Skip to content
  • Sun. Jun 21st, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka
HABARI ZA KIPEKEE

Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US

June 21, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria

June 21, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz

June 21, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi

June 21, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

June 21, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
HABARI ZA KIPEKEE
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
HABARI ZA KIPEKEE
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz
IDHAA YA DUNIA
Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz
Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi
IDHAA YA DUNIA
Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
HABARI ZA KIPEKEE
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
HABARI ZA KIPEKEE
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz
IDHAA YA DUNIA
Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz
Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi
IDHAA YA DUNIA
Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi
HABARI ZA KIPEKEE

Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya “vita visivyo na mwisho” vya Israel

October 8, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje ametoa mjibizo kwa kauli za hivi karibuni za Rais wa Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kwamba: Wamarekani wataabani kuingia…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 08, 2025

October 8, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 08, 2025

MWANANCHI

Kocha mpya Yanga aaga kwao

October 8, 2025 mjombazecoder

Hatimaye kocha anayatakiwa na Yanga Romuald Rakotondrabe amewaaga mabosi wake kwenye kikosi...

Uncategorized

Zelensky: Urusi inatumia droni kuleta machafuko Ulaya

October 8, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameituhumu Urusi kwa kutaka kuleta machafuko barani Ulaya kwa kutumia droni kwa ajili ya hujuma na kuvuruga hali ya usalama.

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas: Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa lilikuwa jibu la kihistoria kwa njama za kufuta kadhia ya Palestina

October 8, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa harakatin ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema kuwa, Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa haikuwa vita tu vya kuwashinda wavamizi, bali ni hatua ya mabadiliko ambayo ilifichua…

HABARI ZA KIPEKEE

Mazungumzo ya waasi wa M23 na serikali ya Kinshasa katika hatihati

October 8, 2025 mjombazecoder

Wakati mapigano yakiripotiwa kuendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumeibuka swali iwapo awamu ya sita ya mazunguumzo kati ya kundi waasi AFC/M23 na serikali ya Kinshasa yatafanyia juma hili…

HABARI ZA KIPEKEE

UNHCR: Marekani imekuwa ikifukuza wahamiaji kinyume cha sheria

October 8, 2025 mjombazecoder

Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa limekosoa vikali sera za Marekani kuhusiana na wahamiaji na kueleza kwamba, imekuwa ikifukuza wahamiaji kinyume cha sheria.

HABARI ZA KIPEKEE

Mapitio ya jinai za Magharibi na Marekani katika kipindi cha miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan

October 8, 2025 mjombazecoder

Moja ya jinai muhimu zaidi zilizofanywa na Marekani katika karne ya 21 ni kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa miaka 20 na uhalifu wake nchini humo.

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatano, 08 Oktoba 2025

October 8, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatano 15 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 8 Oktoba 2025 Miladia.

Uncategorized

08.10.2025 Matangazo ya Jioni

October 8, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen, ameituhumu Urusi kwa kutumia mbinu tofauti za vita vya kimkakati dhidi ya Umoja…

Uncategorized

08.10.2025 Matangazo ya Mchana

October 8, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International limeitaka Serikali ya Tanzania kutoa maelezo ya haraka kuhusu alipo na hali ya kiafya ya…

Uncategorized

08.10.2025 Matangazo ya Asubuhi

October 8, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri Mkuu wa Qatar na wajumbe kutoka Uturuki wataungana na wajumbe wa Hamas na Israel nchini Misri (08.10.2025) katika siku ya tatu ya mazungumzo ya…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 8, 2025

October 7, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa

Uncategorized

Mmadagasca afunguka alivyoichomolea Simba, kutua Yanga

October 7, 2025 mjombazecoder

Ishu nzima iko hivi?

Uncategorized

FIFA yawapa ulaji Karia, Hersi

October 7, 2025 mjombazecoder

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limewapa nafasi mpya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia na Rais wa Klabu ya Yanga, injinia Hersi…

Uncategorized

Rais Rajoelina aandaa mazungumzo ya kitaifa leo hii

October 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema anapanga kufanya "mazungumzo ya kitaifa" na makundi mbalimbali leo hii, baada ya waandamanaji vijana kumpa saa 48 akubali madai yao au wakaitisha maandamano ya…

Uncategorized

Macron ashinikizwa kujiuzulu kufuatia mgogoro wa kisiasa

October 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo kubwa, hata kutoka kwa washirika wake wa karibu, kutafuta suluhisho la haraka kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake.

Uncategorized

Burkina Faso yawatia mbaroni watu 8 wakiwemo 3 wa Ulaya

October 7, 2025 mjombazecoder

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwakamata watu wanane wa shirika la misaada ya kibinadamu, wakiwemo raia watatu wa Ulaya, kwa tuhuma za ujasusi na uhaini.

Uncategorized

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 07, OKTOBA 2025

October 7, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 07, OKTOBA 2025

Uncategorized

Hamas inataka dhamana kutoka kwa Trump na mataifa fadhili

October 7, 2025 mjombazecoder

Mjumbe mkuu wa Hamas, Khalil El-Hayya, amesema kundi hilo linataka dhamana kutoka kwa Rais wa Marekani Trump na nchi zinazodhamini kuwa vita vitamalizika kabisa.

Uncategorized

#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Bw

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Bw. Nickson Simon, amewahimiza wananchi wa Mkoa wa Pwani, kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutumia majiko ya kisasa yanayotumia…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Ndg

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Ndg. Majaliwa Kyara, ameahidi kuboresha Miundombinu ya masoko ili wananchi waweze kufanya kazi nyakati zote wakati wa mvua na jua.…

Uncategorized

#HABARI: Wagonjwa mkoani Singida waliokuwa wakishindwa kufika katika Hospitali za Taifa, kupata huduma za kibingwa na bobezi za …

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wagonjwa mkoani Singida waliokuwa wakishindwa kufika katika Hospitali za Taifa, kupata huduma za kibingwa na bobezi za magonjwa mbalimbali, shida hiyo imeisha kufuatia timu ya madaktari bingwa maarufu wa…

Uncategorized

#HABARI: Katika jitihada za kukuza Sekta ya Madini na kuongeza mchango wake katika pato la Taifa, wachimbaji na wachenjuaji wado…

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Katika jitihada za kukuza Sekta ya Madini na kuongeza mchango wake katika pato la Taifa, wachimbaji na wachenjuaji wadogo wa dhahabu wilayani Songwe, wamezindua mitambo ya kisasa ya kuchenjulia…

Uncategorized

#HABARI: Katika wiki ya huduma kwa wateja TANESCO, mkoani Singida, wameunga mkono juhudi za serikali za utunzaji wa mazingira, k…

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Katika wiki ya huduma kwa wateja TANESCO, mkoani Singida, wameunga mkono juhudi za serikali za utunzaji wa mazingira, kwa kutoa vizolea taka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Misuna mkoni…

Uncategorized

#HABARI: Waziri wa Maji na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Mhe

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Waziri wa Maji na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Mhe. Jumaa Aweso, amemtaja Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM…

MWANANCHI

Mchuano wa maswali Lissu, shahidi wa Jamhuri

October 7, 2025 mjombazecoder

Tundu Lissu, mshtakiwa katika kesi ya uhaini amechuana kwa maswali na shahidi wa kwanza wa...

MWANANCHI

Aisha auawa akiingilia kati ugomvi wa mumewe

October 7, 2025 mjombazecoder

Mwanamke mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Aisha Masibu mkazi wa Nabuyonga nchini Uganda ameuawa...

MWANANCHI

Serikali yatoa Sh5 bilioni kuwalipa fidia wananchi Bunda, Ukerekwe

October 7, 2025 mjombazecoder

Serikali imetoa zaidi ya Sh5 bilioni kuwalipa fidia wakazi 1,298 wa vijiji 29 kutoka wilaya za...

MWANANCHI

Eala yaridhia huduma bima ya afya kwa wote

October 7, 2025 mjombazecoder

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) limeridhia azimio la kulitaka Baraza la Mawaziri na...

MWANANCHI

Hiki ndicho itakachoenda kukisimamia Tanzania COP30 Brazil

October 7, 2025 mjombazecoder

Kusimamia kikamilifu ajenda ya nishati safi ya kupikia ya Watanzania wanne kati ya watano...

Uncategorized

#HABARI: Serikali ya Burundi imeahidi kutoa Ardhi na msamaha wa riba ya mkopo kwa wawekezaji ambao wana nia ya kuwekeza katika S…

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Serikali ya Burundi imeahidi kutoa Ardhi na msamaha wa riba ya mkopo kwa wawekezaji ambao wana nia ya kuwekeza katika Sekta ya Kilimo na Ufugaji nchini humo. JINSI YA…

Uncategorized

Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema Rais Dkt

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendeleza misingi ya amani, umoja na haki huku akiongoza nchi…

Uncategorized

Hamis Abdallah, mkazi wa Babati amehukumiwa kifungo cha miaka sita na faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumkata masikio…

October 7, 2025 mjombazecoder

Hamis Abdallah, mkazi wa Babati amehukumiwa kifungo cha miaka sita na faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumkata masikio yote mawili, kumchanja kifuani na kumbamiza kichwa ukutani mtoto…

Uncategorized

#HABAI: Makada wa Chama cha Mapinduzi waliowahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema…

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABAI: Makada wa Chama cha Mapinduzi waliowahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza, wameonyesha kuridhishwa na utendaji kazi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan,…

Uncategorized

Mgombea urais wa UPDP, Twalib Kadege amendelea na kampeni zake licha ya mvua, akiwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba…

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa UPDP, Twalib Kadege amendelea na kampeni zake licha ya mvua, akiwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 ili kutumia haki yao ya kimsingi ya kikatiba. #AzamTVUpdates Mhariri…

Uncategorized

Unaijua historia ya kijiji cha Puma kilichopo mkoani Singida

October 7, 2025 mjombazecoder

Unaijua historia ya kijiji cha Puma kilichopo mkoani Singida Wasikilize wenyeji wa Puma wakisimulia historia na mazuri yanayopatikana kijijini hapo. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi

Uncategorized

Sera za wagombea ni turufu kuu ya kushawishi wapigakura katika siku 20 za mwisho za kampeni

October 7, 2025 mjombazecoder

Sera za wagombea ni turufu kuu ya kushawishi wapigakura katika siku 20 za mwisho za kampeni. Hata hivyo, Mgombea Urais wa NLD, Doyo Hassan Doyo, amesitisha kampeni zake kutokana na…

Uncategorized

Mgombea uraisi kwa tiketi ya CHAUMMA, Salum Mwalim amewaahidi wananchi wa Kigamboni kuwa endapo atachaguliwa kuwa Rais, vivuko n…

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombea uraisi kwa tiketi ya CHAUMMA, Salum Mwalim amewaahidi wananchi wa Kigamboni kuwa endapo atachaguliwa kuwa Rais, vivuko na daraja la Kigamboni vitagharamiwa na serikali na wananchi wataruhusiwa kuvuka bure,…

Uncategorized

Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea kulinda na kuheshimisha jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani na nje ya nchi endapo…

Uncategorized

Mgombe wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesisitiza kuwa atahakikisha mgao wa fedha za Za…

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombe wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesisitiza kuwa atahakikisha mgao wa fedha za Zanzibar zinazotokana na muungano unasimamiwa vyema endapo atachaguliwa. Othman ameyasema…

Uncategorized

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi nchini (TISEZA), Gilead Teri amesema zaidi ya shilingi …

October 7, 2025 mjombazecoder

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi nchini (TISEZA), Gilead Teri amesema zaidi ya shilingi trilioni sita zimepatikana kati ya mwezi Julai hadi Septemba mwaka huu…

Uncategorized

#HABARI: Chama cha Orange (ODM) kwa mara nyingine kimekanusha uvumi kuhusu hali ya afya ya kiongozi wa chama hicho, Raila Oding…

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama cha Orange (ODM) kwa mara nyingine kimekanusha uvumi kuhusu hali ya afya ya kiongozi wa chama hicho, Raila Odinga, ambaye hajaonekana kwenye hadhara kwa zaidi ya majuma mawili…

Uncategorized

Taifa Stars, Zambia mechi ya heshima

October 7, 2025 mjombazecoder

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo Jumatano inahitimisha safari ya kutafuta nafasi ya kushiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 kwa kucheza na Zambia kwenye Uwanja wa New…

MWANANCHI

Halmashauri Mbarali yatenga Sh900 milioni ununuzi mtambo kukarabati barabara

October 7, 2025 mjombazecoder

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, imetenga zaidi ya Sh 900 milioni kwa ajili...

Uncategorized

FIFA yairuhusu Fountain Gate kusajili nje ya dirisha la usajili

October 7, 2025 mjombazecoder

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeridhia klabu ya Fountain Gate kufanya usajili nje ya dirisha la usajili

MWANANCHI

Rais Mwinyi ataja kinachoshusha uzalishaji wa karafuu Zanzibar

October 7, 2025 mjombazecoder

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema Serikali imebaini kupungua kwa uzalishaji wa zao...

MWANANCHI

Dk Mwinyi aahidi ajira zaidi kwa vijana, wanawake

October 7, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, ameahidi kuwa...

Uncategorized

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii (TTB) Bw

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii (TTB) Bw. Ephraim Mafuru amekabidhi tuzo ya shukurani kwa Bi. Khadija Zimbwe muandaaji wa vipindi vya mapishi Capital Television na ITV kwa kutoa…

Uncategorized

#HABAI: Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt

October 7, 2025 mjombazecoder

#HABAI: Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema heshima ya nchi inajengwa kupitia amani, utiifu wa sheria na…

Posts pagination

1 … 911 912 913 … 994

Recent Posts

  • Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
  • Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
  • Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz
  • Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi
  • Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARI ZA KIPEKEE

Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US

June 21, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria

June 21, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Tetesi za Soka Ulaya: Chelsea wanafikiria kumnunua Wirtz

June 21, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza Uswisi

June 21, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS