Kipindi maalum cha kuitambulisha tamthilia ya #PichaYangu inayoanza leo saa 1:30 usiku kupitia #SinemaZetuHD
Kipindi maalum cha kuitambulisha tamthilia ya #PichaYangu inayoanza leo saa 1:30 usiku kupitia #SinemaZetuHD Watangazaji @anamalinzi na @abuuyusuftz waliwakutanisha jukwaa moja waandaaji wa tamthilia za #PichaYanguSeries, @stickmotela, #NomaSeries @adamoo14 pamoja…
Changamoto ya usafiri wa wagonjwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, hatimaye inakwenda kufikia…
Changamoto ya usafiri wa wagonjwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, hatimaye inakwenda kufikia tamati baada ya Serikali kuleta gari jipya la kubeba wagonjwa kwa ajili…
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso(CCM) amesema atashirikiana wabunge wanawake wa mkoa huo ili kufanya kazi ya…
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso(CCM) amesema atashirikiana wabunge wanawake wa mkoa huo ili kufanya kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi. Ameyasema hayo leo Disemba 6, 2025 akizungumza…
Vita vyarindima Kongo licha ya mkataba wa Trump
Rais Paul Kagame wa Rwanda na Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidomkrasi ya Kongo walisaini mkataba wa amani uliosimamiwa na Rais Donald Trump siku chache zilizopita mjini Washington. Ila Kongo…
Ilichosema Serikali ishu ya kuzima intaneti
Kauli ya Simbachawene imekuja wakati Watanzania bado wanakumbuka siku sita za kuishi bila...
towa maoni yake kuhusu chuki zinazo endelea kwa wasanii wakubwa
towa maoni yake kuhusu chuki zinazo endelea kwa wasanii wakubwa Ameandika yafwatayo "Daaah wasanii tunachukiwaa na baadhi ya watu wengiisana ambao tunaishi nao kila siku na sijui kwanini tuna pigwa…
“Jiji la Dar es Salaam linategemea upatikanaji wa maji na kuhudumiwa na Mamlaka ya Maji ya DAWASA
"Jiji la Dar es Salaam linategemea upatikanaji wa maji na kuhudumiwa na Mamlaka ya Maji ya DAWASA. Na Ina vyanzo vyake vikuu vya maji inavyovitegemea ambavyo ni Ruvu Juu/Chini na…
“Diaspora wengi tuliokuwepo huku Uingereza tunapenda kuonyesha mchango ambao Tanzania unaifanya”
"Diaspora wengi tuliokuwepo huku Uingereza tunapenda kuonyesha mchango ambao Tanzania unaifanya" @prukimiti_mbe, Pudencia Kimiti, Mshindi wa Tuzo ya Malkia UK #Clouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
@prukimiti_mbe, Pudencia Kimiti, Mshindi wa Tuzo ya Malkia UK akitoa wito kwa Watanzania kulinda amani
@prukimiti_mbe, Pudencia Kimiti, Mshindi wa Tuzo ya Malkia UK akitoa wito kwa Watanzania kulinda amani. #Clouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
Kauli ya Rais wa Benin baada jaribio la kumpindua kudhibitiwa
Akiwa na mwenendo wa utulivu wakati wa hotuba hiyo ya jioni, Talon alitangaza kuwa hali nchini...
Waziri Mkuu wa Tanzania awaonya wasio na dharura kutoka nje siku ya Disemba 9
Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuitumia Disemba 9 ambayo ni Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara kama siku ya mapumziko wakiwa majumbani mwao.
Waziri Mkuu wa Tanzania awaonya wasio na dharura kutoka nje siku ya Disemba 9
Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuitumia Disemba 9 ambayo ni Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara kama siku ya mapumziko wakiwa majumbani mwao.
DESEMBA YA SHEREHE SINEMA ZETU
DESEMBA YA SHEREHE SINEMA ZETU Orodha tamu ya burudani ndani ya chaneli namba 106 #SinemaZetuHD mwezi huu wa rangi nyekundu, nyeupe na kijani...Usikose uhondo wote kupitia #SinemaZetuHD
Polisi waonya viongozi makundi ya WhatsApp
GEITA; JESHI la Polisi mkoani Geita limewataka viongozi wa makundi sogozi mtandaoni (WhatsApp) kuchukua hatua madhubuti kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi na uvunjifu wa amani. Pia limewataka viongozi na…
Tanzania wins major global award in safari tourism
DAR ES SALAAM: TANZANIA continues to shine globally after once again winning a major global award in the safari tourism category for the second consecutive year, earning recognition as the…
Uingereza/Ukraine: Starmer kuwa mwenyeji wa Zelensky mjini London
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer atakuwa mwenyeji wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky mjini London baadaye hii leo, wakati huu Kyiv ikitafakari hatua zinazofuata baada ya mazungumzo ya amani…
#HABARI: Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Novemba katika mwaka wa fedh…
#HABARI: Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Novemba katika mwaka wa fedha 2025/2026, imefanikiwa kukusanya mapato ya fedha kwa asilimia 62. Powered…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa Serikali haina mpango wa kuzima mtandao wa Intaneti…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa Serikali haina mpango wa kuzima mtandao wa Intaneti nchini, na kwamba hatua hiyo inachukuliwa tu kama kutatokea tishio…
Serikali: Wasiokuwa na dharura wakae nyumbani
SERIKALI imeagiza wananchi wasio na dharura kesho Desemba 9, 2025 washerehekee miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Bara wakiwa nyumbani. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba akitoa salamu za Uhuru kwa…
Clerics embark on dialogue to restore image ruined by the Oct 29 unrest
DAR ES SALAAM: THE Mufti of Tanzania, Chief Sheikh Abubakar Zubeir, said religious institutions in the country have begun a dialogue aimed at restoring the nation’s image, preserving peace, and…
Kenya: Waziri wa afya akanusha madai ya kutoa data ya matibabu ya wakenya kwa taifa la Marekani
Serikali ya Kenya imekanusha madai kwamba maelezo ya kibinafsi ya matibabu ya Wakenya yataanza kutumwa kwa serikali ya Marekani chini ya mkataba mpya wa afya kati ya Nairobi na Marekani.…
🔴UTARATIBU WA LATRA KUTOA LESENI MAALUM KWA MABASI , NI NJIA SAHIHI KUONGEZA MAPATO 08 DESEMBA 2025
🔴UTARATIBU WA LATRA KUTOA LESENI MAALUM KWA MABASI , NI NJIA SAHIHI KUONGEZA MAPATO 08 DESEMBA 2025
Zarili yatakiwa kutathimini utendaji kazi wake
Waziri Makame amebainisha kuwa mwonekano wa Zarili hauakisi malengo ya msingi ya kuongoza...
Mapigano yaendelea Kongo licha makubaliano ya amani
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, watu zaidi ya thelathini wamepoteza maisha katika mlipuko wa mabomu katika kijiji cha Sange ndani ya wilaya ya Uvira jimboni Kivu Kusini.
ELAF yaonya viongozi wa dini na Serikali, yataka hekima na amani
Dar es Salaam. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na masuala ya kisheria...
Diomande: “Lulu mpya” ndani ya Bundesliga
Mshambuliaji kinda wa RB Leipzig Yan Diomande amekuwa gumzo kubwa katika ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani Bundesliga baada ya kufunga "hattrick" katika ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Eintracht…
Jerusalem Mashariki: UNRWA yalalaani uvamizi wa vikosi vya Israeli katika majengo yake
Bado kulikuwa giza mapema leo Jumatatu wakati pikipiki za polisi, malori na magari ya uvamizi yalipozingira makao makuu ya UNRWA katika eneo la Jerusalem Mashariki kabla ya kuvamia kwa nguvu…
UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu wa mwaka huu nchini DRC ni mbaya zaidi katika kipindi cha miaka 25
Mlipuko wa kipindupindu mwaka huu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeleta madhara makubwa, ukiwa na jumla ya wagonjwa 64,427 tangu mwanzo wa mwaka huu 2025, na kusababisha vifo…
Wananchi wanaojitolea wanavyosaidia wananchi wenzao nchini Sudan
Miaka miwili ya vita nchini Sudan na kuongezeka kwa mapigano kila uchao je baadhi ya wananchi wa Sudan wanaojikuta katikati ya mapigano wanapata wapi mlo wao wa kila siku?
Janga la kibinadamu Sudan haliwezi tena kupuuzwa, wakati ni sasa kulishughulikia: Fung
Tukielekea Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu itakayoadhimishwa hapo Desemba 10 leo tunakupeleka Sudan ambako jungu la janga la kibinadamu linaendelea kutokota huku Umoja wa Mataifa ukionya kwamba janga…
Sudan: Mkuu wa UN alaani mashambulizi kwenye shule ya chekechea na hospitali
Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiendelea kushika kasi hii leo maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa wamelaani vikali mauaji ya makumi ya watoto yaliyosababishwa na mashambulizi ya ndege…
IOM yazindua ombi la kimataifa la 2026 kusaidia watu milioni 41 walioko katika harakati za uhamaji
Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) leo huko Geneva Uswisi, limezindua ombi lake la Kimataifa kwa mwaka 2026likiomba Dola bilioni 4.7 ili kusaidia watu milioni 41 walioko katika…
LEO USIKU KWENYE PICHA YANGU
LEO USIKU KWENYE PICHA YANGU Baada ya mazonge mengi kutokea, Bisura amerudi kwa Mzee Maega...Watoto hawamjui mama yao. Mussa anapewa misheni ngumu anaonekana kuiwekea ugumu...Je, ni misheni gani na wapi?…
LEO USIKU KWENYE PICHA YANGU
LEO USIKU KWENYE PICHA YANGU Baada ya mazonge mengi kutokea, Bisura amerudi kwa Mzee Maega...Watoto hawamjui mama yao. Mussa anapewa misheni ngumu anaonekana kuiwekea ugumu...Je, ni misheni gani na wapi?…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….DESEMBA 08 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....DESEMBA 08 2025
Mzee aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mwanaye anusurika kitanzi
Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, imemuachia huru Ernest Mashurano (71), aliyekuwa...
Mufti Mkuu wa Tanzania atoa wito wa utulivu
Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir ameomba umoja na utulivu licha ya maandamano yaliyopangwa kufanyika Disemba 9.
Syria: Mwaka mmoja tangu kuanguka utawala wa Assad
Mwaka mmoja tangu kuondolewa madarakani kwa Bashar al-Assad, Syria bado inasalia katika hali tete ya mchanganyiko wa matumaini na mashaka, huku taifa hilo likijaribu kusimama upya baada ya vita vya…
Celta Vigo yazidisha shinikizo kwa Xabi Alonso
Real Madrid walipoteza dhidi ya Celta Vigo wakimaliza mchezo wakiwa na wachezaji tisa kufuatia kadi nyekundu mbili zilizotolewa kipindi cha pili, hali inayoongeza shinikizo kwa kocha Xabi Alonso.
Wanafunzi 100 wa Shule ya Kikatoliki ya St Mary, Papiri ambao walitekwa wiki iliyopita, wameokolewa na vikosi vya usalama, huku …
Wanafunzi 100 wa Shule ya Kikatoliki ya St Mary, Papiri ambao walitekwa wiki iliyopita, wameokolewa na vikosi vya usalama, huku 165 wakiwa hawajulikani walipo. Mwenyekiti wa Chama cha Wakristo wa…
Sintofahamu juu ya mustakabali wa Mo Salah Anfield
Uamuzi wa kumweka Salah benchi umeibua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki na wachambuzi. Nyota huyo wa Misri alionekana kutoridhishwa na uamuzi wa kocha, hali ambayo imeibua tetesi kuhusu mustakabali wake…
Tanzania cautions its citizens against unlawful Dec 9 protests
DAR ES SALAAM: THE Minister for Home Affairs, George Simbachawene, has said that national security remains stable and continues to improve following the unrest that occurred on October 29, 2025,…
Mkuu wa wilaya ya Tabora mjini Upendo Wella amewataka wananchi wa eneo hilo kutojihusisha na vurugu zilizopangwa kufanywa na baa…
Mkuu wa wilaya ya Tabora mjini Upendo Wella amewataka wananchi wa eneo hilo kutojihusisha na vurugu zilizopangwa kufanywa na baadhi ya watu wasioitakia mema nchini na badala yake wawe walinzi…
Desemba 9 kumbukumbu isiyosahaulika
DESEMBA 9, 1961 ni alama isiyosahaulika katika historia ya Tanganyika. Ni siku ambayo ndoto za Watanganyika zilitimia baada ya nchi kujikomboa katika minyororo ya wakoloni ambapo wakati huo alikuwa Muingereza.…
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Azerbaijan zaazimia kuimarisha zaidi ushirikiano
Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye alielekea Baku kushauriana na maafisa wakuu wa Jamhuri ya Azerbaijan leo asubuhi amekutana na kufanya…
Baada ya furaha, abiria waacha vilio Magufuli
Idadi kubwa ya abiria ilikuwa neema kwa wenye mabasi na wafanyabiashara ndogondogo waliopo...
TPLB yatembeza rungu wamo waamuzi, makamishna
KAMATI ya Usimamizi wa Ligi Kuu Bara imeshusha adhabu Mbeya City, Namungo, Coastal Union, waamuzi na maofisa wengine.
Mapigano yaendelea: Makubaliano ya amani ya DRC na Rwanda yabakia kuwa ndoto
Mapigano makali yameendelea kujiri Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wakikabiliana na jeshi la Kongo linaloungwa mkono na wanajeshi wa…
Syria yaadhimisha mwaka mmoja tangu Assad alipoangushwa
Syria Jumatatu inaadhimisha mwaka mmoja tangu kuangushwa kwa mtawala wa kidikteta Bashar al Assad, wakati taifa hilo lililoganwanyika likapambana kurejesha utulivu na kujijenga upya baada ya vita vya muda mrefu.
Tarehe 16 Azar; Nembo ya utamaduni wa muqawama na harakati ya uhuru
Tarehe 16 mwezi Azar inayosadifiana na Disemba 7 imesajiliwa katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Mwanachuo", siku ambayo ni nembo ya mapambano, kupigania…