Mbali na mateka, HAMAS wana turufu nyingine hizi
Wakati vyombo vya habari vya Israel vikijaribu kuonesha suala la mateka kama kitu pekee ya mashinikizo ilicho nacho Hamas, mchambuzi mmoja wa Jordan ameionya kwamba Hamas inaweza kuvuruga mlingano huo…
Maelfu waandamana Amsterdam wakihimiza hatua kali dhidi ya Israel
Maelfu ya wancnhi wa Uholanzi walikuwa wamevaa mavazi mekundu wameandamana mjini Amsterdam wakiitaka serikali ya Uholanzi kuchukua hatua madhubuti zaidi na kali zaidi dhidi ya Israel na kusaidia kumaliza vita…
Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya
Rais Andriy Rajoelina wa Madagascar amemteua Jenerali Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo wiki moja baada ya kulivunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya wananchi ya…
Watu 13 wameuawa na 19 kujeruhiwa katika mashambulizi ya RSF Darfur Kaskazini
Mtandao wa Madaktari nchini Sudan leo Jumatatu umetangaza kuwa raia wasiopungua 13 wameuawa na 19 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko…
Mripuko wa boti magharibi mwa Libya waua watu kadhaa
Watu wasiopungua watatu wamethibitishwa kuuawa katika mripuko wa boti uliotokea kwenye pwani ya Zawiya, karibu kilomita 60 magharibi mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 07, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 07, 2025
ICC yamkuta na hatia aliyekuwa mbabe wa kivita nchini Sudan Ali Kushayb
Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemkuta na hatia ya makosa ya uhalifu wa kivita na dhulma dhidi ya binadamu, aliyekuwa muasi na mbabe wa kivita nchini Sudan, Ali Muhammad Ali…
Jumanne, 07 Oktoba 2025
Leo ni Jumanne 14 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 7 Oktoba 2025 Miladia.
Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu imeanza kusikilizwa nchini Tanzania
Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, Tundu Lissu, imeanza kusikilizwa Jumatatu wiki hii katika mahakama kuu ya Dar es Salaam, ambapo upande wa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 7, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
07.10.2025 Matangazo ya Jioni
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu mpya / Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice…
Je nani amemteka Polepole na kwa nia gani?
Yuko wapi balozi wa zamani wa Tanzania nchini Cuba na mkosoaji mkubwa wa serikali ya rais Samia Suluhu Hassan, Humphrey Polepole? Mercel Hamdun mchambuzi wa kisiasa Tanzania analichambua kwa kina…
07.09.2025
Leo imetimia ni miaka miwili tangu shambulio la Hamas dhidi ya Israel+++Rais Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo jipya la kisiasa baada ya waziri mkuu wake mpya, Sebastien Lecornu, kujiuzulu.
07.10.2025 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Wajumbe kutoka upande wa Hamas na Israel Jumanne hii wanaanendelea na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yalioanza jana nchini Misri kuhusu kumaliza vita vilivyotimiza…
“Tuna mipango ya kuuza Umeme nje ya nchi, nataka niwatie moyo Watanzania kwamba kwakweli kwa mara ya kwanza serikali yetu imefan…
"Tuna mipango ya kuuza Umeme nje ya nchi, nataka niwatie moyo Watanzania kwamba kwakweli kwa mara ya kwanza serikali yetu imefanya jambo kubwa sana, uwekezaji mkubwa wa Karibu trilioni 7…
#HABARI: Rais wa Shirikisho la Soka Nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji CAF, amefurah…
#HABARI: Rais wa Shirikisho la Soka Nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji CAF, amefurahishwa na mwenendo wa uongozi wa Patrice Motsepe kwa kuongeza…
UNHCR yapunguza ajira 5,000 duniani kote kutokana na ukata
Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa ahadi za ufadhili, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limepunguza takriban wafanyakazi 5,000 duniani kote mwaka huu
“Hata sasa tumeshafanikiwa sana kwenye eneo la Nishati safi ya kupikia, nimpongeze sana Mhe
"Hata sasa tumeshafanikiwa sana kwenye eneo la Nishati safi ya kupikia, nimpongeze sana Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, alipoanza jambo hili la Nishati safi ya kupikia kalichukua kama jambo lake,…
Ulimwengu wa Kiarabu kutoa mkurugenzi wa kwanza wa UNESCO
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO linatarajiwa kupata mkurugenzi wake wa kwanza kutoka ulimwengu wa Kiarabu.
“Kwanza niseme kwamba kwa sasa hivi mtakubaliana nami kwamba hali ya nishati nchini, sasa hivi iko vizuri na Tanesco imeboresha …
"Kwanza niseme kwamba kwa sasa hivi mtakubaliana nami kwamba hali ya nishati nchini, sasa hivi iko vizuri na Tanesco imeboresha sana utendaji wake" Eng. Felchesmi Mramba - Katibu Mkuu Wizara…
#HABARI: Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt
#HABARI: Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amehitimisha kampeni zake mkoani Tabora kwa kufanya mkutano…
Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi waziri mkuu mpya
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Ruphin Fortunat Zafisambo, jenerali wa jeshi, kuwa waziri mkuu mpya, wiki moja baada ya kuvunja baraza la mawaziri.
Rajoelina amteua Waziri Mkuu mpya mwanajeshi
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina alimteua Jenerali Ruphin Fortunat Dimbisoa Zafisambo kuwa Waziri Mkuu, akitumaini kutuliza maandamano yanayoendelea dhidi ya uongozi wake ambayo yameitumbukiza nchi katika mgogoro.
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 06, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 06, OKTOBA 2025
#HABARI: Naibu Rais wa Kenya, Kithure Kindiki, amewalaumu viongozi wa upinzani kuendeleza Propaganda dhidi ya utawala wa Rais Wi…
#HABARI: Naibu Rais wa Kenya, Kithure Kindiki, amewalaumu viongozi wa upinzani kuendeleza Propaganda dhidi ya utawala wa Rais William Ruto, katika juhudi za kuwashawishi Wakenya kuwaunga mkono katika uchaguzi mkuu…
Merz: Putin anapigana ‘vita ya mseto’ dhidi ya Ujerumani
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amemshutumu Rais wa Urusi Vladimir Putin kwa kuendesha "vita ya mseto" dhidi ya Ujerumani.
#HABARI: Wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwemo Mwanza wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mgombea Urais …
#HABARI: Wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwemo Mwanza wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anayetarajiwa kuwasili…
#HABARI: Timu Madaktari Bingwa wa Upasuaji, magonjwa ya ndani pamoja na magonjwa ya kinamama kutoka Wizara ya Afya, imepiga kamb…
#HABARI: Timu Madaktari Bingwa wa Upasuaji, magonjwa ya ndani pamoja na magonjwa ya kinamama kutoka Wizara ya Afya, imepiga kambi mkoani Manyara kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa na…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini, kupitia tiketi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini, kupitia tiketi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Masanja Kadogosa, ameahidi kuleta mabadaliko katika sekta ya elimu hasa kwa watoto wa jamii…
Wakulima wadogo wa zao la mkonge wilayani Korogwe, mkoani Tanga, wanatarajia kuondokana na changamoto ya mazao yao kuozea shamba…
Wakulima wadogo wa zao la mkonge wilayani Korogwe, mkoani Tanga, wanatarajia kuondokana na changamoto ya mazao yao kuozea shambani baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza wakabidhiwe mashine za kuchakata…
🔴AIBU YAKO….OKTOBA 06, 2025 – BODABODA NA BAJAJI ZINAVYOVUNJA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
🔴AIBU YAKO....OKTOBA 06, 2025 - BODABODA NA BAJAJI ZINAVYOVUNJA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
Benki ya TCB imesema imekuja na mkakati wa kukuza uchumi na kuimarisha biashara ndogondogo na za kati kupitia huduma bunifu zina…
Benki ya TCB imesema imekuja na mkakati wa kukuza uchumi na kuimarisha biashara ndogondogo na za kati kupitia huduma bunifu zinazolenga wajasiriamali na Watanzania wanaoishi nje ya nchi. Akizungumza jijini…
@hoseamchopa amezungumza na Gwiji wa soka na mmoja ya Watanzania wenye elimu ya juu katika soka akiwa na leseni ya juu ya ukocha…
@hoseamchopa amezungumza na Gwiji wa soka na mmoja ya Watanzania wenye elimu ya juu katika soka akiwa na leseni ya juu ya ukocha (Pro License Conmebol) aliyoipata Amerika Kusini. Kuhusu…
#MICHEZO: Rais wa Shirikisho la Soka Afrika CAF, Patrice Motsepe ameelezea dhamira ya shirikisho hilo kuwa malengo yao makubwa n…
#MICHEZO: Rais wa Shirikisho la Soka Afrika CAF, Patrice Motsepe ameelezea dhamira ya shirikisho hilo kuwa malengo yao makubwa ni kuona timu mbalimbali ngazi ya vilabu zinafanya vizuri kwenye mashindano…
#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuingia madarakan…
#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuingia madarakani ataboresha Sekta ya Mifugo kwa kuimarisha machinjio ya kisasa yatakayosaidia wafugaji…
Wachimbaji wadogo zaidi ya 500 wa kijiji cha Mwaoga, wilayani Chunya wameandamana na kufunga barabara inayoelekea makao makuu ya…
Wachimbaji wadogo zaidi ya 500 wa kijiji cha Mwaoga, wilayani Chunya wameandamana na kufunga barabara inayoelekea makao makuu ya Kampuni ya Shanta Mine, wakidai kurejeshewa eneo walilokuwa wakichimba dhahabu linalodaiwa…
Watu wasiopungua 13 wauawa, 19 wajeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya RSF huko Darfur Sudan
Raia wasiopungua 13 wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya wapiganaji wa RSF Kaskazini mwa Darfur, madaktari wa eneo hilo wamesema siku ya Jumatatu.
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungan…
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atasitisha kila aina ya bugudha na utitiri wa…
Kumezuka taharuki katika Mtaa wa Nzuguni B, jijini Dodoma kufuatia matukio ya ubakaji yanayodaiwa kufanywa na watu wanaovamia ny…
Kumezuka taharuki katika Mtaa wa Nzuguni B, jijini Dodoma kufuatia matukio ya ubakaji yanayodaiwa kufanywa na watu wanaovamia nyumba za wanawake usiku wakiwa na silaha za jadi. Wananchi, hususan wanawake,…
Ifahamu tiba ya urejeshaji, mbadala mpya wa upasuaji wa urembo
Huduma mpya ya tiba ya urejeshaji (Regenerative Medicine) inayohusisha matumizi ya seli shina...
JKT Queens kujichimbia Uturuki kujiandaa CAFWCL
JKT Queens imepanga kuondoka Tanzania Oktoba 9, 2025 kuelekea Uturuki itakapoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake yatakayofanyika nchini Algeria Novemba 2025.
Wakazi wa Kanda ya Ziwa, hususan Mwanza, wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza mgombea urais wa CCM, Dk
Wakazi wa Kanda ya Ziwa, hususan Mwanza, wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza mgombea urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, atakayewasili jijini humo kesho kuanza kampeni. Wito huo…
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameendelea na kampeni zake za kuchaguliwa kuion…
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameendelea na kampeni zake za kuchaguliwa kuiongoza Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Othman ameahidi kuondoa kodi…
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha UDP, Saumu Hussein Rashid ameahidi kwamba endapo atachaguliwa katika uchaguzi ujao, …
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha UDP, Saumu Hussein Rashid ameahidi kwamba endapo atachaguliwa katika uchaguzi ujao, atatekeleza ilani ya chama chake kwa lengo la kuleta maendeleo kwa wananchi…
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Costar Kibonde, amesema kipaumbele cha chama chake ni kuanzisha viwanda vya …
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Costar Kibonde, amesema kipaumbele cha chama chake ni kuanzisha viwanda vya kisasa vya uvuvi na kilimo, hatua inayolenga kuongeza tija na kuchochea…
JKCI yatoa huduma magonjwa ya moyo visiwa vya Anjouan, Comoro
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dk Peter Kisenge ameongoza jopo...
ICC yamtia hatiani mkuu wa zamani wa kundi la Janjaweed
Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wametoa uamuzi katika kesi iliyokuwa inamkabili kiongozi wa wanamgambo wa Janjaweed huko nchini Sudan ambaye waendesha mashtaka walimtuhumu kuhusika na "vurugu za…
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, ameahidi kujenga barabara 54 za juu jijin…
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, ameahidi kujenga barabara 54 za juu jijini Dar es Salaam endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya…
Zikiwa zimesalia siku 23 kuelekea uchaguzi mkuu, wadau wa siasa wanasema huu ndio wakati muhimu kwa wagombea kutumia mikakati ma…
Zikiwa zimesalia siku 23 kuelekea uchaguzi mkuu, wadau wa siasa wanasema huu ndio wakati muhimu kwa wagombea kutumia mikakati madhubuti ya kuwashawishi wapiga kura. Wameeleza kuwa kipindi hiki cha mwisho…