Muungano wa Oxford: Israel ni tishio kubwa zaidi kwa amani Asia Magharibi
Muungano wa Oxford umeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi.
145,000 for certificate, diploma programmes
DODOMA: THE National Council for Technical and Vocational Education and Training (NACTVET) has announced selection of 145,575 applicants to join various certificate and diploma programmes for the 2025/2026 academic year.…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: USINDIKAJI WA VIUNGO |NOVEMBA 18, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: USINDIKAJI WA VIUNGO |NOVEMBA 18, 2025
Tour operators, TANAPA reassure visitors of safety
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S leading tourism institutions have moved to quell safety concerns among prospective international travellers, affirming that the country remains secure and fully operational despite brief, isolated skirmishes…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, NOVEMBA 18, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, NOVEMBA 18, 2025
Maoni yanaongezeka huku mpango wa Marekani wa Gaza ukiidhinishwa na baraza la usalama la UN
Viongozi wa dunia wanakaribisha hatua hiyo kama "njia ya amani," huku wengine wakieleza wasiwasi wao, wakisema azimio hilo halina uwazi.
Baraza la Usalama la UN laidhinisha mpango wa Marekani kuhusu Gaza, Hamas yapinga azimio la UNSC
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lililoandaliwa na Marekani la kuanzisha Kikosi cha Kimataifa cha Kurejesha Utulivu (ISF) katika Ukanda wa Gaza.
Wadau wanavyosubiri ahadi uboreshaji wa miundombinu shuleni
Rais Samia Suluhu Hassan alisisitiza umuhimu wa kuboresha miundombinu ya shule,lengo likiwa...
#HABARI: Jeshi la polisi Mkoa wa Tabora, linamshikilia mwanamke mmoja mkazi wa Tabora mjini Hadija Jimmy na wenzake wawili, kwa …
#HABARI: Jeshi la polisi Mkoa wa Tabora, linamshikilia mwanamke mmoja mkazi wa Tabora mjini Hadija Jimmy na wenzake wawili, kwa tuhuma za kutengeneza mazingira ya kujiteka kwa muda wa siku…
Samia ataka nidhamu kidato cha 4
RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia heri wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne waliotarajiwa kuanza mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari katika shule za sekondari 5,868 nchini Novemba 17, 2025. Kupitia…
Mke ajiteka kumtapeli mume
JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kutengeneza taarifa za uongo kuhusu kutekwa kwa mwanamke aitwaye Adijaji Jimmy (39), mkazi wa Mkoa wa Tabora, kwa lengo…
Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh Sheikh Hasina ahukumiwa kifo kufuatia maandamano mabaya
Mahakama ya Bangladesh ilisema vipengele vyote vya uhalifu dhidi ya ubinadamu vilitimizwa huku ikimhukumu kifo Sheikh Hasina katikati ya machafuko ya nchi nzima.
Mapitio ya #MAGAZZETI leo Novemba 18,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZZETI leo Novemba 18,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
TAKUKURU, Comoro kushirikiana mambo matano
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema Tanzania na Comoro zitaendelea kushirikiana katika maeneo matano ikiwemo utawala bora. Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Chrispin Chalamila amesema hayo alipotembelewa na…
Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao kutoka Al Fasher ya Sudan tangu kutwaliwa na RSF
Zaidi ya raia 100,000 wamefurushwa kutoka kwa Al Fasher magharibi mwa Sudan tangu kuchukuliwa kwa mji huo na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) mwezi uliopita, IOM imesema.
COP30: Majadiliano kuhusu uhifadhi wa misitu yaangaziwa
Majadiliano kuhusu uhifadhi wa misitu imekuwa moja kati ya ajenda kuu za mkutano wa tabianchi wa COP30. Imechapishwa: 18/11/2025 – 05:56 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…
Rais atangaza Baraza la Mawaziri la kimkakati
RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza Baraza la Mawaziri la kimkakati lenye wizara 27 huku kukiwa na mabadiliko kadhaa ikilinganishwa na lililomaliza muda wake. Ameanzisha Wizara ya Maendeleo ya Vijana ambayo…
Siri za kuijenga Tanzania ya teknolojia
Katika ulimwengu wa sasa unaotawaliwa na teknolojia na ubunifu, vijana wengi duniani wanazidi...
Jumanne, 18 Novemba, 2025
Leo ni Jumanne tarehe 27 Jamadul-Awwal 1447 Hijria mwafaka na tarehe 18 Novemba 2025.
Tanzania: Rais Samia ateuwa baraza lake la mawaziri 27
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hapo jana alitangaza baraza lake la mawaziri 27, akiwaacha nje mawaziri 7 waliohudumu katika serikali iliyopita. Imechapishwa: 18/11/2025 – 05:14Imehaririwa: 18/11/2025 – 05:21 Dakika…
Mwanamke Ilham Yazido mkazi wa Bukumbi wilayani Misungwi mkoani Mwanza anayedaiwa kutelekezwa na mumewe ambaye anatajwa kuwa ni…
Mwanamke Ilham Yazido mkazi wa Bukumbi wilayani Misungwi mkoani Mwanza anayedaiwa kutelekezwa na mumewe ambaye anatajwa kuwa ni raia wa Kongo ameomba msaada wa mtaji kwa ajili ya kuendesha shughuli…
Shule zipike wanafunzi wa kushindana kimataifa
Tuvunje minyororo ya mtazamo wa ndani na kufungua milango ya ulimwengu kwa vijana wetu.
🔴KUMEKUCHA: MKAKATI WA KITAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA — NOVEMBA 18, 2025
🔴KUMEKUCHA: MKAKATI WA KITAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA -- NOVEMBA 18, 2025
Mali: Upinzani waituhumu serikali ya kijeshi kwa kushindwa kulinda nchi
Mrengo wa upinzani nchini Mali, umeituhumu utawala wa kijeshi kwa kushindwa kuilinda nchi hiyo dhidi mashambulio ya wanajihadi ambao umesababisha uhaba wa mafuta. Imechapishwa: 18/11/2025 – 04:54Imehaririwa: 18/11/2025 – 05:00…
🔴#MAGAZETI: BARAZA LA MAWAZIRI KIMKAKATI / PEDRO, PANTEV NGOMA NZITO
🔴#MAGAZETI: BARAZA LA MAWAZIRI KIMKAKATI / PEDRO, PANTEV NGOMA NZITO....
#KIPIMAJOTO: Baraza Jipya la Mawaziri
#KIPIMAJOTO: Baraza Jipya la Mawaziri. Je, limekidhi matarajio ya wengi?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…NOVEMBA 18, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...NOVEMBA 18, 2025
Iran: Lazima IAEA idumishe uadilifu wa kiufundi na kutoegemea upande wowote kisiasa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lazima litimize maagizo liliyokabidhiwa ya kiufundi, lijiepushe na mielekeo ya…
Samia unveils new cabinet
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced a 27-member cabinet formed after the restructuring of several ministries to enhance efficiency. Announcing her cabinet at Chamwino State House in Dodoma on…
Ukata na umaskini wa Wazayuni umeongezeka kwa theluthi nzima baada ya Oktoba 7
Mfumuko wa bei na gharama ya maisha zinazidi kupanda huko Israel. Huku hali ikiwa hivyo ripoti rasmi ya Taasisi ya Bima ya Israel inaoneesha kwamba umaskini umeongezeka kwa zaidi ya…
Nchi za Maziwa Makuu zaitangaza RSF kuwa ni kundi la kigaidi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza kwamba Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Maziwa Makuu uliofanyika Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeidhinisha pendekezo la…
Russia: Hatutaki vita wala mzozo wa kijeshi na NATO
Msemaji wa serikali ya Russia amepinga taarifa za kuchochea vita zinazoenezwa katika nchi za Ulaya na kwa mara nyingine amesisitiza kwamba Moscow inachukua hatua zinazohitajika kulinda usalama wake lakini haitaki…
Kiongozi wa Kijeshi wa Madagascar alihutubia taifa kwa mara ya kwanza
Karibu mwezi mmoja baada ya kuapishwa kuwa "rais wa mpito" wa Madagascar, Michael Randrianirina kwa mara ya kwanza amelihutubia taifa akiwa na shauku na hamasa kubwa na kutoa ahadi nyingi…
Kushadidi ushindani wa silaha za nyuklia kati ya Marekani na Russia na mustakbali wa mkataba wa New START
Mvutano wa nyuklia kati ya Russia na Marekani umeongezeka kadiri muda wa mkataba wa nyuklia wa New START unavyokaribia kumalizika, na hivyo kuuweka mkataba huo katika mustakbali usiojulikana.
Trump aisifu UN kuunga mkono mpango wake kwa Gaza
Rais wa Marekani Donald Trump amesifu uidhinishaji wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa azimio la Marekani linalounga mkono mpango wake wa amani kwa Gaza, akisema ni kama…
Nigeria imeripoti utekaji mwingine wa wanafunzi
Nigeria imeripoti utekaji mwingine wa wanafunzi katika jimbo la Kebbi, tukio linaloendeleza hali ya ukosefu wa usalama kaskazini mwa nchi. Haijulikani ni nani hasa aliyehusika.
Mwanamfalme wa Saudia ziaranii Marekani
Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ameondoka Riyadh kuelekea Marekani kwa ziara yake ya kwanza tangu mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi mwaka 2018, ambayo yalileta ukosoaji mkubwa…
Merz, Macron, Starmer kukutana Berlin leo hii
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz atakutana na viongozi wa Ufaransa na Uingereza mjini Berlin jioni ya leo. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa serikali.
Utafiti: kupungua kwa misaada kutasababisha vifo milioni 22
Zaidi ya watu milioni 22, wengi wao watoto, wako hatarini kufa kutokana na magonjwa yanayoweza kuzuilika ifikapo 2030 kwa sababu ya kupunguzwa kwa misaada ya Marekani na Ulaya.
Baraza la Usalama laidhinisha mpango wa Marekani kwa Gaza
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha mpango wa Marekani kwa Gaza unaoruhusu kuundwa kwa jeshi la kimataifa la uthabiti ili kutoa usalama katika eneo na pia kuonyesha njia…
18.11.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nigeria imeanza mazungumzo na Marekani kufuatia vitisho vya Rais Donald Trump vya kuingilia kati kijeshi kutokana na mauaji ya Wakristo yanayofanywa na wapiganaji wa itikadi…
18.11.2025 Matangazo ya Asubuhi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha mpango wa Marekani kwa Gaza +++Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ameondoka Riyadh kuelekea Marekani kwa ziara yake ya kwanza +++Kansela…
Uturuki yaendeleza misaada kwa Gaza licha ya vizuizi vya Israel: Erdogan
Licha ya vizuizi mbalimbali vinavyowekwa na Israel katika juhudi za misaada ya kibinadamu, tunatumia rasilimali zote tulizonazo kufikisha msaada Gaza,” amesema Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan.
#HABARI: Kampuni ya Mawasiliano na Huduma za kifedha kwa njia ya simu, Airtel Africa, imeendelea kuandika historia katika ukuaji…
#HABARI: Kampuni ya Mawasiliano na Huduma za kifedha kwa njia ya simu, Airtel Africa, imeendelea kuandika historia katika ukuaji wa sekta ya mawasiliano barani Afrika, baada ya kutangaza matokeo mazuri…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 17 NOVEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 17 NOVEMBA 2025
Bil 146/- kujenga barabara za lami Ilala
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema wilaya hiyo inatekeleza ujenzi wa barabara za lami zenye jumla ya kilomita 146 kwa thamani ya Sh bilioni 140.…
MC Pilipili kuzikwa Novemba 20, Dodoma
Mwili wa Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili utazikwa Novemba 20, 2025 jijini Dodoma familia...
#HABARI: Mwanaume ambaye jina lake halijafahamika amegongwa na gari ambalo halijajulikana na kufariki papo hapo, katika Barabara…
#HABARI: Mwanaume ambaye jina lake halijafahamika amegongwa na gari ambalo halijajulikana na kufariki papo hapo, katika Barabara ya Morogoro -Dar es Salaam, eneo la Msamvu Mzambarauni Manispaa ya Morogoro, kisha…
Walichokisema Bashe, Bashungwa, Ndumbaro baada kuwekwa kando
Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza baraza jipya la mawaziri, baadhi ya...