Nege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani imetunguliwa nchini Iraq
Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo…
Larijani: Asia Magharibi itatumbukia gizani US ikishambulia mtandao wa umeme wa Iran
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kushambulia giridi ya taifa ya umeme…
Mwalimu wa JSS, 28, apatikana amekufa mtoni, mpenziwe aarifu familia na kutoweka
Babake Beaty, Jeremiah Nyaga, aliwaambia polisi alipokea simu usiku wa manane kutoka kwa Peter Kanumbi, aliyejidai kuwa mpenzi wa bintiye..........
Naiyanoi Ntutu: Wazee wa Emurua Dikirr waidhinisha mjane wa Johana Ngeno kumrithi mumewe bungeni
Naiyanoi Ntutu, mjane wa marehemu mbunge Johana Ngeno, anaungwa mkono na wazee wa Ukoo wa Kapkaon kugombea kiti cha Emurua Dikirr., akiheshimu urithi wake.
Lango la Mamire kuchochea utalii Tarangire
Kukamilika kwa ujenzi wa lango la Mamire la kuingilia katika Hifadhi ya Taifa Tarangire...
Kenya: Msitu wa Karura, katikati mwa jiji la Nairobi, wakabiliwa na tishio kubwa
Msitu wa Karura ambao unapatikana katikati ya mji mkuu, Nairobi, hekta zake 1,000 zinawakilisha msitu wa pili kwa ukubwa wa mijini duniani. Karura ilianzishwa miaka ya 1990 baada ya mapambano…
Waisraeli 2,700 wajeruhiwa katika mashambulizi ya kisasi ya Iran
Ripoti ya Wizara ya Afya ya utawala wa Kizayuni wa Israel imesema Waisraeli zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza Februari…
Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Dunia imeingia katika ‘enzi mpya ya unyanyasaji,’ anasema mwandishi maalum wa UM
Mwandishi maalum wa Umoja wa Mataifa amesema siku ya Alhamisi huko Geneva kwamba dunia imeingia katika “enzi mpya ya unyanyasaji” kwa jina la mapambano dhidi ya ugaidi, ambayo amesema Marekani…
CCM lays, reaffirms commitment to democracy
DODOMA: TANZANIA, through the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), has reaffirmed its commitment to democratic governance, peaceful political participation and respect for the rule of law. CCM Secretary-General, Dr AshaRose…
Oburu Odinga: Mchekeshaji Profesa Aduol awavunja mbavu Wakenya kwa jinsi anavyomuiga kaka ya Raila
Mchekeshaji Profesa Aduol amevutia wengi kwa kumwiga kiongozi wa ODM Oburu Odinga kupitia TV47, akinasa hotuba yake, tabia zake, na ishara zisizo za maneno
Ndege ya Marekani ya kubeba mafuta ya ndege yaanguka nchini Iraq
Tukio hilo "halikutokana na mapigano ya uadui au ya kirafiki", Kamandi Kuu ya Marekani inasema
Rights activists pin hopes on Vision 2050
DAR ES SALAAM: AS the implementation of Development Vision 2050 set to begin in July this year, human rights activists see it as a critical opportunity to advance social justice,…
Ntibazonkiza aendelea kukomaa akikabidhiwa mikoba Burundi
Kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 38, ameshaitumikia timu ya taifa ya Burundi kwa...
Giorgia Meloni azidi kukosoa vita vya Marekani Mashariki ya Kati
Licha ya kuwa mshirika wa kiitikadi wa Donald Trump barani Ulaya, Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni haogopi kukemea kupuuzwa kwa sheria za kimataifa katika mashambulizi dhidi ya Iran, anaripoti…
Serikali yapewa kongole ulinzi haki za watoto
MOROGORO: Serikali imepongezwa kwa kuendelea kuongeza juhudi katika kulinda haki za watoto pamoja na kuimarika kwa usajili wa vizazi na mifumo ya ulinzi wa mtoto. Pongezi hizo zimetolewa na Shirika…
Je, Marekani na Israel wameshindwa kulemaza oparesheni za kijeshi na serikali ya Iran?
Iwapo Iran itazidi kushambuliwa, basi mataifa ya ghuba yatahitaji ulinzi zaidi kutoka mataifa ya magharibi.
Eight priorities drive Vision 2050
DODOMA: AS Tanzania prepares to launch the Development Vision 2050 in July this year, eight key focus areas have been identified under the Fourth Five-Year National Development Plan aimed at…
Kamati yaagiza usimamizi ujenzi jengo la ICoT
MOROGORO: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuhakikisha inamsimamia kwa karibu mkandarasi anayejenga jengo la taaluma katika makao makuu…
Marekani yaidhinisha kwa muda uuzaji wa sehemu ya mafuta ya Urusi
Marekani imeidhinisha kwa muda uuzaji wa mafuta ya Urusi yaliyohifadhiwa kwenye meli, huku bei zikipanda tangu kuanza kwa vita vya Iran, Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza siku ya Alhamisi.…
Bahati avujisha matokeo ya DNA na Judith Makokha aliyedai kuwa mama yake mzazi: “Kesi kwisha”
Mwanamuziki Kevin Bahati alivujisha matokeo ya kipimo cha DNA na Judith Makokha aliyedai kuwa mama mzazi, akifichua uwezekano wa 0% wa uhusiano na mama huyo.
TZ’s institutional approach to national questions
DODOMA: “WELCOME to Tanzania.” Those words have recently taken on renewed meaning as the Government of Tanzania extends a gesture of openness and engagement to distinguished international visitors. Among them…
Mara ngapi unavaa soksi bila kufua
Badilisha soksi zako kila siku ili miguu ibaki safi na yenye harufu nzuri.
Australia yaagiza wafanyakazi wasio wa muhimu kuondoka Israel na Falme za Kiarabu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia, siku ya Alhamisi jioni, ameagiza wafanyakazi wa serikali wasio wa muhimu kuondoka Israel na Falme za Kiarabu kutokana na “hali ya usalama inayozorota”…
Dar reinforces stand on human rights protection
GENEVA: TANZANIA is doubling down on its commitment to safeguarding human rights, backed by robust constitutional, legal, and institutional frameworks. The assurance was made during a side event held alongside…
Jeridah Andayi amkanya kabisa binti yake kutembelea marafiki majumbani kwao
Jeridah Andayi anamkabili binti yake kuhusu ziara ya rafiki yake, na kuzua mazungumzo ya kitamaduni kuhusu mipaka ya uzazi na usalama kati ya Marekani na Kenya.
Aston Villa yalinda heshima ya EPL, wengine hoi
Bao pekee la Aston Villa katika mchezo huo limefungwa na Ollie Watkins katika dakika ya 61...
Mwanajeshi wa Ufaransa afariki katika shambulio la Kurdistan ya Iraq, Emmanuel Macron atangaza
Mwanajeshi wa Ufaransa ameuawa “wakati wa shambulio” huko Kurdistan ya Iraq, Rais Emmanuel Macron ametangaza siku ya Alhamisi usiku, Machi 12. “Afisa Arnaud Frion wa Kikosi cha 7 cha Wapiganaji…
Magazeti ya Kenya: Wiper cha Kalonzo huenda kikafutwa na msajili kisa hakijakumbatiwa kitaifa
Magazeti ya Kenya yalifichua kwamba Chama cha Wiper Patriotic Front (WPF) cha Kalonzo Musyoka na vyama vingine huenda vikafutwa kwa kukosa kukumbatiwa kitaifa.
Washirika wa Iran wadai kudungua ndege ya Marekani KC-135 Magharibi mwa Iraq
Makundi ya upinzani ya Iraq na washirika wa Iran wamedai kudungua ndege ya Jeshi la Anga la Marekani KC-135 Stratotanker ya kubeba mafuta ya ndege , ishara ya kuingilia kati…
Nchi zipi zinaweza kufaidika kwa vita dhidi ya Iran – na ni zipi zitakazopata hasara kubwa zaidi?
Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran tayari vimeonyesha gharama kubwa kwa watu duniani kote huku mzozo wa mafuta na ugavi unapoanza kuonekana wazi.
Mambo ya kuzingatia unapokula matunda
Matunda ni chakula cha asili chenye virutubisho vingi muhimu kwa afya ya binadamu. Matunda...
UM: Zaidi ya raia 200 wameuawa kwa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani nchini Sudan
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, amesema siku ya Alhamisi “ameshtushwa” na ripoti kwamba zaidi ya raia 200 wameuawa kwa mashambulizi ya ndege zisizo…
Upendo aliyeachwa na mtoto wa siku tisa, sasa anamiliki nyumba za kupangisha
Katika Kijiji cha Ibangamoyo, Kata ya Ulanda, Tarafa ya Kalenga mkoani Iringa, anaishi Upendo...
Ndege ya kijeshi ya Marekani ya kubeba mafuta ya ndege yaanguka Iraq
Ndege ya kijeshi ya Marekani ya kubeba mafuta ya ndege iliyoshiriki katika operesheni dhidi ya Iran imeanguka nchini Iraq. Shughuli za uokoaji zinaendelea, kamandi kuu ya Marekani (CENTCOM) imetangaza siku…
Mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani
Kupitia matumizi ya bajeti ya ulinzi, mifumo ya kuzuia silaha za nyuklia, na silaha za kisasa, mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani ni Marekani, Urusi na China.
KONA YA MSTAAFU: Mei mosi iwakumbuke na wastaafu waliokuwa wafanyakazi
Wiki saba zijazo nchi yetu itajiunga na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi...
Tumia viungo hivi kuondoa harufu mbaya kwapani
Ulaji wa baadhi ya vyakula kama kabichi au kutozingatia usafi wa mwili, aghalabu huhusishwa na...
Ramadhani ni mwezi wa toba, kuokolewa na moto
Mwezi wa Ramadhani ni mwezi ambao milango ya pepo hufunguliwa na milango ya moto hufungwa.
Tetesi za soka Ijumaa: Man City na Barca wafanya mazungumzo juu ya Haaland
Manchester City na Barcelona wafanya mazungumzo juu ya mshambuliaji Erling Haaland, kiungo wa kati wa West Ham Mateus Fernandes anafuatliwa na Manchester United, Newcastle wanammezea kiungo wa Monaco Lamine Camara.
Serikali yaja mpango wa kitaifa wa maridhiano
SERIKALI ya Tanzania imeeleza nia ya kuanzisha Mpango wa Kitaifa wa Maridhiano ili kuponya mipasuko ya kijamii na kuimarisha majadiliano miongoni mwa wananchi. Pendekezo hilo liliwasilishwa na Beatrice Mpembo, Mkurugenzi…
Ukanda wa Nyasa mbioni kufaidi umeme REA
WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) inakamilisha mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya ukanda wa Nyasa, baadhi vikiwa ndani ya Ziwa Nyasa. Vitongoji hivyo viko Ludewa, mkoani Njombe, na vingine…
Tume yabaini ongezeko la mifugo, makazi Ngorongoro
TUME ya Rais ya Kutathmini Matumizi ya Ardhi katika Wilaya ya Ngorongoro imebaini ongezeko la watu, mifugo na makazi ndani ya hifadhi, jambo linaloongeza shinikizo kwenye ardhi na kuathiri mfumo…
‘Uamuzi kuhamisha wananchi ulikuwa sahihi’
TUME ya Rais ya Kutathmini Uhamaji wa Hiari ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro imesema uamuzi wa serikali wa kuhamisha wananchi kwa hiari ulikuwa sahihi, ingawa utekelezaji wake haukufikia matarajio kutokana…
Samia aagiza Ngorongoro ilindwe
RAIS Samia Suluhu Hassan amehimiza Watanzania washirikiane kulinda na kuhifadhi Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwa manufaa ya taifa na dunia. Kauli hiyo aliitoa jana Ikulu ya Chamwino, Dodoma, baada…
‘Tuongeze uzalishaji wa nguzo za zege’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea na kukagua mradi wa kiwanda cha uzalishaji wa nguzo za zege (TCPM) kilichopo mkoani Tabora kwa lengo la kujiridhisha na…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 13, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Hospitali zahimizwa kuboresha huduma za uzazi
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetoa maelekezo kwa hospitali zote nchini kufuata miongozo ya Bunge katika kuimarisha programu za afya ya mama na mtoto.…
Ushirikiano wahitajika chakula shuleni
NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidhi Ameir ametoa wito kwa wadau wa elimu, wazazi na jamii kwa ujumla kushirikiana na Serikali kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula bora na…