FYATU MFYATUZI: Msituulize tulipopata njuluku tulizowekeza uchaguzini
Siku hizi za uchafuzi, sorry, uchakachuaji, sorry, uchaguzi, tutaona mengi. Yote cha mtoto.
Gerrard afichua kilichofelisha ‘kizazi cha dhahabu’ England
Kiungo wa zamani wa England, Steven Gerrard amesema kuwa kilichofanya kizazi chake katika timu...
Jordi Alba afuata nyayo za Busquets kustaafu soka
Beki wa zamani wa kushoto wa Barcelona na timu ya Taifa ya Hispania, Jordi Alba ametangaza...
Kutokana na mabadiliko na ukuaji wa teknolojia duniani, Shirika la Posta sasa limejikita katika kufanya shughuli zake nyingi kid…
Kutokana na mabadiliko na ukuaji wa teknolojia duniani, Shirika la Posta sasa limejikita katika kufanya shughuli zake nyingi kidijitali. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa Huduma kwa Wateja Shirika hilo,…
Maandamano ya kiuunga mkono Israel yafanyika jijini Nairobi
Kundi la waandamanaji siku ya Jumanne, Oktoba 7 waliandamana katikati ya jiji la Nairobi kuunga mkono Israel na kuiombea amani jijini Jerusalem. Imechapishwa: 08/10/2025 – 11:17 Dakika 1 Wakati wa…
Somalia kuanza kufundisha Kiswahili shule, vyuo
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, ametangaza kuwa Serikali yake inajiandaa kuanzisha...
Shirika la Posta sasa limeboresha huduma zake za usafiri kuanzia magari, mabasi hadi ndege ili kufikisha mzigo wa mteja kwa waka…
Shirika la Posta sasa limeboresha huduma zake za usafiri kuanzia magari, mabasi hadi ndege ili kufikisha mzigo wa mteja kwa wakati ambapo mzigo utamfikia mteja kuanzia siku moja hadi mbili.…
Khan na Kajol wanavyochanganya mashabiki
Shah Rukh Khan na Kajol ni kati ya majina makubwa katika kiwanda cha filamu India, Bollywood.
Watu 24 wauawa kwenye shambulio la kigaidi Myanmar
Watu zaidi ya 24 wameuawa na wengine 47 kujeruhiwa baada ya shambulio la kigaidi lililotokea...
Tembo 500 wahamishwa nchini Tanzania
Zoezi hilo, linakuja baada ya wataalamu wa Ikolojia kutoka shirika hilo kuyafuatilia makundi hayo kwa ukaribu zaidi.
Ethiopia yaituhumu Eriteria kwa kuungana na TPLF kuandaa vita
Ethiopia imeishtumu Eritrea kwa kuungana na vikosi vya Tigray People’s Liberation Front (TPLF), kujiandaa kwa ajili ya vita. Imechapishwa: 08/10/2025 – 10:24 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Kusini kupitia CCM, Nuru Kashakali, ameahidi kuchimba kisima cha maji kwa fedha binafsi katika ki…
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Kusini kupitia CCM, Nuru Kashakali, ameahidi kuchimba kisima cha maji kwa fedha binafsi katika kijiji cha Katete, kata ya Ilagala, pamoja na kuboresha huduma za…
#MEZAHURU: Je nini chanzo cha ugonjwa huu UTINDIO WA UBONGO.?
#MEZAHURU: Je nini chanzo cha ugonjwa huu UTINDIO WA UBONGO.? na Njia zipi ni za kutibu ugonjwa huu wa UTINDIO WA UBONGO. #Saa Tisa kamili #08Oktoba2025
Wema Sepetu humwambii kitu kwa Pacome
Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu amekumbuka makubwa aliyofanyiwa na mashabiki wake mwaka 2022...
Mgombea ubunge CUF auawa, wanane washikiliwa wakituhumiwa kuhusika
Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
Qalibaf: Kimbunga cha al-Aqswa kimeipeleka dunia upande wa kuufuta “Umarekani” na kutetea wanaodhulumiwa
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa iliyotokelezwa na wanamuqawama wa Palestina dhidi ya Israel iliipeleka dunia upande wa kuufuta "Umarekani"…
Uungaji mkono wa kimaonyesho wa Uturuki kwa Palestina; Ukweli uliofichwa nyuma ya pozi za kidiplomasia
Matamshi ya Umit Özdag mwanasiasa wa Uturuki kuhusu Palestina yameibua radiamali kubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
#HABARI: Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema anapanga kufanya “mazungumzo ya kitaifa” na makundi mbalimbali leo hii, ba…
#HABARI: Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amesema anapanga kufanya "mazungumzo ya kitaifa" na makundi mbalimbali leo hii, baada ya waandamanaji vijana kumpa saa 48 akubali madai yao au wataitisha maandamano…
Karia, Hersi waula FIFA, wateuliwa na Infantino
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia na Rais wa Yanga, Hersi Said...
Stars, kuhitimisha safari na Zambia
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo Jumatano inahitimisha safari ya kutafuta nafasi ya...
Waungaji mkono wa Palestina watishia kufutwa mechi ya Italia na Israel ya kuwania tiketi ya kombe la dunia
Wananchi wa Italia na waungaji mkono wa Palestina wametoa wito wa kuufutwa mechi ya soka kati ya Italia na utawala ghasibuu wa Israel wakilalamikia mauaji na jinai za israel dhidi…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
Dk Nchimbi kutafuta ushindi wa CCM Z’bar leo
Kampeni za mgombea mwenza wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel...
Guterres ataka kuhitimishwa vita vya Gaza sambamba na kutimia miaka miwili ya jinai za Israel
Katika kuadhimisha mwaka wa pili wa Vita vya Gaza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza wito wake wa usitishaji wa kudumu wa vita Gaza, akielezea maafa ya…
Rais wa Madagascar kufanya mazungumzo ya kitaifa leo
Rais Andry Rajoelina wa Madagascar amesema anapanga kufanya "mazungumzo ya kitaifa" na makundi mbalimbali leo Jumatano baada ya vijana waandamanaji kutoa makataa ya saa 48 ili akubali matakwa yao la…
Umoja wa Mataifa waeleza wasiwasi kuhusu machafuko kaskazini mwa Msumbiji
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi ulionao kuhusu idadi kubwa ya raia wanaokimbia machafuko yanayoendelea kaskazini mwa Msumbiji, ambapo wengi wao wamefikia hatua ya kukata tamaa.
Somalia kuanzisha somo la Kiswahili katika shule na vyuo vikuu
Rais Hassan Sheikh Mohamud alivitaka vyuo vikuu vya Somalia kutetea ufundishaji na matumizi ya Kiswahili kama msingi wa umoja na ushirikiano wa kikanda.
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 8, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 8, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Polisi wa Tanzania kuchunguza madai ya kutekwa kwa mkosoaji wa serikali
Katika taarifa ya Septemba 29, serikali ilikataa madai ya Human Rights Watch kwamba inawakandamiza wakosoaji wake kabla ya uchaguzi na kutaja utekaji nyara "chanzo kikuu cha wasiwasi kwa serikali".
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: SOKO LA KUKU WA KIENYEJI ….OKTOBA 08, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: SOKO LA KUKU WA KIENYEJI ....OKTOBA 08, 2025
Papa Leo XIV kuzuru Uturuki na Lebanon mwishoni mwa mwezi Novemba kwa ziara yake ya kwanza
Kiongozi wa Kanisa Katolika duniani Papa Leo XIV atazuru Uturuki na kisha Lebanon kutoka Novemba 27 hadi Desemba 2 kwa ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuchaguliwa kwake…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 08, 2025
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linafanya uchunguzi wa tukio la kuuawa kwa Daud Wilbard Ntuyehabi, ambaye alikuwa …
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linafanya uchunguzi wa tukio la kuuawa kwa Daud Wilbard Ntuyehabi, ambaye alikuwa akigombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Jimbo la…
Kikosi cha Kudumu cha Afrika Mashariki chazindua mazoezi ya kwanza ya baharini nchini Djibouti
Hatua hii inaashiria kiwango kipya cha uratibu wa kikanda katika usalama wa baharini na mwitikio wa dharura.
Burkina Faso: Serikali yatangaza kuwakamata kwa watu 8 wakiwemo wageni 4, kwa ‘Ujasusi’
Nchini Burkina Faso, serikali imetangaza kukamatwa kwa watu wanane, wakiwemo wageni wanne, ikiwa ni pamoja na mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la International NGO Safety Organisation (INSO). Imechapishwa: 08/10/2025…
Mauzo ya silaha za Uingereza kwa Israel ‘yamepiga rekodi ya juu’ katika miezi ya hivi karibuni
Takwimu mpya za forodha zinaonyesha kuwa thamani ya mauzo ya silaha za Uingereza kwa Israeli ilifikia rekodi ya juu mnamo Juni 2025, na Septemba ikiorodheshwa kama mwezi wa pili kwa…
Rais wa Madagascar apanga ‘mazungumzo ya kitaifa’ kufuatia maandamano
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amesema anapanga kufanya "mazungumzo ya kitaifa" na makundi mbalimbali siku ya Jumatano.
DW Kiswahili
Deutsche Welle ni Shirika la Kimataifa la Utangazaji la Ujerumani, linaloandaa vipindi vya Televisheni, Radio na Mtandao wa Intaneti kwa ajili yako katika lugha 30 - popote ulipo ulimwenguni. Tafadhali…
Kundi E Kati ya Morocco, Tanzania, Niger, na Zambia: Tathmini ya Mchakato wa Kufuzu Kombe la Dunia 2026
🔍 Tathmini ya Kundi E 🇲🇦 Morocco – Wanaongoza kwa Ufanisi Morocco imeonyesha kiwango cha juu, ikishinda mechi zote saba na kufunga mabao 21 huku ikiruhusu mawili pekee. Ufanisi huu…
WB: Afrika lazima ibadili mfumo wake wa kiuchumi ili kuunda nafasi nyingi za kazi
Je, ajira zinawezaje kupatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara? Ukuaji wa uchumi unasalia kuwa imara na hata unazidi kushika kasi, pamoja na ongezeko la 3.8% la Pato la Taifa la…
Tanzania vs Zambia Oktoba 8, 2025: Utabiri wa Mechi na Sababu za Matokeo Inayotarajiwa
Leo, Jumatano, Oktoba 8, 2025, Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inakutana na Zambia (Chipolopolo) katika mechi muhimu ya kufuzu Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali…
Madagascar: Waandamanaji watoa makataa kwa rais Rajoelina kabla ya mazungumzo yoyote
Nchini Madagascar, Rais Rajoelina anafanya mfululizo wa mashauriano. Baada ya kukutana na makundi ya wafanyabiashara, maafisa wakuu, na viongozi wa kanisa wiki iliyopita, ameratibiwa kufanya mazungumzo na mashirika ya vijana,…
Ecuador: Rais Noboa anusurika kifo baada ya msafara wake kushambuliwa
Rais wa Ecuador Daniel Noboa amenusurika kifo baada ya gari lake kushambuliwa alilokuwa akisafiria kusini mwa nchi hiyo. Shambulio hilo limekuja huku kukiwa na maandamano makali ya watu wa asili,…
#SwaliLaKipimaJoto:Vishoka kuunganishia watu umeme na kutumia bila malipo kwa muda mrefu
#SwaliLaKipimaJoto:Vishoka kuunganishia watu umeme na kutumia bila malipo kwa muda mrefu. Je, kitengo cha Ulinzi na usalama TANESCO kinafanya kazi kwa kushirikisha jamii ipasavyo kudhibiti hali hii?
🔴KUMEKUCHA: UMUHIMU WA KUPIGA KURA …OKTOBA 08, 2025
🔴KUMEKUCHA: UMUHIMU WA KUPIGA KURA ...OKTOBA 08, 2025
Mapya kutekwa kwa Polepole
Siku moja baada ya kusambaa taarifa za kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba...
Hamas ‘inataka dhamana kutoka kwa Trump na nchi fadhili’
Mjumbe mkuu wa Hamas Khalil Al-Hayya amesema siku ya Jumanne wakati wa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Israel nchini Misri kwamba kundi hilo “linataka kuhakikishiwa kutoka kwa Rais…
DRC/Rwanda: Suala la wakimbizi lasalia tata mazungumzo ya Doha
Kurejeshwa nyumbani kwa wakimbizi, ni miongoni mwa mambo saba muhimu yaliyokubaliwa kwenye mkataba wa Washington kati ya serikali ya Kinshasa na Kigali, kusaidia kuleta amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri…