Donald Trump alaani hatua za kulitambua taifa la Palestina
Maafisa wa Uingereza wanahofia kuwa Donald Trump atatambua udhibiti wa Israel juu ya makaazi haramu katika Ukingo wa Magharibi, kulipiza kisasi uamuzi wa Uingereza, Australia, Ufaransa na nchi nyingine kulitambua…
Ufaransa kuandaa mkutano wa dharura wa DR Congo, Kinshasa yaomba msaada
Umoja wa Mataifa (AFP) – Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kutambua “mauaji ya halaiki yanayotekelezwa kimya…
Trump ataka mateka wanaoshikiliwa Gaza waachiwe huru
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina.
Zelensky ashangazwa na matamshi ya Trump kuhusu Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema ameshangazwa na matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, aliposema anaamini Kiev inaweza kuitwaa tena ardhi yake yote iliyonyakuliwa na Urusi.
Ufaransa kuandaa mkutano wa dharura wa DRC Oktoba
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema nchi yake itaandaa mkutano wa dharura kuangazia hali mbaya ya kibinaadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, utakaofanyika mwezi Oktoba.
Human Rights Watch: Afrika iwakatae wahamiaji Marekani
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, limesema mpango wa Marekani kuwapeleka wahamiaji katika nchi za Afrika unakiuka sheria ya haki ya kimataifa, na lazima…
Khamenei akataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amekataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani kuujadili mpango wa nyuklia wa Iran.
Trump alaani hatua za kulitambua taifa la Palestina
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina, huku Marekani ikionekana kutengwa katika uungaji mkono wake mkubwa kwa mshirika wake Israel.
Jumatano 24 Septemba
Leo ni Jumatano tarehe Mosi Rabiul Thani 1447 Hijria Qamaria sawa na Pili Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe 24 Septemba 2025 Miladia.
Haiwezekani kuzungumza na mtu dhalimu, asema Rais wa Iran kabla ya ziara yake New York
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kabla ya kuondoka kuelekea New York kwamba haiwezekani kuwa na mazungumzo na mtu yeyote ambaye ana nia ya “kulazimisha, kudhulumu, kufanya hila au kuvuruga…
Rais Pezeshkian awatakia heri Mfalme na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Siku ya Taifa
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametuma salamu za pongezi kwa Mfalme, Mrithi wa Kiti cha Ufalme, na wananchi wa Saudi Arabia katika maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya ufalme huo.
Chanjo erevu iliyotengenezzwa Iran kutibu Saratani ya Mapafu
Mhadhiri mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba cha Tehran ametangaza chanjo yenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya kutibu saratani ya mapafu.
Mutharika aongoza kwa kishindo katika kinyang’anyiro cha urais nchini Malawi
Rais wa zamani wa Malawi, Peter Mutharika, ameibuka na uongozi wa kishindo katika hesabu za kura za uchaguzi wa urais, akijikusanyia takriban asilimia 66 ya kura zilizohesabiwa hadi sasa.
Tshisekedi: DRC haitapiga mnada rasilimali zake kwa Marekani
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, ametangaza kuwa licha ya msaada wa Marekani katika upatanisho wa migogoro, nchi yake haitauza kwa bei rahisi au kupiga mnada…
Kutengwa kimataifa, natija ya mgogoro wa utawala wa Kizayuni katika eneo
Benyamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, amekiri kwamba utawala huu unaishi katika aina fulani ya kutengwa kimataifa.
24.09.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, amani ya kudumu huko Gaza haitawezekana kujengwa kwa kuendeleza ghasia / Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani…
24.09.2025 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina / Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la The…
Taarifa ya Habari Asubuhi 24.09.2025
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina//Ukraine imeelezea kushangazwa na matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kusema…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 24, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Adui aliyetangazwa na Trump: Antifa ni nini?
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vuguvugu la Antifa kuwa shirika la kigaidi. Tatizo ni kwamba, si shirika kabisa — na haijulikani ni nani hasa ambaye uchunguzi uliotangazwa unaweza kuwalenga.
Trump aibua mjadala mkali katika hotuba yake ya UNGA-80
Rais Donald Trump ameanza hotuba yake katika UNGA-80 akitaja mafanikio ya sera za kigeni, kukosoa taasisi za kimataifa na kutetea sera yake ya America First, huku viongozi wa dunia wakimsikiliza…
UNGA: Afrika yataka kiti UNSC, yaiunga mkono Palestina
Viongozi wa Afrika wanaohudhuria Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) wanapigia debe nafasi kubwa zaidi duniani, mageuzi ya Baraza la Usalama la UN, na kuungwa…
NATO yaionya Urusi kuwa itatumia njia zote kujilinda
Jumuiya ya Kujihami NATO imeionya Urusi hii leo kwamba, itatumia njia zote kujilinda dhidi ya ukiukaji wowote zaidi wa anga yake baada ya matukio mawili ya urushwaji wa ndege za…
Trump aikosoa UN akisema imeshindwa kuleta amani duniani
Rais wa Marekani Donald ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika kuleta amani ulimwenguni.
Denmark yataja tukio la ndege za droni kuwa shambulio baya
Waziri Mkuu wa Denmark Mette Frederiksen amekitaja kitendo cha idadi kubwa ya droni zilizoruka katika uwanja wa ndege wa Copenhagen kwa masaa kadhaa kuwa ni shambulio baya zaidi kwa miundombinu…
Jeshi la Israel lazidi kusonga mbele ndani ya Gaza City
Jeshi la Israel hii leo limeendelea kusogea zaidi katika maeneo yenye wakaazi wengi katika Jiji la Gaza siku moja baada ya mataifa kulitambua taifa la Palestina.
Guterres: Kupunguzwa kwa bajeti ya misaada kumeleta maafa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema hii leo kwamba kupunguzwa kwa bajeti ya misaada kumesababisha uharibifu mkubwa.
Wapiga kura Guinea waunga mkono kura ya maoni ya Katiba mpya
Wapiga kura nchini Guinea wameunga mkono kwa kishindo kura ya maoni ya katiba mpya ambayo inaweza kuruhusu kiongozi wa kijeshi Mamady Doumbouya kuwania urais ikiwa ataamua.
Umoja wa Ulaya na vizuizi vya Hungary
Hungary mara kwa mara hutumia kura ya turufu katika siasa za Umoja wa Ulaya kuhusu Ukraine, na hivyo kudhoofisha msimamo wa pamoja wa kigeni. Nchi wanachama sasa zinatafuta mbinu mbadala,…
Pezeshkian: Jithada za kuzuia uhusiano mwema kati ya nchi za Kiislamu hazitafanikiwa
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria jitihada za maadui za kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya nchi za Kiislamu; na kushindwa kuasisiwa uhusiano wenye matunda katika…
Iran yaanza mwaka mpya wa masomo kwa kuwaenzi wanafunzi 34 waliouawa katika uvamizi wa Israel
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amewaenzi wanafunzi 34 waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kichokozi ya Israell dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mwezi Juni mwaka…
Wapalestina wengine 22 wakiwemo watoto wauawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
Israel imefanya mashambulizi zaidi katika Ukanda wa Gaza, na kuwaua shahidi Wapalestina wengine kadhaa huku jamii ya kimataifa ikishindwa kukomesha mauaji ya kimbari yautawala huo yanayoungwa mkono na Marekani.
Rais wa Afrika Kusini atoa mwito wa kuwepo taifa huru la Palestina
Wakati vita vya Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, Rais wa Afrika Kusini amesisitiza kuhusu dhamira ya nchi yake ya kupatikana njia ya ufumbuzi wa mataifa mawili ili kuhitimisha mzozo uliodumu…
WHO: Wagonjwa wa kipindupidu Sudan wafikia 113,500; chanjo yaendelea kutolewa
Shirika la Afya Duniani leo Jumanne limetangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu umewaathiri watu zaidi ya 113,600 na kuuwa zaidi ya 3,000 kote nchini humo tangu Julai mwaka jana.
Denmark: Safari za ndege zaanza tena Copenhagen na Oslo
Safari za ndege zimeanza tena Jumanne asubuhi kutoka viwanja vya ndege vya Copenhagen na Oslo baada ya sitofahamu siku ya Jumatatu jioni kutokana na ndege zisizo na rubani kuonekana juu…
Je, mkuu mpya Deutsche Bahn ataitoa kwenye mzozo wa kudumu?
Kwa mara ya kwanza mwanamke amewekwa kileleni mwa Deutsche Bahn. Evelyn Palla anakabiliwa na changamoto kubwa za kuchelewa kwa treni, kufutwa kwa safari na hali mbaya ya huduma.
Ni nchi gani barani Afrika hazijalitambua taifa la Palestina?
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Mwenyekiti wa PLO Yasser Arafat akimkumbatia Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, tarehe 1 Januari 1990 Maelezo kuhusu taarifa Author, Marina Daras…
Mgogoro wa itibari ya kimaadili ya nchi za Magharibi kuhusu suala la Palestina
Kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa haoni kinachoendelea katika eneo hilo kuwa ni mauaji ya kimbari. Macron ameendelea…
Italia: Mgomo wa wafanyakazi kwa mshikamano na Gaza wasababisha usumbufu kote nchini
Maelfu ya waandamanaji na wagimaji wanaotoa wito wa mshikamano na Wapalestina huko Gaza wameingia mitaani nchini Italia siku ya Jumatatu. Wengine walivamia kituo kikuu cha treni cha Milan na kukabiliana…
Balozi wa Israel-UN akataa suluhisho la mataifa mawili
Mwakilishi wa kudumu wa Israel katika Umoja wa Mataifa Danny Danon amesema kuwa suluhu ya mataifa mawili si jambo linalowezekana kwa Israel.
Wafanyakazi Italia wagoma kuonyesha mshikamano na Gaza
Maelfu ya waandamanaji na wafanya migomo wanaoshinikiza mshikamano na raia wa Kipalestina huko Gaza, walimiminika mitaani nchini Italia jana.
Rais wa zamani wa Malawi Mutharika aongoza kwa 66% ya kura
Rais wa zamani wa Malawi Peter Mutharika anaendelea kuongoza dhidi ya mpinzani wake, rais aliyeko madarakani Lazarus Chakwera katika uchaguzi mkuu wa rais.
UN yashutumu mateso ya Urusi kwa wafungwa wa Ukraine
Umoja wa Mataifa umesema katika ripoti yake kwamba mamlaka za Urusi zimewatesa wafungwa wa kiraia katika maeneo inayoyakalia nchini Ukraine, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji mkubwa wa kingono ulioratibiwa.
Trump asema dawa ya Paracetamol inasababisha usonji
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa madai yanayohusisha ugonjwa wa usonji na matumizi ya chanjo ya utotoni na unywaji wa dawa maarufu ya maumivu ya Tylenol au Paracetamol kwa wanawake…
Tshisekedi ailamu Rwanda kusuasua makubaliano ya amani
Rais wa DRC Felix Tshisekedi amemtuhumu mwenzake wa Rwanda Paul Kagame kuchelewesha utekelezaji wa mkataba wa amani huku mzozo wa M23 ukiendelea mashariki mwa DRC.
Italia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina
Maandamano makubwa yamefanyika nchini Italia kupinga vita vya Israel ambapo waandamanaji walitaka kusitishwa kwa mauaji, katika wakati huu jeshi la Israel likiendelea na operesheni ya ardhini kwenye Jiji la Gaza.
Ufaransa yalitambua rasmi taifa la Palestina
Nchi zaidi za Ulaya zinatarajiwa kuchukua hatua hiyo hiyo, kulingana na Rais Macron alivyosema katika Umoja wa Mataifa “wakati wa amani umefika”. Source link
Safari ya kisiasa ya Uganda tangu uhuru
Siasa za Uganda tangu uhuru 1962 zimegubikwa na mapinduzi, vita na uongozi wa mabavu. Kuanzia Milton Obote, Idi Amin hadi Tito Okello, historia ya taifa imejaa misukosuko na migogoro ya…
Rais Pezeshkian: Baraza Kuu la UN ni fursa adhimu ya kubainisha misimamo yetu
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusiana na mipango na malengo ya safari yake ya New York ya kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa…
White House: Trump atakutana na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza
Msemaji wa ikulu ya White House Karoline Leavitt ametangaza kuwa rais wa Marekani Donald Trump anatazamiwa kufanya mkutano na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza.