Miezi 10 ya ‘hatihati’, mateso, kuwindwa na kukosa uhakika wa kuiona kesho katika kila iliyoitwa ‘leo’ imefikia tamati na hatima…
Miezi 10 ya ‘hatihati’, mateso, kuwindwa na kukosa uhakika wa kuiona kesho katika kila iliyoitwa ‘leo’ imefikia tamati na hatimaye Juma Maganga, dereva wa malori ya masafa marefu aliyehukumiwa kifungo…
Jeshi la Marekani limeivamia Venezuela na kufanya operesheni ya kumuondoa kinguvu Rais wa nchi hiyo, Nicholas Maduro kisha kumsa…
Jeshi la Marekani limeivamia Venezuela na kufanya operesheni ya kumuondoa kinguvu Rais wa nchi hiyo, Nicholas Maduro kisha kumsafirisha yeye na mkewe hadi Marekani kisha kuwafungulia mashtaka. Katika taarifa yake…
Singida Black Stars yatangulia nusu fainali Mapinduzi Cup
SARE ya bao 1-1 dhidi ya URA, imeifanya Singida Black Stars kuwa timu ya kwanza kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026.
Ingawa historia ya ukombozi wa Tanganyika inatajwa isingeweza kumtaja kila mmoja aliyeshiriki kupambania uhuru wake kutokana na …
Ingawa historia ya ukombozi wa Tanganyika inatajwa isingeweza kumtaja kila mmoja aliyeshiriki kupambania uhuru wake kutokana na wingi wa Watanganyika wote lakini katika vilima vya Usambara wilayani Lushoto mkoani Tanga…
Wafanyabiashara wadogo na wa kati waliopoteza mali na mitaji yao katika ajali ya moto ulioteketeza zaidi ya vibanda 34 usiku wa …
Wafanyabiashara wadogo na wa kati waliopoteza mali na mitaji yao katika ajali ya moto ulioteketeza zaidi ya vibanda 34 usiku wa Disemba 30 mwaka jana wamesema ‘tuko njia panda’. Kauli…
Zaidi ya asilimia 25 ya wananchi waliojitokeza kupata huduma za uchunguzi wa afya katika kambi maalumu iliyoendeshwa na Taasisi …
Zaidi ya asilimia 25 ya wananchi waliojitokeza kupata huduma za uchunguzi wa afya katika kambi maalumu iliyoendeshwa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Arusha Lutheran…
Strikes on Venezuela were cover for Maduro’s capture – US senator
US: US military strikes on Venezuela were meant to provide cover for the capture of President Nicolas Maduro, who is expected to face trial on criminal charges on American soil,…
Israeli military ordered to prepare for war on all fronts amid Iranian protests
ISRAEL: The Israel Defense Forces (IDF) have been ordered to prepare for a possible simultaneous war against Iran, Lebanon, and the West Bank, according to Israeli Channel 12. One scenario…
Arusha kupitia upya sheria ya kudhibiti taka ngumu, kulinda mazingira
Madiwani wa Jiji la Arusha wanatarajia kufanya mapitio ya kina ya Sheria ya Usafi wa Mazingira...
Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa katoro wilayani Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuweka kituo cha Zimamoto na uokoaji kat…
Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa katoro wilayani Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuweka kituo cha Zimamoto na uokoaji katika eneo hilo baada ya moto mkubwa kuzuka na kuteketeza…
Serikali kuwasilisha bungeni muswada wa usajili wa watoto wachanga Nida
Lengo la hatua hiyo ni kuweka msingi imara wa utambuzi wa wananchi mapema, kurahisisha...
Vijana watajwa kundi hatari magonjwa ya moyo, pombe yatajwa
Amesisitiza umuhimu wa jamii, hususan vijana, kubadilisha mtindo wa maisha ili kupunguza hatari...
🔴TAARIFA YA HABARI YA JANUARI 03, 2026 – MOTO WAUNGUZA MAGHALA YA VINYWAJI, 50 WANUSURIKA KIFO GEITA
🔴TAARIFA YA HABARI YA JANUARI 03, 2026 - MOTO WAUNGUZA MAGHALA YA VINYWAJI, 50 WANUSURIKA KIFO GEITA
#TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 03/1/2026
#TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 03/1/2026
#HABARI: Zaidi ya watu hamsini waliokuwa wakiburudika katika kumbi za Suzzy Lounge mji wa kibiashara wa Katoro mkoani Geita, wam…
#HABARI: Zaidi ya watu hamsini waliokuwa wakiburudika katika kumbi za Suzzy Lounge mji wa kibiashara wa Katoro mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya moto ambao chanzo chake hakijafahamika kuzuka na…
Watu wanne wafariki dunia kwa kusombwa na maji
Kwa kipindi cha siku nane, watu wanne wapoteza maisha kwa kusombwa na maji jijini Mbeya, huku...
DRC: Watu 15 wameuawa katika shambulio la waasi wa ADF wilayani Lubero
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, watu 15 wameuawa baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF wanaohusishwana kundi la Islamic State. Imechapishwa: 03/01/2026 – 16:57 Dakika 1 Wakati wa…
Chadema yaalika Watanzania kudai haki, uhuru na Katiba bila hofu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika salamu za mwaka mpya 2026, kimetaka kuachiwa...
Trump asifu operesheni ya ‘kumkamata’ Maduro, Venezuela yatoa kauli
Akizungumza na gazeti la The New York Times saa chache baada ya kutangaza operesheni hiyo...
Polisi yamwachia Kweka kwa dhamana
Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kuachiwa kwake leo Januari 3...
Yemen: Wanajeshi wanaoungwa mkono na Saudia wanasonga mbele katika eneo lenye utajiri wa mafuta
Wanajeshi wanaoungwa mkono na Saudi Arabia, siku ya Jumamosi, Januari 3, 2026, wamesonga mbele, kulingana na maafisa wa kijeshi, katika jimbo lenye utajiri wa rasilimali la Hadramaut kusini mwa Yemen.…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SHINYANGA – JANUARI 03, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SHINYANGA - JANUARI 03, 2026
Iran: Maandamano yaendelea wakati Tehran ikisema itajibu vitisho vya Trump
Nchini Iran, maandamano mapya yamefanyika siku ya Ijumaa, Januari 2, huko Tehran na miji ya majimbo, huku waandamanaji wakiimba nyimbo zinazoipinga serikali. Askari wa vikosi vya usalama aliuawa “kwa kisu…
EU inasimama na raia wa Venezuela kuelekea mpito wa kidemokrasia, anasema Ursula von der Leyen
Umoja wa Ulaya unasimama na raia wa Venezuela na unaunga mkono mpito wa amani na kidemokrasia nchini, amesema Rais wa Tume ya Ulaya Ursula von der Leyen siku ya Jumamosi,…
Dereva aliyefungwa Sudan arejea nchini, asimulia
Alitakiwa kulipa faini ya ng'ombe 51 (sawa na Sh36 milioni) kwa mujibu wa mila na desturi za...
Siku chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa taarifa ya makusanyo ya mapato 2025 – 2026 ongezeko la mapato ya ser…
Siku chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa taarifa ya makusanyo ya mapato 2025 - 2026 ongezeko la mapato ya serikali, jumuiya ya wafanyabiashara nchini wameipongeza Serikali ya…
Rise of The Planet Of the Apes, ndio mzigo utakaohusika leo saa 4:00 usiku katika movie ya weekend kupitia AzamTWO
Rise of The Planet Of the Apes, ndio mzigo utakaohusika leo saa 4:00 usiku katika movie ya weekend kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #AzamTWO
#HABARI: Msanii maarufu na mjasiriamali, @officialshilole amepata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo katika eneo la Malagarasi, …
#HABARI: Msanii maarufu na mjasiriamali, @officialshilole amepata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo katika eneo la Malagarasi, mkoani Kigoma, alipokuwa safarini akirejea Dodoma baada ya kuhudhuria sherehe za Mwaka…
Wananchi wa Kijiji cha Nyanguge wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wameiomba Serikali, kurekebisha Miundombinu ya kujifunzia ikiwem…
Wananchi wa Kijiji cha Nyanguge wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wameiomba Serikali, kurekebisha Miundombinu ya kujifunzia ikiwemo kukarabati wa vyumba vya Madarasa ambavyo ni chakavu kwa muda mrefu, pamoja na madawati…
CNN Travel names Arusha as one of the favourite destinations for 2026
DAR ES SALAAM: ARUSHA National Park, found in Arusha, Tanzania, was mentioned by CNN Travel in their latest article published on December 31, 2025, recognizing not only the park but…
Yacouba Songne sasa atua Mbeya City
BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa nusu msimu mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Yacouba Songne amekamilisha dili la kuitumikia Mbeya City.
Maduro ni nani na kwanini Marekani imemkamata
Milipuko ilisikika katika mji mkuu wa Caracas wakati Rais Nicolas Maduro alipokamatwa na jeshi la Marekani
Crystal Symphony docks at Dar Port with 516 tourists
DAR ES SALAAM: THE Dar es Salaam Port has received the luxury cruise ship The Crystal Symphony, carrying a total of 516 tourists who arrived in the country to visit…
Wananchi wa vijiji vitano Pangani wataka kulipwa fidia mapema
Vijiji vinavyohusika katika mradi huo ni Stahabu, Bweni, Mzambarauni, Mikinguni na Mwera...
Februari 2025 inaweza isisahaulike katika uhai wa dereva Mtanzania, Jumanne Maganga aliyekamatwa na kufungwa nchini Sudan kwa ko…
Februari 2025 inaweza isisahaulike katika uhai wa dereva Mtanzania, Jumanne Maganga aliyekamatwa na kufungwa nchini Sudan kwa kosa la kumgonga na kumsababishia kifo askari wa jeshi la nchi hiyo. Ilikuwaje?…
Venezuela, mwathirika mpya wa sera inayojikariri ya Marekani
Tangazo la Rais Nicolás Maduro la kuwa tayari kufanya mazungumzo na Marekani limejibiwa chini ya saa 24 baadaye kwa mashambulizi makali ya kijeshi dhidi ya Caracas, huu ukiwa ni mtindo…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amekamatwa na kuondolewa nchini mwake
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amekamatwa na kuondolewa nchini mwake. Tangazo la Trump limejiri baada ya wanajeshi wa nchi yake kuripotiwa kutekeleza mashambulio mazito…
Ili kuwa na mipango inayokamilika unahitaji kujua unataka nini katika maisha yako
Ili kuwa na mipango inayokamilika unahitaji kujua unataka nini katika maisha yako. Je, una muongozo wa kufuata katika kufanikiwa malengo yako? Muelimishaji na mshauri mwelekezi wa stadi za maisha Brightness…
Kiongozi Muadhamu: Kwa tawfiq ya Mwenyezi Mungu, tutampigisha magoti adui
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu taifa hili litashinda njama zote na kumpigisha magoti adui.
Sunland Sunflower Oil
Sunland Sunflower Oil Pika kwa mwanga. Kula kwa busara. Ishi kwa afya. @mainlandgrouptz
Patashika wanafunzi wakirejea shuleni
Kwa mujibu wa ratiba, shule za msingi na sekondari nchini zitafunguliwa Januari 13, 2026.
Kutoka Noriega hadi Maduro fahamu viongozi waliowahi kukamatwa au kuangushwa na Marekani
Historia ya kisiasa ya Marekani imejaa visa vingi vya kuvamia nchi za kigeni ili kukamata viongozi. Tukio la sasa la kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, linadhihirisha mtindo huu.
Moto wateketeza Suzy Lounge Katoro, wananchi watoa ombi
Moto huo ulizuka majira ya saa 6:15 mchana, Ijumaa Januari 2, 2026, wakati shughuli zikiendelea...
Serikali yatenga Sh125 bilioni kujenga mabwawa
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema hayo alipopewa nafasi na Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba...
Mapigano mapya yaripotiwa kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23 karibu na mji muhimu wa Uvira
Mapigano makali yamejiri leo Jumamosi kati ya waasi wa wenye silha wa kundi la M23 na vikosi vinavyoiunga mkono serikali ya Kinshasa katika miji kadhaa karibu na mji wa Uvira,…