Yaliomo kwenye makubaliano kati ya DR Kongo na Rwanda
DRC na Rwanda wametia saini makubaliano mapya ya amani mjini Washington, yakijumuisha usitishaji wa mapigano, uondoaji wa M23, ufuatiliaji wa madini na ushirikiano wa kiusalama chini ya uratibu rasmi wa…
Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya
Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Rais Donald Trump kulivunja…
Utafiti: Vita vya Gaza vinawasukuma Waingereza kwenye dini ya Uislamu
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Uingereza ya Athari ya Imani katika Maisha (IIFL) umeonyesha kuwa migogoro ya kimataifa ni sababu kuu kwa Waingereza kukubali dini ya Uislamu.
IRGC yaanza maneva makubwa la kijeshi Ghuba ya Uajemi kwa kutoa onyo kwa meli za Marekani
Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeanza mazoezi makubwa katika Ghuba ya Uajemi, kikionyesha uwezo wa hali ya juu wa kujilinda na kushambulia ulioimarishwa…
Hamas: Mwisho wa Abu Shabab ndio hatima isiyoepukika ya kila msaliti
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeonya kwamba mauaji ya mshirika wa Israel na kiongozi wa genge lenye uhusiano na Daesh, Yasser Abu Shabab, ni hatima isiyoepukika ya…
UN yatahadharisha kuhusu vifo vinavyosababishwa na mabomu ya kutegwa ardhini
Umoja wa Mataifa umetoa tahadhari kuhusu ongezeko la vifo vinavyosababishwa na mabomu ya kutegwa ardhini huku kukiwa na upungufu wa ufadhili wa programu za kutegua mabomu hayo.
Chimbo la muvi kali hili hapa, kaa kibabe
Ebwanaeeee wikiendi ndo imeanza hivyo. Kwa wale wapenzi wa muvi, tuwe tunakutana hapa kila...
Moshi wapata meya mpya
KILIMANJARO: Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamemrejesha Diwani wa Kata ya Njoro, Mhandisi Zuberi Kidumo, katika nafasi ya Meya wa Manispaa hiyo baada ya kumpigia kura…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha kwamba mtawa aitwaye Silianus Balyalemwa Korongo aliyetoweka kutoka kwe…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha kwamba mtawa aitwaye Silianus Balyalemwa Korongo aliyetoweka kutoka kwenye nyumba ya malezi ya Watawa iliyopo katika Kata ya Tungi Mkoani Morogoro, amepatikana…
Rwanda yazungumzia makubaliano ya amani na Kongo
Baadhi ya wadadisi wa masuala ya kisiasa na wananchi nchini Rwanda wamepokea kwa hisia mseto kusainiwa kwa mkataba kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mjini Washington.
Vladmir Putin:Tutasafirisha mafuta India bila kukatiza
India na Urusi zasaini makubaliano kadhaa ikiwemo ya kibiashara na kijeshi huku India ikiihakikishia Urusi kuendelea kuunga mkono amani
India, Urusi zakubaliana kutanua ushirikiano wa kibiashara
India na Urusi zimekubaliana kuhusu mpango wa ushirikiano wa kiuchumi utakaotanua biashara yao hadi mwaka wa 2030. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa…
Kenya yazindua jukwaa la kidijitali kufuatilia deni la taifa
Taasisi ya Uchumi nchini Kenya, IEA, imezindua jukwaa la kidijitali la kufuatilia deni kwa wakati halisi lijulikanalo kama Kenya Debt Counter lililobuniwa kutoa mwanga mpya kwa umma kuhusu hali ya…
TPA yang’ara Tuzo za NBAA
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa kwanza wa tuzo ya umahiri katika uandaaji bora wa hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya uandaaji…
SMZ kuongeza bajeti ya elimu Tril 1
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imepanga kuongeza bajeti ya sekta ya elimu kutoka shilingi bilioni 864 hadi…
HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinaz…
HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….DESEMBA 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....DESEMBA 05, 2025
Kwa nini wanawake hujiondoa kwenye siasa na uongozi?
Vitisho na chuki huwalazimisha wanawake kukaa kando na siasa na uongozi. Wanaojaribu kuingia kwenye siasa, hujikuta wakipachikwa majina kama mama wabaya, wakibezwa kwa mionekano yao, kuandamwa na vitisho na kupigwa.
Kampuni ya bima ya CRDB (CIC) imetumia zaidi ya shilingi bilioni tano kama fidia kwa wateja takribani 1,000 mwaka huu, imeelezwa
Kampuni ya bima ya CRDB (CIC) imetumia zaidi ya shilingi bilioni tano kama fidia kwa wateja takribani 1,000 mwaka huu, imeelezwa. Akizungumza na menejimenti ya CIC, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki…
Jamii ya kimataifa lazima ikabiliane na hatua za Israel zinazotishia utulivu wa kikanda: Uturuki
Wizara ya Ulinzi ya Kitaifa ya Uturuki pia ilisisitiza dharura ya kuingizwa kwa msaada usiozuiliwa katika ukanda wa Gaza.
Tanzania: Mataifa 16 ya Ulaya yataka miili iliyofichwa kukabidhiwa kwa familia zao
Mataifa zaidi ya 17 ya umoja wa Ulaya ikiwemo ujumbe wa umoja wa Ulaya nchini Tanzania, wametoa taarifa ya pamoja kuhusu vurugu za uchaguzi wa Octoba 29 nchini humo. Imechapishwa:…
DRC-Rwanda: Mchakato mrefu na mgumu waanza baada ya kusainiwa kwa mkataba wa mani
Picha ya mfano ya pamoja ilipigwa Washington na marais wa Rwanda na Kongo. Walialikwa Marekani na Donald Trump ili kuidhinisha kile kinachojulikana sasa kama “Mikataba ya Washington ya Amani na…
#HABARI: Mwanga Hakika Bank (MHB) imepewa Tuzo ya Consumer Choice Awards Africa 2025 katika kipengele cha Benki inayotoa huduma …
#HABARI: Mwanga Hakika Bank (MHB) imepewa Tuzo ya Consumer Choice Awards Africa 2025 katika kipengele cha Benki inayotoa huduma za Mikopo Rafiki (Benki za Kati) kupitia mkopo wa Fursa mahususi…
Malale Hamsini akaribia kumrithi Maximo KMC
Huenda Malale Hamsini akawa Kocha Mkuu wa KMC siku chache zijazo akichukua nafasi ya Marcio...
Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Agnes Kayola amewahimiza wawekezaji wa Kitanzania wanaofanya shughuli zao nchini Malawi kuende…
Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Agnes Kayola amewahimiza wawekezaji wa Kitanzania wanaofanya shughuli zao nchini Malawi kuendelea kununua na kutumia malighafi kutoka Tanzania, akisema hatua hiyo itaongeza biashara na kuimarisha…
#HABARI: Mwanaume wa umri wa makamo ameuawa na kundi la watu katika Kituo cha Ununuzi cha Mururi eneo Bunge la Gichugu, Kaunti y…
#HABARI: Mwanaume wa umri wa makamo ameuawa na kundi la watu katika Kituo cha Ununuzi cha Mururi eneo Bunge la Gichugu, Kaunti ya Kirinyaga, baada ya kukamatwa akiiba kuku walioandaliwa…
TRT yaondoka mkutano wa EBU wakati wanachama wakitofautiana kuhusu ushiriki wa Israel Eurovision
Vyombo vya habari vilishtumu kuendelea kushiriki kwa Israel huku mauaji ya halaiki yakiendelea Gaza, wanachaama kadhaa wa bara Ulaya walitangaza kususia mashindano ya Eurovision 2026.
Khalid Aucho: Nahodha wa timu ya Uganda
Nahodha wa timu ya taifa ya Uganda ni Khalid Aucho ambaye kwa sasa anakipiga na timu ya katikati mwa Tanzania Singida Black Stars.
Trump ameipongeza Congo na Rwanda kwa kusaini mkataba wa amani unaosimamiwa na Marekani
Rais Donald Trump aliwapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda kwa ujasiri wao walipotia saini makubaliano siku ya Alhamisi yenye lengo la kumaliza mzozo wa mashariki mwa…
Tume ya Papa Leo XIV kutathmini wanawake kuwa mashemasi yatoa majibu
Tume ya juu ya Vatican jana Alhamisi Desemba 4, 2025 imepiga kura kuangalia uwezekano wa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….DESEMBA 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....DESEMBA 05, 2025
Kamanda: Mazoezi ya kijeshi ya Sahand 2025 yamemalizika kwa mafanikio katika sinario zote
Kamanda wa manuva ya kupambana na ugaidi ya "Sahand 2025" ameuelezea ujumbe wa mazoezi hayo ya kijeshi kuwa ni juhudi za pande zote za kupambana na ugaidi, akisema: "Vikosi vya…
Wairaqi waunga mkono Hizbullah na Ansarullah baada ya tangazo la kuzuiliwa mali zao kimakosa
Mitaa ya mji mkuu wa Iraq, Baghdad usiku wa kuamkia leo ilishuhudia misafara mirefu ya magari, yaliyokuwa yakipeperusha bendera za harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah ya Lebanon na…
#HABARI: Watu watatu wameuawa kwa kupigwa risasi, na wengine kadhaa wakiwemo Maafisa wa Polisi na wanahabari kujeruhiwa, baada y…
#HABARI: Watu watatu wameuawa kwa kupigwa risasi, na wengine kadhaa wakiwemo Maafisa wa Polisi na wanahabari kujeruhiwa, baada ya wahuni kuvamia kundi la waandishi wa habari waliokuwa wanaangazia maandamano ya…
Motorists feel impact of fuel price changes
DAR ES SALAAM: FUEL prices announced by the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) on Tuesday will affect motorists unevenly, easing costs for petrol users while digging deeper into…
TZ boxers begin campaign at IBA World Championships
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S national boxing team – The Black Sharks, begin their campaign at the IBA World Boxing Championships in Dubai today, with Enzi Kasililika taking to the ring…
Waziri Riziki Pembe akagua miradi ya viwanja vya michezo Unguja
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema ujenzi wa viwanja vya michezo ni hatua muhimu katika kuibua na kukuza vipaji vya vijana nchini.
VIWANJA
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema ujenzi wa viwanja vya michezo ni hatua muhimu katika kuibua na kukuza vipaji vya vijana nchini.
Govt, CTI tackle manufacturing challenges
DAR ES SALAAM: THE government has pledged to collaborate with the Confederation of Tanzania Industries (CTI) to address persistent challenges facing manufacturers, including unreliable electricity, infrastructure gaps and logistical bottlenecks.…
Yanga see off Fountain Gate
DAR ES SALAAM: YOUNG Africans secured a 2–0 victory over Fountain Gate in the Mainland Premier League clash at the KMC Complex in Dar es Salaam, yesterday. Goals from Prince…
Ibenge rues missed chances in Azam’s goalless deadlock
DAR ES SALAAM: AZAM FC Head Coach Florent Ibenge has voiced disappointment after his side squandered two clear scoring chances in the first half of their barren draw against Singida…
Youth must champion peace, unity and development
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S progress has always been anchored in the collective resolve of its people to safeguard peace. At a time when the nation is moving steadily forward, it…
Back-to-back AFCON qualifiers for Twiga Stars spur women’s sports support
DAR ES SALAAM: THE government has reiterated its dedication to advancing sports development across the country, with a strong emphasis on empowering women athletes and celebrating sporting excellence. This commitment…
When reporting becomes provocation: Why CNN’s coverage on Tanzania demands scrutiny
DAR ES SALAAM: INTERNATIONAL media wield enormous power the power to inform, to shape narratives, to heal, but also, if misused, to inflame and reopen societal wounds. For a country…
Marais wa DRC na Rwanda wasaini makubaliano chini ya upatanishi wa US huku mapigano yakiendelea
Rais wa Marekani Donald Trump amewasifu marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda kwa kile alichokiita "ujasiri" wao wa kusaini makubaliano mapya yanayolenga kukomesha mzozo wa muda mrefu…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeibuka mshindi wa kwanza na kupewa tuzo ya umahiri katika…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeibuka mshindi wa kwanza na kupewa tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2024…
Youngest Mayor to lead Bukoba municipality
BUKOBA: BUKOBA Municipal Council early this week elected Mr Acton Lwankomezi (27) as the new Mayor for the 2025–2030 term. Mr Lwankomezi, who also serves as Councillor for Kagondo Ward,…
Serikali: Tutunze amani tusigeuke wakimbizi
SERIKALI imewataka vijana na wanaharakati watafute njia sahihi za kudai haki. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema hayo wakati wa mkutano wa pili unaohusisha serikali ya…
NEMC, UPS zakubaliana kufuatilia uchafuzi mazingira kidigitali
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesaini makubaliano ya awali na Kampuni ya United Platform Solution (UPS) kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa kidigitali wa ufuatiliaji…
Africa calls for urgent climate, wildlife action
DAR ES SALAAM: AFRICA’S top forestry and wildlife authorities have opened the 25th Session of the African Forestry and Wildlife Commission (AFWC25) and the 9th African Forestry and Wildlife Week…