#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Dkt
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Dkt. Emanuel Nuwas amewataka vijana kulinda tunu ya amani na kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa amani na badala yake wawasilishe hoja zao…
Mama yake Maryam ameanza kuunganisha nyaya.
Mama yake Maryam ameanza kuunganisha nyaya.
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Bi
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Bi. Hawa Mwaifunga, amekagua maendeleo ya Vituo vya Afya vya kata tatu za Manispaa ya Tabora, ambapo katika kituo kipya cha Kata ya…
Tanzania, Marekani zajadili uwekezaji sekta za gesi, madini
Mbali na miradi hiyo, pia, mradi ule wa Mahenge Graphite bado unaendelea kufanyiwa kazi.
HRW: Ni makosa kukandamiza maandamano ya Dec 9
Ripoti ya HRW imesema ukandamizaji kabla ya maandamano ya Jumanne Dec, 9 nchini Tanzania, kutokuheshimu haki ya watu kufanya maandamano ya Amani ni makosa yanayofanywa na utawala wa Tanzania.
😱🚗| MBAPPE HAWEZI KUENDESHA GARI !?
😱🚗| MBAPPE HAWEZI KUENDESHA GARI !? Mwanzoni mwa msimu, Kylian Mbappé alipokea BMW yake ya kifahari iliyotengenezwa maalum kupitia ushirikiano wa Real Madrid na kampuni hiyo — lakini bado HAIWEZI…
Tuzo Kubwa ya Utalii Duniani ambazo ni sawa na tuzo za Oscars au Grammy kwa tasnia za filamu na muziki imetua nchini baada ya Ta…
Tuzo Kubwa ya Utalii Duniani ambazo ni sawa na tuzo za Oscars au Grammy kwa tasnia za filamu na muziki imetua nchini baada ya Tanzania kutangazwa kuwa nchi inayovutia zaidi…
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 08, 2025 – MAANDAMANO YANAYO HAMASISHWA MTANDAONI NI HARAMU
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 08, 2025 - MAANDAMANO YANAYO HAMASISHWA MTANDAONI NI HARAMU
Tshisekedi amshutumu Kagame kuwaunga mkono waasi wa M23
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi amelihutubia taifa mbele ya mabunge mawili yaliyokutana kwa pamoja kwenye kongamano maalum. Tshisekedi amerejea tena kauli yake kuwa Rwanda inawaunga mkono…
UYU MTOTO ANATARAJIWA KUWA KIONGOZI NKUBWA SANA HAPO BADAYE SREKALINI🙏
UYU MTOTO ANATARAJIWA KUWA KIONGOZI NKUBWA SANA HAPO BADAYE SREKALINI🙏 WATOTO WA SHETA❤️ Watoto wa Msanii / Mwanasiasa Nurdin Bilal wakiwa kwenye picha📸ya pamoja . Tu Follow
Kyagulanyi: Uganda ikosolewe kwa mateso dhidi ya Upinzani
Uganda inajiandaa kushiriki uchaguzi mkuu siku 36 kutoka sasa. Hata hivyo matukio ya wapinzani kuandamwa yanazidi kutia wasiwasi huku Jumuiya ya kimataifa ikishutumiwa kushindwa kuikosoa serikali kwa mateso ya upinzani.
Kordofan yaendelea kukabiliwa na mapigano makali Sudan
Sudan inaingia katika hatua hatari zaidi ya vita vyake vya mwaka mmoja na nusu, huku Mkoa wa Kordofan ukigeuka uwanja mkuu wa mapambano kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF.
#HABARI: Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga wameshauriwa kuhakikisha tunu za taifa zilizoachwa na waasisi wa taifa la Tanzania ikiwem…
#HABARI: Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga wameshauriwa kuhakikisha tunu za taifa zilizoachwa na waasisi wa taifa la Tanzania ikiwemo tunu ya amani na utulivu zinalindwa kwa maslahi ya kizazi cha…
UNEA-7 yakutanisha nchi 170 Kenya kujadili mazingira, Tanzania yataja vipaumbele
Kikao cha saba cha Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEA-7) kimeanza jijini Nairobi...
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Geita, limesema hakuna zuio la uuzwaji wa mafuta katika vituo vya mafuta kwa mkoa huo, wala haku…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Geita, limesema hakuna zuio la uuzwaji wa mafuta katika vituo vya mafuta kwa mkoa huo, wala hakuna zuio la watu kutotoka nje badala yake wananchi…
UN: Ulimwengu haujali mateso yanayoendelea duniani
Umoja wa Mataifa umekosoa na kulaani jinsi ulimwengu unavyoonesha kutokujali mateso yaliyoenea. Tamko hilo limetolewa wakati Umoja wa Mataifa ulipowasilisha ombi la kutolewa misaada ya kibinadamu kwa mwaka 2026.
Mwaka mmoja baadae, Syria imefikia nini?
Katika maadhimisho ya kuanguka kwa dikteta wa Syria, nchi iko katika hatua nyeti. Kumekuwa na mafanikio muhimu katika maeneo kama sera za nje, lakini wakati huo huo, raia wengi wa…
Tshisekedi aishutumu Rwanda kwa kukiuka mkataba wa amani
Rais wa Kongo Felix Tshisekedi ameishutumu Rwanda kwa kukiuka wajibu wake chini ya makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Marekani.
Daktari nchini Tanzania akiri miili kuchukuliwa hospitalini
Daktari mmoja nchini Tanzania amekiri kwamba mamia ya wagonjwa na maiti walichukuliwa kutoka hospitali na kupelekwa kwenye maeneo yasiyojulikana, matamshi yaliyochochea miito zaidi ya maandamano siku ya Jumanne.
Mapigano kati ya Thai-Cambodia yasababisha vifo
Thailand imeanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya jirani yake Cambodia, huku pande hizo mbili zikilaumiana kwa mapigano mapya kwenye mpaka unaozozaniwa. Raia wanne wa Cambodia na mwanajeshi mmoja wa Thailand…
Mfanyabiashara Niffer amejibu mashabiki waliomkosoa wakidai kuwa amepoteza mwelekeo na kusahau kilicho cha muhimu
Mfanyabiashara Niffer amejibu mashabiki waliomkosoa wakidai kuwa amepoteza mwelekeo na kusahau kilicho cha muhimu. Kupitia mitandao ya kijamii, Niffer amesisitiza kuwa hajawahi kuwatolea kauli yoyote ya kuwakera, bali anajaribu kuendelea…
Côte d’Ivoire: Rais Alassane Ouattara aapishwa kwa muhula wa nne
Rais Alassane Ouattara ameapishwa leo Jumatatu Desemba 8, 2025, kwa muhula wa nne kama raia wa Côte d’Ivoire, wakati wa sherehe katika ikulu ya rais huko Abidjan. Alichaguliwa tena mwishoni…
Waasi wa Houthi wakamata eneo la serikali
Kundi la waasi kusini mwa Yemen limekamata eneo kubwa la serikali inayotambuliwa kimataifa, ikiwa ni pamoja na baadhi ya visima vya mafuta na kuibua kitisho kipya cha machafuko, miaka kadhaa…
Syria yapambana kupona baada ya miongo ya utawala wa Assad
Baada ya kuanguka kwa Bashar Assad, Syria inapambana kujenga upya nchi iliyoharibiwa na vita, ukiukaji wa haki za binadamu na mgawanyiko wa kisiasa. Hadithi ya Marwan, aliyeteseka jela, inaakisi safari…
#HABARI: Zaidi ya Maafisa Usafirishaji 1,000, mkoani Pwani, wameihakikishia Serikali kuwa wataendelea kudumisha amani na uzalend…
#HABARI: Zaidi ya Maafisa Usafirishaji 1,000, mkoani Pwani, wameihakikishia Serikali kuwa wataendelea kudumisha amani na uzalendo nchini, huku wakisisitiza kwa kuwa vijana ndio nguvu kazi ya taifa na chachu ya…
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha, Cecilia Paresso, amewaomba wanawake wote nchini wawe mstari wa mbele katika kumu…
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha, Cecilia Paresso, amewaomba wanawake wote nchini wawe mstari wa mbele katika kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia…
Kenya na juhudi za kukuza lugha ya Kijerumani
Mafunzo ya lugha ya Kijerumani yanaendelea kushika kasi magharibi ya Kenya hususan eneo la Nyanza ambapo vyuo vikuu na taasisi za elimu zimekuwa zikiimarisha mafunzo ya lugha hii.
Félix Tshisekedi aishutumu Rwanda kwa kukiuka makubaliano ya amani na kushambulia miji ya Kivu
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, ameishutumu Rwanda leo Jumatatu, Desemba 8, kwa kukiuka makubaliano ya amani yaliyosainiwa siku ya Alhamisi, Desemba 4, huko Washington chini…
Jamhuri bado inachunguza kesi ya uhaini inayomkabili Mkangara
Leo, Jumatatu Desemba 8, 2025 wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling'i ameieleza Mahakama hiyo...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA DODOMA – DESEMBA 08, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA DODOMA - DESEMBA 08, 2025 -
Usikose kutazama msimu mpya wa OTTOMAN leo saa 4:00 usiku ndani ya #AzamTWO, mambo yanazidi kuwa yamoto…Maisha yamebadilika
Usikose kutazama msimu mpya wa OTTOMAN leo saa 4:00 usiku ndani ya #AzamTWO, mambo yanazidi kuwa yamoto...Maisha yamebadilika. Tukutane nyumbani kwa burudani.
Mashariki mwa DRC: Ripoti ya Umoja wa Mataifa yazishushia lawama Kinshasa na Kigali
Kikundi cha Wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu DRC kimetoa ripoti yake ya hivi punde kuhusu mgogoro mashariki mwa nchi, ingawa, rasmi, kila upande umeahidi kusitisha mapigano, iwe Washington au…
Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamTWO, msako unaendelea na maisha ya kujificha ya Maryam yanazidi kuwatatiz…
Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamTWO, msako unaendelea na maisha ya kujificha ya Maryam yanazidi kuwatatiza ndugu zake.
Indonesia yakabiliwa na upungufu wa chakula na dawa
Serikali ya Indonesia imesema maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko yaliyosababisha vifo vya mamia ya watu nchini Indonesia, yanakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula na dawa.
Safari ya kumtafuta Aslan inaendelea…Wametajwa kuwa ni wezi na wamefukuzwa eneo walilopokelewa
Safari ya kumtafuta Aslan inaendelea...Wametajwa kuwa ni wezi na wamefukuzwa eneo walilopokelewa. Mateso bado yako nao watoto sita wa marehemu Rifat na Bala. Usikose kutazama 6 OF US kuanzia saa…
Mbunge Babati asisitiza amani
MANYARA: Mbunge wa Babati Mji, Emmanuel Khambay amewataka wananchi wilayani Babati mkoani wa Manyara kulinda amani ya nchi siku zote ili kuishi kwa utulivu kufanya kazi kwa bidii kuinua uchumi…
Serikali yapiga marufuku askari wa majiji kuwanyang’anya wafanyabiashara bidhaa zao
Aidha ameagiza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kufanya tathmini ya wafanyabiashara waliopo...
Disemba to remember, mwezi ambao hubeba mambo mengi sana, KACHERO wa Usiku Kama Mchana @ntibashima_tz anatusanua mengine ya usi…
Disemba to remember, mwezi ambao hubeba mambo mengi sana, KACHERO wa Usiku Kama Mchana @ntibashima_tz anatusanua mengine ya usiku kwenye Shubiri ya usafiri wa Mikoani imekuwaje Mwezi huu… Ni kuanzia…
Kheri James apongeza mageuzi Mahakama Kuu Iringa
IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameisifu Mahakama Kuu Kanda ya Iringa kwa mageuzi makubwa iliyofanya katika miaka 20 ya utoaji haki tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005, akisema…
Watu wameanza kuchimba ukweli wote kuhusu Lady Boss
Watu wameanza kuchimba ukweli wote kuhusu Lady Boss. Usipange kukosa uhondo wa Mines of Passion leo saa 3;00 usiku ndani ya #AzamONE chaneli namba 101 kwenye kisimbuzi chako cha #AzamTV
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, ameitaka TRA SACCOS kuongeza elimu ya uwekezaji ili kuwawezesh…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, ameitaka TRA SACCOS kuongeza elimu ya uwekezaji ili kuwawezesha wanachama kuchukua mikopo na kuanzisha shughuli za kiuchumi, hatua ambayo amesema…
Usikose JUANA leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamONE, tunaendelea tulipoishia…Si unajua tena bado Gaby hajui mama mtoto wake ni …
Usikose JUANA leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamONE, tunaendelea tulipoishia...Si unajua tena bado Gaby hajui mama mtoto wake ni nani japo anaendelea kumsaka wakati kila siku yuko naye. 🫢
Wananchi walalamikia uhaba wa maji, Aweso aagiza suluhisho la haraka
Wakazi wa baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wamemueleza Waziri wa Maji, Jumaa Aweso...
“Hali ya Barabara ni shwari, inaonekana watu wengi wameshaanza kusafiri kwenda mikoani, kwa hiyo hata ule msongamano wa magari u…
"Hali ya Barabara ni shwari, inaonekana watu wengi wameshaanza kusafiri kwenda mikoani, kwa hiyo hata ule msongamano wa magari umepungua"Inspekta Dina Mosi - Dawati la Elimu Kikosi cha Usalama Barabarani.…
“Mpaka leo tumetoa vibali 102 kwa nchi nzima, kwa kituo chetu cha mabasi cha Magufuli tumetoa vibali 40 katika eneo lile tu, iki…
"Mpaka leo tumetoa vibali 102 kwa nchi nzima, kwa kituo chetu cha mabasi cha Magufuli tumetoa vibali 40 katika eneo lile tu, ikimaanisha mabasi ambayo yanaanzia hapa Dar es Salaam…
Spika Zungu ataka huduma ya viungo bandia ipewe kipaumbele
Amesisitiza haja ya kuendeleza huduma hata baada ya wataalamu wa nje wanaotoa huduma hizo...
IPU yaridhishwa maandalizi ya mkutano mkuu Tanzania, Dk Tulia…
Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa IPU utakaofanyika Oktoba 2026 ukijumuisha wajumbe...