Kiev yakataa wazo la Putin, Zelensky kwenda Moscow
Putin amesema kuwa alikuwa amejadili suala hilo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu afanye mkutano wake wa kilele na Trump…
Putin amesema kuwa alikuwa amejadili suala hilo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu afanye mkutano wake wa kilele na Trump…
Akizungumza na waandishi wa habari mwanzoni mwa mkutano na Rais wa Poland, Karol Nawrocki, alisema kuwa serikali yake inaomba Mahakama ya Juu ibatilishe uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Marekani…
Hatua ambayo ilikaribia kiwango cha kutengeneza silaha kabla ya Israel kuanzisha shambulio lake la kijeshi mnamo Juni 13. Ripoti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki lenye makao yake…
Mashirika ya misaada yataka jamii ya kimataifa kuongeza ufadhili kwa Afghanistan baada ya tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha richter 6.0 kuua angalau watu 1,400 na kuwajeruhi…
China imekuwa na onesho kubwa la gwaride la kijeshi jijini Beijing, kuadhimisha miaka 80 baada ya kumalizika kwa vita vya pili vya dunia.
Kongamano la siku tatu, kujadili hali ya amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, linaloandaliwa na wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini Thambo Mbeki, limeanza jijini Johannesburg bila…
Watoto milioni sita wapo kwenye hatari ya kutoenda shuleni mwaka ujao, kufuatia kukatwa kwa fedha za msaada kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa UNICEF. Imechapishwa: 03/09/2025 – 18:23…
Dakar Senegal – Wataalamu wa afya wameonya kuhusu magonjwa yasiokuwa na tiba kuendelea kusababisha maafa, iwapo raia hapa Africa hawatabadilisha mitindo wa maisha. Prof Mary Abukutsa, mtafiti wa vyakula asili…
Pia Putin ameapa kuendelea kupigana na Ukraine kama makubaliano ya amani hayatofikiwa. Ameyasema hayo Jumatano 03.09.2025 mwishoni mwa ziara yake nchini China wakati Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyakisema ana matumaini…
Hayo ni kwa mujibu wa Kamati ya haki za watu wenye ulemavu ya Umoja wa Mataifa. Kamati hiyo imesema watoto wasiopungua 40,500 wamepata majeraha yanayotokana na vita na nusu ya…
Msemaji wa waasi wanaoliongoza eneo hilo Mohamed Abdelrahman al-Nair amesema juhudi za kuwatafuta manusura bado zinaendelea licha ya uhaba wa rasilimali. Picha za video zilizotolewa Jumatano zimewaonesha waokoaji wa kujitolea…
Mutamba alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha za umma zikiwemo za fidia kwa waathiriwa wa vita. Hukumu hiyo imetolewa baada ya Waziri huyo wa sheria wa zamani kukutwa…
Ching te ameyasema hayo muda mfupi baada ya China kufanya gwaride kubwa la maadhimisho ya miaka 80 tangu Japan iliposalimu amri mwishoni mwa vita vya pili vya dunia. Kwa upande…
Waziri wa Uchumi Katherina Reiche amesema uamuzi huo wa baraza la mawaziri – ambao bado unahitaji idhini ya bunge – ni habari njema kwa watumiaji umeme Ujerumani. “Tunaurahisisha mzigo wa…
Haya ni kwa mujibu wa shirika moja la habari nchini humo. Shirika la habari la Interpress nchini humo limeripoti kuwa mahakama moja mjini Tbilisi imewakuta na hatia waandamanaji 11 akiwemo…
Ikulu ya Urusi Kremlin imesema hivi leo kuwa mapendekezo yote ya Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz kuhusu mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine , yanapaswa kupuuzwa baada ya Moscow…
Dakar Senegal – Mkutano wa Mifumo ya Chakula Afrika unafanyika Dakar, Senegal, ukitoa wito wa hatua za haraka kuhakikisha bara linaweza kujilisha lenyewe. Imechapishwa: 03/09/2025 – 15:00Imehaririwa: 03/09/2025 – 17:23…
Jeshi la anga la Ukraine limesema limezidungua droni 430 kati ya 502 na makombora 21 kati ya 24 yaliyotua kwenye maeneo kadhaa. Limeongeza kuwa makombora matatu na droni 69 zilitua…
Kiongozi wa kundi la waasi wa Jeshi la Ukombozi la Sudan Abdel-Wahid Nour vinavyolidhibiti eneo hilo, amesema ukubwa wa janga hilo hauelezeki na ameutaka Umoja wa Mataifa na mashirika mengine…
Shirika la Kimataifa la Save the Children limesema moja ya timu zake za uokoaji imelazimika kutembea umbali wa kilometa 20 kuvifikia vijiji vilivyopoteza mawasiliano kutokana na miamba iliyoanguka, wakiwa wamebeba…
Kulingana na msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric wafanyakazi 18 kati ya hao ni wa Yemen na mmoja ni wa Kimataifa. Dujarric amewasilisha wito wa Umoja wa Mataifa unawotaka…
Katika wiki za karibuni vikosi vya jeshi la Israel vimeingia katika viunga vya nje ya Gaza City na hivi sasa viko umbali wa kilomita chache tu kutoka katikati mwa mji…
Kando ya Xi, maadhimisho hayo yameshuhudiwa pia na Rais wa Urusi Vladimir Putin na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un. Katika sehemu ya hotuba yake mbele ya gwaride hilo…
Serikali za Afrika zinashirikiana na Shirika la Kimataifa la Kufadhili Maendeleo ya Kilimo (IFAD) ili kusaidia mataifa ya bara hili kupunguza uagizaji wa vyakula kutoka nje na kufanikisha usalama wa…
Gavana wa Kivu Kusini chini ya AFC/M23 amesema mafunzo hayo yalichukuwa miezi sita katika jimbo jirani la Kivu ya kaskazini na ameahidi kwamba watahakikisha usalama wa raia na mali zao.…
Inaripotiwa kwamba mvua zaidi inatarajiwa na vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kuwa watu 10,000 wameondolewakutoka kwenye kingo za mito na kupelekwa sehemu salama katika Mji Mkuu wa New Delhi.…
Gwaride la kijeshi lilipita mbele ya umati wa watu zaidi ya 50,000 katika Uwanja wa Tiananmen kuadhimisha miaka 80 tangu kumalizika kwa Vita vya Pili vya Dunia, ambavyo kwa upande…
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
Maelezo ya picha, Edgar Mwakabela alitekwa mwaka jana na kutelekezwa masituni baada ya kupigwa risasi ya kichwa Maelezo kuhusu taarifa Author, Alfred Lasteck Nafasi, BBC, Mbeya Saa 4 zilizopita Tahadhari:…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Beki wa Crystal Palace Marc Guehi hana nia ya kusaini mkataba mpya baada ya uhamisho wake kwenda Liverpool kuporomoka, Manchester United bado iko tayari kumuuza kipa Andre Onana, Tottenham wanatumai…
Baada ya Los Angeles na Washington, Donald Trump analenga ngome nyingine ya chama cha Democratic: Chicago, mji mkuu wa Illinois. “Tutaingilia kati” katika mji huo, Rais wa Marekani Donald Trump…
Maelezo kuhusu taarifa Author, Asha Juma Nafasi, BBC, Nairobi Akiripoti kutoka Nairobi Saa 1 iliyopita Florence Amunga ni mama wa makamo ambaye leo anatupambia Waridi wa BBC. Simulizi ya Amunga…
Maelfu ya askari wa akiba wameanza kuripoti kazini huku jeshi la Israel likiendelea na mashambulizi ya kuiteka Gaza. Mji huo pia uko chini ya mashambulizi makali ya anga na mizinga…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Chanzo cha picha, Getty Images Rais wa China Xi Jinping ameonya kwamba ulimwengu unakabiliwa na chaguo kati ya amani au vita wakati akifanya gwaride kubwa zaidi la kijeshi nchini mwake…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kupitia ujumbe kwa njia ya video kwa askari hao wa akiba, amesema ni lazima wamalize kile walichokianza katika ukanda wa Gaza, akieleza kuwa jukumu…
Gwaride hilo limetasfiriwa na wachambuzi kama ishara ya mabadiliko ya nguvu za kisiasa, kiuchumi na kijeshi duniani ambapo China – chini ya uongozi wa Rais Xi Jinping – inajitokeza kama…
Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na mashirika ya misaada ya kibinadamu yanaendelea kushughulikia athari za maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la milima ya Jebel Marra jimbo…
Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya Taliban, Zabihullah Mujahid, takwimu hizo zinahusu jimbo la Kunar pekee. Tetemeko hilo, lenye ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha Richter, lilitokea usiku wa…
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini Garang Ateny amesema kuwa wapiganaji kutoka kikosi cha White Army, wanamgambo ambao wapinzani wa Machar wanadai wana uhusiano na chama cha SPLM-IO anachoongoza, walishambulia…
Rais wa Urusi, Vladmir Putin na mwenzake wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, hivi leo walikuwa wageni waheshima katika sherehe za gwaride kubwa la kijeshi lililoandaliwa na Uchina kwenye mji…
Madagascar imekuwa na maadhimisho ya kupokea mafuvu matatu ya watu, yaliyokuwa yamehifadhiwa nchini Ufaransa kwa miaka 128. Imechapishwa: 03/09/2025 – 05:17 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…
Waziri wa zamani wa sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Constant Mutamba amehukumiwa siku ya Jumanne, Septemba 2, kifungo cha miaka mitatu ya kazi ya kulazimishwa na marufuku ya…
Macron ameionya Israel dhidi ya “kunyakua” au “kufanya mashambulizi dhidi ya Gaza ,” akithibitisha pamoja na Saudi Arabia uungaji mkono wake wa kutambuliwa kwa taifa la Palestina. Imechapishwa: 03/09/2025 –…
Israel imezidisha maandalizi yake ya kijeshi siku ya Jumanne kwa kuwajumuisha tena maelfu ya askari wa akiba katika safu zake ili kujiandaa na mashambulizi yaliyotangazwa kwenye mji wa Gaza baada…
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuhukumiwa kifo kwa makosa ya uhaini tarehe 22 mwezi Agosti mwaka huu, ameikashifu hukumu hiyo. Imechapishwa: 03/09/2025…
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kuhukumiwa kifo kwa makosa ya uhaini tarehe 22 mwezi Agosti mwaka huu, ameikashifu hukumu hiyo. Imechapishwa: 03/09/2025…
DIRA.BZ03.09.20253 Septemba 2025 Waandamanaji wamemiminika kwenye mitaa ya Israel+++Wakati viongozi wa Ulaya wakitarajiwa kukutana hapo kesho mjini Paris kujadili hakikisho la usalama kwa Ukraine+++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, polisi…
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 03 Septemba 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW Bonn.