Libya: Mikataba kadhaa yasainiwa katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Tripoli
Mkutano wa Kimataifa wa Nishati nchini Libya umefikia kikomo. Siku tatu za majadiliano huko Tripoli ziliwaleta pamoja maafisa na wawekezaji wa Libya, pamoja na wawakilishi kutoka Marekani, Ufaransa, Uingereza, na…
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa ataongeza ushuru wa bidhaa zinazoingizwa kutoka Korea Kusini hadi kufik…
#HABARI: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa ataongeza ushuru wa bidhaa zinazoingizwa kutoka Korea Kusini hadi kufikia asilimia 25. Hatua hiyo imekuja baada ya kumshutumu Rais wa taifa hilo…
Kwanini serikali ya DRC inaikataa ripoti ya Human Rights Watch (HRW)?
DRC imekanusha madai yaliyochapishwa katika ripoti ya Human Rights Watch kuhusu usalama wa eneo la Uvira kwa kusema kuwa madai yao hayakuwa ya kweli, na yamechukuliwa nje ya muktadha wa…
Trump atishiwa kuuawa kwa ‘mafumbo’ kupitia Televisheni ya Iran
Pande zote mbili zimekuwa zikionya mara kwa mara kuhusu madhara ya shambulio lolote.
🔴#KUMEKUCHA: MICHEZO. . JANUARI 27, 2026
🔴#KUMEKUCHA: MICHEZO. . JANUARI 27, 2026
Nigeria kuwahukumu wanajeshi walioshtakiwa kwa jaribio la mapinduzi mnamo 2025
Nigeria itawahukumu wanajeshi walioshtakiwa kwa jaribio la mapinduzi. Tangazo hilo limetolewa siku ya Jumatatu, Januari 26, na jeshi la Nigeria. Mnamo mwezi Oktoba mwaka uliyopita, wanajeshi 16 walikamatwa, rasmi kwa…
Vijana wakali waTehama kukumbatiwa kukuza uchumi
Serikali imesema itaendelea kuwakumbatia na kuwaendeleza vijana wenye vipaji katika Teknolojia...
Vijana wakali wa Tehama kukumbatiwa kukuza uchumi
Serikali imesema itaendelea kuwakumbatia na kuwaendeleza vijana wenye vipaji katika Teknolojia...
Rais wa Chad Idriss Déby aalikwa Paris: Mahusiano kuendelea kuimarika
Je, ni wakati wa maridhiano kati ya Ufaransa na Chad? Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby amempokea balozi wa Ufaransa huko N’Djamena siku ya Jumatatu, Januari 26, na kukubali mwaliko…
Uganda: NUP yapinga kauli ya jeshi kuhusu shambulio dhidi ya mke wa Bobi Wine
Nchini Uganda, vita mpya ya maneno imezuka kwenye mitandao ya kijamii kati ya mkuu wa jeshi na kiongozi wa upinzani Bobi Wine. Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa rais Yoweri Museveni, anakanusha…
🔴KUMEKUCHA: SIKU YA FARAGHA NA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI– JANUARI 27, 2026
🔴KUMEKUCHA: SIKU YA FARAGHA NA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI-- JANUARI 27, 2026
Afya ya mtoto mtaji wa maendeleo ya taaluma
Bila afya, hakuna ufaulu; na bila ufaulu, maendeleo ya taifa hubaki kuwa ndoto.
Usajili bima ya afya kwa wote kuanza na hawa
Mlowe amesema kaya hizo zitaunganishwa na vituo vya kutolea huduma za afya vilivyoteuliwa na...
Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili…
Wananchi wa Nyampindi, kijiji cha Ipumbuli, Kata ya Kizengi wilayani Uyui mkoani Tabora kumshinikiza Mwenyekiti kujiuzulu kwa ku…
Wananchi wa Nyampindi, kijiji cha Ipumbuli, Kata ya Kizengi wilayani Uyui mkoani Tabora kumshinikiza Mwenyekiti kujiuzulu kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake. Je, waigwe na wengine wanaopitia machungu kama hayo badala…
Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Juventus inawataka nyota hawa wa Liverpool na Man U
Mshambuliaji wa Everton na Guinea-Bissau Beto, 27, ni mojawapo ya chaguo la Juventus wanapotafuta kumsajili mshambuliaji wakati wa dirisha la uhamisho la majira ya baridi
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 27, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 27, 2026
Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS
Wanamgambo wanaohusishwa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wamewaua raia wasiopungua 22 katika kijiji kimoja katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa…
Russia yaionya Marekani kuhusu chokochoko yoyote dhidi ya Iran
Serikali ya Russia imeionya Marekani kuhusiana na kuanzisha chokochoko yoyote ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Rwanda yakiri kushirikiana na waasi wa AFC/M23
Rwanda imekiri kwa mara ya kwanza kwamba, inashirikiana na kundi la waasi wa AFC/M23 katika harakati za kiusalama huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Ulimwengu unasubiri siku ya ghadhabu duniani kuunga mkono wafungwa wa Kipalestina
Kampeni za kimataifa na za haki za binadamu zimetoa wito kwa watu huru duniani kote kushiriki katika mkusanyiko mkubwa wa kimataifa tarehe 31 Januari kwa ajili ya kuwaunga mkono Wafungwa…
Waandamanaji wakusanyika Marekani baada ya afisa wa uhamiaji kutekeleza mauaji
Umati wa watu umekusanyika Minneapolis, Marekani kupinga uwepo wa maafisa wa uhamiaji wa shirikisho katika jimbo hilo, baada ya kupigwa risasi na kuuawa Alex Pretti mwenye umri wa miaka 37.
Ugaidi wa ndani nchini Marekani na mtazamo wa undumakuwili wa Washington
Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani ametaja aina yoyote ya uchochezi au utekelezaji wa vurugu dhidi ya serikali kuwa ni mfano wa ‘ugaidi wa ndani’.
Jumanne, tarehe 27 Januari, 2026
Leo ni Jumanne tarehe 7 Sha'ban 1447 Hijria sawa na Januari 27 mwaka 2026.
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 26, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JANUARI 26, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA JANUARI YAKO KWA BUKU TU..JANUARI 26, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA JANUARI YAKO KWA BUKU TU..JANUARI 26, 2026
#HABARI: Mahakama ya Hakimu mkazi Kivukoni, Kinondoni imetaifisha gari aina ya Scania ambalo lilikuwa limebeba Magendo, baada ya…
#HABARI: Mahakama ya Hakimu mkazi Kivukoni, Kinondoni imetaifisha gari aina ya Scania ambalo lilikuwa limebeba Magendo, baada ya vijana wanne kukiri kukwepa kodi ya shilingi Milioni 125.5 na kuchepusha vifaa…
🔴AIBU YAKO HATA WEWE: MADEREVA WABAMBWA KWENYE MWENDO WA HATARI | JANUARI 26, 2026
🔴AIBU YAKO HATA WEWE: MADEREVA WABAMBWA KWENYE MWENDO WA HATARI | JANUARI 26, 2026
#HABARI: Tume ya Haki za Binadamu, Kenya imelaani vitendo vya kufyatua mabomu ya machozi kwa waumini wakati wa ibada ya Jumapili…
#HABARI: Tume ya Haki za Binadamu, Kenya imelaani vitendo vya kufyatua mabomu ya machozi kwa waumini wakati wa ibada ya Jumapili katika Kanisa la Kianglikana la Mtakatifu Petro, eneo la…
#HABARI: Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema nafasi za kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea Haziuzwi, zinatolew…
#HABARI: Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema nafasi za kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea Haziuzwi, zinatolewa bure kwa kila kijana wa Kitanzania mwenye sifa zilizoainishwa na…
#HABARI: Zaidi ya wanafunzi 550 wenye uhitaji katika Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, wamekabidhiwa vifaa vya kujifunzia vikiwe…
#HABARI: Zaidi ya wanafunzi 550 wenye uhitaji katika Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, wamekabidhiwa vifaa vya kujifunzia vikiwemo madaftari na sare za shule na Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia…
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI JANUARI 26, 2026 – KARAKANA ZA KUCHATA MBAO CHATEKETEA ARUSHA
TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI JANUARI 26, 2026 - KARAKANA ZA KUCHATA MBAO CHATEKETEA ARUSHA
Rais Ouattara amteua mdogo wake kuwa naibu waziri mkuu
Dar es Salaam. Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara amemteua mdogo wake, Tene Ouattara...
Utafiti: Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050
Wanasayansi wanaonya kwamba dunia haijajiandaa kwa ongezeko la joto kali ifikapo mwaka wa 2050. Ingawa nchi za kitropiki ndizo zitakazoathiriwa zaidi, maeneo yenye baridi kali pia yatahitaji kuzoea, wanasayansi wamesema…
Wananchi wahimizwa kutumia fursa msaada wa kisheria kudai haki zao
Wananchi wa Mkoa wa Simiyu wamehimizwa kutumia misaada ya kisheria inayotolewa na Serikali kwa...
Pacha walioungana wapelekwa Saudi Arabia kutenganishwa
Kwa namna watoto hao walivyoungana, imeelezwa watahitaji matibabu yenye teknolojia ya hali ya...
Ilichokisema Serikali shauri la Mwambe, familia yake kunyang’anywa pasipoti
Baada ya kusikiliza hoja za pande zote, Jaji Ngunyale ameahirisha shauri hilo hadi Januari 30...
#HABARI: Wajasiriamali jijini Mbeya wameutaka uongozi wa jiji kuunda Tume maalum ya kuwachunguza na kuwaondoa watendaji wa mitaa…
#HABARI: Wajasiriamali jijini Mbeya wameutaka uongozi wa jiji kuunda Tume maalum ya kuwachunguza na kuwaondoa watendaji wa mitaa, kata, na watumishi wa jiji wanaotuhumiwa kuomba rushwa katika mchakato wa mikopo…
Israel lasema limerejesha mabaki ya mateka wa mwisho wa Gaza
Jeshi la Israel limesema limerejesha mwili wa mateka wa mwisho aliyebaki Gaza. Lilikuwa likimtafuta Sajenti Ran Gvili tangu usiishaji wa mapigano na Hamas kuanza mwezi Oktoba. Imechapishwa: 26/01/2026 – 17:05…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaji Abubakar Kunenge, ametoa ufafanuzi kuhusu mgogoro wa ardhi wa hekari 850 katika Kijiji ch…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaji Abubakar Kunenge, ametoa ufafanuzi kuhusu mgogoro wa ardhi wa hekari 850 katika Kijiji cha Lupunga, wilayani Kibaha, kufuatia malalamiko ya wakazi kudaiwa kuvamia…
Mfuko wa ziada wa kusaidia wawekezaji kuweka akiba, wazinduliwa
Dar es Salaam. Katika juhudi za kuwasaidia wawekezaji kuweka akiba na kukuza fedha zao kupitia...
Wananchi walalamikia kelele zinazosababishwa na bodaboda
Malalamiko hayo yametokana na kukithiri kwa tabia hiyo ya vijana waliojiajiri kuendesha...
Mwamini 🥹😡 #KombolelaSeason2
Mwamini 🥹😡 #KombolelaSeason2 (Feed generated with FetchRSS)
Zanzibar yapokea mabasi mapya ya umeme
Mabasi hayo 10, yamewasili jana Januari 25, 2026 katika Bandari ya Malindi na kuelekea katika...
Waziri aingilia kati sakata la Musukuma, mwekezaji
Hatua hiyo imechukuliwa kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali...
#HABARI: Zaidi ya wananchi 1,000 mkoani Manyara wameanza kunufaika na Kambi Maalum ya Matibabu inayotolewa na Madaktari Bingwa k…
#HABARI: Zaidi ya wananchi 1,000 mkoani Manyara wameanza kunufaika na Kambi Maalum ya Matibabu inayotolewa na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Hospitali…