#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 29/01/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 29/01/2026 (Feed generated with FetchRSS)
Sababu TFF kuihamisha Yanga Uwanja wa KMC
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuufungia Uwanja wa KMC Complex, uliopo...
#HABARI: Wakati Mkutano wa Bunge ukiendelea Mbunge wa Kisarawe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe
#HABARI: Wakati Mkutano wa Bunge ukiendelea Mbunge wa Kisarawe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Selemani Jafo akichangia hoja kuhusu hotuba ya ufunguzi wa bunge iliyotolewa na…
#HABARI: Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipangomiji (TPRB) imewataka wananchi, wadau na wataalamu wa mipango miji nchini kuhaki…
#HABARI: Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipangomiji (TPRB) imewataka wananchi, wadau na wataalamu wa mipango miji nchini kuhakikisha utekelezaji wa shughuli zote za mipangomiji unazingatia kikamilifu sheria, kanuni na…
Polisi yawasaka waliosambaza taarifa askari kuporwa silaha, kuchomwa moto
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limeanzisha msako aliyetengeneza video na kusambaza mtandaoni...
Kashiwazaki-Kariwa: Kinu cha nyuklia kikubwa duniani kilichoanzishwa tena na Japan
Uamuzi wa kuanzisha upya kinu nambari 6 huko Kashiwazaki-Kariwa, kaskazini magharibi mwa Tokyo, umefanywa licha ya wasiwasi wa usalama kutoka kwa wakazi wa eneo hilo.
Mlio wa mabomu, sauti za risasi zasikika mji mkuu wa Niger karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa
Wakazi katika maeneo jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani wamesema kwamba ufyatuaji wa risasi umeendelea kwa takriban saa mbili kabla ya kuacha.
Bodi ya Amani ya Trump na maana yake kwa mustakabali wa Palestina
Mpango wa amani uliozinduliwa Davos unauweka ulimwengu mbele kwa fursa ya kipekee: kuwapa Wapalestina haki yao ya kuishi kwa heshima na uhuru — au kuhatarisha kuugeuza kuwa jaribio jingine lililofeli.
Venezuela: Rais Delcy Rodriguez amtaka bila kumtaja Maria Corina Machado ‘kubaki Washington’
Rais wa mpito wa Venezuela, Delcy Rodriguez, siku ya Jumatano, Januari 28, 2026, amewasihi wapinzani aliowaelezea kama “watu wenye msimamo mkali” “kubaki mjini Washington,” akimrejelea kiongozi wa upinzani na mshindi…
#HABARI: Ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Kimataifa wa Kotoka nchini Ghan…
#HABARI: Ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Kimataifa wa Kotoka nchini Ghana, Mwanahabari wetu Godfrey Monyo @godfreymonyo yupo nchini Ghana…
Wawili wachomwa moto Songwe wakidaiwa kuiba ng’ombe
Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa...
Grammy na rekodi zake 2026, Bieber yumo ndani
Mwanamuziki wa Canada Justin Bieber, ametangazwa na Chuo cha Recording Academy kutumbuiza...
China yawanyonga wanachama 11 wa genge waliohusika katika vituo vya utapeli nchini Myanmar
China imewanyonga watu 11 waliohusishwa na uhalifu uliopangwa nchini Myanmar leo Alhamisi, Januari 29, wakiwemo “wanachama muhimu” waliohusika katika vituo vya utapeli mtandaoni, shirika la habari la Xinhua limeripoti. Imechapishwa:…
Misri imesema iko tayari kupokea wagonjwa kutoka Gaza Mpaka wa Rafah utakapofunguliwa
Gavana wa Kaskazini mwa Sinai Meja Jenerali Khaled Mujawir ameiambia televisheni ya taifa Jumatano kwamba upande wa Misri wa mpaka wa Rafah umejiandaa kwa kitakachojiri.
ECOWAS yaondoa vikwazo vya mwisho dhidi ya Guinea
Baada ya Umoja wa Afrika (AU), Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) pia imeondoa vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Guinea siku ya Jumatano, Januari 28, 2026, kufuatia mapinduzi…
TFF yaufungia Uwanja wa KMC kwa kukosa vigezo vya kikanuni
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF limeufungia uwanja wa KMC kutumika kwenye mechi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu
Nigeria yaongeza mawasiliano kuhusu usalama na kupambana na ugaidi
Katika siku za hivi karibuni, wawakilishi wa kijeshi wa Marekani na Ufaransa (Africom na CPA) wamesafiri hadi Abuja, hasa kukutana na uongozi wa NCTC – Kituo cha Kitaifa cha Kupambana…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwa na kichwa cha habari…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwa na kichwa cha habari “Polisi Njombe achomwa moto na kuporwa silaha” kuwa hakuna tukio kama…
Sudan yajaribu kushawishi nchi jirani kukomesha usaidizi kwa RSF
Maafisa wa Sudan wanaongeza ziara zao katika eneo hilo ili kuimarisha ngome za jeshi katika mapambano yake dhidi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwa zaidi ya miaka miwili…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….JANUARI 29, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....JANUARI 29, 2026
Kigali yaishtaki London kwa ukiukaji wa makubaliano ya uhamiaji ya mwaka 2022
Kigali imetangaza wiki hii kwamba imeanzisha kesi mbele ya Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi huko Hague, ikidai ukiukaji wa makubaliano ya uhamiaji ya mwaka 2022 na London. Mkataba huo wenye…
Niger: Milio ya risasi na milipuko imesikika katika uwanja wa ndege wa Niamey
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Niamey umekumbwa na ssintofahamu siku ya Jumatano usiku. Milipuko mikubwa na milio mikubwa ya risasi imeripotiwa usiku katika eneo hilo. Utulivu umerejea, lakini utambulisho…
IRGC: Iran haitaanzisha vita, lakini ndiyo itakayoamua vitakavyoisha
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema Iran ndiyo inayoshikilia mpini na nafasi ya juu katika kuamua hatima ya vita vyovyote tarajiwa, likisisitiza kwamba kutumia mashinikizo ya kijeshi…
Iran yaionya Marekani kwa shambulizi lolote litakalofanywa kwenye ardhi yake
Tehran imeionya Washington dhidi ya uvamizi wa aina yoyote kwenye ardhi yake. Onyo hilo limetolewa jana na mshauri mkuu wa kiongozi wa juu wa Iran, Ali Shamkhani, ambaye amesema kuwa…
Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa ‘Sheria ya Msituni’ ndiyo inayotawala hivi sasa duniani
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekiri kuwa sheria ya msituni ndiyo inayotawala hivi sasa duniani na kusisitiza kwamba kuna udharura wa kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….JANUARI 29, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....JANUARI 29, 2026
“….ni kweli mamlaka yetu ya hali ya hewa ilitoa tahadhari hiyo na katika baadhi ya maeneo, ni kweli tumeona mvua zikiwa na mtawa…
“….ni kweli mamlaka yetu ya hali ya hewa ilitoa tahadhari hiyo na katika baadhi ya maeneo, ni kweli tumeona mvua zikiwa na mtawanyiko usiozoeleka…naomba nitumie Bunge lako tukufu kuwatoa hofu…
Je, Marekani inajiandaa kuishambulia tena Iran?
Marekani, yenye jeshi lenye nguvu zaidi duniani, tayari imeshawahi kuonyesha uwezo wake wa kuishambulia Iran. Mnamo Juni mwaka jana, ilitekeleza operesheni iliyopewa jina Operation Midnight Hammer, iliyolenga vituo vya nyuklia…
Arijit Singh atemana na muziki
Ni habari mbaya kwa wapenzi wa muziki wa Bollywood baada ya juzi muimbaji na mwanamuziki wa...
Waislamu Canada wataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu
Viongozi wa Waislamu nchini Canada wametoa wito wa kukomeshwa kwa matamshi ya chuki na uenezaji wa hofu dhidi ya Uislamu na Waislamu, huku nchi hiyo ikijiandaa kuadhimisha miaka tisa tangu…
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuongeza chachu ya TUZO ZA UTALII ZA SERENGETI ndani ya Tanzania.?
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuongeza chachu ya TUZO ZA UTALII ZA SERENGETI ndani ya Tanzania.? -SaaTisa Kamili -Weka Comment yako
Athari za kukaa kimya ukiwa na deni la mtu
Kwa watu wengi katika jamii ya Kitanzania, kukopeshana fedha ni jambo la kawaida katika kutatua...
Nujaba kwa maadui wa Iran: Vita vinaweza kufika milangoni kwenu
Katibu Mkuu wa kundi la kupambana na ugaidi la Harakat al-Nujaba la Iraq amewaonya vikali maadui wa Iran kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wowote mpya ambao wanaweza kufanya dhidi ya…
16 Bora UEFA kila kitu hapa
Timu za England vinavyoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya zimefahamu wapinzani wao wanaowezekana...
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: ..JANUARI 29, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: ..JANUARI 29, 2025
ECOWAS pia yatangaza kuiondolea vikwazo Guinea
Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imetangaza kuondoa vikwazo vyote vilivyobaki ilivyowekea Guinea kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021, kulingana na taarifa.
Utafiti: UK inaendelea kusakamwa na uchochole
Umaskini nchini Uingereza umezidi kuwa mbaya, huku idadi kubwa ya watu wakiishi katika hali ngumu wasiweze kumudu mahitaji yao ya msingi, hayo ni kwa mujibu utafiti uliofanywa na shirika moja…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….JANUARI 29, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....JANUARI 29, 2026
Live kutokea MSD Keko Mwanga MSD, Kumepambazuka ya Radio One, tupo na Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji (MSD), Hassan Ally, Etty…
Live kutokea MSD Keko Mwanga MSD, Kumepambazuka ya Radio One, tupo na Mkurugenzi wa Ugavi na Uendeshaji (MSD), Hassan Ally, Etty Kusiluka Meneja Mawasiliano na Uhusiano MSD, Elias Katani Meneja…
#HABARI: Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nc…
#HABARI: Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo , limethibitisha, katika taarifa shirika hilo limesema ndege…
CAF yazipiga rungu zito Senegal, Morocco kwa utovu wa nidhamu AFCON
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa adhabu kali kwa vitendo vya utovu wa nidhamu...
Majina: Ni utambulisho wa baraka au mzigo?
Baada ya mtu kujitambua kiakili, kielimu au kijamii huanza kulitazama jina lake kwa jicho...
Kwa nini timu za England zinatawala Ulaya
Ligi Kuu ya England, inaendelea kuonyesha nguvu yake barani Ulaya baada ya timu tano za England kumaliza ndani ya nafasi nane bora katika hatua ya ligi ya Ligi ya Mabingwa…
MV New Mwanza itakavyofungua uchumi Tanzania, Kenya na Uganda
Uzinduzi wa kuanza rasmi safari za meli ya kisasa ya MV New Mwanza unaashiria hatua mpya ya...
Iran yasema itajibu mapigo hadi Tel Aviv iwapo Marekani itathubutu kuishambulia
Onyo hilo limetolewa na mshauri mkuu wa kiongozi wa juu wa Iran, Ali Shamkhani, ambaye alisema kuwa shambulio lolote la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran litachukuliwa kama tangazo la…
Hatari inayowakabili wanaotumia mafuta wakati wa kujamiana
Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana...
Sababu Gen Z kuzeeka haraka kimwonekano kuliko Milenia
Tafiti kadhaa za kimataifa zinaonesha Gen Z ni miongoni mwa vizazi vinavyokumbwa zaidi na...
Sababu za kukwama kwa mipango yako mingi ya kifedha
Kila mwaka huanza na mipango ya fedha, na kila mwaka mingi hushindwa. Tunapoanza 2026, ni...
Hatari inayowakabili wanaotumia mafuta wakati wa kijamiana
Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana...