Udadavuzi: ECOSOC ni nini?
Baraza la Uchumi na Jamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC) linatimiza miaka 80 mwaka huu, likiendelea kushughulikia changamoto kubwa za kimataifa. Kitengo hiki cha Umoja wa Mataifa, kilichoanzishwa mwaka 1945…
AI katika elimu: UNESCO yataja dhana potofu, na hatari ya kutumia AI mashuleni
Wakati dunia ikijiandaa kusherehekea Siku ya Elimu Duniani hapo kesho tarehe 24 Januari, 2026 embu sasa tuangazie mjadala unaozidi kushika kasi duniani kote kuhusu matumizi ya Akili Mnemba - AI…
Msako dhidi ya wahamiaji Marekani: Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN alaani
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, leo Ijumaa ya Januari 23 ametoa wito kwa Marekani kuhakikisha kuwa sera zake za uhamiaji na mbinu za…
Miaka 80 ya Baraza la Kiuchumi na Kijamii ni chachu ya mabadiliko kwa ushirikiano wa kimataifa: Guterres
Katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, hii leo historia na dharura vilikutana chini ya paa moja. Ni miaka themanini tangu Baraza la Kiuchumi na Kijamii la…
Mauaji ya raia yaendelea Uvira, Rutshuru, mashariki mwa DRC, UN yatoa kauli
Takribani watu 50 wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa huko eneo la Rutshuru jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Kliniki tembezi jawabu la huduma za afya kwa walio pembezoni Niger
Huko Afrika Magharibi taifa la Niger linaongeza uwezo wa wananchi wake walio maeneo hatarishi na ya pembezoni kufikia huduma bora za afya kupitia kliniki tembezi. Kwa usaidizi kutoka shirika la…
Moloko kuibukia Ligi ya Championship
ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani Jesus Ducapel Moloko amekamilisha usajili wa kujiunga na Mbeya Kwanza ya Tabora inayoshiriki Ligi ya Championship, baada ya kusaini mkataba hadi mwisho wa msimu…
Kiungo Mrundi atua Singida Black Stars
UONGOZI wa Singida Black Stars umekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Mossi Nduwumwe, baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wa mchezaji huyo anayeichezea Flambeau du Centre FC ya…
Tanzania Prisons yamalizana na Mpole, Martin
TANZANIA Prisons imekamilisha usajili wa washambuliaji George Mpole na Emmanuel Martin, na tayari wamejiunga kambini kujiandaa na mechi dhidi ya JKT Tanzania itakayopigwa kesho, Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine mjini…
Singida Black Stars yamrudisha nchini Raheem
Singida Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa El Mahalla ya Misri, Raheem Shomary kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo huku mwenyewe akitaja sababu za kurudi Tanzania.
Greenland: Mwali anayewagonganisha vichwa wakubwa wa dunia – 1
Katika njia isiyo ya kawaida ya siasa za kimataifa, kisiwa cha barafu kikubwa zaidi duniani cha...
Kwa nini Marekani ilitumia silaha ya ‘sauti’ huko Venezuela
Madai ya kwamba "silaha ya kuzalisha sauti" isiyojulikana ilitumiwa nchini Venezuela yamezua uvumi kuhusu teknolojia ya kijeshi ya Marekani na madhara yake katika mwili wa binadamu.
Henry Mkanwa aanika mipango Gunners
KOCHA mpya wa Gunners FC ya jijini Dodoma, Henry Mkanwa amesema miongoni mwa malengo makubwa aliyopewa na uongozi wa timu hiyo ni kuhakikisha kikosi hicho kinabaki Ligi ya Championship msimu…
Straika Transit Camp haamini alichofanya Championship
MSHAMBULIAJI wa Transit Camp, Adam Uledi amesema tangu amecheza mpira wa miguu hajawahi kufunga idadi kubwa ya mabao 11, aliyoyafunga msimu huu, jambo linalompa matumaini makubwa ya kuendelea kupambana ili…
Better Mnyamisi atimkia Bigman FC
BIGMAN imekamilisha usajili wa beki wa kati, Better Abdallah Mnyamisi, aliyekuwa akikichezea kikosi cha IAA cha jijini Arusha kinachoshiriki Ligi Daraja la Pili, baada ya kuzishinda Mbeya Kwanza na Stand…
Stand Utd yabadili gia, nyota 10 wakimbia njaa
SUALA la ukata limeendelea kuitesa Stand United ya Shinyanga na dirisha dogo zaidi ya wachezaji 10 wameondoka na wengine kugoma.
Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Jumatatu
Waziri amesema Kitita cha Huduma Muhimu kwa awamu ya kwanza kitaanza kutumika Januari 26, 2026,...
Afcon 2025: Cha kujifunza kupitia changamoto na mafanikio
Baada ya matukio ya fujo katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, BBC Sport Africa inakufunuliwa mengine ya kujifunza kutoka katika mashindano hayo nchini Morocco.
Ofa zamfuata Casemiro akiaga Man United
Inaripotiwa kwamba miongoni mwa ofa nono ambazo ziko mezani mwa Casemiro ni ya LA Galaxy ambayo...
Kiwanda cha Sukari Mkulazi chazalisha ajira zaidi ya 9,000
Uzalishaji unatarajiwa kufikia tani 50,000 za sukari ifikapo msimu wa 2027/2028.
Je, Man Utd ya 2008 ingefanikiwa kuichapa Arsenal ya 2026?
Labda Theo Walcott alitambua alichosema mara tu maneno yalipotoka kinywani mwake. Walcott alikuwa akizungumza na Wayne Rooney alipoonekana kuhoji kama timu ya Manchester United ya 2008 inaweza "kushindana" na Arsenal…
D Voice, Zuchu WCB mwendo ni uleule
Kwa mara nyingine tena D Voice na Zuchu wanaonyesha kwa nini wanastahili kuwepo WCB Wasafi kwa...
Polisi yamshikilia mwenyekiti Chadema Mbeya Vijijini, yataja sababu
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya, Hamad Mbeyale amesema huu...
Ubepari; unyonyaji wa maliasili na shinikizo kwa mazingira
Ubepari, kama mojawapo ya mifumo mikuu ya kiuchumi katika ulimwengu wa sasa, umeundwa kwa kuzingatia ulimbikizaji wa mtaji, faida na upanuzi wa masoko usio na kikomo.
Mali ni mtihani kwako, unaitafutaje?
Mara nyingi Qur’an imeunganisha kutajwa kwa mali na nafsi pamoja na watoto, ili kubainisha...
Vioja vya Mkali Wenu, kutoka uchekeshaji hadi ubondia
Mchekeshaji maarufu nchini, Miraji Supakila 'Mkali Wenu' amesema haikuwa kazi rahisi kufika...
Magonjwa yasiyoambukiza yanavyowanyemelea vijana
Zaidi ya watu milioni 20 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na magonjwa yasiyoambukiza, na...
Rais Pezeshkian: Mpango wa maadui wa Umma wa Kiislamu ni kueneza ugaidi na machafuko
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mpango wa maadui wa Umma wa Kiislamu ni kueneza na kuendeleza ugaidi na ukosefu wa usalama katika eneo kwa…
Russia: Wananchi wa Iran wamesambaratisha njama za maadui
Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia amesema kuwa, machafuko ya hivi karibuni nchini Iran yalifadhiliwa waziwazi kutoka nje ya nchi.
Umoja wa Afrika waiondolea vikwazo Guinea
Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea vikwazo Guinea ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa rais mwezi Disemba.
Abdul-Malik Al-Houthi: Baraza la Amani la Trump ni kifuniko tu cha satwa na uporaji
Sayyed Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, baadhi ya nchi zinaweka mashinikizo makubwa ya kiuchumi kwa watu wa Yemen kwa kuchelewesha kwa makusudi kuwasili…
CDC: Mlipuko wa Mpox barani Afrika sio dharura tena ya kiafya
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa barani Afrika (CDC) ametangaza kuwa, mlipuko wa Mpox barani Afrika kwa sasa sio "dharura ya kiafya barani humo.
Yammi anavyotupiwa macho na wasanii wenzake
Muziki wa Bongofleva unaendelea kushuhudia kuibuka kwa vipaji vipya vyenye uwezo mkubwa, na...
Ukraine: Kremlin yatangaza mkutano wa ‘pande tatu’ Ijumaa katika Falme za Kiarabu
Kremlin imetangaza Ijumaa, Januari 23, mkutano wa pande tatu na Ukraine na Marekani katika Falme za Kiarabu baadaye siku hiyo, kufuatia mkutano ulioonekana kuwa “muhimu” kati ya Vladimir Putin na…
Yanga yazoa tuzo Ligi Kuu mwezi Desemba
Yanga imetawala tuzo za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mwezi Desemba ambapo imevuna tuzo mbili...
Afya bora inaanzia kwenye sahani mezani
Lishe bora husaidia kuimarisha kinga ya mwili na kuuwezesha mwili kupambana na magonjwa...
‘Dumu ilikuwa imetapakaa kila mahali’ – Mwathiriwa wa utekaji katika kanisa la Nigeria asimulia alivyotoroka
Watu 160 yasemekana hawajulikani waliko baada ya washambuliaji kuvamia makanisa matatu katika kijiji cha Nigeria siku ya Jumapili.
Bobi Wine: ‘Niko mafichoni,’ kiongozi wa upinzani nchini Uganda apinga matokeo ya uchaguzi
Wiki moja baada ya uchaguzi wa urais nchini Uganda, ambao rais aliye madarakani Yoweri Museveni alishinda kwa kishindo, kiongozi wa upinzani Bobi Wine anafutilia mbali matokeo. Katika mahojiano na RFI,…
Serikali yataka CBE Moshi kuzalisha wabunifu wa sekta ya utalii
CBE ina wanafunzi 24,657, huku kukamilika kwa kampasi hiyo mpya kukitarajiwa kuongeza zaidi ya...
Rais wa DRC kukutana kwa mazungumzo na rais wa Ufaransa Emanuel Macron
Baada ya Jukwaa la Davos, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Félix Tshisekedi yuko leo Ijumaa, Januari 23 Paris kwa mkutano na Emmanuel Macron kulingana na RFI. Imechapishwa:…
Kauli za viongozi Korea zazua mjadala kuhusu uhuru wa dini
Wachambuzi wa sheria wanasema matamshi hayo yanaweza kuathiri uhuru wa vyombo vya uchunguzi na...
Iran: Trump asema ‘manowari za kijeshi’ zinaelekea Ghuba ya Uajemi
Donald Trump amebainisha siku ya Alhamisi, Januari 22, kwamba “manowari za kijeshi” za Marekani zinaelekea Ghuba ya Uajemi, zikiendelea na shinikizo dhidi ya Tehran, hata kama matarajio ya kuingilia kijeshi…
Luis Miquissone naye afuata mamilioni Libya
Mkataba baina ya Miquissone na Al Ahly Benghazi utasainiwa baada ya kufanyika na kukamilika kwa...
KONA YA MSTAAFU: Bunge jipya litaleta chochote kipya kwa wastaafu?
Bunge jipya limeanza kazi Januari hii ya mwaka huu wa 2026, likitegemewa kufanya mambo mengi...
‘Vita lazima viishe,’ Trump asema baada ya kukutana na Zelensky Davos
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Urusi siku ya Alhamisi kukomesha vita na Ukraine, kufuatia mkutano “mzuri” alioufanya huko Davos na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky. “Vita lazima…
Denmark yaunga mkono ‘uwepo wa kudumu wa NATO’ katika Aktiki
Denmark inabaini “fursa imefunguliwa” kwa “mazungumzo ya kweli” na Marekani kuhusu usalama huko Greenland. Waziri Mkuu Mette Frederiksen pia amesema kwamba nchi zote za NATO zinakubaliana kuhusu “uwepo wa kudumu”…
Vita vya Biashara: Viwanda vya Afrika vyadhoofika na hatari ya utegemezi
Chini ya shinikizo la Marekani, China inatafuta masoko mapya. Matokeo yake, bidhaa zake zinafurika Afrika, na kusababisha ukosefu wa usawa wa kibiashara uliorekodiwa, huku mauzo ya nje ya Afrika kwenda…