🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA – JANUARI 12, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA - JANUARI 12, 2026
Benki ya Dunia yaitambua Tanzania kwa ukomavu matumizi ya teknolojia
Utafiti mpya uliotolewa na Benki ya Dunia (WB) imeitaja Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizo...
Uganda: Usalama waimarishwa kuelekea uchaguzi mkuu wa urais
Nchini Uganda, Idara ya usalama imesema imejiandaa vilivyo kukabiliana na vitisho vyote vya usalama kuelekea uchaguzi mkuu wa siku ya Alhamisi, huku Tume ya Uchaguzi ikisema iko tayari kwa zoezi…
Ni kisasi, rekodi na ubabe Gombani
KUNA vita nyingi zinakwenda kushuhudiwa leo Jumanne katika fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 kwenye Dimba la Gombani kisiwani Pemba na Azam itacheza dhidi ya Yanga.
Unyanyasaji wa kimapenzi watumiwa kama silaha mashariki ya DRC: HRW
Ripoti ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, imesema vitendo vya unyanyasaji wa kimapenzi, vinatumiwa kama silaha ya vita, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 12/01/2026…
Mbote kwenye kibano cha watesi wake wengine, atajinasuaje?
Mbote kwenye kibano cha watesi wake wengine, atajinasuaje? Baba Mussa bado suala la mwanaye linamtesa.
Waziri Ndege: Watoto wenye mahitaji maalumu wasifichwe
Jamii nchini imetakiwa kuacha tabia ya kuwaficha watoto wenye uhitaji maalumu majumbani, kwani...
Bei ya viazi yapaa, kamati ya Serikali ikiendelea na uchunguzi
Hatua hiyo ilifikiwa ikiwa ni baada ya siku moja Gazeti la Mwananchi kuripoti bei ya vitu kupaa...
UDOM yakanusha madai ya wanafunzi kulipia vyumba hewa
Dodoma. Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), umekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni na...
Stanbic yatajwa tena benki bora Tanzania mwaka 2025
Uwezeshaji huu uliwezesha utekelezaji wa miradi muhimu ya miundombinu ya kitaifa ikiwamo...
TRA United yapigwa bao kwa Kelvin Kijili
MBEYA City inaendelea na maboresho dirisha hili dogo la usajili na kikosi hicho kutoka jijini Mbeya kiko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kulia wa…
Simba yaachana na straika
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Queens, Magnifique Umutesiwase amerejea nchini kwao Rwanda kujiunga na Indahangarwa inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake huko.
Wawili wafariki kwenye kampeni Uganda, yumo mwanamke aliyekuwa akigombania fulana
Aliyekuwa mlinzi wa Mgombea urais wa upinzani kutoka Chama cha (NUP), Robert Gyahulanyi (Bobi...
Wakenya waingilia dili la Awesu
WAKATI Klabu ya Mbeya City ikiwa katika mazungumzo ya kupata saini ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Awesu Ally Awesu, uongozi wa Kenya Police ya Kenya, umeingilia kati dili hilo kwa…
Alliance Girls yajipanga kubakiza pointi nyumbani
KOCHA wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema kikosi hicho kimeweka mikakati ya kuhakikisha kinabakiza pointi tatu katika michezo yote ya nyumbani watakaocheza Uwanja wa Nyamagana, Mwanza ikiwa ni sehemu ya…
Trump: Marekani itaichukua Greenland ‘kwa namna yoyote ile’
Rais Donald Trump amesema Marekani itaichukua Greenland "kwa namna moja ama nyingine" na kuonya kwamba Urusi na China wangelidhibiti eneo hilo, kama Marekani isingechukua hatua.
Kenya kuanza kufuatilia taasisi za umma zisizotoa vituo vya malezi kwa wazazi wenye watoto wadogo
Kwa mujibu wa taarifa za serikali, sehemu nyingi za kazi za umma - ikiwa ni pamoja na taasisi za elimu na ofisi za utumishi wa umma - zimechelewa katika kutenga…
Shangazi Mwaija akajionea vihoja vya kufungia mwaka 😅
Shangazi Mwaija akajionea vihoja vya kufungia mwaka 😅
CAF yashtumu utovu wa nidhamu robo fainali AFCON 2025, yaanzisha uchunguzi
Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) linasema matukio katika mechi zote mbili yamewasilishwa kwa Kamati ya Nidhamu kwa uchunguzi kamili.
Ujerumani na India zakubaliana kuimarisha usalama na uchumi
Ujerumani na India zinalenga kuupanua ushirikiano wao katika sekta ya ulinzi, na wizara za ulinzi za nchi hizo mbili zimetiliana saini kuhusiana na nia hiyo katika mkutano uliofanyika kwenye jimbo…
Miaka 62 ya mapinduzi yaleta mageuzi ya kiuchumi, kijamii Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema katika miaka 62 ya mapinduzi, wanajivunia jitihada...
Trump atafakari hatua dhidi ya Iran, maandamano yakishika kasi
Kwa mujibu wa ripoti ya Al Jazeera, maandamano hayo yanatajwa kuwa miongoni mwa changamoto...
Je Bala atafanikiwa kuona sura ya Sophia, Osman ashindwa kujizuia
Je Bala atafanikiwa kuona sura ya Sophia, Osman ashindwa kujizuia. Ni OTTOMAN kuanzia saa 4:00 usiku , usikose kufuatilia uhondo wa tamthilia hii. #AzamTWO
Majeshi SMT, SMZ yalivyoadhimisha kilele miaka 62 ya Mapinduzi
Majeshi hayo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Vikosi ya Serikali ya Mapinduzi ya...
Tanroads Kigoma yatangaza donge kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wezi
Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa Januari 10, 2026 na ofisi ya Meneja wa Tanroads Mkoa wa...
AFCON: Vita ya vigogo wa soka barani Afrika
Nusu fainali za mwaka huu za michuano ya AFCON 2025 zinawakutanisha vigogo wanne wa soka barani Afrika: Senegal, Misri, Nigeria na Morocco.
Wakati leo ikiadhimishwa miaka 62 ya mapinduzi Zanzibar, mabadiliko mengi ya kiuchumi na kijamii yanatajwa kufikiwa ikiwamo maen…
Wakati leo ikiadhimishwa miaka 62 ya mapinduzi Zanzibar, mabadiliko mengi ya kiuchumi na kijamii yanatajwa kufikiwa ikiwamo maendeleo na haiba ya visiwa hivyo.
Mashambulizi dhidi ya raia wa Ukraine hayakubaliki, yasitishwe mara moja
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo kuanzia majira ya alasiri kwa saa za New York, Marekani limekutana katika kikao cha dharura kujadili mashambulizi ya makombora na ndege zisizo…
WFP yasisitiza hatua za haraka kukomesha njaa duniani
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Cindy McCain, amewataka viongozi wa dunia kuchukua hatua za haraka kukomesha njaa zinazosababishwa na binadamu. Wito…
Nishati ya sola yaleta matumaini mapya kwa wananchi Chad
Nchini Chad, utekelezaji wa mradi wa kusambaza nishati ya umeme PAAET umefanikisha vifaa 145,000 vya nishati ya sola kusambazwa kwa gharama nafuu kwa kaya zilizoko majimbo 23 ya taifa hilo…
WHO na juhudi za kupambana na usugu wa Viuavijasumu
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani linaendelea na juhudi za kupambana na changamoto ya usugu wa Viuaji- Vyasumu au AMR na sasa imetoa miongozo na taratibu za kuhakikisha…
Kenya: Mkuu wa UNHCR ahimiza mshikamano na suluhu zaidi kwa wakimbizi
Katika ziara yake ya kwanza rasmi kama Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih ametoa wito wa kuimarishwa kwa mshikamano wa kimataifa na uwekezaji endelevu ili kuwasaidia…
UN yasema kuachiliwa kwa wafungwa Venezuela ni hatua chanya lakini haitoshi
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuchunguza Hali ya Haki za Binadamu nchini Venezuela umekaribisha hatua ya kuachiliwa kwa baadhi ya wafungwa wa kisiasa nchini humo katika siku za hivi…
Wito watolewa kwa viongozi wa dunia kukomesha matukio ya baa la njaa yanayosababishwa na wanadamu
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Cindy McCain, amewataka viongozi wa dunia kuchukua hatua za haraka kukomesha njaa zinazosababishwa na binadamu.
Meta yafunga akaunti 544,000 nchini Australia
Meta yafunga zaidi ya akaunti 544,000 nchini Australia baada ya marufuku.
Mwanamuziki na kiongozi mwenye mamlaka makubwa: Yote unayostahili kujua kuhusu uchaguzi wa Uganda 2026
Wapiga kura wanaweza kumrejesha madarakani kiongozi ambaye angeingia katika muongo wa tano wa utawala wake, au kumuunga mkono mgombea anayetaka kuleta mabadiliko
Iran inasema ‘iko tayari’ kwa mazungumzo na Marekani lakini ‘iko sawa kwa vita’
Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran anasema nchi yake inaangazia kuwa na makubaliano ambayo yanaheshimu haki za wote na usawa.
Tanzania’s Tech Horizon set for quantum leap in 202
DAR ES SALAAM: FROM AI-Powered Farms to Solar-Powered Smart Cities, the Building Blocks of a Digital Nation Are Falling Into Place. For years, the story of technology in Tanzania has…
Regragui apinga madai ya upendeleo kwa Morocco
Kocha wa Morocco Walid Regragui ameibuka kwa hasira na kupinga vikali madai kwamba timu yake inanufaika na maamuzi ya upendeleo katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2025…
Kesi ya mauaji ya kimbari Myanmar yaanza kusikilizwa na ICJ
Mahakama ya Umoja wa Mataifa yaanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Myanmar.
Huyo Awadh mwenyewe chizi, ‘mbili kasorobo’ 🤣😅
Huyo Awadh mwenyewe chizi, ‘mbili kasorobo’ 🤣😅
Huyu Firaz akili zake anazijua yeye, Usikose kufuatilia THE PRICE leo saa 3:00 usiku
Huyu Firaz akili zake anazijua yeye, Usikose kufuatilia THE PRICE leo saa 3:00 usiku. #AzamTWO
Samia greets Tanzanians as they celebrate the Zanzibar Revolution
DAR ES SALAAM: THE President of the United Republic of Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan, has extended her greetings to all Tanzanians as they celebrate the 62nd anniversary of the…
Ilibidi Bibie acheke tu 🤣😅
Ilibidi Bibie acheke tu 🤣😅 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Serikali ya Syria yalidhibiti eneo la Wakurdi mjini Aleppo
Wapiganaji wa mwisho wa vikosi vinavyoongozwa na Wakurdi wameondoka katika mji wa Aleppo kaskazini mwa Syria kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano makali yaliyodumu kwa siku kadhaa.
Tanzania’s Judiciary shines in IPTL-SCB case
DAR ES SALAAM: THE Independent Power Tanzania Limited (IPTL) has won an appeal filed by Standard Chartered Bank Hong Kong in the Court of Appeal of Tanzania, which is Civil…
Wadephul, Rubio kujadili tisho la Trump kuchukua Greenland
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul, anakutana siku ya Jumatatu na mwenzake wa Marekani Marco Rubio mjini Washington, kuhusu vitisho vya Marekani kuchukua Greenland hata kwa nguvu.
Tenga applauds Taifa Stars, backs AFCON 2027 plans
DAR ES SALAAM: THE Chairman of the Local Organising Committee for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), Leodgar Tenga, has expressed satisfaction with Tanzania’s preparations ahead of the continental…
RC Iringa awakumbusha polisi nafasi zao sio za kudumu
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ametoa wito kwa askari wa Jeshi la Polisi na watumishi...
Karibu uwe sehemu ya kipindi cha Morning Trumpet kwa kuweka comment yako, umewahi kusikia juu kiasi cha juu cha kutunza nyumbani…
Karibu uwe sehemu ya kipindi cha Morning Trumpet kwa kuweka comment yako, umewahi kusikia juu kiasi cha juu cha kutunza nyumbani kwako na una maoni gani? Tuandikie maoni yako na…