Sekta ya magari Ujerumani inavyopambana kurudi kileleni
09.09.20259 Septemba 2025 Watengenezaji wa magari wa Ujerumani wamekuwa wakijikongoja kwa zaidi ya muongo mmoja sasa. Mwanzoni mwa mwaka 2025 hata hivyo takwimu zilionesha kuwa kampuni kubwa ya magari ya…
09.09.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S09.09.20259 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa umeme wa maji barani Afrika / Jeshi la…
09.09.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ09.09.20259 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bunge la Ufaransa limeiondoa madarakani serikali ya Waziri Mkuu Francois Bayrou baada ya kukaa madarakani kwa miezi tisa na kumwacha Rais Emmanuel…
09.09.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Josephat Charo 09.09.20259 Septemba 2025 Waziri mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou kujiuzulu na serikali yake baada ya kuondolewa na bunge katika kura ya imani. Watu 2 wauwawa na wengine 16…
Waziri mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou aondolewa
Waziri Mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou aliwafumbia macho hata washirika wake kwa kuitisha kura ya imani kuutafutia ufumbuzi mzozo wa muda mrefu kuhusu bajeti yake ya kubana matumizi, ambayo ililenga…
Erdogan wa Uturuki asaini mkataba wa kulinda haki za watoto katika ulimwengu wa kidijitali
Erdogan wa Uturuki asaini mkataba wa kulinda haki za watoto katika ulimwengu wa kidijitali Mkataba huo unaeleza vipengele 13 vinavyolenga kuhakikisha upatikanaji salama, wa haki, na wenye maana wa dijitali…
“Netanyahu amepoteza mwelekeo”: Rais Erdogan wa Uturuki
Rais Recep Tayyip Erdogan amethibitisha tena uungaji mkono wa Uturuki kwa watu wa Palestina, huku akitoa ukosoaji mkali dhidi ya uongozi wa Israel. “Katika siku hizi ngumu ambapo serikali ya…
Uturuki yalaani mauaji ya halaiki ya Israel dhidi ya Gaza yataka Jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua
Yalcin ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja, kushtakiwa wahusika na kesi za uhalifu wa kivita, na kufanikisha suluhisho la mataifa mawili. Chama tawala cha Uturuki AK , kimekosoa kampeni…
Hatma ya waziri mkuu Bayrou yaning’inia bungeni
Nchini Ufaransa, Waziri Mkuu Francois Bayrou anakabiliwa na kitisho cha kuangushwa kupitia kura ya maoni itakayopigwa muda wowote kutoka sasa katika bunge la nchi hiyo. Ufaransa iko kwenye mgogoro mkubwa…
Afrika yatoa wito wa uwezkezaji katika sekta ya hali ya hewa na suluhisho zinazoongozwa na Afrika
Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa Afrika ulianzishwa Jumatatu huko Addis Ababa huku kukiwa na wito wa kubadilisha maneno kuwa vitendo kutoka kwa viongozi. Walisisitiza kuonesha Afrika sio tu…
Israel yaapa kuishushia Gaza kuilazimisha Hamas ijisalimishe
Haya yanajiri wakati Rais Donald Trump wa Marekani akisisitiza pendekezo jipya la usitishaji mapigano. Mashambulizi mapya yamewaua takribani Wapalestina 40, wakiwemo mwandishi habari na watoto, na kusababisha maafa zaidi katika…
Grossi aitaka Iran kurejesha uchunguzi wa vinu vya nyuklia
Ushirikiano huo ulisitishwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel mnamo mwezi Juni dhidi ya Jamhuri hiyo ya Kiislamu. Grossi amesema bado kuna muda lakini sio mwingi, akibainisha wasiwasi juu…
François Bayrou awasihi wabunge kutumia busara kura ya imani
Akizungumza wakati wa kikao cha bunge, waziri mkuu huyo amewataka wabunge wauunge mkono mpango wake wa kupunguza deni kubwa la taifa analosema “linaididimiza Ufaransa.” Bayrou ameonya kuwa nakisi ya bajeti…
Waliouwawa katika maandamano ya Nepal wafikia 19
Waandamanaji wanaitaka serikali kuondoa marufuku iliyowekwa kwa mitandao ya kijamii na kukomesha ufisadi. Msemaji wa polisi mjini Kathmandu, Shekhar Khanal, amethibitisha vifo hivyo. Polisi ilijaribu kuwadhibiti maelfu kwa maelfu ya…
Ulaya kupendekeza vikwazo vya 19 dhidi ya Urusi
Wanadiplomasia wa Umoja huo wamesema Ulaya inachukua hatua na haitorudi nyuma katika kuwaadhibu watu wengine wanaodaiwa kuhusika katika vita vya Urusi dhidi ya Ukraine. Katika vikwazo vyake 18 vya mwanzo,…
Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu yasikilizwa Mahakama Kuu
Kesi hiyo hata hivyo imesogezwa mbele hadi Septemba 9, baada ya mvutano mkubwa wa kisheria ulioibuka kuhusu kuahirishwa mara kwa mara kwa kesi hiyo. Mvutano wa kisheria umeibuka leo katika…
Israel yasema Uhispania yaendesha chuki dhidi ya Wayahudi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel Gideon Saar ameilaumu Uhispania kwa kuendeleza kampeni ya chuki dhidi ya Wayahudi baada ya Waziri Mkuu Pedro Sanchez kutangaza hatua tisa zinazolenga kukomesha…
ICC yawasilisha ushahidi dhidi ya Joseph Kony
Kony anaandamwa na mashtaka kadhaa ya uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita, yakiwemo mauaji, ubakaji na utumwa wa kingono. Anadaiwa kuongoza harakati za kikatili za LRA ziliyoitisha kaskazini…
Kiongozi wa upinzani Tanzania apandishwa tena kizimbani
08.09.20258 Septemba 2025 Tizama mwanasiasa kigogo wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu akifikishwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu, huko Dar es Salaam kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Duru zinasema…
Mradi wa GERD kuchangia pakubwa kuimarika kwa uchumi
Mradi wa bwawa hilo uitwao Grand Ethiopian Renaissance (GERD) unatajwa kuwa mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme unaotokana na maji barani Afrika. Bwawa hilo la thamani ya dola bilioni 4 lina…
Kasper Hjulmand: Kocha mpya Bayer Leverkusen
Klabu ya kandanda ya Bayer Leverkusen imemtangaza kocha wa zamani wa Denmark Kasper Hjulmand kama kocha wao mpya kwa kandarasi ya miaka miwili kufuatia kutimuliwa kwa Erik ten Hag wiki…
Karibu waandamanaji 10 wauawa Nepal
Tovuti kadhaa za mitandao ya kijamii – ikiwa ni pamoja na Facebook, YouTube na X imefungwa nchini Nepal tangu Ijumaa baada ya serikali kuzuia majukwaa 26 ambayo hayajasajiliwa, hatua iliyosababisha…
Serikali ya Ufaransa ukingoni kuporomoka
Bayrou hana nafasi yoyote ya kushinda kwenye kura hiyo aliyoiitisha mwenyewe, na ni hatua ambayo huenda ikaibua suintofahamu ya kisiasa na kukosekana kwa utulivu kwenye taifa hilo la pili kwa…
Ulaya na Marekani kufanya mazungumzo ya vikwazo kwa Urusi
Ujumbe huo utakuwa na mikutano na Rais Donald Trump leo Jumatatu (08.09.2025 ) na kesho Jumanne (09.09.2025). Hapo jana, Trump alitishia kuiwekea Urusi vikwazo zaidi baada ya taifa hilo kufanya…
Waziri wa ulinzi wa Israel aitishia Hamas kwa ‘kimbunga’
Akizungumza kuelekea operesheni ya jeshi la ardhini dhidi ya Jiji la Gaza, Katz amesema kundi hilo litasambaratishwa iwapo halitatimiza masharti yaliyotolewa. Serikali ya Israel inaendelea kutanua operesheni yake ya kulitwaa…
ICC kusikiliza kesi dhidi ya mbabe wa kivita, Joseph Kony
Majaji wa mahakama hiyo hapo kesho Jumanne (09.09.2025) watasikiliza keshi 39 za uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu dhidi ya Kony, yakiwemo mauaji, mateso na ubakaji. Kesi hiyo…
Mahakama ya ICC kuanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne, itasikiliza kesi ya kihistoria dhidi ya Joseph Kony, kiongozi wa kundi la waasi la Lord’s Resistance Army (LRA), ambaye amekuwa mafichoni…
Baerbock achaguliwa Rais Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Baerbock alipata kura 167, karibu mara mbili ya kura 88 zinazohitajika kushinda, huku mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Ujerumani, Helga Schmid, akipata kura saba na mataifa mengine 14 kujizuwia…
Vijana Nepal waandamana kupinga kufungwa mitandao ya kijamii
Mitandao mengi ya kijamii ikiwa ni pamoja na Facebook, YouTube, na X, imefungwa tangu siku ya Ijumaa wiki iliyopita baada ya serikali kufungia mitandao ya kijamii 26 ambayo haijasajiliwa, hatua…
Kwanini Israel inayashambulia majengo Gaza City?
Tizama makombora ya Israel yalivyoyaporomosha majengo kadhaa ndani ya Ukanda wa Gaza. Jeshi la nchi hiyo linasema majengo hayo yalikuwa yakitumiwa na kundi la Hamas kupanga njama dhidi ya Israel.
Baerbock aanza kazi kama Rais wa Baraza la Umoja wa Mataifa
Hata hivyo, licha ya hatua hiyo kuonekana ya mafanikio na inayoleta heshima kwake na nchi yake, kumekuwa na mawazo mseto ndani ya Ujerumani na kwenye jukwaa la kimataifa kuhusu uwezo…
UN: Gaza ni “makaburi” huku sheria za kimataifa zikidhoofika
Akizungumza mjini Geneva wakati wa kikao cha 60 cha Baraza la Haki za Binadamu,Turk alishutumu mauaji ya maelfu ya raia wa Kipalestina, mateso yasiyoelezeka na uharibifu mkubwa wa makazi na…
Ulaya na Marekani waandaa vikwazo vipya dhidi ya Urusi
Urusi imeishambulia Ukraine kwa droni zaidi ya 800 na kwa mara ya kwanza tangu vita ilipoanza ikilenga jengo kuu la serikali mjini Kiev na kuua watu wanne kwenye mashambulizi hayo…
Jerusalem: Watu wanne wafa katika mashambulizi ya risasi
Wahudumu wa afya wamethibitisha juu a kuuawa watu hao wanne katika mashambulizi ya risasi mjini Jerusalem baada ya washambuliaji kufyatua risasi ndani ya basi katika eneo la makutano kaskazini mwa…
Panda shuka ya Luhaga Mpina ndani ya siasa za Tanzania
Mwezi Agosti mwaka 2025, utabakia kuwa wa kipekee katika safari ya kisiasa ya Luhaga Joelson Mpina. Mpina alijiunga na chama cha upinzania cha ACT Wazalendo mwanzoni mwa mwezi Agosti baada…
Balozi wa UN afanya mazungumzo na Haftar wa Libya kuhusu serikali moja ya mpito
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Kitaifa la Libya, Khalifa Haftar, alikutana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa, Hanna Serwaa Tetteh, huko Benghazi kujadili ramani mpya ya njia iliyoundwa kuendeleza mchakato…
Nini hufanya baadhi ya watu kudhuru wengine bila sababu?
Chanzo cha picha, Alamy 7 Septemba 2025 Kuumiza au kumdhuru mtu asiye na hatia ambaye hawezi kulipiza kisasi kunaweza kuonekana kuwa ukatili usioweza kuvumilika, lakini ni jambo ambalo hutokea mara…
Ndege za kitanzania zinazoruka kwa mafuta ya bodaboda
Maelezo ya picha, Moja ya ndege 9 zinazoundwa sasa katika Karakana ya uwanja wa Mazimbu, Morogoro. Tano zimekamilika na kutumika Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Marc Guehi hatajiunga na Liverpool
Beki wa Uingereza Marc Guehi hatajiunga na Liverpool kutoka Crystal Palace mwezi Januari, mlinda lango wa Manchester United Andre Onana akubali kujiunga na klabu ya Uturuki Trabzonspor kwa mkopo, huku…
Ufaransa: Waziri mkuu mashakani, serikali hatarini kuanguka katika kura ya imani
Hatima ya Waziri Mkuu wa Ufaransa François Bayrou itajulikana leo Jumatatu, Septemba 8, 2025, katika Bunge la taifa wakati wa kura ya imani ambayo yeye mwenyewe aliomba kuhusu mpango wake…
Moja ya sehemu takatifu zaidi duniani Mlima Sinai inageuzwa kuwa sehemu ya utalii
Chanzo cha picha, Universal Images Group via Getty Images Maelezo ya picha, Karne ya 6 St Catherine’s ndio nyumba ya watawa kongwe zaidi ulimwenguni inayotumika kila wakati Maelezo kuhusu taarifa…
Marekani: Trump azindua operesheni mpya ya kupambana na wahamiaji Massachusetts
Nchini Marekani, utawala wa Trump unazidisha sera yake ya kupinga uhamiaji. Baada ya kuishtaki Boston kwa kile kinachojulikana kama sheria “zisizoweza kukiukwa”, operesheni kuu ya ICE, mamlaka ya Uhamiaji na…
AU: Mkutano wa madiliko ya hali ya hewa unafanyika jijini Addis Ababa
Mkutano wa pili wa Umoja wa Afrika wa mabadiliko ya hali ya hewa, unaanza rasmi hii leo jijini Addis Ababa nchini Ethiopia mkutano huo ukinuia kuleta maono ya pamoja kukabiliana…
Mataifa ya Afrika ya Kati yamteua mwenyekiti mpya wa tume ya ECCAS kutoka Burundi
Tume ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati ina rais mpya. Wakuu wa nchi za ECCAS waliokutana siku ya Jumapili, Septemba 7, huko Sipopo, Equatorial Guinea, wamemteua…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Colombia: Wanajeshi 72 wametekwa nyara katika eneo la Cauca linalodhibitiwa na kundi la waasi
Wanajeshi wasiopunguwa 72 wamechukuliwa mateka siku ya Jumapili, Septemba 7, katika eneo la Cauca. Kulingana na jeshi, eneo hili lililo kusini magharibi mwa Colombia linadhibitiwa na kundi la wapiganaji wanaohusishwa…
Gaza: Hamas yasema iko tayari kuzungumza wakati operesheni za Israel zikizidi
Hamas imesema siku ya Jumapili Septemba 7 kwamba iko tayari kuanza tena mazungumzo “mara moja” baada ya kupokea pendekezo jipya kutoka Washington. Donald Trump ametuma “onyo la mwisho” kwa Hamas…
Rais Trump atoa onyo la mwisho kwa wapiganaji wa Hamas
Rais wa Marekani Donald Trump, amesema, anatoa onyo la mwisho kwa kundi la Hamas, na kuwataka wakubali mkataba utakaosababisha kuachiwa huru kwa mateka wote. Imechapishwa: 08/09/2025 – 06:03 Dakika 1…
Vita vya Ukraine: Zelensky alaani ‘shambulio la kikatili’ baada ya Urusi kulishambulia jengo kuu la serikalikatika jimbo la Kyiv
Chanzo cha picha, ABC News Maelezo ya picha, Zelensky akihojiwa hapo awali na mwandishi wa ABC News Martha Raddatz kuhusu nyuma ya Urusi kulipua kiwanda kinachomilikiwa na Marekani nchini Ukraine…