Mdororo wa uchumi US; UPS kuwafuta kazi watu 30,000
Kampuni ya kusafirisha mizigo ya United Parcel Service (UPS) ya Marekani imetangaza kwamba, itawatimua kazi watu 30,000 zaidi mwaka huu, katika juhudi za kupunguza ushirikiano wake na shirika la Amazon,…
Je, Tel Aviv inalenga kuizingira kimkakati Misri katika Bahari Nyekundu?
Misri, katika kujibu kuongezeka kwa ushawishi na uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Pembe ya Afrika, imeimarisha uwepo wake wa kijeshi nchini Somalia.
Alkhamisi, 29 Januari, 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Sha'ban, 1447 Hijria sawa na tarehe 29 Januari, 2026.
Maafisa wanaobambikia wananchi bili za maji
Maafisa wanaobambikia wananchi bili za maji. Je, waadhibiwe kama wezi wa maji?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 29, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 29, 2026
Tetesi za soka Ulaya: Juventus yamtaka Kolo Muani & Zirkzee
Washambuliaji Randal Kolo Muani wa Tottenham na Joshua Zirkzee wa Manchester United wanawindwa na Juventus, muda wa Luis Enrique kama kocha wa Paris St-Germain unaweza kuongezwa, huku Harry Maguire akisubiri…
#HABAI: Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendesha zoezi la uhakiki wa uthamini wa mali kwa wananchi, walioguswa na Mradi…
#HABAI: Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendesha zoezi la uhakiki wa uthamini wa mali kwa wananchi, walioguswa na Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Katumba–Lupaso yenye urefu wa kilomita 35.3,…
Al Fasher nchini Sudan imeharibiwa baada ya RSF kuchukua udhibiti
Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) walisema siku ya Jumatano kuwa mji mkuu Kaskazini mwa Sudan Darfur wa Al Fasher umeharibiwa na hakuna watu wanaoishi baada ya wapiganaji wa Rapid Support…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 29, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 29, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA JANUARI YAKO KWA BUKU TU..JANUARI 28, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA JANUARI YAKO KWA BUKU TU..JANUARI 28, 2026
😭
😭 (Feed generated with FetchRSS)
#ITVUPDATES: Mvua iliyoambatana na upepo mkali ndio chanzo cha Mti mkubwa kuanguka katikati ya Barabara Kuu ya Morogoro–Dar es S…
#ITVUPDATES: Mvua iliyoambatana na upepo mkali ndio chanzo cha Mti mkubwa kuanguka katikati ya Barabara Kuu ya Morogoro–Dar es Salaam katika eneo la Mzambarauni karibu na stendi ya Msamvu na…
#StoryTime
#StoryTime ULIPOKUWA NA UMRI WA MIAKA 21, ULIKUWA UNAJISHUGHULISHA NA NINI? 👀 (Feed generated with FetchRSS)
Klabu ya Simba Sports Club imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Inno Jospin Loemba kutoka klabu ya Colombe Spor…
Klabu ya Simba Sports Club imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Inno Jospin Loemba kutoka klabu ya Colombe Sportive du Dja et Lobo inayoshiriki Ligi ya Cameroon. Loemba, raia wa…
Waziri Mkuu wa Ethiopia ajadili usalama, ushirikiano na maafisa waandamizi wa Marekani Addis Ababa
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani, kamanda wa vikosi vya AFRICOM wamekamilisha ziara yao nchini Ethiopia kwa kuangazia usalama katika kanda, ushirikiano wa kijeshi
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya amesema atahakikisha anasimamia kila mwananchi mwenye uhalali wa kupata hati milki ya eneo lake analomiliki anapata hati. Akizungumza…
Watu wenye silaha wawaua polisi watatu katika jimbo la kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria
Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa baada ya washukiwa wa ujambazi kuwashambulia wakiwa kwenye doria yao katika jimbo la kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria siku ya…
#HABARI: Mti mkubwa umeanguka katikati ya Barabara Kuu ya Morogoro–Dar es Salaam katika eneo la Mzambarauni karibu na stendi ya …
#HABARI: Mti mkubwa umeanguka katikati ya Barabara Kuu ya Morogoro–Dar es Salaam katika eneo la Mzambarauni karibu na stendi ya Msamvu, hali iliyosababisha barabara hiyo kutopitika kwa muda na kuzua…
#HABARI: Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 31523 ya mwaka 2024, inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simo…
#HABARI: Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 31523 ya mwaka 2024, inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya, pamoja na mwenzake Rweyemamu Rwezaura John, imeendelea leo katika Mahakama…
#HABARI: Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa Serikali yake itaendelea kuheshimu na kutekeleza maamuzi ya mahakama, hata pa…
#HABARI: Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa Serikali yake itaendelea kuheshimu na kutekeleza maamuzi ya mahakama, hata pale ambapo baadhi ya maamuzi hayo yanapingana na sera za Serikali yake.…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kivule lililopo Mkoani Dar es Salaam, Ojambi Massaburi, amesema Rais wa Tanzania Dkt
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kivule lililopo Mkoani Dar es Salaam, Ojambi Massaburi, amesema Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi nzuri iliyoleta mageuzi makubwa nchini, ikiwemo kuvuna…
Ado Shaibu aja na mambo manne kukamilisha Katiba mpya
Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT-Wazalendo), Ado Shaibu ametilia shaka ukamilishaji wa Katiba...
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 28, 2026 – WATU WAWILI WAUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA NG’OMBE SONGWE
TAARIFA YA HABARI SAA MBILI JANUARI 28, 2026 - WATU WAWILI WAUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA NG'OMBE SONGWE
Tanzania launches e-GA system to safeguard its sensitive information
DODOMA: PUBLIC servants have been urged to stop using personal email accounts for government-related communications, as this practice has been identified as a source of leaks and loss of sensitive…
Tanzania uses the IEW platform to promote oil, gas investment
GOA: THE Deputy Minister of Energy, Salome Makamba, has stated that Tanzania continues to create an enabling environment for investment by leveraging the various opportunities in the oil and gas…
Youths must work, not wander online
DAR ES SALAAM: IN today’s digital age, the line between productivity and distraction has become dangerously thin and our modern generation glued in this must be told the reality. Mobile…
#HABARI: Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira kali katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa tuhuma za wizi wa ng’…
#HABARI: Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira kali katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa tuhuma za wizi wa ng'ombe nane wanaodaiwa kuibiwa wilayani Momba. Katika tukio hilo, wananchi…
Sh23.4 bilioni kuimarisha miradi ya umwagiliaji
Serikali imekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya Sh23.4 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa...
#HABARI: Wananchi wa vitongoji 175 mkoani Mtwara wameipokea kwa shangwe hatua ya Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (RE…
#HABARI: Wananchi wa vitongoji 175 mkoani Mtwara wameipokea kwa shangwe hatua ya Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuanza kutekeleza mradi mkubwa wa kusambaza umeme utakaogharimu zaidi ya shilingi…
DRC: Jumuiya ya kibinadamu yapunguza kasi ya mpango wake wa mwitiiko wa kibinadamu
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, serikali na jumuiya ya kibinadamu, leo Jumatano, Januari 28, wamewasilisha mpango wa kukabiliana na hali ya kibinadamu mwaka 2026. Mahitaji yanayokadiriwa ni dola bilioni…
Wanaodai, kudaiwa Pride waitwa kuwasilisha uthibitisho
Kabidhi Wasii Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Frank Frank, kupitia...
“…lakini Mheshimiwa Mwenyekiti nakisi ambayo sisi tunaiona hauwezi kuwa na mchakato bora wa Katiba Mpya kwa kutaja ahadi ya Kati…
“…lakini Mheshimiwa Mwenyekiti nakisi ambayo sisi tunaiona hauwezi kuwa na mchakato bora wa Katiba Mpya kwa kutaja ahadi ya Katiba mpya peke yake sisi tunaona kwamba Katiba mpya inashughulikiwa kwa…
“…Mheshimiwa Mwenyekiti nukta moja ambayo imeachwa katika mijadala yetu na mimi nitaisema ni juu ya umuhimu wa haki ili kupata a…
“…Mheshimiwa Mwenyekiti nukta moja ambayo imeachwa katika mijadala yetu na mimi nitaisema ni juu ya umuhimu wa haki ili kupata amani ya kweli…”- Ado Shaibu, Mbunge wa Tunduru Kaskazini. Powered…
Mandera County turns thorny for Kenya’s Ethiopians
MANDERA: ETHIOPIAN nationals living in Mandera County in northeastern Kenya have reported receiving death threats if they fail to leave the area by February 5, 2026. The migrants say the…
Tanzania to expand grazing land to 6 million hectares
DODOMA: THE Tanzanian government has announced plans to increase surveyed and designated land for livestock grazing from 3.49 million hectares to 6 million hectares over the next five years. The…
Manispaa ya Morogoro yaanza kuwaondoa wafanyabiashara barabarani
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imeanza operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya...
REA eyes to supply power to 5,593 households in Lindi
LINDI: THE Tanzanian government, through the Rural Energy Agency (REA), has begun implementing a project to supply electricity to 159 sub-villages across all districts of the Lindi Region, for 25.8bn/-.…
#HABARI: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu katika maeneo ya Tabata na Kimara jijini Dar es Sala…
#HABARI: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu katika maeneo ya Tabata na Kimara jijini Dar es Salaam, kufuatia malalamiko ya wateja mitandaoni kuhusu umeme kuisha haraka. Kaimu…
Tiseza yahamasisha uwekezaji wa ndani, yakagua maeneo ya kongani za viwanda
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imeanza kampeni ya kitaifa...
#HABARI: Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Okto…
#HABARI: Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa…
Ministry launches toll-free health service platform
ARUSHA: THE launch of a new toll free digital platform by the Ministry of Health marks a significant shift in how health services are governed and delivered in Tanzania, placing…
Wakili Madeleka aibuka kidedea kortini, ombi la Jamhuri lakataliwa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imelikataa ombi la upande wa Jamhuri la kutaka kuifanyia...
Saudia yaweka msimamo ardhi yake kutumika mashambulizi dhidi ya Iran
Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman amesisitiza kuwa ardhi ya nchi yake...
Upungufu wa madawati 6,290 wachangia msongamano wa wanafunzi Tabora Manispaa
Halmashauri ya Manispaa ya Tabora inakabiliwa na upungufu wa madawati 6,290 kwa shule za msingi...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO – JANUARI 28, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO - JANUARI 28, 2026
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania imeipatia tuzo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kama ishara ya kutambua mchango wake mkubwa kat…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania imeipatia tuzo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kama ishara ya kutambua mchango wake mkubwa katika kutatua migogoro ya wananchi kwa njia ya usuluhishi nje ya…
TRA instructs customs officers to facilitate trade while protecting borders
DAR ES SALAAM: THE Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Yusuph Mwenda, has met and held discussions with officers of the Customs and Excise Department from various parts…