Mwaka 2025 ulivyogeuka wa neema kwenye muziki wa Singeli
Zimesalia siku 25 tu kuumaliza mwaka 2025. Mwaka ambao umebadilisha ramani na taswira ya muziki...
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…DESEMBA 06, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...DESEMBA 06, 2025
#HABARI: Moto mkubwa umeteketeza sehemu ya Hifadhi ya Mlima Hanang, uliopo wilayani Hanang mkoani Manyara na kusababisha uharibi…
#HABARI: Moto mkubwa umeteketeza sehemu ya Hifadhi ya Mlima Hanang, uliopo wilayani Hanang mkoani Manyara na kusababisha uharibifu wa misitu na viumbe hai vilivyopo kwenye hifadhi hiyo ambapo chanzo cha…
🔴KUMEKUCHA: KIBALI MAALIM CHA MABADILIKO YA TAARIFA NIDA….DISEMBA 06, 2025
🔴KUMEKUCHA: KIBALI MAALIM CHA MABADILIKO YA TAARIFA NIDA....DISEMBA 06, 2025
Chalamila ataja mambo sita yanayolalamikiwa na wananchi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ametaja malalamiko sita ya wananchi...
#SWALILAKIPIMAJOTO”Madereva wa mabasi ya abiria wanaoendekeza ulevi na uzembe
#SWALILAKIPIMAJOTO"Madereva wa mabasi ya abiria wanaoendekeza ulevi na uzembe. Je, Abiria wanapewa elimu endelevu kuwatambua na kuwaripoti?"
🔴#MAGAZETI: MAANDAMANO DESEMBA 9 YAPIGWA MARUFUKU ..DESEMBA 06, 2025
🔴#MAGAZETI: MAANDAMANO DESEMBA 9 YAPIGWA MARUFUKU ..DESEMBA 06, 2025
Iran Yapangwa na Ubelgiji, Misri na New Zealand Kombe la Dunia la FIFA 2026
Njia ya kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026 sasa imewekwa wazi kwa Iran baada ya droo ya Ijumaa usiku mjini Washington, D.C. kuipanga Timu ya Taifa ya Soka ya…
Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India
Ghasia dhidi ya Waislamu nchini India zimeongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni.
Jumamosi, 06 Disemba, 2025
Leo ni Jumamosi mwezi 15 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria sawa na 6 Disemba 2025 Miladia.
Uvamizi wa kijeshi wa Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi unaendelea
Duru za habari zimeripoti kwamba wanajeshi na walowezi wa Kizayuni wameendelea kuvamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kuchoma moto nyumba za Wapalestina na kushambulia raia wasio…
Mwanamfalme wa Saudia: Tishio hasa la Asia Magharibi ni Israel, si Iran
Turki Al-Faisal, mwanamfalme wa Saudi Arabia ambaye pia ni mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Saudia amesisitiza katika mkutano wa kimataifa huko Abu Dhabi kwamba, kinyume na wanavyodai…
AfDB yatoa msamaha wa karibu dola milioni 18 za kwa Somalia
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imesema kuwa, imeidhinisha kusamehewa Somalia karibu dola milioni 18 na hivyo kufungua njia ya kufutwa kabisa mikopo yote ya nchi hiyo ambayo inajumuisha ya…
Mapigano ya silaha yafunga barabara kuu katika fukwe za magharibi mwa Libya
Barabara kuu ya ufukweni inayopita katika mji wa Zawiya nchini Libya, yapata kilomita 60 magharibi mwa mji mkuu Tripoli, imefungwa kabisa tangu Alkhamisi jioni baada ya kuzuka mapigano na ufyatulianaji…
06.12.2025 Matangazo ya Mchana
Kansela wa Ujerumani Merz kuanza ziara tete nchini Israel // Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatumaini kufikia makubaliano kuhusu mali za Urusi kufikia mkutano wa kilele wa tarehe 18 Desemba…
Chief Justice warns lawyers against activism, court contempt
DODOMA: CHIEF Justice George Masaju has issued a stern warning against the growing trend of lawyers behaving like activists to the extent of violating courtroom ethics, reminding legal practitioners to…
Why planned demo illegal
DODOMA: POLICE yesterday declared the planned December 9 demonstrations illegal, warning that they will not permit any gathering whose organisers harbour malicious intentions, which aim at disrupting peace and undermining…
PM: No right justifies violence, vandalism
NYAMAGANA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba yesterday said that no right can be exercised at the expense of destroying or damaging the properties of others, urging Tanzanians to refrain from…
We’re on it, Tanzania tells partners
DODOMA: THE Government of the United Republic of Tanzania has acknowledged a wave of statements issued over the past week by several foreign governments and international organisations expressing concern over…
Airtel Tanzania, UCSAF Sign Phase 10 Agreement to Boost Rural Connectivity
DAR ES SALAAM: AIRTELL Tanzania has reaffirmed its commitment to expanding digital access in rural communities after signing Phase 10 of its ongoing partnership with the Universal Communication Service Access…
Sambo, Meya mpya Kigamboni
Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri...
Dk Mwigulu awaambia wananchi wasihofu misaada ilikuwa miaka ya 90
Wakati baadhi ya wananchi wakihofia kusitishwa kwa misaada nchini kufuatia matamko mbalimbali...
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 05 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 05 DESEMBA 2025
Mkutano wa 5 wa Elimu uliondaliwa na Taasisi ya Türkiye Maarif waanza jijini Istanbul
Mkutano wa mwaka huu unaangazia matazimio yajayo na mbinu za ubunifu.
#KIPIMAJOTO: “Matokeo ya Tume hii ya Uchunguzi yatasaidia hata mjadala mpana wa kuridhiana, kwa sababu kuridhiana ni mchakato na…
#KIPIMAJOTO: “Matokeo ya Tume hii ya Uchunguzi yatasaidia hata mjadala mpana wa kuridhiana, kwa sababu kuridhiana ni mchakato na ni hatua kwa hatua kuna mambo tunaridhiana kwa sasa kuna mambo…
#KIPIMAJOTO: “Mheshimiwa Rais katika kipindi cha nyuma alikuja na 4Rs… moja wapo ipo ya maridhiano na maridhiano haya yana histo…
#KIPIMAJOTO: “Mheshimiwa Rais katika kipindi cha nyuma alikuja na 4Rs… moja wapo ipo ya maridhiano na maridhiano haya yana historia hayakuanzia tuu hata katika mgogoro wa CUF, maridhiano yalitoka enzi…
“Kwa Tanzania ambao wanaandaa AFCON tena kwa Mataifa Matatu, sehemu Moja nzuri ya kujifunza ni katika kombe la Dunia linalofanyi…
"Kwa Tanzania ambao wanaandaa AFCON tena kwa Mataifa Matatu, sehemu Moja nzuri ya kujifunza ni katika kombe la Dunia linalofanyika katika Mataifa Mexico, Canada na Marekani"- @scanda24, Mchambuzi wa Michezo.…
“Kombe la Dunia linashirikisha Mataifa matatu, linashirikisha timu 48 lakini linafanyika katika Mataifa ya Mexico, Canada na Mar…
"Kombe la Dunia linashirikisha Mataifa matatu, linashirikisha timu 48 lakini linafanyika katika Mataifa ya Mexico, Canada na Marekani"- @scanda24, Mchambuzi wa Michezo. #sentroCloudstv #LainiYaWana #Clouds26Nyoosha
“Kazi yetu ni ile ile moja tunatangaza injili ya Mungu aliye juu”- @kibambetz, Mwanamuziki wa nyimbo za Injili
"Kazi yetu ni ile ile moja tunatangaza injili ya Mungu aliye juu"- @kibambetz, Mwanamuziki wa nyimbo za Injili
Baraka zote hapa Kitivoni Jioni ya Leo zimetoka kwa @kibambetz, Mwanamuziki wa nyimbo za Injili
Baraka zote hapa Kitivoni Jioni ya Leo zimetoka kwa @kibambetz, Mwanamuziki wa nyimbo za Injili. Kupitia muziki wake wa Injili tumebarikiwa! #LainiYaWana #sentroCloudstv #Clouds26Nyoosha
Kwako ni sawa best Friend wako kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na ndugu yako?
Kwako ni sawa best Friend wako kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na ndugu yako? Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057…
🔴#KIPIMAJOTO: HOTUBA YA RAIS KWA TAIFA KUPITIA WAZEE WA DAR ES SALAAM JE IMETOA MUSTAKABALI NA MWELEKEO WA NCHI
🔴#KIPIMAJOTO: HOTUBA YA RAIS KWA TAIFA KUPITIA WAZEE WA DAR ES SALAAM JE IMETOA MUSTAKABALI NA MWELEKEO WA NCHI
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limezindua rasmi mfumo wa matumizi ya mita janja ambazo tayari zimeshaanza kutumika husasani…
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limezindua rasmi mfumo wa matumizi ya mita janja ambazo tayari zimeshaanza kutumika husasani kwa wateja wapya wanaounganishiwa umeme, huku wateja wa zamani wakitarajiwa kubadilishiwa mita…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imepongezwa kwa kufanya vizuri kwenye udhibiti wa matumizi ya fedha …
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imepongezwa kwa kufanya vizuri kwenye udhibiti wa matumizi ya fedha na kushinda tuzo ya Taasisis za Umma zilizofanya vizuri zaidi…
Wafanyabiashara nchini wanatarajiwa kupata ahueni ya mitaji ya biashara kupitia mpango wa mkopo wa kupata mali za biashara ‘Ass…
Wafanyabiashara nchini wanatarajiwa kupata ahueni ya mitaji ya biashara kupitia mpango wa mkopo wa kupata mali za biashara ‘Asset Finance’ baada ya Benki ya I&M Tanzania kuingia kwenye ushirikiano na…
Mwaka mmoja uliopita familia ya mwandishi wa Azam TV, Benson Eustace iliingia katika rekodi baada ya kufanikiwa kupata pacha wan…
Mwaka mmoja uliopita familia ya mwandishi wa Azam TV, Benson Eustace iliingia katika rekodi baada ya kufanikiwa kupata pacha wanne. Baada ya zaidi ya siku 366, familia hiyo inaeleza 'tamu,…
Wakazi wa kijiji cha Njomlole kilichopo wilayani Njombe wameiomba serikali kumalizia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho ambayo i…
Wakazi wa kijiji cha Njomlole kilichopo wilayani Njombe wameiomba serikali kumalizia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho ambayo ilianza kujengwa na wananchi hao miaka minane iliyopita kama anavyoeleza Emmanuel Kalemba.…
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imeanza kutoa vibali kwa kampuni za usafirishaji wa abiria kwenda mikoa mbalimbal…
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imeanza kutoa vibali kwa kampuni za usafirishaji wa abiria kwenda mikoa mbalimbali ili kukabiliana na uhitaji mkubwa wa wasafiri wanaotoka Dar es Salaam…
#SentroYaCloudsTv #Clouds26Nyoosha #LainiYawana
#SentroYaCloudsTv #Clouds26Nyoosha #LainiYawana
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 05, 2025 – POLISI WAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA DESEMBA 9
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 05, 2025 - POLISI WAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA DESEMBA 9
TZ lures Indian investor in city natural gas distribution
DAR ES SALAAM: THE HCG Gas Ltd, an investment company based in India, has shown interest to invest in Tanzania’s City Gas Distribution and CNG project. Company’s representative, Ms Rekha…
Photos from Channel Ten Tz’s post
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewanasihi Viongozi wa Dini na Waumini kuhimizana kulinda Amani ya Nchi na kuwa tayari kuiombea kwa…
LEO inafanyika droo ya makundi Kombe la Dunia 2026
LEO inafanyika droo ya makundi Kombe la Dunia 2026. Fuatilia droo hii mbashara kupitia AzamSports2HD kuanzia saa 2:00 usiku. #FCWC #WorldCup2026
Jeshi la Polisi nchini limepiga Marufuku Maandamano ya aina yeyote kuanzia Disemba 9 na Kuendelea kwa kuwa Maandamano hayo yanay…
Jeshi la Polisi nchini limepiga Marufuku Maandamano ya aina yeyote kuanzia Disemba 9 na Kuendelea kwa kuwa Maandamano hayo yanayohamasishwa kupitia Mitandao ya Kijamii hayana Kibali na yanaandaliwa kinyume cha…
#HABARI: Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini, imekamata na kuteketeza dawa za kulevya…
#HABARI: Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini, imekamata na kuteketeza dawa za kulevya aina ya mirungi, zenye uzito wa zaidi ya kilogramu 374.…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa watumiaji wa maji kwa shughuli za kilimo katika maeneo ya kingo za Mto Ruvu, kusitisha matumizi ya maji…
#HABARI: Waziri wa Nishati, Mh
#HABARI: Waziri wa Nishati, Mh. Deogratius Ndejembi, amesema mara baada ya Serikali kuwekeza fedha zaidi ya Trilioni 13, katika miradi mbalimbali ya umeme hapa nchini, Wizara ya Nishati kupitia Shirika…
Qorro: Nitaimarisha ushirikiano kuchochea maendeleo ya Karatu
Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Karatu, Engelbert Aloyce Qorro ameainisha vipaumbele...
TLS yataka umakini matumizi ya AI kwenye sheria
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wanachama wake kuwa makini na matumizi ya...
Mwelekeo mpya wa huduma za malezi na makuzi mkoani Mbeya
Safari ya utekelezaji wa Mpango wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (MMMAM) mkoani...