Moallin, Maxi wakoleza paredi la Yanga
KAIMU kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moallin na mchezaji Maxi Nzengeli wamekoleza paredi la ubingwa la kikosi hicho linalofanyika leo Jumamosi Julai 4, 2026, lililoanzia mitaa ya Karume jijini Dar…
KAIMU kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moallin na mchezaji Maxi Nzengeli wamekoleza paredi la ubingwa la kikosi hicho linalofanyika leo Jumamosi Julai 4, 2026, lililoanzia mitaa ya Karume jijini Dar…
WAKATI Yanga ikisherehekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kufanya paredi leo Jumamosi ya Julai 4, 2026, mashabiki kadhaa wa timu hiyo wameonekana Kutoridhishwa na utaratibu uliotumika wa maandalizi hayo.
MAMIA ya washabiki wa Yanga wameendelea kujitokeza kwa wingi kwenye maeneo ya Karume, jijini, Dar es Salaam tayari kwa paredi la timu hiyo la kusherehekea ubingwa wa tano mfululizo wa…
ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa nimebadilika sana. Mgannga akanipa…
BAADA ya kushuhudia Yanga ikibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiziacha Simba na Azam nafasi ya pili na tatu mtawalia, timu hizo zinasaka heshima leo ambapo filimbi ya mwisho itakapopulizwa,…
TUMEKUBALI. Ni kauli ya Beki na Nahodha wa Mtibwa Sugar, Erick Kyaruzi akielezea matokeo ya timu hiyo baada ya kushuka daraja, akisema wanasubiri mipango ya uongozi kuona wanajipangaje msimu ujao…
BEKI wa Azam FC, Nathaniel Chilambo, amempa sifa kocha mkuu wa timu hiyo, Florent Ibenge namna anavyowapa nafasi wachezaji na imekuwa moja ya sababu ya kiwango chake kuwa bora zaidi…
KUNA taarifa za mshambuliaji wa JKT Tanzania, Paul Peter kuhitajika na klabu ya Al Ahly Benghazi, ili kumsajili kwa ajili ya msimu ujao, baada ya kufanya vizuri msimu uliomalizika.
KIUNGO mkabaji aliyemaliza mkataba wake na Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ imeelezwa anatakiwa na timu mbalimbali za Ligi Kuu ya NBC ikiwemo JKT Tanzania na Mashujaa.
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza Klabu ya Yanga faini ya Sh100 milioni baada ya kubainika kuwa wachezaji na benchi la ufundi walitumia nyumba iliyo nje ya uwanja badala…
SHIRIKISHO la Soka Afrika(CAF) imetangaza rasmi kalenda ya mechi za msimu wa 2026/27 wa Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika.
ILIPOISHIA Aliponiambia hivyo nikamshukuru na kumuahidi kuwa nitashirikiana nao katika raha na taabu. “Sitamuheshimu mume wangu peke yake, nitawaheshimu hata nyinyi wake wenzangu mlionitangulia” nikamwambia. Mke mdogo naye akanikaribisha na…
ILIPOISHIA Nikakaa kwenye jamvi. Kimoyomoyo nilikuwa najiuliza kwanini hawa waganga wa kienyeji hawaboreshi mazingira yao wakati wanapata pesa nyingi. Kila siku tunakaa chini tu. Mganga alikuwa amekaa mbele yangu. “Haya…
MSHAMBULIAJI Prince Dube, amepiga chini ofa tatu na kufanya uamuzi mgumu wa kurejea kwao Zimbabwe akisaini mkataba wa miaka miwili timu iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu nchini humo.
WAKATI uongozi wa JKT Tanzania ukiguswa na kuomba radhi kwa mashabiki wa soka baada ya mchezaji wa timu hiyo, Hassan Wahabi kumfanyia rafu mbaya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua,…
RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano ya Afrika…
KOCHA Mkuu wa Simba Queens, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amesema amebaini kuna maeneo yanayohitaji kuimarishwa kabla ya timu hiyo kuanza safari ya kuwania tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupitia michuano…
WAKATI uongozi wa Singida Black Stars ukitarajia kupokea ripoti ya benchi la ufundi, kocha wa timu hiyo, Muhibu Kanu amesema anajivunia kutimiza malengo ya kumaliza nafasi ya nne kwenye msimamo…
BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini mkuu wa Ligi ya NBC kwa vijana chini ya miaka 20 (NBC U20 Youth League), imekabidhi kombe la ubingwa wa msimu wa 2025-2026…
Jukwaa la michezo la BongoBongo Tanzania limeanzisha ushirikiano kabambe na mshawishi (influencer) maarufu wa Kitanzania Brown, ambaye anahudumu kama mshawishi rasmi wa chapa yao. Akijulikana kwa muunganiko wake dhabiti na…
KATIKA safari ya utafutaji, suala la kukutana na changamoto ni la kawaida. Waswahili husema changamoto ndizo humkuza mtu.
HAKUNA ushindi usiokuwa na kilio. Hiyo ndiyo hali ya mashabiki wa Yanga wakishangilia ubingwa wao wa ligi lakini wakikumbuka tukio la kuumia kwa kiungo wao Pacome Zouzoua wanabadilika ghafla, sasa…
WAKATI wadau na mashabiki wa soka jijini Mbeya wakitamba kuwa na uhakika wa timu moja Ligi Kuu msimu ujao, makocha wa Tanzania Prisons na Mbeya City wameanza kuchora ramani ya…
TRA United imesema licha ya mafanikio ya kumaliza nafasi tano za juu, lakini malengo yao hayakutimia kama ilivyotarajia, ikiahidi kusuka upya kikosi kujiandaa na msimu ujao ikisisitiza kubaki na mastaa…
Timu ya JKT Tanzania imeomba radhi na kumpa pole mchezaji wa Yanga, Pacome Zouzoua aliyeeshindwa kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu baada yay a kufanyiwa rafu mbaya na mchwezaji Hasan…
MABAO mawili yaliyofungwa na Jean-Jacques Ngita dakika ya 66 na Nathaniel Chilambo dakika ya 89 dhidi ya Dodoma Jiji, yameifanya Azam kumaliza msimu kwa ushindi huo ikikomaa nafasi ya tatu…
YANGA imebeba bingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya tano mfululizo, baada ya kuichapa JKT Tanzania mabao 3-0, ikijihakikishia ufalme huo siku ya mwisho ya kufunga msimu ikikusanya pointi…
NI vita nyingine mpya. Ndivyo unavyoweza kusema kuelezea mtifuano wa kukwepa kushuka daraja kati ya ndugu, Tanzania Prisons na Mbeya City.
ILIPOISHIA Nikawaza nikimtilia kwenye chakula haitafaa kwa sababu chakula hicho tunakula sote. Nikawaza tena labda nimtilie kwenye mchuzi kwa vile kila mmoja anakuwa na bakuli lake la mchuzi. Nikaona kwenye…
BAADA ya kuchezea vipigo kwenye fainali mbili mfululizo za Kombe la FA Zanzibar, Chipukizi imesema itajipanga vizuri msimu ujao ili kuondoa hali hiyo na hatimaye kubeba ubingwa.
LICHA ya New King kushuka daraja msimu wa 2025-2026 ilipomaliza nafasi ya 13, lakini Khatma Khamis Mwalimu maarufu Betina, ameandika historia ya kuwa kocha mkuu wa kwanza wa kike kufundisha…
Ghana and Croatia arrive at this Group L fixture from opposite kinds of pressure. Ghana began with a 1-0 win over Panama and showed enough structure to make the final…
ILIPOISHIA “Ukija siku hiyo ya tatu ndiyo nitakupa dawa hiyo. Siwezikutoa dawa zote kwa pamoja, zinaweza kumchanganya akili” “Sasa lini ataanza kubadilika” “Haitachukua muda. Utaanza kuona mabadiliko kidogo kidogo lakini…
BAADA ya kuitumikia Simba Queens kwa misimu minne mfululizo, hatimaye mshambuliaji raia wa Kenya, Jentrix Shikangwa, ameondoka ndani ya klabu hiyo akienda kuitumikia FC Masar ya Ligi Kuu ya Wanawake…
ILIPOISHIA Aliposindika mlango aliifungua shuka yake aliyokuwa amejifunga na kuitupa chini. Sikutaka hata kumtazama. Na mimi nikasimama na kugeuka upande mwingine. Nikaanza kupembua nguo zangu moja baada ya nyingine. Nilikuwa…
ILIPOISHIA “Sasa kwanini anamjali huyo na kunidharau mimi?” “Ni mapenzi tu yamezidi kwa mwenzako” “Sasa nataka umuondoshe huyo msichana halafu unifanyie dawa huyu mwanaume anipende mimi peke yangu, yaani kila…
ILIPOISHIA Maisha hayakuwa mabaya. Mashaka alikuwa meneja wa kampuni binafsi. Alikuwa akiishi katika nyumba ya kampuni. Mtu wa kwanza kufahamina naye katika mtaa uliokuwa na nyumba yetu ni Mwanaisha, mke…
ILIPOISHIA Kwa sekunde kadhaa alikuwa ameduwaa akimtazama Masumbuko bila kupepesa. Sharifa aliyekuwa ameketi kando yake hakuwa akijua hisia zilizokuwema ndani ya akili ya mwanawe. Hakuwa akimjua Masumbuko na hakuwahi kumuona.…
ILIPOISHIA Baada ya daktari kumsikiliza, Wakwetu alianza utaratibu huo. Daktari aliwachukua Wakwetu na Majaliwa kwenye chumba chake cha maabara na kuchukua damu ya Majaliwa. Majaliwa baada ya kutolewa damu, Wakwetu…
ILIPOISHIA Wakwetu alipanda ghorofani kilikokuwa chumba cha Masumbuko. Akabisha mlango. Masumbuko akafungua mlango. “Tumeshafika” James alimwambia Masumbuko. “Mzee yuko wapi?” “Yuko mkahawani, amenituma nikufuate” “Haya twende” Masumbuko akafunga mlango wakashuka…
ILIPOISHIA James akamuuliza yule mkuu wa kituo cha yatima. Mkuu wa kituo hicho alimtazama na kumuuliza: “Kwani wewe ni nani?” “Mimi ndiye niliyechukuliwa na Mchungaji Antony James Hiza kutoka katika…