Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 10, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Márcio Máximo apata kisingizio baada ya kukandwa na Yanga bao 4-1, awatabiria makubwa…
PRIME Yanga kupangwa na waarabu Aziz Ki asema jambo KIPINDI hiki ambacho mashabiki wa Yanga wanazidi kupasuka vichwa kuhusu kundi ambalo timu hiyo limepangwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu…
“Yule sio mshambuliaji ni mchezaji wa mbele…” Msemaji KMC abeza kiwango cha Andy Boyeli akitupia 2
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Namungo, Azam hakuna mbabe, kadi nyekundu zatawala
MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji, Namungo 'Wauaji wa Kusini' dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, imemalizika kwenye Uwanja wa Majaliwa Lindi, huku…
UVCCM yang’aka wanasiasa kutoa kauli za chuki, kejeli kuhusu Oktoba 29
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Kawaida amewataka...
‘Wenyeviti wa mitaa walioshinda udiwani kujiuzulu’
Wakati baadhi ya wenyeviti wa Serikali za mitaa wakishinda udiwani kwenye uchaguzi mkuu wa...
Yanga inakong’ota tu
DAR ES SALAAM; YANGA imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika leo Uwanja wa KMC, Kinondoni, Dar es Salaam. Mabao ya…
Kesi ya Lissu kuendelea kesho baada ya kukwamishwa na uchaguzi
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...
“Eneo la mateso…” Ali Kamwe apagawa na balaa la Andy Boyeli kuizima KMC, awatangazia vita Waarabu
PRIME Yanga kupangwa na waarabu Aziz Ki asema jambo KIPINDI hiki ambacho mashabiki wa Yanga wanazidi kupasuka vichwa kuhusu kundi ambalo timu hiyo limepangwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu…
Askofu Shoo: Mamlaka zitafakari vurugu wakati wa uchaguzi, kusikiliza kilio cha wananchi
Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu...
Turufu ya CCM iko kwa Zungu kiti cha Spika, uchaguzi ukifanyika Jumanne
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamemchagua Mussa Zungu, mbunge mteule wa Ilala, kuwa...
Yanga yakwea kileleni Ligi Kuu
Yanga imekwea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1...
Askofu Nyaisonga ataja mambo sita vurugu za Oktoba 29, asisitiza…
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu Mbeya, Gervas Nyaisonga amewaongoza waamini na...
Mashambulizi yasababisha umeme kukatika Ukraine na Urusi
Mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Urusi usiku wa kuamkia Jumapili, yamesababisha kukatika kwa umeme katika miji mikubwa miwili mpakani mwa nchi hizo. Mamlaka za Urusi zimesema takriban watu 20,000 hawana…
Yanga yaishusha Simba kileleni, ikiizamisha KMC
YANGA imempiga KMC Kireno kwa kuichapa mabao 4-1 ikiishusha Simba katika msimamo wa Ligi Kuu Bara angalau kwa wiki kadhaa wakati ligi ikienda mapumziko.
Yanga yaishusha Simba, ikiizamisha KMC
YANGA imempiga KMC Kireno kwa kuichapa mabao 4-1 ikiishusha Simba katika msimamo wa Ligi Kuu Bara angalau kwa wiki kadhaa wakati ligi ikienda mapumziko.
Itikadi kali za mrengo zinatishia demokrasia Ujerumani
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier ameonya kuwa ongezeko la itikadi kali za mrengo wa kulia na ubaguzi dhidi ya Wayahudi vinazidi kutishia kwa kiasi kikubwa demokrasia nchini humo.
Zaidi ya Wapalestina 69,000 wameuawa Gaza
Idadi ya Wapalestina waliouawa katika vita vya Israel na Hamas kwenye Ukanda wa Gaza sasa imefikia zaidi ya watu 69,000, kulingana na takwimu zilizotolewa na mamlaka za ukanda huo.
Mashujaa kuna kitu kinapikwa kwa Ismail Mgunda
KOCHA wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema anapambana kuhakikisha mshambuliaji wa kikosi hicho, Ismail Mgunda anarejea katika kiwango bora kama mwanzoni, licha ya ushindani mkubwa katika eneo hilo na washambuliaji wengine…
Uganda yawaachilia huru wanaharakati wawili wa Kenya
Uganda imewaachilia huru wanaharakati wawili wa Kenya baada ya Rais Yoweri Museveni kudai walikuwa wakishirikiana na wanasiasa wa upinzani kumwondoa madarakani katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Januari mwakani.
Mtibwa Sugar yamgomea Mkenya
MABOSI wa Mtibwa Sugar wameweka ngumu kwa kocha mpya wa kikosi hicho, Mkenya Yusuf Chippo aliyependekeza aje hapa nchini na msaidizi wake mmoja wa kufanya naye kazi, jambo ambalo limegonga…
Josiah asuka mipango Dodoma Jiji
KOCHA wa Dodoma Jiji, Amani Josiah amesema katika kipindi hiki ambacho Ligi Kuu Bara imesimama anapambana kutengeneza utimamu mzuri wa mwili kwa wachezaji wa kikosi hicho, kabla ya pambano lijalo…
Malale awaachia msala mastaa Mbeya City
KOCHA wa Mbeya City, Malale Hamsini amesema licha ya kazi ya benchi la ufundi la kutengeneza timu bora na ya ushindani, ila kwa sasa ni muda wa wachezaji wa kikosi…
ACT Wazalendo kuifikisha INEC kortini kudai viti maalumu, yenyewe yawajibu
Wakati Chama cha ACT-Wazalendo kikikusudia kuifikisha Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)...
Wanaharakati wa Kenya waachiwa huru Uganda
Wanaharakati wawili wa Kenya wameachiliwa huru baada ya kutoweka nchini Uganda ambako walikuwa wakihudhuria hafla ya upinzani wa kisiasa.
Wadau wafunguka kauli ya Nchimbi kuhusu maridhiano
Kukiri makosa, kuepuka kunyoosheana vidole, kuponya majeraha na kusitisha kamatakamata ndiyo...
Morocco apewa shavu lingine, TFF ikitajwa
KAMA ulidhani Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtupa aliyekuwa kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, basi unakosea kwani ameandaliwa mpango mzito.
Morocco apewa shavu linguine, TFF ikitajwa
KAMA ulidhani Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtupa aliyekuwa kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, basi unakosea kwani ameandaliwa mpango mzito.
Wanafunzi 898,755 kufanya mtihani kesho, waaswa kuepuka udanganyifu
Wanafunzi wa kidato cha pili takribani 898, 755 wanatarajia kufanya mtihani wa upimaji wa...
Gamondi alia na mastraika Singida Black Stars
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ameigeukia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ inayojiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Kuwait huko Cairo Misri, akitoka kulazimishwa sare ya 1-1 na…
RSF yazika miili katika makaburi ya halaiki, inachoma wengine ili ‘kuficha ushahidi wa mauaji
Madaktari wa eneo hilo waliripoti Jumapili kwamba Vikosi vya Msaada wa Haraka vya kijeshi huko Al Fasher, magharibi mwa Sudan, wamezika mamia ya raia kwenye makaburi ya halaiki na kuwachoma…
Wakulima wasimulia maji ya bahari yanavyotafuna mashamba Pwani ya Hindi
Tanzania inaendelea kukabiliwa na athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi, hali inayosababisha...
Rais Erdogan anatumai Marekani itatimiza ahadi zake kuhusu makubaliano ya ndege za kivita za F-35
Rais Erdogan alisema mazungumzo yake na Rais Trump kuhusu mkataba wa F-35 yalikuwa mazuri, yakionyesha dalili za maendeleo, na kuitaka Marekani kutekeleza ahadi zake.
UVCCM: Amani ya Tanzania ni faraja kwa majirani
DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zinazotegemea Bandari ya…
Atakaye mrithi Majaliwa
Nani atamrithi Kassim Majaliwa Hili ni moja ya swali linalogonga vichwa vya Watanzania wengi...
Kususia Trump mkutano wa G20; sera za mashinikizo au mshikamano na Israel?
Rais wa Marekani alitangaza kuwa, hakuna maafisa wa Marekani watakaohudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kundi la G20 huko Johannesburg, Afrika Kusini.
Uzalishaji wa pareto waongezeka
Licha ya uzalishaji wa pareto kuongezeka, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imesema bado mahitaji...
TFF yasubiriwa kuzirudisha Simba, Yanga Sokoine
BAADA ya kukosa uhondo wa Ligi Kuu Bara, huenda mashabiki wa soka jijini Mbeya wakaanza kushuhudia timu zao Mbeya City, Tanzania Prisons pindi ligi hiyo itakapoendelea baada ya uwanja wa…
Kwanini madai ya’Mauaji ya Wakristo’: ya Trump nchini Nigeria yana kasoro na ni hatari
Madai ya Trump ya "mauaji ya Wakristo" nchini Nigeria yanageuza mgogoro mgumu, unaosukumwa na rasilimali, na kuhatarisha ushirikiano muhimu wa kupambana na ugaidi, na kuonyesha diplomasia ya biashara ya utawala…
COP30 reveals 2.5 tri/- boost for Africa’s smallholder farmers
BELEM, Brazil: THE Gates Foundation announced a new commitment to advancing climate adaptation, helping smallholder farmers build resilience to a warming world and protect hard-won gains against poverty. Announced at…
Qalibaf: Marekani lazima ikubali matokeo ya uchokozi wake wa wazi dhidi ya Iran
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, anasema Marekani lazima ikabiliane na matokeo ya kisheria na kisiasa ya kitendo chake cha uchokozi mbaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, mapema…
Afisa wa Yemen: Mtandao wa ujasusi wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unataka kukomesha himaya ya Yemen kwa Palestina
Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amevipongeza vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwa kuvunja mtandao wa ujasusi uliounganishwa na mashirika ya ujasusi ya Marekani, Israel na Saudi…
Mama asimulia ndoto za bintiye ‘Tina’ zilivyozimwa kwa risasi
Machozi, ukimya na simanzi vimetanda katika familia ya Christina John Richard, maarufu Tina...
Wabunge wa CCM kumchagua mgombea kiti cha uspika
Wabunge wateule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Jumapili Novemba 9, 2025 wamekutana kwa ajili...
Syria’s al-Sharaa arrives in US for official visit
USA: SYRIAN President Ahmed al-Sharaa has arrived in the United States for an official visit, according to state media, during which Washington hopes to enlist Damascus in its coalition against…
Philippines: Thousands evacuate as new super typhoon nears
PHILIPPINES: MORE than 900,000 people in eastern, central and northern provinces of the Philippines have been evacuated from their homes as Super Typhoon Fung-wong approaches the archipelago. Fung-wong, which intensified…