Rais Mwinyi awaachia huru wafungwa 17 maadhimisho miaka 62 ya Mapinduzi
Katika kuadhimisha miaka 62 ya Mapinduzi, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewaachia huru...
#HABARI: Siku mbili baada ya msafara wa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kutupiwa mabomu ya kutoa machozi katika eneo la Ki…
#HABARI: Siku mbili baada ya msafara wa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kutupiwa mabomu ya kutoa machozi katika eneo la Kirinyaga akiwa kwenye msururu wa mikutano ya kampeni,Gachagua sasa amewatuhumu…
Mahakama haiwezi kumlazimisha mke au mme kurudi kwenye ndoa
Mahakama haiwezi kumlazimisha mke au mme kurudi kwenye ndoa. (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Watu wanne wamefariki na wengine 16 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Mwensino linalofanya safari zake kuto…
#HABARI: Watu wanne wamefariki na wengine 16 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Mwensino linalofanya safari zake kutoka wilayani Lushoto kwenda mkoani Arusha kugongana uso kwa uso na…
Pezeshkian aishutumu Marekani na Israel kuiyumbisha Iran
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amedai Marekani na Israel wanataka "kusababisha ghasia na kulivuruga taifa" hilo kwa kuamuru maandamano yanayoendelea nchini humo ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha.
Papa Leo ameombea amani kwa taifa la Syria na Iran
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo XIV amewaombea watu wote waliouawa katika maandamano ya Iran na katika mzozo wa Syria akitoa wito wa majadiliano na amani, katika ibada yake…
Trump aiambia Cuba ‘kufanya makubaliano kabla haijaadhibiwa
Rais wa Marekani Donald Trump, ameitolea mwito Cuba, kutafuta "makubaliano ya aina fulani" na Marekani au "itaonja cha mtemakuni" akisema kwamba kuanzia sasa Cuba haitopata tena fedha na mafuta kutoka…
Wanne wafariki dunia ajalini Tanga, 16 wajeruhiwa
Ajali nyingine ya gari imetokea katika Mkoa wa Tanga na kusababisha vifo vya watu wanne huku...
Waziri mkuu wa Sudan atangaza serikali kurejea Khartoum
Waziri Mkuu wa Sudan Kamil Idris ametangaza kwamba serikali ya taifa hilo imerejea mjini Khartoum, baada ya takriban miaka mitatu ya kufanya kazi katika mji unaokumbwa na vita wa Port…
Kali nne za Mapinduzi Cup 2026
KESHO Jumanne, ile safari ya takribani siku 17 katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inakwenda kuhitimishwa kwa kupigwa mechi ya fainali.
Miaka 62 ya Mapinduzi na namna Zanzibar inavyokuza sekta zake kimaendeleo
Wakati leo ikiadhimishwa miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mabadiliko mengi ya kiuchumi na...
Wamiliki wa vituo vya soka katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma Mkoani Mara wametakiwa kushikamana nikuhakikisha wanarejes…
Wamiliki wa vituo vya soka katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma Mkoani Mara wametakiwa kushikamana nikuhakikisha wanarejesha heshima na utawala wa soka katika Manispaa hiyo ikiwa pamoja na kuweka mikakati…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga Mkazi wa Zimbili Kinyerezi Wilaya y…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga Mkazi wa Zimbili Kinyerezi Wilaya ya llala Salaam kwa tuhuma za kumjeruhi kwa fimbo na moto…
Watoa angalizo waliofeli kidato cha pili kuendelea kidato cha tatu
Siku moja baada ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kueleza wanafunzi waliofeli mitihani...
“Hatupendelewi na waamuzi wa AFCON,” kocha wa Morocco anasema huku kukiwa na malalamiko
Kocha wa Morocco Walid Regragui amekanusha minong'ono kuwa timu yake inanufaika kutokana na upendeleo kutoka kwa waamuzi kama mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika.
Wananchi Zanzibar watakiwa kupisha miradi ya maendeleo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi...
Wazazi, walezi Arusha watakiwa kuhakikisha watoto wanaripoti shule
Zikiwa zimesalia siku chache Shule za Msingi na Sekondari kufunguliwa nchini, wazazi na walezi...
VIDEO: Wanne wafariki dunia ajalini Tanga, 16 wajeruhiwa
Ajali nyingine ya gari imetokea katika Mkoa wa Tanga na kusababisha vifo vya watu wanne huku...
Uturuki yatuma ‘Meli nyingine ya wema’ iliyobeba tani za misaada nchini Sudan
Usafirishaji wa misaada ya kibinadamu unajumuisha chakula, vifaa vya matumizi ya kibinafsi, na vifaa vya matibabu na malazi kwa watu wa Sudan waliohamishwa na migogoro inayoendelea.
AI is not a threat to jobs; it facilitates efficiency, Tanzanians assured
DAR ES SALAAM: THE advancement of Artificial Intelligence (AI) has been described as not a threat to replace people’s jobs but rather an opportunity to facilitate work efficiency. This has…
Uturuki inathibitisha tena ‘uungaji mkono mkubwa’ kwa Somalia baada ya Israel kuitambua Somaliland
Uturuki imesisitiza "uungaji mkono wake mkubwa" kwa Somalia na pia kusisitiza kukataa kwake kutambua kwa Israel eneo la Somaliland.
Duka la vifaa vya umeme lateketea kwa moto Arusha
Duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme na elektroniki lililopo eneo Mtaa wa Bondeni jirani na...
Huyu Nawanda anapitia mengi, Usikose kutazama NOMA leo usiku kuanzia saa 1:00 kupitia #SinemaZetuHD
Huyu Nawanda anapitia mengi, Usikose kutazama NOMA leo usiku kuanzia saa 1:00 kupitia #SinemaZetuHD
Bhaiyya Ji, ndio movie ya kihindi leo saa 4:00 usiku kupitia AzamTWO
Bhaiyya Ji, ndio movie ya kihindi leo saa 4:00 usiku kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #BhaiyyaJi #AzamTWO
Wazee wanaoshi katika mazingira magumu Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita wamekishukuru Kikundi Cha Nyankumbu Shule Group kwa k…
Wazee wanaoshi katika mazingira magumu Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita wamekishukuru Kikundi Cha Nyankumbu Shule Group kwa kuwasaidia mahitaji ya msingi huku wakitoa wito kwa Jamii kuendelea kuwasaidia watu…
Mwanaume mmoja nchini China amemshtaki mke wake mahakamani na kutaka alipwe fidia kutokana na mwenza wake huyo kuwa na tabia ya …
Mwanaume mmoja nchini China amemshtaki mke wake mahakamani na kutaka alipwe fidia kutokana na mwenza wake huyo kuwa na tabia ya kula kupita kiasi. Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo alipinga na…
Rufaa yamuokoa na hukumu ya kifo
Nani alimuua Farhan Maluli na mabaki ya mwili yaliyofukuliwa huko Sharifu Shamba jijini Dar es...
Duuh hii kali, Siwa wamemaliza hadi chakula cha Mkwe
Duuh hii kali, Siwa wamemaliza hadi chakula cha Mkwe. Usikose kutazama #KombolelaSeries leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Mabadiliko bei ya mazao kudhibitiwa Kyela
Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Kyela mkoani Mbeya (Kyecu) kimesema mabadiliko ya mara kwa...
Malkia asimulia Waluguru walivyotumia mawe kujilinda
Waluguru ni miongoni mwa makabila yaliyothamini amani, utulivu na mshikamano lakini...
Boyeli ataja tatizo la Dube
Siku chache baada ya kuaga Yanga, mshambuliaji Andy Boyeli ameitakia kila la kheri timu hiyo...
Wananchi Ngeleli Iringa walia na kero ya kivuko
Wananchi wa Mtaa wa Ngeleli, Kata ya Ruaha Manispaa ya Iringa, wameelezea hofu yao juu ya...
Tanzania yang’ara ukomavu wa Tehama
DAR ES SALAAM: Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB) kuitaja kuwa miongoni mwa nchi zilizo na ukomavu wa juu wa matumizi ya TEHAMA…
Fainali Mapinduzi Cup 2026…Vita ya ushambuliaji na ulinzi
Azam na Yanga kesho Jumanne zitacheza fainali ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Gombani...
Kingwendu akieleza utofauti wa uchekeshaji wa zamani na wa sasa,
Kingwendu akieleza utofauti wa uchekeshaji wa zamani na wa sasa, Usikose kutazama ALAMA kila Alhamisi saa 2:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD ukiwa na @sophiamgaz
Wazabuni wazawa Mkoani Dodoma wamehimizwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya ununuzi wa umma kwa kushiriki kwa uaminifu…
Wazabuni wazawa Mkoani Dodoma wamehimizwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya ununuzi wa umma kwa kushiriki kwa uaminifu, weledi na kufuata taratibu zilizowekwa na serikali. #kilichoborakabisa
Mchungaji ambaye pia ni mmwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Kenya amefikishwa hospitali baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wa…
Mchungaji ambaye pia ni mmwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Kenya amefikishwa hospitali baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akijaribu kuukumbatia mti kwa saa 80 ili kufikisha ujumbe kuhusu…
“Kila chema tunachokitaka kwenye hii dunia kinaanzia kwenye familia”- Mshauri wa Saikolojia, Uhusiano na Malezi, Bupe Mwabenga a…
"Kila chema tunachokitaka kwenye hii dunia kinaanzia kwenye familia"- Mshauri wa Saikolojia, Uhusiano na Malezi, Bupe Mwabenga akizungumzia kuhusu ustawi wa ndoa imara ambapo amesema ili kufanya mambo mema katika…
Tanzania returns to the World Bank’s top GovTech tier as digital government systems deepen
DAR ES SALAAM: Tanzania has again been placed among the world’s most digitally mature public sectors after the World Bank classified the country in the top tier of its GovTech…
Ujio teknolojia majiko ya umeme kuwagusa Watanzania hali ya chini
Wakati Serikali ikidhamiria Watanzania wanne kati ya watano watumie nishafi safi ya kupikia...
‘Ananyanyaswa na kufuatiliwa kila hatua’: Nyota wa muziki anayemkabili rais wa muda mrefu wa Uganda
Kwa mvuto wake wa kipekee, uthubutu na uwezo wa kujiweka karibu na wananchi wa kawaida, nyota wa muziki Bobi Wine ametingisha siasa za Uganda.
Serikali ipo mbioni kuandaa Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria itakayoweka misingi ya kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa …
Serikali ipo mbioni kuandaa Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria itakayoweka misingi ya kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote. Waziri wa Katiba…
Anapa kuzalisha mazao mapya ya utalii
Ikiwa zimepita siku chache tangu jarida la Kimataifa la CNN Travel kutaja Hifadhi ya Taifa ya...
Atlas Lions survive; Taifa Stars expose how fragile privilege looks under pressure
DAR ES SALAAM: There are defeats that break you. And then there are defeats that expose the opponent. Last Sunday’s match did not end with Taifa Stars advancing on the…
Iran: UN yashangazwa na ripoti za vurungu na matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya waandamanaji
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameshangazwa na ripoti za vurugu na matumizi makubwa ya nguvu yanayofanywa na mamlaka ya Iran dhidi ya waandamanaji katika maeneo mengi nchini…
Baada ya dakika 14, Brighton kuachana na Masaka
Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England...