Mtaalamu wa Falsafa, Saikolojia na Stadi za Maisha, Siegfried Mbuya amesema misemo ya wahenga bado ina mchango mkubwa katika jam…
Mtaalamu wa Falsafa, Saikolojia na Stadi za Maisha, Siegfried Mbuya amesema misemo ya wahenga bado ina mchango mkubwa katika jamii ya sasa, akieleza kuwa misemo hiyo ina mafunzo muhimu yenye…
“Kutokana na mabadiliko yaliyopo katika jamii, kuna vitu vinaonekana vimepitwa na wakati lakini siyo kila kitu
“Kutokana na mabadiliko yaliyopo katika jamii, kuna vitu vinaonekana vimepitwa na wakati lakini siyo kila kitu. Mfano, kwa upande wa misemo ya wahenga, haipaswi kuachwa bali inapaswa kufanyiwa mabadiliko,” amesema…
Spurs yakaribia kumnasa Robertson kwa bei kiduchu
Nahodha huyo wa Scotland mkataba wake na Liverpool utafikia tamati mara baada ya msimu huu...
Mwanafunzi wa elimu ya juu, Maua Juma amesema ijapokuwa vijana wa kizazi cha sasa wanaona misemo ya wahenga imepitwa na wakati, …
Mwanafunzi wa elimu ya juu, Maua Juma amesema ijapokuwa vijana wa kizazi cha sasa wanaona misemo ya wahenga imepitwa na wakati, lakini bado inawafaa kwani baadhi ya misemo hiyo ina…
REA, EACOP sign a deal to provide electricity along the oil pipeline
DAR ES SALAAM: THE Rural Energy Agency (REA) and the East African Crude Oil Pipeline Project (EACOP) have signed an agreement aimed at providing electricity to the villages and communities…
TFS eyes to plant 1,100 trees to honour Dr Samia’s birthday
HANANG: TANZANIA Forest Service (TFS) expects to plant 1,000 tree seedlings at Endaswold Primary School and 100 seedlings in the Hanang District Sub-State House area by January 27, 2026. The…
Vijana wanaposhiriki kujenga upya mfumo wa elimu, taifa husonga mbele
Lengo la Maendeleo Endelevu namba 4 (Elimu Bora) linaungwa mkono na serikali, ila pia taasisi...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kumwakilisha Rai…
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya marehemu Mzee Edwin Mtei,…
Mwigulu atoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mzee Mtei
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), marehemu Mzee Edwin Isaac Mtei, Nyumbani kwa marehemu Tengeru (Chama),…
Anko Kitime: Wacheza show wa leo wapo tofauti sana
Karibu Kila bendi kubwa siku hizi huwa inakuwa na kundi la wasanii ambao kazi yao ni kucheza...
Mkuu wa majeshi ya Sudan Kusini amewapa wanajeshi siku saba “kuukandamiza uasi” mashariki mwa nchi, ambao unatishia usalama wa m…
Mkuu wa majeshi ya Sudan Kusini amewapa wanajeshi siku saba “kuukandamiza uasi” mashariki mwa nchi, ambao unatishia usalama wa mji mkuu, Juba. Hivi karibuni, Jeshi la Ukombozi wa Watu wa…
‘Nusu ya marafiki zangu waliuawa’ – wasichana wanaorejea katika shule iliyojikuta katikati ya vita
Pacha ambao wanafunzi wenzao waliiuawa katika shabulio la makombora wanasema vifo vyao vimewafanya waazimie kumaliza masomo yao.
Mloganzila urologists use new technology to remove kidney stones from 18 patients
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI National Hospital – Mloganzila has concluded a special camp for kidney stone removal surgery using modern laser technology, where, since the service was established in September…
Kufuatia taarifa za watu wanaotumia namba za simu 0615 252 722 na 0766 116 687 na kujitambulisha kama waziri wa fedha na kuomba …
Kufuatia taarifa za watu wanaotumia namba za simu 0615 252 722 na 0766 116 687 na kujitambulisha kama waziri wa fedha na kuomba msaada wa kifedha kwa madai ya kuuguliwa…
Wakuu wa Wilaya za Nachingwea na Liwale mkoani Lindi wameifungia zaidi ya migodi ya dhahabu iliyopo katika kijiji cha Kiegei kwa…
Wakuu wa Wilaya za Nachingwea na Liwale mkoani Lindi wameifungia zaidi ya migodi ya dhahabu iliyopo katika kijiji cha Kiegei kwa kukiuka sheria na taratibu za uchimbaji wa madini, ikiwemo…
Albanese: Israel ifukuzwe UN kwa kubomoa makao makuu ya UNRWA
Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu ameilaani Israel kwa kubomoa makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina…
Chadema: Watanzania tumuenzi Mtei kwa kukamilisha mchakato Katiba Mpya
Amesisitiza kuwa hilo lilikuwa miongoni mwa maono ya msingi ya waasisi wa chama hicho akiwamo...
Indonesia: Maporomoko ya ardhi yaua watu kadhaa na kusababisha makumi kadhaa kutoweka
Maporomoko ya ardhi yameua watu wasiopungua wanane na kusababisha zaidi ya 80 wakiwa hawajulikani walipo leo Jumamosi, Januari 24, huko Java, kisiwa kikuu cha Indonesia, shirika la kitaifa la usimamizi…
Muhimbili specialists brace for a 4-day medical camp in Zanzibar
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI National Hospital (MNH) is set to provide super specialist medical services in a four-day special medical camp for the diagnosis and treatment of various diseases for…
Marekani yaombwa kuangalia upya uhusiano na Uganda
Marekani imesema kwamba japo Uganda na Tanzania ni washirika wake wakuu hasa katika masuala ya usalama, uongozi wa Uganda hasa unasimamia nchi kwa kutumia nguvu dhidi ya wakosoaji wake wa…
INEC yaanza maandalizi uchaguzi mdogo Peramiho
RUVUMA: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza rasmi maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Peramiho, lililokuwa likiongozwa na aliyekuwa Mbunge, Jenista Mhagama, huku ikisisitiza kuwa…
China yatangaza uchunguzi kuhusu afisa mkuu wa jeshi kwa ‘Ukiukaji mkubwa wa nidhamu’
China imetangaza Jumamosi, Januari 24, ufunguzi wa uchunguzi dhidi ya mmoja wa maafisa wakuu katika jeshi lake kwa “ukiukaji mkubwa wa nidhamu,” neno la kawaida la ufisadi. Imechapishwa: 24/01/2026 –…
Tanzania yaziita nchi za Nordiki kuwekeza sekta ya afya
Serikali ya Tanzania imezikaribisha nchi za Nordiki kuwekeza katika sekta ya afya nchini...
Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Samia mazishi ya Mtei
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba leo Januari 24, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan, katika mazishi ya marehemu…
Wajumbe wa Ukraine, Urusi, na Marekani waendelea na mazungumzo Abu Dhabi
Wajumbe wa Urusi, Ukraine, na Marekani wamekutana Abu Dhabi siku ya Ijumaa, Januari 23, kwa mara ya kwanza katika mfumo huu, kujadili masharti ya kukomesha miaka minne ya vita nchini…
Brazil’s Lula says Trump is attempting to ‘create a new UN’
BRAZIL: BRAZILIAN President Luiz Inacio “Lula” da Silva has accused his United States counterpart Donald Trump of wanting to create “a new UN”, days after the US president launched his…
Zanzibar yaanza hatua mpya kuelekea uchimbaji wa mafuta, gesi asilia
Zanzibar imepiga hatua muhimu kuelekea uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baada ya kusaini...
Uganda: Wabunge kadhaa wa upinzani waliuawa na 2,000 wanashikiliwa, kulingana na mkuu wa jeshi
Mkuu wa jeshi la Uganda Muhoozi Kainerugaba siku ya Ijumaa Januri 23, amejisifu kuhusu vifo vya wanachama 30 wa upinzani na kukamatwa kwa wafuasi wao 2,000. EU inalaani vurugu zilizokumba…
DRC: Hali mashariki mwa nchi yagubika majadiliano kati ya Tshisekedi na Macron jijini Paris
Rais wa Kongo Félix Tshisekedi amekutana na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, katika Ikulu ya Élysée siku ya Ijumaa, Januari 23, 2026, wakati wa ziara ya kiserikali jijini Paris. Kulingana…
China yaiwasilisha Ghana kama mfano wa ushirikiano
Ili kuadhimisha miaka 70 ya uhusiano kati ya China na Afrika, Beijing inaangazia mshirika muhimu katika Afrika Magharibi: Ghana. Lengo lililotajwa ni kwenda zaidi ya miradi mikubwa, isiyo na ubaguzi…
Mlipuko wa Mpox unaendelea Madagascar na pia unaathiri Visiwa vya Réunion na Comoro
Madagascar inaendelea kukabiliana na mlipuko wa Mpox, uliotangazwa rasmi kisiwani humo mnamo Desemba 30: wagonjwa 133 wamethibitishwa tangu wakati huo, na wagonjwa 273 wanashukiwa kuambukizwa virusi vya ugonjwa huo. Imechapishwa:…
Hundreds of Minnesota businesses close to protest ICE presence
USA: HUNDREDS of businesses in Minnesota closed on Friday and thousands of protesters turned out in severely cold weather to demonstrate against the ongoing immigration crackdown in the state. The…
Ndani ya Boksi. Duh! Hivi bado Januari ‘Gademiti’
Hii ni maajabu! Bado tupo mwezi Januari? Mwezi una miezi mitatu ndani yake, kwa hiyo sasa hivi...
Kamanda: Iran itatoa majibu makali kwa vitisho vya Trump
Kamanda mwandamizi wa jeshi la Iran amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu iko tayari na ina hakika itajibu kwa nguvu vitisho na kauli za Rais wa Marekani, Donald Trump.
Ripoti: Netanyahu hakuenda Davos kutokana na hofu ya kukamatwa
Vyombo vya habari vya utawala wa Israel vimeripoti kwamba Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, hakuhudhuria Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) mjini Davos wiki hii kutokana na wasiwasi kwamba angeweza…
Iran yalaani kikao cha UNHRC, yasema haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya kigeni
Iran siku ya Ijumaa ilipinga kikao maalum cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikikitaja kuwa hakina uhalali. Mjumbe wa Iran mjini Geneva alisisitiza kwamba Iran…
Uchunguzi wa maoni waonyesha wengi Ulaya wanamwona Trump kama ‘adui’ kuliko ‘rafiki
Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kwamba katika baadhi ya nchi kubwa barani Ulaya, watu wengi zaidi wanamwona rais wa Marekani kama “adui” kuliko “rafiki” au mshirika wa Ulaya.
Serikali ya Msumbiji yaomba msaada wa haraka wa kimataifa kufuatia mafuriko makubwa
Serikali ya Msumbiji imeomba Ijumaa kwamba jumuiya ya kimataifa ichukue hatua za dharura za kibinadamu ili kukabiliana na mafuriko makubwa ambayo yamesababisha maelfu kwa maelfu kuyahama makazi yao na kuharibu…
UM: Ukuaji umeongezeka lakini bado kuna mengi ya kufanya barani Afrika kwa mwaka wa 2026
Umoja wa Mataifa, siku ya Alhamisi, Januari 22, ulichapisha ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya uchumi duniani. Kwa Afrika, haliimebadilika: ingawa taasisi hiyo inatabiri ukuaji wa juu kidogo…
Simba chase first CAF win
TUNISIA: SIMBA SC Head Coach, Steve Baker, has described his side’s CAF Champions’ League Group D encounter against Espérance Sportive de Tunis as a crucial mission as the Tanzanian side…
DRC: Kiongozi wa vuguvugu la ‘Mbadala 2028’ atoa wito wa umoja wa upinzani
Wito mpya wa umoja miongoni mwa wapinzani wa Kongo umezinduliwa Jumatano, Januari 21, na mbunge wa zamani huko Kinshasa. Ados Ndombasi, mbunge wa zamani aliyechaguliwa katika mkoa wa Kinshasa ambaye…
Darassa anajua kuchagua
Tunaweza kusema siri ya mafanikio ya Darassa kimuziki imefichwa katika uwezo wake wa kuchagua...
Tanzania yajizatiti teknolojia ya mawasiliano angani
Rais wa TATCA, Merkiory Ndaboya akizungumza kuhusu mkutano huo uliowakutanisha na wadau kutoka...
Health tips to headline 2026 women’s empowerment kickstart
DAR ES SALAAM: MAINTAINING good health is the priceless award that each person should be able to acquire for the betterment of himself or herself since health is wealth. There…
AFCON: Mwisho wa ubaya aibu
Wabongo ni wepesi sana kujifunza, lakini wazito mno kuyaishi yale waliyojifunza. Nawazungumzia...
Fursa, maumivu matumizi ya AI kwenye muziki Bongo
Mapinduzi ya teknolojia ya Akili Unde (AI) yanaendelea kubadilisha kwa kasi tasnia ya muziki...
Watanzania waitwa kuwekeza mkoani Mara
Dk Mlima amesema mkoani hapo zipo fursa za uwekezaji ikiwemo uwepo wa Hifadhi ya Taifa ya...
SAMIA’S 100-DAY PROMISE: UHI kicks off
DODOMA: AS government is set to roll out the Basic Essential Services Package under the Universal Health Insurance (UHI) next week, Regional Commissioners across the country have been tasked with…