akifariki
Nguli wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan, amefichua kuwa amerekodi wimbo ambao utaachiwa...
ACT-Wazalendo wakwama tena kesi 14 za uchaguzi Zanzibar
Chama cha ACT-Wazalendo kimeendelea kukumbwa na pigo la kisheria baada ya Mahakama Kuu ya...
Sabri Kondo, Shillah wawe daraja huko Sweden
AGOSTI mwaka jana, kinda wa Kitanzania, Sabri Kondo alijiunga na BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Sweden akitokea Singida Black Stars na alisaini mkataba wa miaka minne na nusu kuitumikia…
China yaitahadharisha Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran
China imetahadharisha kwamba hatua hatari za kijeshi zinazoongozwa na Marekani dhidi ya Iran zinaweza kuyumbisha eneo la magharibi mwa Asia na kuisukuma kanda hiyo kwenye matokeo yasiyotabirika.
Tuwaelewe Simba wameamua kuanza upya
SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake na baadhi bado ipo nao lakini haitowatumia hadi…
Juhudi za uokoaji zinaendelea Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa
Juhudi za utafutaji na uokoaji zinaendelea kufanywa nchini Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa iliyosababisha mafuriko makubwa, kuzamisha ardhi ya mashamba, kubomoa nyumba na miundombinu kujaa maji.
Masharti mapya ya mikopo ya asilimia 10, Nida yatatajwa
Serikali imetangaza kulegeza masharti ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana...
Milio ya risasi yasikika mapema leo karibu na uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Niger
Milio ya risasi ilisikika mapema leo karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mkuu wa Niger, Niamey kabla ya hali ya utulivu kurejea.
Mbetie mchezaji – Mfumo wa mafanikio wa AfroPari
Uaminifu ndio msingi wa ubashiri wenye mafanikio na kigezo muhimu ni katika kuchagua kampuni ya ubashiri. Kila mcheza kamari anataka jukwaa lililo wazi linalohakikisha malipo ya matokeo ya mikeka iliyotiki…
Zaidi ya wafanyakazi 32 waliokuwa wakifanya kazi katika kiwanda cha kuchakata majani ya chai cha Ikanga, kilichopo Tarafa ya Lup…
Zaidi ya wafanyakazi 32 waliokuwa wakifanya kazi katika kiwanda cha kuchakata majani ya chai cha Ikanga, kilichopo Tarafa ya Lupembe wilayani Njombe, wameiomba Serikali kuingilia kati sakata la madai yao…
Serikali yaeleza mkakati kudhibiti homa ya ini Kigoma
Serikali inaendelea kutekeleza mpango maalum wa kutoa elimu na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa...
Guterres: Chagua amani badala ya machafuko, hivi ni vipaumbele vyangu vya mwaka wa mwisho
Katika wakati ambao mvutano wa kimataifa unaongezeka na hatua zisizo na tahadhari zikisababisha madhara hatari, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo Alhamisi ametoa wito wa kuimarishwa kwa…
Zaidi ya watoto milioni 26 Ethiopia wafikiwa na kampeni ya chanjo ya polio: WHO
Serikali ya Ethiopia, kupitia Wizara ya Afya na Taasisi ya Afya ya Umma ya Ethiopia (EPHI) kwa kushirikiana na washirika wa Mpango wa Kimataifa wa kutokomeza Polio (GPEI) na Shirika…
OCHA: Mapigano na dhoruba zinazidi kuzorotesha mgogoro wa kibinadamu kaskazini-mashariki mwa Syria
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuratibu Masuala ya Kibinadamu na Misaada ya Dharura OCHA limesema zaidi ya watu 170,000 wamekimbia makazi yao kaskazini-mashariki mwa Syria tangu mwanzo mwa mwezi…
Muhtasari wa Habari: Kilimo Haiti na Karibea, Uhakika wa chakula Afghanistan, Chanjo kwa watoto Ethiopia
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), Beth Bechdol, ameeleza umuhimu wa kilimo wakati wa migogoro kulingana na mafanikio aliyoyashuhudia wakati wa ziara yake…
Serikali yatahadharisha upandishaji bei kipindi cha Kwaresma, Ramadhani
Serikali imetoa rai kwa wafanyabiashara kutotumia kigezo cha uwepo wa mfungo wa kwaresma na...
ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea
Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.
Kwa nini wanawake wana uwezekano mkubwa wa kufa katika ajali za magari?
Kwa kweli, kwa miongo kadhaa watengenezaji wa magari wametegemea magari bandia kwa majaribio kupima vipimo vya miili ya wanaume, ambayo inamaanisha kuwa matokeo ya mtihani wa ajali hayaonyeshi kiwango cha…
Kibwana kubebwa na baunsa kwaiponza KMC
Saa chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuufungia Uwanja wa KMC Complex, sababu...
Dawasa yaeleza changamoto, utatuzi wa majitaka Kariakoo
Ujenzi wa maghorofa, hasa unaofanyika usiku bila usimamizi wa kitaalamu, pamoja na biashara ya...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….JANUARI 29, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....JANUARI 29, 2026
Trump kwa Iran: Fanya makubaliano au subiri cha moto!
Rais wa Marekani Donald Trump, ameihimiza Iran kuingia katika meza ya mazungumzo na kuwa na makubaliano kuhusu silaha za nyuklia za Iran au Ishambuliwe huku Ulaya ikijipanga kuiwekea vikwazo Jamhuri…
Sababu za kufungiwa uwanja KMC hizi hapa
Saa chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuufungia Uwanja wa KMC Complex, sababu mbili zimetajwa kusababisha maamuzi hayo, huku ishu ya Kibwana Shomary kubebwa na baunsa ikiwemo.
“…..nilipompanga Profesa Mkenda Wizara ya Elimu alinitizama kwa jicho baya kidogo, nikamwambia Profesa unaweza nenda kasimame …
".....nilipompanga Profesa Mkenda Wizara ya Elimu alinitizama kwa jicho baya kidogo, nikamwambia Profesa unaweza nenda kasimame unaweza kama kuna watu wanakukwamisha niambie turekebishe ili twende mbele...."-Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.…
Wawekezaji na wadau wa utalii visiwani Zanzibar wametakiwa kuimarisha ushirikiano na serikali kupitia mikakati mbalimbali ya kui…
Wawekezaji na wadau wa utalii visiwani Zanzibar wametakiwa kuimarisha ushirikiano na serikali kupitia mikakati mbalimbali ya kuimarisha sekta hiyo kwa lengo la kuongeza pato la taifa. Naima Haji amehudhuria Mkutano…
Walimu wenye mahitaji maalum wa shule za msingi, sekondari na vyuo mkoani Tabora wamepatiwa vifaa visaidizi vya kidijitali kwa l…
Walimu wenye mahitaji maalum wa shule za msingi, sekondari na vyuo mkoani Tabora wamepatiwa vifaa visaidizi vya kidijitali kwa lengo la kuwasaidia katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Juma…
Iran: EU iko tayari kuongeza shinikizo kwa Walinzi wa Mapinduzi (IRGC)
Umoja wa Ulaya unaweza kuamua Alhamisi hii kuongeza Walinzi wa Mapinduzi wa Iran (IRGC) kwenye orodha yake ya makundi ya kigaidi ili kukabiliana na ukandamizaji ” zaidi” katika historia ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….JANUARI 29, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....JANUARI 29, 2026
CAF yampiga rungu kocha wa Senegal Pape Thiaw
CAF hatimaye imechukua hatua kufuatia matukio ya vurugu yaliyotokea wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa Afrika kati ya Senegal na Morocco. Miongoni mwa waliochukuliwa hatua ni kocha wa Senegal…
Senegal na Morocco zachukuliwa hatua na CAF
Pape Thiaw kocha wa Senegal amelaumiwa kwa kile CAF imekiita kutofuata utaratibu katika mchuano wa fainali ya AFCON huku Morocco ikiadhibiwa kwa kuchangia makosa mbali mbali
#HABARI: Wanafunzi wa shule ya Msingi Changanyikeni wakighani Ngonjera katika uzinduzi wa mpango mkakati wa umahiri wa Kusoma, K…
#HABARI: Wanafunzi wa shule ya Msingi Changanyikeni wakighani Ngonjera katika uzinduzi wa mpango mkakati wa umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) unaofanyika Baraza la Mitihani la Taifa jijini Dar…
Bao la kipa lilivyoivusha Benfica Ligi ya Mabingwa Ulaya
Kipa wa Benfica, Anatoliy Trubin, ameingia kwenye historia katika Ligi ya Mabingwa Ulaya baada...
Uturuki yasema iko tayari ‘kuimarisha mpaka wake’ na Iran iwapo kutatokea shambulio la Marekani
Uturuki iko tayari “kuimarisha usalama kwenye mpaka wake” na Iran iwapo kutatokea shambulio la Marekani, afisa mkuu wa Uturuki ameliambia shirika la AFP leo Alhamisi Januari 29. Imechapishwa: 29/01/2026 –…
Maema, Bajaber mmoja anang’oka Simba kumpisha Loemba
Mchezaji mmojawapo kati ya Neo Maema au Mohamed Bajaber ataonyeshwa mlango wa kutokea na Simba...
CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025
Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya…
“…..yupo Katibu Tawala wangu wa Mkoa na ambaye pia amekuwa kiongozi mzuri wa kuongoza….lakini naomba pia Wakuu wangu wa Wilaya m…
“…..yupo Katibu Tawala wangu wa Mkoa na ambaye pia amekuwa kiongozi mzuri wa kuongoza….lakini naomba pia Wakuu wangu wa Wilaya msimame hawa ndio pia mkono wangu wa kulia kama Mheshimiwa…
KMC, Singida BS rekodi dhaifu Ligi Kuu
Sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union juzi imeifanya KMC kuendeleza rekodi yake...